Come party in NaxVegas, county #032 this 31st of December 2019 as we usher in the new decade!!
Пікірлер: 3
@dynamicvisionstudios5 жыл бұрын
Tupatane uko Ntakununulia Mzinga ya Red Label Vivian
@shilingiph19035 жыл бұрын
Avril mim ni shabiki yako no moja kutoka Tanzania kiukweli dada yangu ngoja nikushauli kitu ukimya wako huo kwenye game LA mziki nitatizo kubwa sana kwan unapoteza mashabiki ata umakini kwako unapotea kutokana nakwamba hawakusikii jitahid ufanye comeback ya nguvu angalia mi nimtanzania lakini nakufahamu zaidi ngoma zako zote nazijua top zangu kwako ni 1kitu kimoja 2 nikimuona 3hakuna yule 4hallow baby I see Fanya comeback please alafu ngoma unazo takiwa kufanya hakikisha kuwa itasikika na Kila mtu wa east Africa na Africa kwa ujumla I'm done sorry kama nimekuboa sikuku njema na mwaka mpya