Рет қаралды 13,347
#Final#Nyarugusu#Camp
Mechi imepigwa YOKOHAMA STADIUM tarehe 30/01/2022 na kuleta ubishi kwenye upigaji penalty baada ya kibendera kuinua kitambaa kwamba Goalkeeper wa Miracle ameibia kudaka pena ya 04 upande wa BILÙMBE.
Mtangange huu ulipigwa tarehe 30/01/2022 kwenye uwanja wa Yokohama kati ya BILÙMBE na MIRACLE FC, ila Dkk 90 walitoka sare ya bila kufungana, ilipofika mikwaju ya penalty huku wakiwa 2-1 Miracle akiwa na advance, mchezaji wa wa 04 akapiga penalty huku Goalkeeper wa Miracle akadaka, hapo hapo kibendera akainuwa kitambaa kwamba amedaka kimakosa kwa kucha mstari nyuma, ikabidi hiyo penalty irudiliwe ndipo miamba ya Muracle ilipo lala kwenye mrago na kusema aiwezekani, lakini mwisho wa siku kishika kibendera tena akageuza usemi kwamba amepandisha kibendera kwa kuhofia usalama wake eti amekokotwa nyuma jambo ambalo si kweli kabisa, ndipo MIRACLE ikapewa Kombe maana walikuwa na advance ya goal moja, maan baada ya kibendera kubadili usemi marefari wajageuza kauli kwamba G.keeper wa BILÙMBE arudi golini, ndip BILÙMBE nao waka kataa kbs kwamba aiwezekan na siyo sheria.