Yaani hapa ingekuwa sherehe ya ufunguzi wa kiwanda ningefurahi sana.
@saidmacho74364 жыл бұрын
Mie naendelea kusema mungu akikunyima KUFIKIRI ndio basi tena
@saidmj92136 жыл бұрын
Nimefanya uchunguzi ktk elimu ,kiukweli hata mtoto wa mwenyekiti wa serikali ya mtaa hasomi ktk shule zetu wavujajasho,Jamani tumuogope alietuumba ,always what comes around goes around, hebu wanasiasa kuweni na huruma Mimi siwezisema eti wapinzani hawafai au wanafaa ila naeakosoa nyinyi mliopo madarakanu,tumuogope alietuumba,tukumbuke kuwa kuna adhabu pia kuna maisha baada ya kifo,Mimi naemdelea kusisitiza ,Elimu,Afya, na chakula,elimu ya nchi yetu haimfanti mtanzania kuwa wa kujitegemea Bali anakuwa tegemezi,Hapa nnapokaa hata ambulance hakuna ,kijiji kwa kukadiria kimeanzishwa tangu 1974 ,huduma ya maji ni mbovu japo yamefika lakini kwa sababu za kisiasa yamezuiliwa,Sometimes natamani tusingeongozwa na wanasiasa,afadhali tuongizwe na jesh tujue moja, hebu wanasiasa muogopeni mungu, yaani sikuizi hata upendo umepotea ccm akimuona mpinzani anamuona kama sio mtanzania na mpinzani akimuona ccm anamyona kama adui,jamani tumefika wapi Watanzania wale tuliokua tukiombana maji na kufanya undugu wa kuchanjia ,mtoto anamaliza kidato cha sita bado anakuwa hana ulewa ,au anamaliza chuo hajui afanye nini,hapa huwa nawapa changamoto vijana kwa kuongeanao kingereza kiukweli hakuna kitu,wakati kingereza its a business language, mkitaka hivyo fanyeni kiswahili iwe lugha ya kufundishia Tanzania nzima,swala la chakula ni ktk kilimo watu wanalima hivyo sio kwa tija watu waelimishwe ,wajue kulima kibiashara
@mutalemwamkimea82056 жыл бұрын
Hizi ni bongo siasa movie.
@faymzalendo17286 жыл бұрын
Haya sasa chadema semeni yenu na yeye kanunuliwa?
@doramsuya51356 жыл бұрын
Ukiona hivyo ujue hana uraia😂😂😂😂😂😂😂
@jayjay43136 жыл бұрын
Dora Msuya 🤣🤣🤣
@bjzee19816 жыл бұрын
Sijui na mimi ni hame?
@saidmj92136 жыл бұрын
Sijakuelewa
@gilbertalex16516 жыл бұрын
Haaah Safi sana
@queenroger86 жыл бұрын
na bado mpaka wanyooooke safii baba mbele kwa mbele ccm
@reginaemmanuel82336 жыл бұрын
ccm oyeeeeeeeeeeee!!!!
@queenroger86 жыл бұрын
oyeeeeeeeeee,ccm mbele kwa mbele na tinga tinga wetu hapa kazi tu ,
Hospital Dawa hakuna,elimu ,elimu,dhaifu,Mimi Rais angeacha kujenga flaying over akaboresha elimu na afya hapo nami ningemuunga mkono lakini huduma za afya kiukweli ni mbovu,sio kwamba simpendi Rais ila ukweli ndio huo nipo mikese morogoro ,sio Mara mmoja au zaidi nampeleka mwanangu ktk zahanati anashindwa kupewa hata panadol,swala la elimu bado ni hovyo Serikali we don't need maneno we need actions, wajua mfumo wa wagawanye mpate kuwatawala CCM hapo ndipo mnapo washinda wapinzani pia ndipo mnapotufanya tuone maisha magumu kwa kutunyima elimu,,mfano elimu mmetugawanya hivi;mtoto kuanzia darasa la awali mpaka darasa la saba lugha anayoitumia ktk masomo ni kiswahili lugha yetu maskini kama sisiwenye lugha hii,akifika kidato cha kwanza mnawagawanya kwa kutumia mabadiliko ya lugaha kutoka kiswahili kuja kingereza,hivi mtoto gani atakae elewa kwa urahisi lugha ambayo hakukuanayo,ndio hapo wanasoma bora liende,