As Burundian, I salute what President Kagame has done, how can Africans unite, if we cant even treat our neighbors fairly, still have tribalism and clan revelry. The rule of law in Rwanda is credible and impressive, I have never felt safer in any other African country before.
@alexmurithi13274 жыл бұрын
The people of Rwanda truly knows what they need. Iñ Africa you cannot make a mistake of replacing such a president with another just for democratic change. This is a rare asset in Africa and Rwandase should give him more years in Office.
@yasinimasimba88295 жыл бұрын
kama huyu mtangazaji unamkubali na unakubali kazi yake gonga like
@hassanwanje73735 жыл бұрын
Namkubal tena sna
@mwitamagesa10345 жыл бұрын
Namkubali mshikaji kinoma
@alphanndimubandi78825 жыл бұрын
Yasini Masimba kabisa
@valentineshirima16285 жыл бұрын
Raisi kagame nimwanaume mwanaueme shupavu kaipigania nchi yakeh hatakae mpinga hanahakili mungu hambariki
@chifupromise95755 жыл бұрын
@@hassanwanje7373 n..
@vailetmduda60855 жыл бұрын
Nampenda Sana Rais Paul Kagame,Kwa kuleta Amani Rwanda hakika, Sasa hivi watu wanaishi pamoja,Kuna mashule mazuri,Nchi safi..Amani hainunuliwi jamani hongera,hongera sana Kagame.Mungu aendelee kukupigania
@yusufally68534 жыл бұрын
Vailet Mduda ...amina
@ngendabamy55494 жыл бұрын
Respect Mr President Kagame,tunakupenda sane
@sarahogama95404 жыл бұрын
@Kungfu Panda but he saved his country from being ruled by white pple ,,,can u try to compare Rwanda wth other African countries there is a big different
@bensonmranga10674 жыл бұрын
Mimi nimefatilia Historia vile unaelezea Bro,Hadi mke wangu ananitetesha juu Hukataa kula chakula cha usiku kwa ajili Ya Hadithi Zako Big up bro🤣🤣🤗
@magdalenarusimbi14384 жыл бұрын
Kagame ni baba wa Taifa hilo. Mungu ambariki sana.
@godfreykimanga86375 жыл бұрын
Mpanazi,umejitaidi kujaribu kueleza histori ya Kagame,lakini acha unafiki wa kuficha ukweli,eleza watu wajue nani alidungua ndege ya Rais Havyarimana.
@godwinimbadame67985 жыл бұрын
itakuwa makala nayo atufanyie
@davidmoshi96034 жыл бұрын
Kagame ndo alitungua tena kabla haijashuka uwanja wa dsm hapo
@davidmoshi96034 жыл бұрын
Kagame ndo alitungua tena kabla haijashuka uwanja wa dsm hapo
@mohameda.i.baranyikwa65515 жыл бұрын
Masha Allah, ndugu Mpagaze ni professional kabisaa; Ananias sauti yako huniosha moyo. Ahsanteni kwa kutupeperushia ukweli halisi kuhusu historia ya Rwanda pasipo na upendeleo. Hakika Mheshimiwa Paul Kagama ni Mzalendo pia Shuja kwa Africa na ulimwengu kwa ujumla. Ndugu Ananias au Mpagaze tafadhali wasilianeni nami kwenye: mzalendo3@gmail.com au whatsApp: +1 587-437-4419
@msodokidewizzy88025 жыл бұрын
Kitabu nataka
@nehemiedesire91885 жыл бұрын
Nice my president 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@mohamedalinureini47244 жыл бұрын
'
@mahonamachela2004 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri Sana wanangu eeeeeee! Tugonge like hapa
@justinenvimbe86174 жыл бұрын
Iyo nimeierewa BBB gapu sana
@justinenvimbe86174 жыл бұрын
Iyo nimeierewa BBB gapu sana
@josephkusekwa73994 жыл бұрын
Kaka Safi sana
@josephkusekwa73994 жыл бұрын
Mtangazaji Mami napenda niwe Kama wewe
@jumarashidijumaramdhan67623 жыл бұрын
@@justinenvimbe8617 umetisha
@elvismapendo39994 жыл бұрын
Félicitations à la personne qui nous rappelle l'histoire de notre pays, bravo 👊piga chance
@jahmanasakwe95304 жыл бұрын
Ni ukwel usio pingika sasa Rwanda ipo vizuri.. Mwanaharakat Rais P kagame kaweka usawa na kuzimisha ukabila sasa tunajiita wanyarwanda.. blessed Kagame Jah protect your.. Amani na upendo vidumu milele Mungu ibarki Afrika ❤️💛💚
@feruzimarijani36444 жыл бұрын
haaa kweri Kaka unatisha
@eddymwalagho3545 жыл бұрын
Kazi sana Kakangu. 🇰🇪 tunasikiliza simulizi zako.
@johnjuda95394 жыл бұрын
mayanga bukelebe that is the new constitution befor rwanda and african country between nyerere and poul kagame in 1992 up 1964
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san ndugu kwa histolia zako nzuri mwenyez MUNGU akuzidishie ubunifu mkubwa zaidi
@patrickmwemezipastory57524 жыл бұрын
Nimekukubali kwa historia
@nasiburashidi77295 жыл бұрын
Napenda Sana stor zako zinanikumbusha mbali japo sijaviona ninapochoka nasikiliza nakunifariji
@dicksonfocus5 жыл бұрын
kazi nzur
@jumamakuri32185 жыл бұрын
Uko sawa kaka! Huna longolongo, una-hit points tu.
@aminajamali99304 жыл бұрын
I
@hajimansab26964 жыл бұрын
@@aminajamali9930 8
@reinampona695 жыл бұрын
Kama kuoga ni usafi taulo lisingechafuka. Uwezi kumrizisha kila mtu.aliofanya kagame anastaili kwanafasi yake .
@mohameda.i.baranyikwa65515 жыл бұрын
A LUTA CONTINUA! Mimi naona Ndugu ANANIAS EDGAR na DENIS MPAGAZE watafute watangazaji wazuri kama wao kutoka kila pembe la Afrika halafu tuwe na Radio/TV enye nguvu kwa Africa nzima; Hivyo tutaachana na Radio/TV za ma beberu ambazo zazidi kuididimiza na kui kejeri Afrika (BBC, VOA, RFI, Sauti ya Ugerumani na kadhalika)
@mbarikiwambarikiwa39885 жыл бұрын
Hongera kwa sauti nzuri
@Ali_Manzu5 жыл бұрын
Hii kali. Asanteni sana Global kwa makala aina hii yanayoendelea kutufunza sisi wanafunzi wa kizazi cha leo kuhusu historia mbalimbali ya Uongozi,viongozi, mataifa, sera na kadhalika. Najifunza mengi kwa sababu yenu.
@hassankisondo97865 жыл бұрын
Nakukubali sana bro na simulizi zako.
@jemahaonga7275 жыл бұрын
Msimulizi unajua kunikosha aisee unajua kuchambua mambo na usimulizi wako unaeleweka thanx hongera
@wanostra1715 жыл бұрын
Nakupenda sana kijana
@linosjohn90205 жыл бұрын
simulizi zako nzuri sana Naomba utupe historia ya dola ya Amerka ( asante)
@bluebeamkennel92665 жыл бұрын
Nami naisubir sana sana
@lutamichael61614 жыл бұрын
Kweli kabisa
@alhajkhatib55975 жыл бұрын
unafaa kua msemaji wa sarikali wewe uko vizuri
@peternichoraus59834 жыл бұрын
Mmmmh serikali gan
@juniorolumu5144 жыл бұрын
Niko sawa
@beesmarttv37925 жыл бұрын
Dahh! ! Bro nakukubal sana kwa hiz story zako hongera sana brother
@lofisikarunga14964 жыл бұрын
Hapo bro umekosea sana,kagame ndiye aliyeiingiza Rwanda machinjoni kwa kumuuwa Raisi AVYARIMANA mhutu na ndipo Wahutu wakakasirika.Wangekuwia baba ungefanyaje kwa wale waliokuuwia?
@therwandannoble20344 жыл бұрын
Lofisi Karunga Wewe fara kabisa. Ati Havyarimana ni baba wa Wahutu ? Uko mjinga saana. Raisi ye yote yule sio baba wa kabila fulani, bali Raisi ni baba wa INCHI.
@karengaalidiano9614 жыл бұрын
Storry nzri kbs mbn kwet hakun ukabila jmn
@eddiezunda10665 жыл бұрын
du wewe ni noma umenifunza mengi ambayo ckuyajua
@mosessamwel11795 жыл бұрын
A good Leader is a leader who create another leader who can create a leader but if he don't then he is not a good leader. Think about if he perished right now whom do you think can leader the country? Think big, Think twice! Good day
@hassanovajunior69725 жыл бұрын
So do you think mr kagame has no replacement in future? Meehn wait and see
@therwandannoble20345 жыл бұрын
Moses Samwel You don't know what you're talking about.
@basskigltd4 жыл бұрын
documentary ya historian nzuri, hongera baba, mungu akulinde kagame, mungu alinde inchii yetu
@irasubizajoseph70204 жыл бұрын
Wa africa wengi niwajinga kwani wanahesabu miaka viongizi wanaongozi nchi kuriko kuona vitendo vizuli vyao. Gdafi aliuawa nawazungu kurokana nakutoshilikiana kwa wa Africa eti ana mariza myaka mingi sana sasahivi tunajuta
@abdiibrahim41914 жыл бұрын
G
@abdiibrahim41914 жыл бұрын
@@irasubizajoseph7020 k
@kachukaimu99874 жыл бұрын
Asante kaka kwa story .. hongera kaka zidisha bidiii 100%
@yohanabalthazary49225 жыл бұрын
Nzuri sana hiyo history
@paulkisatulusana11424 жыл бұрын
Viva kagame
@allygungu71095 жыл бұрын
Pamoja xana, nimekukubali yan
@hemssaidyhenrymusangwa56374 жыл бұрын
U only one guy who knows very well about the world 🗺 history
@arnoldisdory24204 жыл бұрын
Who? that
@johnsamweli38704 жыл бұрын
Ukabila hauna nafasi katika nchi yetu maana ni chanzo cha mgawanyiko asante mungu asante nyerere
@bezzy58294 жыл бұрын
jamaani kilamtu anakipaji chakee kama nawewe unakipaji gonga like nioner
@frankkabebe86244 жыл бұрын
I
@damasmasanja59764 жыл бұрын
Kagame ni Rais wa kweli kabisa HONGERA NA MUNGU AKUBARIKI
@adamkamwakajulius68175 жыл бұрын
Hiko vzr lkn ujaingia ndani.......Habib Anga Ameandika Deep Chozi la Kimbary
@ntagaladismas35114 жыл бұрын
Andika yako kama ulijua iko deep mbona hujaandika?
@yohanamaduhu42895 жыл бұрын
wewe kaka kabira gn umekosea kusema wasukuma wanashidana kupamba baisikel zao wakat wanaongoza nchi
@paulomziray35275 жыл бұрын
Hapo kakosea
@immamanyogote27704 жыл бұрын
Unakwama wap mxukuma gani anaeongoza inchi? ??
@bonjouronlinetv22065 жыл бұрын
story nzuri lakin magazet sasahiv yamekua ya uongo, mpaka kichwa cha habari wanaandika habari tofauti na habari yenyew
@gemkachar5 жыл бұрын
Hongera sana kaka. Mafunzo mazuri. Tusipo jifunza historia yetu tutabaki kuwa wajinga na kurudia makosa ya waliotutangulia. Naomba utuletee simulizi ya Pik Botha na Fredereick De Klerk wa Afrika Kusini , John Garang wa Sudan Kusini , Jomo Kenyatta wa Kenya , King Mswati wa Swazi Land.
@mhengamkweli35525 жыл бұрын
Zanzibar yetu
@amiryhemed90294 жыл бұрын
Kagame nibabu kubwa
@johnnasunga555 жыл бұрын
Mr Edgar thx alot bro tunakufatiria na tutazidi maana ulivyo fafanua hii story ya Rwanda Na operation ya Entebe uko Poa kabisa Big up Bro
@imagepower36415 жыл бұрын
unaweza sana naomba story ya kina juu ya vita ya pili ya dunia
@petermponzi4115 жыл бұрын
Well done
@mosestanzania20965 жыл бұрын
Nakubali kaka
@ribesonara6365 жыл бұрын
God bless you guys
@zachariahezlon12884 жыл бұрын
Ribe Sonara Mimi hapana kabisa
@evansombati35984 жыл бұрын
Napenda vile unasimulia hizi historia bana! Endelea vivyo hivyo. Hongera
@gasparmpangaa83295 жыл бұрын
Hapo sawa maana nirikua sijasikiriza kabisa Nice stor
@Rwanda6005 жыл бұрын
Edgar wewe nimtaraam kabisa unaereza historia kuzidi mwenyeji. Big up ! Imeni motivate kukufuata kira mara ujitowa Habari. 6/5 Big up!
@ezekielihenga72644 жыл бұрын
Itawasaidia Wa Afrika kujitambua kuto kutumiwa na wazungu.
@evamwakaleja69644 жыл бұрын
Hongera sana kijana kwa kipaji cha pekee ulichonacho. Pia tunashukuru kwa stori za mafundisho kwa rika zote, sifa kwake kagame. Sasa kama anafanya vizuri kwanini aondoke madarakani, maana wakimpa mwingine ataharibu na mtajuta milele
@abuuaymankhudhaifa79814 жыл бұрын
Wanangu wa Tabara boyz like mingi.
@abasibogga47985 жыл бұрын
kweli AFRIKA ni moja
@gustavemandela12414 жыл бұрын
Thanks your works are really great
@ngaruchu17305 жыл бұрын
Mungu akulinde na akilinde kipanji chako, napenda uzimulizi wako sana
@bellyjames90355 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Rais wa Rwanda Poul Kagame,Imana uguwe umjisha c'ane
@manswerturasa56864 жыл бұрын
chosi LA kimari.
@osiajeston95554 жыл бұрын
Belly James six
@roosevantlogani68004 жыл бұрын
Waooo
@estheremmanuel32834 жыл бұрын
Amena
@immavox84844 жыл бұрын
Hi
@linkreuben58045 жыл бұрын
Msimuliaji bora kabisa, songa mbele zaidi. Kagame yupo vizuri sana! Mungu ibariki Africa, Ameni!
@yembaonosumba24294 жыл бұрын
Yani uyuko smart sana kagame ameerimika pia ninjanja mwenye amenyoosha inchi imekuwa imezoofika arakini kwasasa ivi iko on Top
@prochesandrea65974 жыл бұрын
Nmeipenda sana brother
@selemanimkonga81505 жыл бұрын
sijawai kuacha kusikiliza story zako😉😉
@aureliaboniphace21194 жыл бұрын
Ukopoa sanaaaa
@Ivugangingo5 жыл бұрын
Rwanda to the world!
@nguyumohamednguyu47394 жыл бұрын
Ivugangingo Tv rayivavi
@nguyumohamednguyu47394 жыл бұрын
Raivani
@gasanamugaga76004 жыл бұрын
Asnte sana kagame ni shujaa kbs
@reggiekamau98653 жыл бұрын
Excellent narrator keep up
@cizandayishimiye16964 жыл бұрын
Mtangazaji nakukubali kila mara kwa kweli from @essianmuscles
@johniklend3014 жыл бұрын
good stori
@victoriniriziki42364 жыл бұрын
Kwa nini utumie maneno "mlnzi wa kimasai?" Huoni kwamba unafikiri Walinzi wote ni Eamasai?
@ngoympekotv31144 жыл бұрын
Victorini Riziki Asante
@juliusjohnson26054 жыл бұрын
Tunashukuru Sana kwa ujumbe wako mzurii
@nestanarcisserutagengwa34705 жыл бұрын
Namushkuru sana huu mtangazaji, yaan umejitahid kusoma magazeti, vitabu na ku watch documentaries kuhusu history ya Rwanda, hongera sana kaka. Ila kuna tu tofauti tudogo tu. So tembelea Rwanda sasa uoni machini mwako kinachoendelea on the ground. Ukija uni check tuzungmuze na tupeane mambo bhana. Ahsante
@ngulithemanhimself94105 жыл бұрын
Asante
@babubomba88685 жыл бұрын
Hongera sana uko vizuri sana Nitafutie historia full ya Rwanda
@yasinisaidi744 жыл бұрын
Bakari bakari gambagamba Rwanda
@saidichelsea41155 жыл бұрын
Uyo ni baba wa taifa ya rwanda ana jenga ichi hakuna ujinga kbs
@chrismedard92975 жыл бұрын
Asante Kwa story nzuri.. Nilizaliwa huko🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@kaisileinocent19795 жыл бұрын
Aaa, huko ndo kwetu
@abdurabiykhamis424 жыл бұрын
Si kazi rahisi nakuomba bro sukuma gurudumu ili tusonge mbele kuhusu historian yet ya Africa mungu atakusaidia kwa hili aamin %
@graceantony62723 жыл бұрын
Clobal mnatisha kwa misemo na kuelimisha kitu kwa umakini hongereni mwatisha mbaya sio kwel watzamaji wenzangu
@raiswamaraishalisi84265 жыл бұрын
God bless
@mohamedbakari39794 жыл бұрын
Rais wamarais halisi .
@edgagarvis51594 жыл бұрын
Uko sawa wajina history zako nazikubar kinoma noma
@platnumtanya28805 жыл бұрын
naitaji kitabu plz
@ibrahimkanuma68964 жыл бұрын
p1 kaka kwakusimria historia ya Rwanda mungu akubariki
@abdulaziz7035 жыл бұрын
Hapo kwenye 'Good for Nothing' umenifanya nifikirie zaidi. Ila ahsante kwa historia Denis pamoja na Ananius.
@karihungufred62384 жыл бұрын
Asante sana brother paul kagame Angali nafanye kazi mingi tena nzuri kbs
@nehemiedesire91885 жыл бұрын
Tutafutiye historiya ya Watusi wa Congo banyamurenge
@jaquelineirakoze7584 жыл бұрын
Umeonaee👌👌👌
@josej98885 жыл бұрын
Daaha!! Ukabila, Ahsante sana mwl.Nyerere kwa kutuepusha na ukabira, Rest in pease.
@rosemarycharles64775 жыл бұрын
Nyarwanda wote pendaneni acheni ushenzi wenu wa kubaguana kuweni wamoja
@andrewmatuta31925 жыл бұрын
Kagame safi
@alfredadriano45664 жыл бұрын
Well done kagame
@immanuelswai66794 жыл бұрын
Nani kakwambia nyerere aliondowa ukabilaa!!
@darkstar23264 жыл бұрын
Hiyo ni rest in peace Au rest in please ......dooo kwel tamaduni zisizotuhusu nouma sana
@robertmasatu84235 жыл бұрын
Asante Mwl, wangu Mpagaze
@jamesmayunga58025 жыл бұрын
ROBERT MASATU niteacher?
@mahamudali14534 жыл бұрын
Hasante kwa faseha ya kiswahili
@angelinocavimbeag25775 ай бұрын
make a documentation in Portuguese
@josephatkashendwa11774 жыл бұрын
Bro I like your notation that stats "Dont play for nothing" As Africans do big, up my young brother from another mother.
@patrickmfundili33924 жыл бұрын
Noma
@ramadhanamida90884 жыл бұрын
🙏🙏🏽
@charleslwabi49814 жыл бұрын
L}
@harunimfaume62805 жыл бұрын
mtangazi uko vizur saana historia inaenda powa zaid
@rwegasilamwijage91164 жыл бұрын
Kaka upo powa mpaka sio powa wengi tunapata mengi kupitia ww
@gegerenne8972 жыл бұрын
Asante ndugu,kwa kuongelea story yetuu.ubarikiwe
@juliustweve48705 жыл бұрын
Ukitaka kuielewa hii story,andika chozi la kimbary rwanda,ndio utaielewa vizuri
@patricalton39405 жыл бұрын
Ndio,yule Dullah alielezea kwa kirefu sana
@rashidhassankadege14555 жыл бұрын
Patric Alton dula katumia zaidi ya dakika 100 kulielezea chozi LA kimbali noma sana
@idrissamussa65295 жыл бұрын
Yes,yule jamaa wa IKUMBUKWE TV ameielezea kwa undani sana jamaa big up kwake..
@sabasimwete31394 жыл бұрын
Sawa nakutakia jmanne njema kagame wewe chapa kazi
@sabasimwete31394 жыл бұрын
By sabasi mwete Kama ww ungekuwa kagame ungefanyeje?.
@PeterPeter-qq2oj5 жыл бұрын
Ongera broo edga
@jeaninewalda4934 жыл бұрын
Asante kwa history ya Rwanda an Burundi
@rachellebahati75125 жыл бұрын
nakupenda bure mtangazaji
@eliakimandaye68464 жыл бұрын
Sawa kabisa
@emmanuelmongela47875 жыл бұрын
Hii stori imenifanya nilie maana Hadi Leo nakumbuka ndugu zangu
@neemalkiswaga61265 жыл бұрын
Pole
@denismsigwa47604 жыл бұрын
Emmanuel Mongela pole sana ndugu
@evancekimalando77694 жыл бұрын
Wewe unatujuza mambo makuu mno.keep it up na Mungu akubariki na kukulinda.
@allainnzbnt27644 жыл бұрын
Asante baba,chapa tuu wala usijali malipo,tiyari umekua mwalimu,hata kama hu lipwi lakini atakuja mtu mwenye kuelewa na ata kupa zawadi ndio Africa yetu ha tuesabu mema, ni mabaya tuuu mimi badoo ni kijana mdogo lakini kuna yale ambayo nifaidika kutoka kwako na kushukuru sana,basi nakama hupati comnts usijala maana ni wachache wanao jali hathisi za akili....pole kwetu wa Afrika yaani weusi....
@MosesChege4 жыл бұрын
Do one on chuck. The billionaire who wasn't
@MosesChege4 жыл бұрын
Chuck feeney
@joe_nkwabi4 жыл бұрын
Hongera sana kaka. Kwa historia hii. Naomba utuandalie ya Jonas Savimbi
@mohamedmohamed6145 жыл бұрын
Kagame ataendelea kubaki juu viva rwanda long life kagame;ila ukitaka kujua asiili ya watutsi ingia Google ndio utapata ukweli
@therwandannoble20345 жыл бұрын
Joe mashariah Wewe una kichaa
@liberatuthandrew62575 жыл бұрын
Apoa saw a sasa
@dannymussae8904 жыл бұрын
Siyo kuunganisha wanyarwanda wote kbs. Kuua munyarwanda yote ambaye hakubariane nae kwa mabaya yake ya Kuua watu na corruption wote wa opposition wenye HAWASIKIE MABAYA YA RPF. WAKISEMA KUUNGANISHA WANYARWANDA NIKUSEMA KWAMBA ATAUA PAKA PANABAKI WENYE WATAKUBALI KUA WA PUNDA WA RPF. NJO KUUNGANISHA WANYARWANDA
@mwitimunene23445 жыл бұрын
Edgar. ..msimulizi hodari. .sauti nzuri yenye mvuto
@ramadhancharles65174 жыл бұрын
hivi huyo mtangaz anaitw nan
@amaninjau76904 жыл бұрын
Duuu kagamee
@jamesmwita17584 жыл бұрын
mwiti munene
@jamesmwita17584 жыл бұрын
mwiti munene
@franckkangeta82954 жыл бұрын
Haujui historia ya Rwanda kaka
@richardjamesoneboyglobal75714 жыл бұрын
Thanks man for the great history
@hizamwaimu76345 жыл бұрын
Nakukubari sana japo nimechelew
@bazirherman59065 жыл бұрын
Haswaaaa
@richardnyeura30155 жыл бұрын
Kitabu nakipata vp
@gregolimussa43454 жыл бұрын
RICHARD NYEURA
@godfreychristian71964 жыл бұрын
Asante Sana kazi nzuri Sana naomba ufanye na za mataifa mengine mengi hatuyajui