Mungu aku zidishiye naku fata tangu Kinshasa, usi choke kwa maana una tu fundisha mengi, mama yangu alikuwa mgojwa sana, linikuwa niki musikilizisha kwenye sikiyo wakati yéyé ni mucristo, amesha pona na ana penda sana uyu shee n'a ana teteya wislam lakini aja slim