No video

Hatimaye Padre atoa SIRI NZITO kuhusu EKARISTI TAKATIFU / Pd. John Kulwa / Jimbo kuu Tabora / 2024

  Рет қаралды 24,301

INJILI YA FURAHA

INJILI YA FURAHA

Күн бұрын

Пікірлер: 75
@JastineJoseph-kk9rd
@JastineJoseph-kk9rd 2 ай бұрын
Asante sana Father, baadhi ya mambo niliyojifunza. 1. Ekaristi Takatifu ni Yesu mwenyewe. Mungu Kweli na mtu kweli. 2. Ni nafsi ya Mungu mwenyewe anaumia, anatamani kupendwa kama tunavyopendwa na ndugu zetu 3. Kisiwepo kitu chochote ambacho kitatutenga na uwepo Mungu, iwe ni mateso, mauti, wakuu n.k 4. Kutenda dhambi ni kumzuia Yesu kuingia ndani ya mioyo yetu. 5. Thamani ya Ekaristi Takatifu ni kubwa kuliko chakula chochote. 6. Ekaristi ni chakula ambacho kinatupeleka mbinguni, katika kuwalea watoto lazima tuwalee katika kukua kwenye imani, sio kuwahangaikia tu kupeleka shule, kuwapa chakula lakini hawana Neno la Mungu. 7. Ekaristi Takatifu sio kitu cha hiari kama ni kitu cha hiari kwako basi kuna dhambi imechukua nafasi. 8. Tusifiche uovu lazima tuukemee kwa nguvu zote. 9. Yesu hakuja duniani ili wadhambi tuendelee kutenda dhambi bali tuache na kuichukia dhambi.
@agripinaitote-xl1lz
@agripinaitote-xl1lz 2 ай бұрын
Kristo! Asante sana fr ni wazi wakatoliki wengi hatujakaa ktk nafasi zet kama mkristo .tumekalia lulu lakini ni wachache wanaolitambua.Kwa Huruma yake Mungu atufunulie macho ya ndani kama wale wafuasi wa Emau.MUNGU AKUBARIKI
@JoyceNdunguru-lg1ug
@JoyceNdunguru-lg1ug 27 күн бұрын
Mungu akubariki sana FR.Asante kwa mafundisho mazuri,.Sifa kwa Yesu Kristo
@user-dx3he2ch5o
@user-dx3he2ch5o Ай бұрын
Asante padre kwa maubiri matamu tumebarikiwa sana.najivunia sana I wapo nayaona kwenye mitandao m’a Padri wetu Kutoa Injili .kanisa katoliki tujipongeze na Mungu atusaidie sana.Tumsifu Yesu kristu wa Ekaristi Takatifu.
@williamsonkileo7307
@williamsonkileo7307 Ай бұрын
Point of correction ni Yesu Kristo na Aio Yesu Kristu..
@JoyceNdunguru-lg1ug
@JoyceNdunguru-lg1ug 27 күн бұрын
Lugha tu,,KRISTU na KRISTO ni sawa .
@SoniMwenebonjwa
@SoniMwenebonjwa Ай бұрын
Asante sana padiri jonh kulwa ,ubarikiwe KWA SOMO lako utuombee ILI tuwe nanasfi safi ktk maisha yetu ya kiroho,
@stellambunda161
@stellambunda161 2 ай бұрын
Mungu akubariki fr ,nabarikiwa na najengwa sana na mafundisho yako juu ya Ekaristi Takatifu. Mungu atuwezeshe na viongozi tuyatende ufundishayo.
@RenatusBarabara
@RenatusBarabara 2 ай бұрын
Asante sana Fr. Injiri ya moto inayochoma kama upanga. Mungu akutunze sana.
@theresinasmuhinda1606
@theresinasmuhinda1606 Ай бұрын
Barikiwa sana Fr. Kulwa hakika wewe ni Biblia inayoishi. Hilo andiko ....karipia, onya himiza... nmeliona kwako Baba. Nimekupenda bure.
@leocardkipengele5029
@leocardkipengele5029 2 ай бұрын
Asante sana Fr. kwa ujumbe huu, Mungu atusaidie kuishi mashauri haya ya injili
@MarysianaPeter
@MarysianaPeter 2 ай бұрын
Asante mungu kwa ajiri ya mtumishi wako huyu mungu na uzidi kumtumia kwa ajili ya roho zetu zipate uponyaji
@imeldakapinga1869
@imeldakapinga1869 2 ай бұрын
Asante Baba kwa mafundisho, ni mazito hadi nafsi inasisimuka na mifupa inatetemeka, kuna mahali kabisa waumini tunakengeuka, tunakosa hofuu ya Mungu ndani mwetu kwasababu ya kiburii tuu. Eee Mungu tusaidie🤲 utuhurumie sisi na dunia nzima.
@nchimbilusda7259
@nchimbilusda7259 2 ай бұрын
OMG,,, sikujua Hilo , Asante sana Father, kwa elimu hiyo wengi haijawafikia, hawaelewi kabisa Nami pia sikuelewa, Sasa umenifungua, 🙏🙏🙏
@user-sm3vf8sl7p
@user-sm3vf8sl7p 2 ай бұрын
Asante fr kwamafundisho mazuri tuieshimu ekarist ❤
@GraceElisha-v6l
@GraceElisha-v6l Ай бұрын
Barikiwa zaidi na Mungu,uendelee kutufungua mtumishi wa Mungu!!!
@dadagertrudeamandusmichael3635
@dadagertrudeamandusmichael3635 2 ай бұрын
Asante sana Baba umenibariki kwa fundisho hili juu ya Ekeristi Takatifu. Utuombee sisi wakosefu.
@stellanamukunda3515
@stellanamukunda3515 2 ай бұрын
Asante sana kwa mafundisho haya. Tuiabudu na kuiheshimu ekaristi takatifu. Amina
@DamianJustine-hs6dk
@DamianJustine-hs6dk 2 ай бұрын
Asante sana pdr.John Kulwa kwa mafundisho yako Mazuri.
@blandinakimbe8910
@blandinakimbe8910 2 ай бұрын
Baba barikiwa saana ,,Mungu tusamehe,
@rosekalindo
@rosekalindo Ай бұрын
Asante sana Baba,Mungu aendelee kukuweke ili uliponye kanisa 🙏
@donathamarenge8734
@donathamarenge8734 Ай бұрын
Kweli Baba Padre zinaa inaonekana kama ustaarabu fulani siku hizi kumbe ni upuuzi mtupu na kujilisha upepo! Mungu akupe maisha marefu father.
@patrickmsekwa4947
@patrickmsekwa4947 2 ай бұрын
Safi sana Mzee kulwa kwa fundisho kubwa na zuri
@dianaelvas43
@dianaelvas43 2 ай бұрын
Asante baba kwa mafundisho mazuri
@evaristcosta4315
@evaristcosta4315 2 ай бұрын
Baba nashukuru kwa mafundisho mazuri kuhusu Ekaristi takatifu Mungu akubariki sana
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 2 ай бұрын
Ee Bwana sistahili, sistahili ee Bwana uje moyoni mwangu. Lakini sema neno tu na roho yangu itapona. Asante Baba kwa neno lenye uzima.
@vairethmhoza
@vairethmhoza Ай бұрын
Akhsante sana baba Mungu wetu alie juu na mwenye kuogofya Akutunze Hakika
@Poplicious1
@Poplicious1 2 ай бұрын
Asante Sana Father Kwa Mafundisho Ya Ekaristi Takatifu 🙏
@gracebuhatwa6359
@gracebuhatwa6359 2 ай бұрын
Asante Sana father kulwa sikujua niliona mazoezi tu.
@nikoletaugi3247
@nikoletaugi3247 2 ай бұрын
Asante sana Baba kweli tuponyuma
@JoyceNdunguru-lg1ug
@JoyceNdunguru-lg1ug 27 күн бұрын
Wakatoliki tuna cha kujifunza hapa,, Mungu atusaidie sana.
@AngelinaEdward-v8e
@AngelinaEdward-v8e 7 күн бұрын
❤❤❤ AMINA ASANTE
@RoseJoachim-mz1kn
@RoseJoachim-mz1kn 2 ай бұрын
Amina yesu atupe hekima ya kumjua zaidi kuliko chochote
@ernestmatundiri2341
@ernestmatundiri2341 2 ай бұрын
Asante baba kwa kutuelimisha kuhusu ekarist takatifu
@MariaSalus
@MariaSalus 2 ай бұрын
Asante baba paroko,tunaomba rehema ya Mungu,kwa kuiudhi nafsi hii
@gracemkosa1894
@gracemkosa1894 2 ай бұрын
Baba asante sana.
@user-hy9hh1zg4y
@user-hy9hh1zg4y 2 ай бұрын
Asante baba! Mwenye sikio na asikie🙏🙏
@user-oz7un5lm2u
@user-oz7un5lm2u 2 ай бұрын
Ukweri ni huo juu ya ekarist mungu akupe neema ya kueneza neno lake.
@user-fo4dt3lh3d
@user-fo4dt3lh3d 2 ай бұрын
Asante sana baba
@TheresiaKapandila
@TheresiaKapandila Ай бұрын
Asante Fr kutulisha kiroho
@leonaldpaul4506
@leonaldpaul4506 2 ай бұрын
❤️❤ mafundisho mazuri sana ya ekaristi takatifu
@LucyLuca-p6l
@LucyLuca-p6l 17 күн бұрын
Mithali 28:9 asanteeee Baba
@user-ec7tq1rt2q
@user-ec7tq1rt2q 2 ай бұрын
Asante baba
@godykibiki8852
@godykibiki8852 2 ай бұрын
Asante sana kuna kitu kimeingia kichwani mwangu
@edenusmrosso9225
@edenusmrosso9225 2 ай бұрын
Ekaristi Takatifu ni Yesu, na Yesu ni Mungu na kama ndo hivyo Mungu lazima apigiwe magoti na kwa Mila zetu tu mkono wa kushoto ni ishara ya utovu wa nidhamu unapoutumia
@user-dn9np8sp8g
@user-dn9np8sp8g 2 ай бұрын
Wewe yesu co mungu, ni mwana wa mungu acha uongo
@JoyceNdunguru-lg1ug
@JoyceNdunguru-lg1ug 27 күн бұрын
Yohana 1:1....
@enatanonga3048
@enatanonga3048 2 ай бұрын
Asante sana pdr Kulwa kwa mafundisho mazuri
@violethbosha1666
@violethbosha1666 2 ай бұрын
Baba mungu akupe maisha
@frankmazinge3199
@frankmazinge3199 2 ай бұрын
Asante SANA Baba Padre Kwa Mafundisho Ya Hali Ya Juu Kuhusu EKARISTI TAKATIFU.
@MeshackMinyota
@MeshackMinyota Ай бұрын
Tatizo ni sakaramenti ya kitubio na kipako cha mafuta wanajua kesho Kuna maungamo Kwa padree
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
😭dah nimekuerewa sana ubarikiwe Kuna vitu nilikuwa nafanya bira kuerewa haya yote nikuchukurie biblia kamakitu chakawaida ubarikiwe sana maombi yetu yanaachakujibiwa kwakutokuerewa
@user-je1sm4fc2g
@user-je1sm4fc2g Ай бұрын
Asante kwa neno zuli ungeshuka mpaka vijijini watu wajue utisho wa MUNGU Asante sana.pd
@saramassoy1593
@saramassoy1593 2 ай бұрын
Mapadri wangekuwa wanatulisha neno kama huyu tungekuwa na hofu ya Mungu, tungebadilika,
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn Ай бұрын
Ukweli padri un alitukana sana lishetani lakini jua sasa liko linakuwinda usiku na mchana maana hayo uyasemayo umelipiga mkuki kifuani gandamiza hivyohivyo tuko pamoja baba.
@beatricenangale5439
@beatricenangale5439 2 ай бұрын
Huyu Fr. Analifafanua neno kiukwelikweli lilivyo, na kuwajenga wakristu kweli, jamani tujitahidi kumjua sana huyu Yesu Kristu. Maana huwa tunamuumiza sana
@lamecklaurentius8936
@lamecklaurentius8936 Ай бұрын
Naam. Call spade a spade. Nimebarikiwa sana na mahubiri haya.
@viddamgeneka8881
@viddamgeneka8881 2 ай бұрын
Amen!
@erasminamaina8333
@erasminamaina8333 2 ай бұрын
Kweli baba ekaristi ni muhimu sana
@SusanMugassa
@SusanMugassa 2 ай бұрын
Paroko wa kanisa gani hili? Asante sana kwa mafundisho mazuri yametugusa sana kutukosoa yale tunayoyaishi pasipo kuiheshimu Na kuijua Ekaristi takatifu!
@user-rt8df5ce4s
@user-rt8df5ce4s 2 ай бұрын
Ni mlezi na mwalim wa seminari ya Segerea.
@josephlango5591
@josephlango5591 2 ай бұрын
​@@user-rt8df5ce4sPadre Kulwa alirudi Jimboni kwake Tabora. Tumeyamisi mafundisho yake
@neemamwaiteleke5575
@neemamwaiteleke5575 9 күн бұрын
HUU NI UPANGA UKATAO KUWILI KWA KWELI..... EE BWANA YESU KRISTO, TUNAOMBA HURUMA YAKO TUWE WATENDAJI WA NENO!
@RoseMallya-dd6uu
@RoseMallya-dd6uu 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa,.
@ibrahimmwananjela5216
@ibrahimmwananjela5216 2 ай бұрын
Kama mafundosho yangekua yanatolewa hivyo kuanzia ngazi ya jumuiya wakatiriki tungekua nanidhamu katika kanisa
@LinathGodfrey
@LinathGodfrey 27 күн бұрын
Mungu azidi kukutangulia na tuendelee kupata ukweli kupitia wewe
@PelicanPassion
@PelicanPassion 3 күн бұрын
kzbin.info/aero/PLLIq_8q2k3n_hlpbDg0xgBbSO-iTkDtDu&si=mVQJ_0Tv5oKo7DX_ Tazama link hii uone Muujiza mpya kabisa wa Ekaristi takatifu.
@user-vf7yj1jz7m
@user-vf7yj1jz7m 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@alexmastila6604
@alexmastila6604 2 ай бұрын
Farther kulwa nayakunali saana mafundisho yake
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn Ай бұрын
Huyu padri wa wapi amejaa roho wa Mungu namna hiii!!
@josephlango5591
@josephlango5591 Ай бұрын
Alikuwa Mwalimu Seminari ya Segerea lakini kwa sasa yuko Jimbo la Tabora
@ernestmatundiri2341
@ernestmatundiri2341 2 ай бұрын
Homilia ya hali ya juu kabisa kwani ekaristi takatifu ni ukombozi wetu
@violethbosha1666
@violethbosha1666 2 ай бұрын
Kwani mkono wa kushoto siyo mkono? Basi ulimi tusiutumie
JIFUNZE JINSI YA KUTOA ZAKA KAMILI...!
42:41
INJILI YA FURAHA
Рет қаралды 8 М.
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 25 МЛН
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 17 МЛН
Мы сделали гигантские сухарики!  #большаяеда
00:44
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 27 МЛН
MAMBO MANNE YA KUFANYA KILA ASUBUHI UAMKAPO Sehemu ya Kwanza - Innocent Morris
42:19
Tazama alichotendewa Mama huyu na YESU WA EKARISTI
7:26
Tumaini_Tv
Рет қаралды 188 М.
Padre Dkt Kamugisha: Tawala Uso wako/ Nyakati 2 za kufunga mdomo
31:34
ALHAMISI YA KUFUNGULIWA NA ROHO ZA MAJINI MAHABA | 04 04 2024 | FULL VIDEO  HD
1:33:01
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 25 МЛН