R.i.p jilani zira ndo njia yetu sote wala hauko pekeako wengi tutakuja eh mungu mpokee zira na wengine ni sio wafaam walio tangulia na wanao zidi kuja mungu tupokee utu tetee
@rachelkhavere15325 жыл бұрын
Dada be strong mungu anasababu ya hili kutokea. Rip Godzilla rip.
@tambwejules37065 жыл бұрын
Pole sana
@hazelbrown47125 жыл бұрын
Kwanini lakini hamuezi kusubiri Mtu akishazika akishakaa sawa akili ikitulia ndio mumfate na kumuhoji jamani sio Uungwana kabisa munao fanya Waandishi Wa Habari.. munakera wallah
@goodboi98215 жыл бұрын
Only in Tanzania Kenya tuna nidhamu kidogo
@ianeubrey73465 жыл бұрын
R.I.P GODZILLAH,,from dust we came,,to dust we shall return..may Allah restore the happiness to his famil.#kenyanlove
@independentqueentv60685 жыл бұрын
Amen🙇
@TellaaxisTz3 ай бұрын
Daaah❤ hiphop never die
@zulfatothman10515 жыл бұрын
Nyie umauti unaguvu sana msisikie hyo yote kutapa tapa cku yke ilishafika pumzika kwa amani 🙏😢😢
@tatuyussuf75745 жыл бұрын
Nkweli kabisa ....apumzike kwa aman..kwan sote safar yetu ni moja
@mbarikiwambarikiwa39885 жыл бұрын
poleni wafiwa wote Mungu awe faraja yenu kuu
@emmanuelalphaxard92765 жыл бұрын
Jamaa Jirani yangu , aseee kweli dunia tu wapitaji ctokusahau kwa style zako , uvaaji , hasa headphone na pensi bro RIP my bro
@sangoyaniyamati80085 жыл бұрын
Daaaaah hata siamini my legacy is dead salasala still in history.r.I.p bro mungu awape nguvu familiar ya bongo fleva. Na familia yake kwa ujumla
@revelianalphonce81155 жыл бұрын
maisha maisha maisha ni safar isiyo tabirika leo upo kesho haupo hakika hakuna aijuaye kesho yake, tumuombe mungu atujalie ili tumalize safari yetu salama, maana imeandikwa kila nafs itaonja mauti R.I.P ndugu yetu.
@mainatimothy77475 жыл бұрын
Revelian Alphonce Nyakati za kutokwa na roho sakalati mauti hiyo ndio mana alikuwa anahangaika mungu asamehe makosa yake
@elizabethmwandu69375 жыл бұрын
Aiseee poleni sana ndg na jamaa pamoja na watanzania wote kwa kuondokewa na msanii wetu Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P Godzilla
@abelmirwatu5445 жыл бұрын
Okokeni jamani tumpe maisha yetu kwa Mungu wachawi na mashetani ni wengi ktk hii dunia.
@stephenkazimir51745 жыл бұрын
Mashetani wamefanya nn!?
@charleselikana32665 жыл бұрын
Uchawi huu jamani mh!
@mamyally9585 жыл бұрын
Abel Mirwatu uwo sio uchawi hao ni malaika na kumtaarifu kuwa muda wake umefika huwa anawaona yeye tu haoni mtu mwengine yoyote
@joxiahmendez13255 жыл бұрын
Mbona uyu mwenye ksimu pemben anapga pga tu pcha wakat mtu ana huzun!... daaaah waandshi buana!... RIP brother! Umetangulia cc nyuma yako
@derrickmbaku47685 жыл бұрын
Dah! Si vizuri kumkosoa daktari, ila uzembe fulani hivi, kwa kuwa mtu alishaonesha dalili mbaya haikupaswa kumruhusu arudi nyumbani, ila yote tunamuachia mungu.
@dainesskisinda75315 жыл бұрын
nimeamka nakuona katarina Wa karatu kapost rip king zilla sikuelewa nikajikuta nalia tu jmn rip zilla mapenzi ya mungu yametimia
@jordanlatqnell15255 жыл бұрын
Rest in piece my brother king zila daima tutakukumbuka poleni kwa familia mungu awape nguvu
@vivianmbiro68665 жыл бұрын
Yaan
@aboubacarkillo51405 жыл бұрын
Pole sana Dada inauma sana tumiombee gadz alale mahali pema pepon amiin
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Daa dada una moyo wa kiume sana mungu akutie nguvu wakat huu mgumu
@drelizakilili5 жыл бұрын
Pole sana Familia Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi
@mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын
Mungu Amlaze Pema, Poleni sana Ndugu,jamaa na Marafiki.
@abdullahrashid62975 жыл бұрын
Poleni sana, wafiwa na, mmefanana sana na Kaka yako Allah ampe kauli thabit
@mamyally9585 жыл бұрын
abdullah rashid hupaswi kusema kauli thabit coz sio muslim so nakukosoa
@abdullahrashid62975 жыл бұрын
Swadakta nimekubali kabisa asante sana
@mamyally9585 жыл бұрын
abdullah rashid okay ucjali
@mariamangel12645 жыл бұрын
poleni sana familia na mm niko na kilio cha mjomba yngu
@wilkrifurwehabura94245 жыл бұрын
Polee Sana family na tasnia pamoja na wapenzi wote wa mziki
@mumybhay49845 жыл бұрын
madoctor wasingeweza kuirejesha hali yake tena hata wangekuwepo mabingwa wa dunia nzima bac ingekua ndio bac..na hivyo alivyokua anajihic ana kitu kifuani ilikua tyr malaika izrail ameshakaribia kumaliza kuichukua roho yake ...na alikua c waduniani tena.cku zake za kuishi zimeshakwisha...na kila kitu chake kimeshafungwa ..tuombe to mungu nac tulio nyuma yake atupe mwisho mwema.😢
@mamyally9585 жыл бұрын
MUMY BHAY swadakta... hakika siku yako ikifika riski zako zote zinafungwa ilo tulijue
@hammybrown63135 жыл бұрын
Naingia mtandaoni now nakutana na hii news ! Its shocked me wallah rest in peace king zizi DAaaah
@amishadykiswaga10775 жыл бұрын
Polen sana, Mungu awe naye. Amina
@emmolgachristakay47775 жыл бұрын
Wasanii kujiingiza na mikataba ya mapepo na masuala ya kafara imekuwa hatari sana. Mungu atawapa faraja familia yake.
@januarelias39295 жыл бұрын
daaaaaaaahhhhhh in+short tucmkufuru M/Mungu maana kaz yake haina makosa na wala hajawahigi kukoseaga pindi anapoamuaga kufanya kaz yake ila mwsho wa yote REST IN PEACE THE KING ZILA...................
@djsililaog18205 жыл бұрын
Dah! Polen sana wafiwa wote.
@adambathlomew27325 жыл бұрын
Daaah!!poleni
@tumajuma69175 жыл бұрын
Ee Mwenyezi Mungu mpunguzie adhabu ya kabri na umuepushe na adhabu ya moto 🙏🙏
@saumukaisi39965 жыл бұрын
Dada mungu aasaidie awape nguvu ktk kipindi hichi kigumu Allah awalinde sn😭😭😭😭
@eliudwiston42065 жыл бұрын
Daa kifo ni mara moja shida ni kukingfoja....R.I.P GODZILLA
@loniwiz97085 жыл бұрын
RIP zilla mungu akupokea bingwa WA flestail tuta kukumbuka
@mulokozikatanga34305 жыл бұрын
Daaah ndo ivo tena hakuna wakulaumiwa ashakwenda tayari RIP King Zilla
@cymone61595 жыл бұрын
Zilla ulikuwa bora tena wa thaman sana kwa Watanzania leo umekwenda 1day tutaonana paradise! R. I. P brother
@kelvinbenard32485 жыл бұрын
R.I.p Godzilla mungu akulaze Mahali pema peponi ulikuwa kiungo mhm kwny bongo fleva
@sabrinamohamedy10405 жыл бұрын
Duniaa mpito mungu awape subraa
@aminamwangile10475 жыл бұрын
Poleni sana
@sirielypetrombise5195 жыл бұрын
Poleni Sana Jamani
@willywajson73025 жыл бұрын
R.I.P acha like ya Huzuni
@semymussa75595 жыл бұрын
R. I. P
@yusraramadhan82035 жыл бұрын
Poleni sana
@dianaoisso98245 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu family RIP brother,
@Raima-gc9mm5 жыл бұрын
R I P poleni sana mungu awape subra inshaAllah...mbele yake nyuma yetu.
@mbarikiwalazarowatisa20865 жыл бұрын
Hiyo sindazo naziskia sio nzuri na inatakiwa docta awe makini sana.
@jacksonmathayo65105 жыл бұрын
R.i.p brother Mungu akulaze mahala pema peponi Amen
@fainnamvungi43645 жыл бұрын
pole ndugu wa marehemu
@DamondoSumande5 жыл бұрын
Inalilah waina ilahrajiun Ndungu yangu.
@luganomichael68315 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu wafiwa wote...amen!!!
@emanuelelius9905 жыл бұрын
R.I.P brother godzillah wew mbele sisi nyuma
@khadijahomankweliyamjahaya74215 жыл бұрын
Polen sana wana familia mungu awape subra
@josephhenry12745 жыл бұрын
Imani ni kitu bomba,huo ni UCHW R.I.P kaka
@mamyally9585 жыл бұрын
Joseph henry apo hapana uchawi hiyo ni kawaida sio kwakwe tu ukifika mda wako lazima malaika waje wakufuate na kuanza kazi yao so be careful
@josephhenry12745 жыл бұрын
Ananiuma sana kaka Gody kwanini iwe gafla hivi why.......
@blacknature76375 жыл бұрын
Hawa wa media wanaudhi kwakweli mtu bado anauchungu mnamsemesha Sana kwa Farida zenu
@adrianobitaro16815 жыл бұрын
mungu ampokee king zila katika uzima wa milele one day tutakutana R,I,P ZILA
@stephanozibe27405 жыл бұрын
jmn poleni mwaya mungu amlaze mahar pema peponi AMINA
@geofreypaschal39235 жыл бұрын
Rest in power #Freestyle killer #zizi🙏😥
@ibrahnzai92265 жыл бұрын
Where are KENYANS...... RIP mkali wa freestyle. 254
@ugaboy47365 жыл бұрын
Polen saana jamani king zila nilimpenda sana ila mungu mwema kampenda zaid
@dideboymusic99225 жыл бұрын
R.I.P zira nimeumia sana punde tu baada ya kusikia tarifa poleni wanandugu wote mlo guswa na msiba mbele yake nyuma yetu
@nshonabdll93635 жыл бұрын
Daa machoz yananitoka kbs
@bonephasbenjamin48485 жыл бұрын
Maisha mafupi jamani tuombe MUNGU atupe nguvu sote tuna pita MUNGU amlaze mahali pema 🙏🙏🙏😭
@alexanderpius15125 жыл бұрын
Daah! RIP godzilla mungu akulaze mahali pema peponi!!
@geofreypaul95035 жыл бұрын
It pain but I luv u innallillah wainnallillah rajiun
@allexlunny77955 жыл бұрын
R.I.P king zila japo kuwa ilitakiwa afanyiwe vipimo vya kutosha coz kwa maelezo ya uyo dada ugonjwa ulikua serious sana
@shaabanramadhan67705 жыл бұрын
Innaa lillah wainnaa ilayhi raajiuun poleni san wafiwa
@maryamammar14885 жыл бұрын
Inna lillah Wa Inna ilaihi rajiun😭dunia tunapita Tuache madawa ya kulevya😭😭😭
@leilasadick54775 жыл бұрын
Pole Dada mungu AKUPE nguvu
@GamechangerTz5 жыл бұрын
Dada ake Godzilla kajitahid sana kutoa ushirikiano ktk kutoa taarifa ya kifo cha ndugu Golden Mbunda ukizingatia ni kifo cha ghafla tu be honest wengi tumeguswa na kifo cha zilla mungu ilaze roho yake mahala pema peponi
@sabrahmrope59995 жыл бұрын
Ohhhh God.....R.I.P King
@mediking86115 жыл бұрын
Hydrocortisone causes a rise in body glucose, it is not right to administer it to a person with hyperglycemia. The medical personell who attended zillah gave a wrong management. May his soul rest in eternal peace.
@mansnare3755 жыл бұрын
daah poleni sana dada na familia nzima .R.I.P zilla
@nahodakassim34945 жыл бұрын
R.I.P kaka..... inallah wainallah rajiuun....
@maureeningosi1585 жыл бұрын
Poleni familia
@zainabumtubwi2635 жыл бұрын
Kila nafsi itaonja umauti.roho unauma jamani alikua anatapa nasfi chungu.mungu atupe mwisho mwema
@@magorimagori9264 Niliandika Hivyo katika editing nikazingua, ha ha ha ...Thanks buddy
@خسنموس5 жыл бұрын
Poleni Sana kwa familia
@lilianjeremia10245 жыл бұрын
Polen san jmn mungu awatie nguv kwenye wakat huu mgumu rest in paradise 🙏😭😭
@andrewrobert60595 жыл бұрын
r.i.p, zilla !,pole kwa familia.
@albertmichael86755 жыл бұрын
Daaah R I P mwamba mbele yko nyuma yetu,inaumiza sana
@mossesjoel3235 жыл бұрын
Mungu akuweke mahali pema pepon zira
@abdullahsaid65405 жыл бұрын
Poleni na msiba
@kibushikibushi35695 жыл бұрын
Poleni Sana hii nijia yaote
@fatmamasoud62435 жыл бұрын
Kaz ya mungu ainaaa makosaa
@sammyamani13045 жыл бұрын
R .I.p poleni xana qwa msiba ndugu uliowapata na qwako pia zilla nakuombea pepo akhera
@lukakuboy79765 жыл бұрын
R,i,p, zira mungu akulaze pali pema peponi
@jacobsteven26135 жыл бұрын
Maisha ni mafupi ba ndugu okokeni yesu anawapenda
@Verochanel1235 жыл бұрын
poleni Sana jaman dah
@aminahamisi86725 жыл бұрын
Poleni
@browntiger48495 жыл бұрын
Rest in peace star 🌟
@dominickraphael44145 жыл бұрын
Something went wrong between Doctor
@jamesngundateresia26005 жыл бұрын
Kweli kifo hakina hakina hodi Mungu awatie nguvu wafiwa wote
@beatricepaul54445 жыл бұрын
Dah! R.I.P zilla
@mashakamrisho26965 жыл бұрын
Rest easy bro, u'll be missed
@hossanalugongo7425 жыл бұрын
Pole dada jikaze umfariji mama.
@yusuphdeogratius10365 жыл бұрын
r. i. p tutakukumbuka daima
@margarethsolomon98235 жыл бұрын
Jamani, hali ya afya ya huyu kijana alipaswa alazwe hospital, sio kutibiwa na kurudi nyumbani. Maelezo tu yanatosha kuelewa alikuwa na hali mbaya. Malaria sukari, Bp ilitosha kumpumzisha hosp. Haya na kutapika. Madaktari jamani kueni makini kwa afya za watu.
@kherikagya14115 жыл бұрын
kwakweli
@rashidchembaxic68795 жыл бұрын
Innalillah
@michaelminja5 жыл бұрын
Poleni sana R.I.P #Godzilla
@mejubaraza94155 жыл бұрын
Hao watu walikuwa wakimfata uko chumbani ni malaika wamungu poleni sana