HII HAPA SHOW YA BILION 2 3 ALIYOFANYA DIAMOND MOMBASA KENYA KWENYE HARUSI

  Рет қаралды 123,059

Bongo Touch

Bongo Touch

Күн бұрын

Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that

Пікірлер: 352
@HmashaAlly-m6h
@HmashaAlly-m6h Ай бұрын
Dah Mungu tusaidie naona Kabisa Shetani Anatushinda kwa kiasi kikubwa Mombasa Leo hii
@kautharjay5868
@kautharjay5868 Ай бұрын
Kuna siku alikuja twaiba Mombasa anauza carpet walinistiri vizur watu wanapiga kampeni ya kuiharibu Mombasa iwe na utamaduni sio tumuombee Mungu tujistiri jamani hatupungikiwi kitu
@rechaelmabruk6547
@rechaelmabruk6547 Ай бұрын
Sioni kibaya kinacho fanywa hapa isipo kua watu kufurahia harusi ila nyinyi waisalaamu mme zidi na hizo subhana acheni wivu watu wakifanya sherehe zao ❤❤❤❤mm nimependa sana hii harusi
@ArfatHassanahmed
@ArfatHassanahmed Ай бұрын
Hakuna wivu its pitying them.i would not wish my wedding or my loved one's to be this way.
@ArfatHassanahmed
@ArfatHassanahmed Ай бұрын
Huwezi kuelewa maana Huna imani ya uislamu.Mwenyezi Mungu akuongoze
@abdallahshariff2983
@abdallahshariff2983 Ай бұрын
Audhu Billahi minasheitan rajim ,Yaa Allah tuongeze,hii ni ukafiri ya hali ya juu,na israf,wakati kuna wengi wana lala njaa,ni jambo la kusikitisha.
@LLl-p4r3l
@LLl-p4r3l Ай бұрын
@@abdallahshariff2983 kabisa inaskitisha xana
@swabirbasheikh8244
@swabirbasheikh8244 Ай бұрын
Yani hapo ujue kuna Wake za watu lakini Sivo wanavyo jidhalilisha Subhan Allah 😢Allah Atufanyie wepesi sanaa
@AtendayeMwinyihaji
@AtendayeMwinyihaji Ай бұрын
Amiyn yaraby
@Khamisasmanjamal
@Khamisasmanjamal Ай бұрын
Wallahi hii ni hatari ALLAH subanah watalah hatuongoze
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
Inna lillahi wa inna ilaihi rajiun 💔😭
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 Ай бұрын
Mombasa bado inawajinga kumbe subhaallah Allah atuongoze
@zena6203
@zena6203 Ай бұрын
Kwani kunasehemu yawajinga kila sehemukunawajingaaaa😅😅
@Tasha870
@Tasha870 Ай бұрын
Mombasa werevu Kumbuka si Kenya
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 Ай бұрын
Mombasa sio wajinga kama wewe
@anthonykatana3809
@anthonykatana3809 Ай бұрын
Wew ndio uko na
@Mussatz-g2b
@Mussatz-g2b Ай бұрын
Sasa hao na wewe nani mjinga kuku wewe
@riazjuma84
@riazjuma84 Ай бұрын
Aibu wanewake waislamu hawana Adhabu...Laana hio
@CHINICHINI-i3f
@CHINICHINI-i3f 17 күн бұрын
I rather help the poor then giving someone who’s already Rich always help the poor 💯🙏🏾
@kautharjay5868
@kautharjay5868 Ай бұрын
Mombasa inazidi kubaribika Mungu atuwpushie huu mtihan
@im_jeiclos
@im_jeiclos Ай бұрын
Mimi apo ningeondoka na Mwarabu mmoja ❤😂
@beatricejohn1659
@beatricejohn1659 Ай бұрын
Nyota hashushwi Kwa Simba la masimba❤❤❤❤❤❤❤❤
@elinahandisi
@elinahandisi Ай бұрын
Mmm hawa si waislamu jameni mwenyezi mungu tuongoze
@ahmed-yc6xm
@ahmed-yc6xm Ай бұрын
Amiin
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 Ай бұрын
Aliyepewa kapewa! Wily kaa kwa kutulia ! Huyo ndio Mondi nyota inang'ara bana!❤❤❤❤❤❤❤❤
@swabirfaizrubeya6121
@swabirfaizrubeya6121 Ай бұрын
Laana tu na aibu tu Allah awaongoze njia ya saws
@rashidhamad3538
@rashidhamad3538 Ай бұрын
innalillahi wainna ilayhi raajiun, hapana lolote la maana hapa, tuwaombee Dua wenzetu wanaangamia Subhanallah
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Ай бұрын
Allah Atuongoze Katika kheir Mbona Masheikh Na vilemba,, Kwan walisshinwa kuwaleta wasomi wa Qruani na Kukaswaliwa Mtume wa Allah Allah baariq fiikum ila Hio Ndoa Allah Ndio Anajua Zaidi
@minabuelysee8
@minabuelysee8 Ай бұрын
Allahuma Amin
@minabuelysee8
@minabuelysee8 Ай бұрын
Ila nikwambie kitu hujuwi si kila anavaa kanpur,kilemba I Sheikh
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Ай бұрын
@minabuelysee8 Ni Kwel Basi shukran Kwahio Imani ya mtu na matendo yake Ndio Tafsri ya yy ni nani okay Na sio Mavazi Jazakallah khayr
@rukiamadati336
@rukiamadati336 Ай бұрын
Harusi ina watoto wakali balaa😂😂 ndo nilichoona cyo shoo
@fatmaomar5783
@fatmaomar5783 Ай бұрын
Diaimon ni masihi dijal audhubillahi mindhalik. Ameharibu watoto wa watu😢
@SaidMtiga
@SaidMtiga Ай бұрын
Waislam wameingiwa na sheytwan mbaya sana subhaanallah 😢
@firdaushamid8200
@firdaushamid8200 Ай бұрын
Shaitwaan RRajimm
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 Ай бұрын
Huo Mkoa katika mikoa ya Kenya ndio maana wanamchukiaga Aalim Shekh Abdallah Humeid huwachana ukweli kwa ujinga na udayuthi wao.kwa Mujibu wa Sheria ya Allah na Mafundisho ya Mtume wa Allah Muhammad Sala na Salaam zimfikie
@mohammadabubakar4082
@mohammadabubakar4082 Ай бұрын
Pesa yote umejaliwa badala kujenga mskiti na kutoa sadaka Subhanallah😢
@JulaybibiBabah
@JulaybibiBabah 24 күн бұрын
Kapendeza Sana Wakenya 🇰🇪 Wa Enjoy na Simba la African
@HudhaifaHamisi
@HudhaifaHamisi Ай бұрын
Inna lillahi wainna ilaihi raaji'un...ni aibu sana kwa waislamu...Allah atusamehe na atuongoze
@MulangaliroMagalabaha
@MulangaliroMagalabaha Ай бұрын
Diamond plantnumz salute 🔥🔥🔥🔥
@Fumokale
@Fumokale Ай бұрын
Watu wajichora na ht diamond hana haja nae...ameisha beba mahela amewaacha wapwani na ujinga wao...naht munitukane nishasema na ndio ukweli na utabaki hivo
@bwanakaleshallo1305
@bwanakaleshallo1305 Ай бұрын
Wenye arusi Allah anawasubiri, mutajibu siku ya hesabu, kwa nini muliruzukiwa na mukaharibu thamani ya pesa mulopewa kama wasimamizi wa mali Allah aliyo wapa. Allah atuongoze na awaongoze Hawa wenzetu walio uaibisha Uislamu
@omadal1
@omadal1 Ай бұрын
Amin yaraby. Ila hawakudhalilisha uislaam, wamejidhalilisha wenyewe na malipo yanawangoja wao na sisi subhanaAllah....
@aishamohamed9981
@aishamohamed9981 Ай бұрын
Hawa watu hawana maadili ya dini... Mungu atuongoze sote
@GreatnessKarani-z8d
@GreatnessKarani-z8d Ай бұрын
Diamond deserves
@JumaBileku
@JumaBileku Ай бұрын
Acheni husda mungu ndo hakim wetu
@Bboy-sj9dj
@Bboy-sj9dj Ай бұрын
noma sana simba
@salumkhamis7818
@salumkhamis7818 Ай бұрын
Hivi Hawa waliovaa kanzu na vilemba/kofia ni WA Islam kweli ,ukafiri ulio wazi kabisa ALLAH tuepushe na shetani ALLAHUMA AMIN
@Mealiim6
@Mealiim6 Ай бұрын
Kiislam nikaah n ibada ila ikifikia hapa Allah ndio anajua zaid
@MebakariMwasiye
@MebakariMwasiye Ай бұрын
Usiseme Allah anajua zaidi,open up,hata sisi hpo twajua na twauona ubaya
@Mealiim6
@Mealiim6 Ай бұрын
@MebakariMwasiye kiukweli hapo ilikua big party coz waliofika hapo hawaonyeshi misingi ya dini
@NunuKupela
@NunuKupela Ай бұрын
Yan mmejisitir kuvaa vizur mmacheza na mavazi takatifu harusi ya kiislamu mmachanganyika Mombasa tunawategemea
@HalfanAbdallah-x4p
@HalfanAbdallah-x4p Ай бұрын
😂😂😂😂😂 huo ni upuuuuuzi
@JacksonKachila
@JacksonKachila Ай бұрын
Simba❤❤❤❤❤
@johnmeshack4431
@johnmeshack4431 Ай бұрын
😂simba la masimba #pozee umeona ihi😅😅😅
@HabibaMohamed-h3n
@HabibaMohamed-h3n Ай бұрын
Mashallah mabrouk
@yongoyongo3055
@yongoyongo3055 Ай бұрын
Wiislam Mombasa bado ujinga mwingi
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 Ай бұрын
Wagonjwa wa akili wakutana na mgonjwa mwenzao. Uma umeangamia.
@abubakarkidevrespect7782
@abubakarkidevrespect7782 Ай бұрын
Subhan Allah ndugu waislam ndio nn ivi kujidhalilisha aibu sana dunia mapito jamani pumzi kibri
@farahali6041
@farahali6041 Ай бұрын
We mweu kwali mwenyewe uwezo mungu tu binadamu hana lolote dakika tu mungu akichukua roho yake huna chako ukasikilize kaburini
@mwanahamisikimweri7234
@mwanahamisikimweri7234 Ай бұрын
Kwa hiyo unamuombea afe...acha kumkufuru Mungu kwa viumbe wake. Wewe unaujua mwisho wako? Fikiri kabla hujaandika na jamii ikasoma ulichoandika.
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 Ай бұрын
Hata wewe usijisahaulishe!! Wewe pia waweza kufa muda wowote! Au wewe ni unajikuta nani kwa mfano!😅😅😅
@LovenessWaibe
@LovenessWaibe Ай бұрын
Makasiriko yanini kijana tafuta pesa acha roho ya kichawi na jua huo ni roho ya umaskini inakusumbua😂😂😂
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 Ай бұрын
@LovenessWaibe Umesema kweli kabisa! Watu wanashinda wakibet mwenAo anapambana wanataka wafanane! Fanyeni kazi acheni makasiriko! Mond anajitambua! Shauri zenu!
@AthumaniAthumani6
@AthumaniAthumani6 Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤simbaaaaaaa
@munam7104
@munam7104 Ай бұрын
Vijana wa Kislamu waazirika subhana llah
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Yani mtihani sikumojatu imewatoq iiman wanafanya usweitwani😢
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Pesazao na zitawachomamoto sikuyakiyama Allah atunusuru na masweitwani
@AishaAisha-q4t
@AishaAisha-q4t Ай бұрын
Mwenyewe nimeshangaa sio wanawake tu na watu wazima
@dhahabusheikh262
@dhahabusheikh262 Ай бұрын
Mtihani. May Allah protect us. Dunya imetuva.
@Zainab-f9w5x
@Zainab-f9w5x Ай бұрын
Mtamjibu nn rahman siku ya malipo
@chrispinmkanda6097
@chrispinmkanda6097 Ай бұрын
Isee!! Namuona mendez yuko seriously hataki masiala na pesa km bodyguard vilee!!!😂😂😂😂
@Chemba67
@Chemba67 Ай бұрын
Willy Paul man is coming into yaa backyard and get it!! Show him what you got, come and get it in TZ😏😏😏😏, Mtoto mdogoo in TID voice....kakojoe ukalale
@AbdulahiNaseebu
@AbdulahiNaseebu Ай бұрын
Diamond Platinumz is ever the best musician in the East Africa and also worldwide.
@omadal1
@omadal1 Ай бұрын
So wht seriously?
@BrianMatumbo
@BrianMatumbo Ай бұрын
TANGU kamwabiye Niljuwa NYOTA YA DIAMOND ITA NGAAA KWA MWANGA MKUBWA❤❤❤
@salmaali7080
@salmaali7080 Ай бұрын
Sasa wataka abudiwe ama nivipi? We nyota yako haijangaa staghfirullah
@BrianMatumbo
@BrianMatumbo Ай бұрын
@@salmaali7080 Acha wivu kwani kuna shida niki msifia peleka wivu uko kwenu
@dorisNyanda
@dorisNyanda Ай бұрын
Hahahaaaa,kazi kwao wanaomchukia,mwenzao anazid kupasua.😅😅😅😅Raha sn
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Ай бұрын
Yn cjui. Wamelazwa uko majirani mana so kwa upendo u jmn
@shafisaggaf1889
@shafisaggaf1889 Ай бұрын
Ndio maana harusi hazina baraka baada ya mda mdupi utasikia washaachana kwa uchafu unao fanyika.
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM Ай бұрын
Simba nyota inangara sana ❤
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 Ай бұрын
Casspol🎉🎉
@LLl-p4r3l
@LLl-p4r3l Ай бұрын
Hizo pesa hazina kazi heri mngewapa masikini na wajane nq watoto mayatima juu nisikukuu nahawana chakula wala mavazi hio ingewapa thawabu kwa mungu eti bilioni 23 kwani anaimba nini chajabu
@JackKisunga-rx3ed
@JackKisunga-rx3ed Ай бұрын
Hatariiiiiii sana
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Ай бұрын
Natamani zuchu nandi na daimond ndo wangealikwa ila sio mbaya nandy kawakilisha piya wasichana
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 Ай бұрын
Bwana uyo n'i shida mimi namkubali daimond ana nguvu sn ukiangalia vizuri kuna mezali moja inasema kwenye luga ya kibenbe eti msoshi ele ya lala mahana yake Ni ivi mtu akiwa mkubwa kazi nikutupia kila jiwe kwenye mwili wake
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Ай бұрын
Kbs
@saidali9255
@saidali9255 Ай бұрын
There is light in the darkness!
@HassanHassan-dk5db
@HassanHassan-dk5db Ай бұрын
Kunakitu nimejifunza hapa Ni kujibrand Kwanza.
@martingwanduluko1135
@martingwanduluko1135 Ай бұрын
Nihalali kwa diamond kuliowa kiasi hiko maana sio lahisi kupiga shoo katkat yawati na sio kwenye jukwaaa🎉
@PriestEye
@PriestEye Ай бұрын
pesa mzuri. tafuta ujibambe
@mandelasamson8401
@mandelasamson8401 Ай бұрын
Willy Paul akiona anajifungia ndani kulia
@riazjuma84
@riazjuma84 Ай бұрын
Taubah Taubah Waislamu wama laaniwa Alhumdulilah
@josepheriah5977
@josepheriah5977 Ай бұрын
Raaa yakua msaniii kama mfalme ongera simba wakilisha peekaboo sanaa mbali nilzan davido ongera simba
@OmarAli-po2lx
@OmarAli-po2lx Ай бұрын
It was narrated from `Imran ibn Husayn that the Prophet (peace and blessings of Allah be upon him) said: “I looked into Paradise and I saw that the majority of its people were the poor. And I looked into Hell and I saw that the majority of its people are women.” (Narrated by Al-Bukhari, 3241 and Muslim, 2737)
@dhahabusheikh262
@dhahabusheikh262 Ай бұрын
May Allah protect us all
@omarfadhil7554
@omarfadhil7554 Ай бұрын
Wanawake wa kiislam, wengine wake za watu...waume tumekuwa madayuth
@harunsule32
@harunsule32 Ай бұрын
Inna lillah wainailahi rajiun
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si Ай бұрын
Pengine kwako nyumbani ,au kwenu nyumbani hakuna anayesali ,wooote wanatembea nusu uchi,nk au pengine washirikina ! Na haswaa wewe makombe,zafarani nk kuagua kwa kwenda mbele
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Mtihani huyu shehe ubwabwa na midevu yake anapigaoicha hapo hanaata aibu
@shabanmaulana8594
@shabanmaulana8594 Ай бұрын
​@@MohammedAwadh-gq9si😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Zainab-f9w5x
@Zainab-f9w5x Ай бұрын
Wanawake wa kiisilamu saiz mumekuakaa mbuzi kuna maisha baada ya kufa
@josepheriah5977
@josepheriah5977 Ай бұрын
Simba
@MohamedRaudha
@MohamedRaudha Ай бұрын
Wapumbavu hao wa pedide
@BahatiSaid-e9o
@BahatiSaid-e9o Ай бұрын
Ningekuona wa mana sana izo pesa ulizomlipa d nibola ungejenga msikiti ukapata sawabu😂😂
@babronevance2775
@babronevance2775 Ай бұрын
Umaskin unakusumbua
@aboujanomarion6121
@aboujanomarion6121 Ай бұрын
Pesa za haramu huishia kwenye haramu
@JellyRuba2022
@JellyRuba2022 Ай бұрын
UKOO WA WASAFI YAANI USAFINI 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@methewbuzuruga-eg8oz
@methewbuzuruga-eg8oz Ай бұрын
Ukijumlsha hela za cuf na hii harusi na zile akizofanyiwa vurugu hukohuko kenya atakuwa aeingiza shilingi ngaipi maana sasa hivi diomndi atafuti hela ila hela zinamtafuta diamond alpo tena mabilioni huyu jamaa tumuache kama aivyo yuko mbali sana
@SwabirAttwas
@SwabirAttwas Ай бұрын
Allahu Akbar
@josepheriah5977
@josepheriah5977 Ай бұрын
Rais
@شيخنيف
@شيخنيف Ай бұрын
Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiuun 😢😢😢
@Goshi-ov2wy
@Goshi-ov2wy Ай бұрын
Hata aliyegundua umeme alizikwa kwenye Giza, Leo ndio Namini uwezi mjua mtu Kwa vazi. Ila kumbukeni duniani tunapita tu Na mwenyezi mungu anatuona. Furaha ya Leo kilio na mpofu WA kesho
@Mohammedyasia
@Mohammedyasia Ай бұрын
استغفر الله العظيم واتوب اليه
@Saum-o1w
@Saum-o1w Ай бұрын
Shetani yupo kazini
@halimakiniti1227
@halimakiniti1227 Ай бұрын
Anapendwa sana kenya
@AminaSingombe
@AminaSingombe Ай бұрын
kenyata alisema mombassa na raha zao...nairobi na kenya yao..sasa hatuja fahamu anamaanisha nini
@subirahamudu
@subirahamudu Ай бұрын
Na simba la masimba dangote
@rubenlengai7195
@rubenlengai7195 Ай бұрын
Mombasa warabu wengi sana
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu Ай бұрын
Wapunguzwe au ?😂
@MebakariMwasiye
@MebakariMwasiye Ай бұрын
Waarabu ama wagiriama weupe,waduruma na wadigo?
@KhalfanSalim-v1x
@KhalfanSalim-v1x Ай бұрын
basi iyo harusi angefanyia hotel 5star sio ivyo vibanda vya kilioni 😂😂😂😂 eti billion mbili point mnazijua au mnasema tu
@saidihamisi9285
@saidihamisi9285 Ай бұрын
Azubillahimi naswetwan rajiim
@irshadabuhafsi6585
@irshadabuhafsi6585 Ай бұрын
Inna lillahi wa innaa ilayhi raajiuun dunia imefika mwisho
@muharamimatenga-iw9mj
@muharamimatenga-iw9mj Ай бұрын
tisha sana
@HabibaMohamed-h3n
@HabibaMohamed-h3n Ай бұрын
Sherehe lazima watu wawe fan harusi ni furaha na yy nimtu maharufu
@MarckMasaki
@MarckMasaki Ай бұрын
Uwongo mtupu mashoga bwana😊
@EmmanuelChembe-q2u
@EmmanuelChembe-q2u Ай бұрын
Waliohudhuria hii harusi wote ni wajinga,, ata mm nko mombasa lakini ckupendezwa na jambo ili
@AsiyaAsi-c9n
@AsiyaAsi-c9n Ай бұрын
Kweli hapa hakuna mashekhe 😅😅😅
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Nawakubali saana watu wa Mombasa wana roho tofauti saana tena Saaana huwa nahisi kama vile Ni wa huku
@Ali-gk5mv
@Ali-gk5mv Ай бұрын
sisi niwa moja bro❤❤
@eliasaNgahehwa-l2f
@eliasaNgahehwa-l2f Ай бұрын
Hao ni wabongo kile pande ni chakwetu
@aboujanomarion6121
@aboujanomarion6121 Ай бұрын
Pesa za haramu huishia kwenye haramu Allah hataki unafiki kwenye dini yake hawa ni wanafiki wakiislamu hawana uislamu wowote so waacheni waendelee kupotoka Allah hana haraka nao ila mwishowake ni kaburini tu ..
@meowzna
@meowzna Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@Fumokale
@Fumokale Ай бұрын
Wanawake washenzi ht haya hawana kwani diamondi ni nani hvo....kweti tuko na ujinga
@CityDataScientist
@CityDataScientist Ай бұрын
Billioni 2.3 shollingi ya TZ. Kwa shillingi ya kenya ni 77million.
@astolafisto5660
@astolafisto5660 Ай бұрын
Ni 1 million dollars in Kenya shilings ni 129million na tz ni 2.4billion😢 subhanallah
@goromamussatvonline
@goromamussatvonline Ай бұрын
unajielewa lakini
@salmaali7080
@salmaali7080 Ай бұрын
Astaghfirullah waume wamevaa makanzu wake kwa waume kama walomuon mtume wanavyobabaika ,allah atuongoze kullu jamii islam
@binbenmartin3425
@binbenmartin3425 Ай бұрын
Billioni 2 kwani yeye ndiye anaolewa ???
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc Ай бұрын
Onesmo hapa alipata wakati mgumu kusukuma wa mama wa Mombasa Bwana......hii ni ya waarabu bwana
@woah.africa99
@woah.africa99 Ай бұрын
Hawan uarabu wa kuchovya
@jaffarmagawa3245
@jaffarmagawa3245 Ай бұрын
Sio kitu rahis msanii kama diamond kutumbuiza kwenye harus ko ni lazma kuwe na ushawsh mkubwa wa kumfanya akubal
@KasulaHawazi-k3q
@KasulaHawazi-k3q Ай бұрын
Kasula is typing,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
@AIMEMAS-G
@AIMEMAS-G Ай бұрын
Simbaaa
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Ай бұрын
Kharusi imekuwa show hadiii rahaaa watu wana hela bhanaa
@aboujanomarion6121
@aboujanomarion6121 Ай бұрын
Watu wanapewa hela ili wajinunulie moto wa qiyama ndio kma hivi sasa
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Ай бұрын
@aboujanomarion6121 ALLAAH atupe mwisho mwema
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
ZUCHU na DIAMOND KWENYE BIRTHDAY YA SHILOLE
8:23
Ophoro Tube
Рет қаралды 278 М.
Thousands of Christians Convert to Islam After Humiliating Muslim Boy
17:20
Zuchu - Hujanizidi Feat D Voice (Official Music Video)
4:19
Zuchu
Рет қаралды 1,8 МЛН
Show Nzima ya Diamond Platnumz na Jux  kwenye Tuzo za Trace Rwanda
9:50
TOP 10 MASTAA WALIOPENDEZA MKUTANO MKUU CCM DODOMA 2025
8:15
Foevah Dee..
Рет қаралды 69 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН