HILI NDIO PENZI BORA KUWAHI KUTOKEA | WOTE WANAFURAHA KUMUONA MR RIGHT MPOLE HANDSOME S04E19

  Рет қаралды 56,467

ST BONGO TV

ST BONGO TV

Күн бұрын

►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Пікірлер: 115
@abdulrahmansheriff9469
@abdulrahmansheriff9469 9 күн бұрын
Mimi niko Mombasa, Kenya nimekuwa shabiki wa makala haya. hakika Mary amenivutia kwa matamshi yake, ni mwanamke mwenye busara ambaye anahitajika kuigwa na wanawake wanaofika hapo kutafuta wapenzi. Ningependa baada ya muda Mary na mpenziwe waitwe hapo kueleza wanavyoendelea, nina hakika watafanikiwa maishani
@SalimMwakarani-e4u
@SalimMwakarani-e4u 9 күн бұрын
Hawa Warembo wanahizo Sababu zakitoto mngewaambia waende direct Gym wakatafute Hao Wanaume wanataka wawatongoze hao wenyewe
@PauPaulo-qf3wo
@PauPaulo-qf3wo 6 күн бұрын
Nimecheka baada ya kumuona Zuwena😂😂😂😂
@BERINGAPETRO
@BERINGAPETRO 2 күн бұрын
Zuwena jamn kaja kufurahisha tu 😂😂😂😂...
@EmmanuelLaurent-n4k
@EmmanuelLaurent-n4k 3 күн бұрын
Pia na huko kongo DRC 🇨🇩 tunawapenda wake warembo Ila ruga la kuongea linanisumbua❤❤🎉
@hassanaliamin1104
@hassanaliamin1104 6 күн бұрын
Jaman Mimi ni ni Mr right,,na taka Mrs left agonge like hapa
@ZuhraAlly-l2g
@ZuhraAlly-l2g Күн бұрын
Kwamajina naitwa kareem kwajina linguine {DOGO TTOZI }nimoja kati ya shabikiyenuMm nawapenda wote mnaoshiliki {st bongo tv} napatikana kigamboni
@YusraMshomary
@YusraMshomary 9 күн бұрын
😂😂😂 zuwena wa diamond mwaka Jana alikuwa ni mtazamaji leo ni mshiriki😂😂😂😂
@Stafamuigizaji
@Stafamuigizaji 10 күн бұрын
Nakubali sana hivi vipindi jamani daaaah''' ya Léo ya moto sana natamani kuwepo hapo Pia ww recho
@STBONGOTV
@STBONGOTV 10 күн бұрын
KARIBU
@Stafamuigizaji
@Stafamuigizaji 10 күн бұрын
@STBONGOTV nilikuwa naomba mawasiliano Kaka maana nimejaribu kutuma ujumbe kwenye Gmail yenu ili nipate namba Ila hadi sasa sina jibu
@brightnessphonespack2803
@brightnessphonespack2803 18 сағат бұрын
@@STBONGOTV nikitaka kuja apo kuna vigezo gan
@MssaMssa-t3x
@MssaMssa-t3x 3 күн бұрын
Hao wadada hakuna wanacho kitafuta tofaut nahera😅😅😅😅😅😅
@joycengaiza
@joycengaiza 2 күн бұрын
Aisee kumbe devisi yupoo aloo niseme namukubali sanaa devis
@AishaShaban-e7y
@AishaShaban-e7y Күн бұрын
Hat zuwena oh 😂😂😂😂
@hildakikoti-xq4gd
@hildakikoti-xq4gd 6 күн бұрын
Jamani huyo si zuwena 😅😅😅😅😅au macho yangu
@LucknessPeter
@LucknessPeter 4 күн бұрын
ndo yeye dada
@djanfarmoulay6865
@djanfarmoulay6865 5 күн бұрын
Nauza mafuwa Kwa bei nafuu😢😢😢 tena ni Yale makalii😢😢 Ila naitaji mnunuzi mwenye uhakika 😢😢 8:47
@Thumaommy
@Thumaommy 9 күн бұрын
Jaman niko hoii kwa zuwena😂😂😂😂😂😂😂 kwan huyo mondi hakuoni 😅😅😅
@Kadivaqueen
@Kadivaqueen 6 күн бұрын
Am from kenya carrenty in oman I like the man
@safiunamugen7476
@safiunamugen7476 10 күн бұрын
Lulu na Anna wajua Kali pia nyinyi mnamuelewa sana doctor 😂😂😂
@ZurfatyKhamis
@ZurfatyKhamis 9 күн бұрын
Zuu kama zuwena 😂😂
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 3 күн бұрын
Huu Abdulluzak sijakubaliana nae kuhusu kuchitiwa eti akikuchiti unazidi kumupenda hadi mama yake anashangaa 😝😝😝boya kweli labda ni papaya
@hildakikoti-xq4gd
@hildakikoti-xq4gd 6 күн бұрын
Jamani zuwenaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
@DeniseBahati-f8y
@DeniseBahati-f8y 16 сағат бұрын
Mimi nipo congo ningependa nipate namba ya docta
@japhetjohnson3691
@japhetjohnson3691 9 күн бұрын
Mr Light naona pameanza kuchangamka.. Namuona hadi zuwena anatafuta beib😂😂
@HilaryMushi
@HilaryMushi 9 күн бұрын
Namuona hadi zuwena wa diamond
@SamweliMaduka
@SamweliMaduka 10 күн бұрын
Wa kwanza👌👌👌
@Robbytz-q9m
@Robbytz-q9m 9 күн бұрын
Zuwena nae yumo 😂😂😂
@EmelyneManizana
@EmelyneManizana 9 күн бұрын
Mimi niko Bujumbura,Burundi nimeipenda sana show ya leo 👍❤❤❤
@Godchila03
@Godchila03 5 күн бұрын
Zuwena nitampata wapiiii😅😅😅😅😮
@SamiraseifAlfan-ph4ke
@SamiraseifAlfan-ph4ke 6 күн бұрын
Zingatia msumari kwa ukuta sijui umenielewaa 😂😂😂😂
@shangwefisima54
@shangwefisima54 6 күн бұрын
Saaaaafi❤❤❤❤
@gadafimuemede2985
@gadafimuemede2985 10 күн бұрын
Sucesso para sempre Mc Garab from Moz 🇲🇿🇲🇿
@soltv8268
@soltv8268 9 күн бұрын
Ni Mtabibu sio Mtibabu😂😂
@peaceadams5253
@peaceadams5253 6 күн бұрын
Jamani mary si alisema anapenda vimbirikimo
@VikiMkini
@VikiMkini 4 күн бұрын
Kicheko cha Garab😅😅
@barakagwata4160
@barakagwata4160 5 күн бұрын
Namba ya huyo doctor
@AishaMasoud-r8p
@AishaMasoud-r8p 3 күн бұрын
Hello jaman naomba namba ya shekhe abdul natak anitibie
@JumaMwakimbi
@JumaMwakimbi 7 күн бұрын
msiwachanganye wakiristo na waisilam
@RadhackMaestro_TZ
@RadhackMaestro_TZ 6 күн бұрын
Nilichogundua mimi kwa merry kwasababu amesikia jamaa ana ela Tu
@safiunamugen7476
@safiunamugen7476 10 күн бұрын
Pamoja sana tukiwa Doha Qatar
@SalihaDaudy
@SalihaDaudy 9 күн бұрын
Jamani na mim naweza kujibu ga ?
@jayycee366
@jayycee366 7 күн бұрын
😂 zuwenna Baby 😂
@LukasMabena
@LukasMabena 9 күн бұрын
Hadi zuwena anataka mme
@hildakikoti-xq4gd
@hildakikoti-xq4gd 6 күн бұрын
Devisi ni mganga wa nini Tena🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
@SurprisedMarshmallow-bt7kr
@SurprisedMarshmallow-bt7kr 4 күн бұрын
Hao wanawake hawak siliaz na kuolew hil nalion self kam unahakir zik saw unaangalia mwanaum et anakifua na mda huo unatak kutengenez maish ya bdae uk saw kwel vp ukipat mwanaum mweny sifa unazo zihitaj alaf akaw so pafect so mtu bora kweny maish ya kutengenez family iliy bora
@Linah-j7u
@Linah-j7u 6 күн бұрын
Sasa zuena hapo anatafuta danga au mume wa kumuoa😂😂😂😂😂😂??
@Salma-v7i3u
@Salma-v7i3u 9 күн бұрын
Mpk zuwena wa daimond yupo
@shangwefisima54
@shangwefisima54 6 күн бұрын
Zuwena😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanaliamin1104
@hassanaliamin1104 6 күн бұрын
Nashaur muweke pia Mr right ya online
@BeatriceJackson-j7c
@BeatriceJackson-j7c 7 күн бұрын
Uwiiiiii zuwena ten
@MaryamImrani-y3h
@MaryamImrani-y3h 9 күн бұрын
Jmn naon kumeanz kuchangamk had zuwena anataft mwanaume😅😅😅
@adamapollo9859
@adamapollo9859 6 күн бұрын
@@MaryamImrani-y3h amechoka kichezewa🤣🤣
@AsinaRashid
@AsinaRashid 8 күн бұрын
Zuwena😮😮😮😂😂😂😂
@Zuuh107
@Zuuh107 9 күн бұрын
Kwani sasa hivi hamuwezi kuweka video mpya 😂😂😂😂😂😂
@SalmaKocha
@SalmaKocha 6 күн бұрын
Hao wanaochagua watazeeka hapo😅
@nicasissa
@nicasissa 6 күн бұрын
Mbona umemshindwa Lulu D bwana Mganga
@hassanaliamin1104
@hassanaliamin1104 6 күн бұрын
Hii Mr right inapatikana wapi namimi nije
@rashdabdulazizi4193
@rashdabdulazizi4193 7 күн бұрын
Inamaana akitakiwa anampa anachokitaka kisha anamuacha huo siuzinifu,huyo ni mganga sio ustadhi jamani
@rukiaelisam671
@rukiaelisam671 6 күн бұрын
Mbona kama na mwona zwena jamani
@HappinessSolomon-t5z
@HappinessSolomon-t5z 9 күн бұрын
Haya kamama marry leo naona umepata mr right hya momy hongera
@hildakikoti-xq4gd
@hildakikoti-xq4gd 6 күн бұрын
Garabiii unacheka nini mganga huyoo
@RasooEdward
@RasooEdward 6 күн бұрын
Ila wwe lulu nae n icho kisauti nae
@agnatusbonephace1183
@agnatusbonephace1183 6 күн бұрын
Dactari ana maneno
@bensonjonas1437
@bensonjonas1437 6 күн бұрын
Yaan hadi zuwena yupo? Mko serious kweli nyie? Nani sasa amchukuwe zuwena 😂😂😂😂😂😂
@seifabdulwahid4579
@seifabdulwahid4579 5 күн бұрын
Watu wanatembea na machizi kwani ana nn ht asitakiwee?
@husseinparco9640
@husseinparco9640 7 күн бұрын
Ndio dive wape Hao wamezidi sn
@RACHELFESTO-pt6fv
@RACHELFESTO-pt6fv 9 күн бұрын
Hii n mpya auu
@Zuuh107
@Zuuh107 9 күн бұрын
Za kitambo wanarudia 😂
@RayChausa-g6m
@RayChausa-g6m 9 күн бұрын
Kitambo
@roqayaro9439
@roqayaro9439 9 күн бұрын
WAMEPENDEZANA HAO MRLIGHT
@shangwefisima54
@shangwefisima54 6 күн бұрын
Mbona huyo Abdul ni mwalimu mzuri sasa why yy yalimshinda
@joelyohana194
@joelyohana194 3 күн бұрын
Heeh zuena😂😂😂
@Aljentina
@Aljentina 6 күн бұрын
Au na mm niende nipate bwana
@hassanbilaly-cq1xe
@hassanbilaly-cq1xe 9 күн бұрын
Killer on this one 😅
@noelayoub1352
@noelayoub1352 6 күн бұрын
Nakwambia hwa watu wataish xn ten xn
@jayycee366
@jayycee366 7 күн бұрын
Mwenye namba ya shehe Abdul anirumie ban kuna ex nataka anirudie😢
@LoyceLoyceMwainyekule
@LoyceLoyceMwainyekule 6 күн бұрын
Cheko lake GalaB
@NaimaZedy
@NaimaZedy 5 күн бұрын
eliza alipata mchunba
@VictoriaStephano-h4b
@VictoriaStephano-h4b 6 күн бұрын
Huyo Mary nimesoma nae secondary tabora
@japhetadelard9465
@japhetadelard9465 6 күн бұрын
@@VictoriaStephano-h4b 🤓
@jaybajay9973
@jaybajay9973 9 күн бұрын
Wangapi wameona umakini wa madada juu ya swala la mganga kuunganisha wapenzdzi
@japhetadelard9465
@japhetadelard9465 6 күн бұрын
😂
@mamairene2594
@mamairene2594 8 күн бұрын
Mmmh hadiii zuwenaaa jmn
@davidwilbert-w4x
@davidwilbert-w4x 5 күн бұрын
huyu abdul mganga instagram anatumia jina gani
@mamuwangu25
@mamuwangu25 2 күн бұрын
@sheikh Abdulrazaki
@SusanWangoi-l3r
@SusanWangoi-l3r 9 күн бұрын
Dakitari hameongea ukweli
@dalkenmalonje
@dalkenmalonje 9 күн бұрын
Huiiii 😢 adi Zuwena leo hiiiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Neemahashim12
@Neemahashim12 9 күн бұрын
😂😂😂😂😂nilijua nimeona vibayaaq
@willenmtafungwa1920
@willenmtafungwa1920 6 күн бұрын
Hivi huwa wanapima HIV?
@jacquelinechundu1197
@jacquelinechundu1197 6 күн бұрын
Nawazs mimi na Trump kachange
@marthasonia5005
@marthasonia5005 5 күн бұрын
Hhhhhhhh👏
@bakarikisuda4948
@bakarikisuda4948 6 күн бұрын
Nimegundua sasa hichikipind ni,chakutengenezwa.
@Nema-f5d
@Nema-f5d 6 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@Aju-d5w
@Aju-d5w 6 күн бұрын
We gala b, ivi hatima ya eliza ilikua nini??. Mana ameondoka tu, na kipindi kimepoa 😂
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 9 күн бұрын
Sisi kina d bana sijui tuliumbwaje ni wakorofi lakini ni watu wenye aibu sana😂😂
@techbossbernardo2093
@techbossbernardo2093 9 күн бұрын
huyu mjamaa anakitu ni mtu
@roqayaro9439
@roqayaro9439 9 күн бұрын
USHILIKINA NI HALAMU KTK DINI
@Ladyzeal-y4m
@Ladyzeal-y4m 9 күн бұрын
Mbn kafanana na yule kaka wa jua Kali huyo mganga
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 9 күн бұрын
Ndio yeye
@YusraMshomary
@YusraMshomary 9 күн бұрын
Ndo yeye😂
@joycemarychilemeji806
@joycemarychilemeji806 6 күн бұрын
@@Ladyzeal-y4m ni yeye.
@joycemarychilemeji806
@joycemarychilemeji806 6 күн бұрын
Ni yeye.
@Aljentina
@Aljentina 6 күн бұрын
Ndo yeye tu hajanyoa ndevu
@ReyzDon
@ReyzDon 9 күн бұрын
Mganga anayejua kingereza
@RayChausa-g6m
@RayChausa-g6m 9 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@gracerichard8145
@gracerichard8145 9 күн бұрын
Sasa Davis wangu hizo ndevu hata hazijakupendeza zitoe bana
@FrankworldwideTV
@FrankworldwideTV 9 күн бұрын
He sasa uyo zuwena nae anafanya nn apo
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 6 күн бұрын
we zuwena wewe umefata nn hapo
@joycengaiza
@joycengaiza 2 күн бұрын
Aisee kumbe devisi yupoo aloo niseme namukubali sanaa devis
@hassanaliamin1104
@hassanaliamin1104 6 күн бұрын
Hii Mr right inapatikana wapi namimi nije
@AishaMasoud-r8p
@AishaMasoud-r8p 3 күн бұрын
Hello jaman naomba namba ya shekhe abdul natak anitibie
@mamuwangu25
@mamuwangu25 2 күн бұрын
Mfate IG yake
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
SALUH AKIIMBA SEYA BSS | MAJAJI WAKOSA LA KUSEMA |
5:27
SALUH Tz
Рет қаралды 114 М.
BSS 2024 SE15 EP08 STUDIO 1 | FULL SHOW
1:35:50
BongoStarSearch
Рет қаралды 75 М.
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН