Рет қаралды 235
Katubu tawala wilaya ya Chunya kwaniaba ya Mkuu wa wilaya ya Chunya amezitaka Taasisi zote zinazodaiwa na RUWASA Kulipa madeni yao yote na amesema Hakuna maliyo yatafanyika kwa taasisi zinazodaiwa mpaka pale madeni yote yatakapokuwa yamelipwa