Maashallah mtoto wangu , Allah atakabali hija yako.
@azizayassin36234 ай бұрын
Walykumu msalam warhatuallah wabarakatuh
@suleim5054 ай бұрын
AllahuAkbar
@MuhamadiAli4 ай бұрын
Allah akupe akili nzuri ya kufikiria
@NakivumbiSharifah4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@AllyMamlo-w9y4 ай бұрын
Hawanyi hao njiwa
@gmziwandanation5554 ай бұрын
Naomba kujua hilo jicho la kwenye hayo ma bango ni la nini???
@alimau79394 ай бұрын
Kazi moja ya njiwa hao ni kupunguza joto
@mgaxy69734 ай бұрын
hata kwenye jiji la Roma njiwa wa aina hiyo wapo kwa hiyo siyo ajabu sana
@tahirissa65794 ай бұрын
Kwani umeambiwa huko roma hawapo?
@mgaxy69734 ай бұрын
@@tahirissa6579 sasa huyu mtangazaji alitaka watu waamini kuwa hao njiwa wapo huko Maka tu sehemu nyingine kama hawapo, yaani ni njiwa wa kimaajabu
@Adelina.Kagina4 ай бұрын
Tena Jiji la Roma ltalia, wapo njiwa wengi mno mimi nipo Roma hata nyumba ninayoishi njiwa huwa wanakuja wengi tu, ni hali ya kawaida tu
@mgaxy69734 ай бұрын
@@Adelina.Kagina Afadhali na wewe umwambie kwani wanataka ionekane ni kati ya maajabu saba ya dunia kwa njia hao huko Maka. Mimi pia nilikaa kidogo Roma ingawaje nilikuwa natokea Viterbo nilikuwa nakuja Roma kwenye ule mtaa wa Porta Portese wakati wa gulio nimesahau ilikuwa lini, kati ya Jumamosi au Jumapili. Viterbo nilikuwa nakaa kwenye nyumba moja jirani na Piazza Dela Rocka
@sskondopoleani96164 ай бұрын
@@Adelina.Kagina Tatizo ni kuelewa . Wewe uko kwenye kushindana, huyo anaeongea kaishi Uingereza njiwa wako Tele Trafalgar Square akiwaona usiku na mchana hakusema hayo ya kumaanisha kwingine hakuna. Short Minded Poleeee.