Fuatilia Mwanzo TV Plus SUBSCRIBE KZbin Channel yetu Follow us on X, Facebook and Instagram
Пікірлер: 52
@jovankishamba9424Ай бұрын
Asante sana mawakili wote wa Tanganyika mmetuheshimisha wa Tanzania.Nakuona mheshimiwa Wakili Amin Mshana nakuona hapo.
@SwaleheKudisaАй бұрын
❤mungu ana kusudi na were kaka yangu Allah akuogoze na aendelee kukupa hekima na busara ktk maisha yako na shughuli zako INSHAALAH.
@user-lx9th4st4lАй бұрын
Hongera sana Rais wa Tanganyika
@petermahimbo3458Ай бұрын
Kazi nzuri,Mungu akuongoze katika uwakilishi wa haki na umoja.
@daudisalum9574Ай бұрын
Hongera sana mh mwabukusi mungu mwema
@onesmokinde8854Ай бұрын
Mungu akupiganie B. Mwabukusi muipiganie nchi yetu kupitia jukwaa Hilo be blessed
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
🙏 🙏
@mchungajimpigauzitv5703Ай бұрын
Naamin Kwa sehemu nchi yetu itanemeka Maana nchi hii hawajatokea wazalendo hiinch nitajili sana ila watu sahihi nishida
@benedictmrisho1800Ай бұрын
Mwamko wa Watanzania kuhusu TLS mkubwa ni deni kubwa kwa TLS. Maneno ya busara sasa msituangushe Watanzania tuende pamoja kujenga nchi ya haki, haki haki.
@paulremigiuspaul3293Ай бұрын
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
@wemakyagunya1895Ай бұрын
Nakufatilia kwa karibu sana my Brother President TLS Boniphace Mwabukusi.
@wemakyagunya1895Ай бұрын
Main point mh.president unashuka nondo za kujenga Chama chenu Cha mawakili hakika 💯 umefiti katika nafasi hiyo.
@AnteloSangaАй бұрын
Asante sana nakuombea kwa mungu akulinde kwa yote
@bishopjacobomwaigagaАй бұрын
Hongera sana wakili mwezetu Japo Mimi Sikufuka Niko safari Ila Nimewaombea Kwa MUNGU Hongera Sana mhe MWABUKUSI HONGERA TENA
@dayanikitambi2085Ай бұрын
Hongera sana mwambugusi kasimamie Sheria baba tunakuamini
@user-lq8mi3zz2cАй бұрын
Hongera Wakili Mwabukusi Mungu akutunze ktk Utendaji wako
@mburuumbe5659Ай бұрын
Hongera sana rais mwabukusi binafsi sio mwanasheria lakini nimefurahi uamuzi wa mawakili nakuombea upate mbinu ya kutupa katiba mpya
@user-yh3dv2bl7uАй бұрын
Hongera Mwabukus kwakuchaguliwa najua mungu anajibu maombi yetu kidogo kidogo ubarkiwe huo nmwamga wanchi yetu kwenda kukombelewa na mabepar wanao nyanyasa raia wake maisha magum mali zanch zinauzwa ovyoovyo .mtutete
@jamuhurisalumu3514Ай бұрын
Hongera sana
@malkavoice2570Ай бұрын
Kwanini tusimpe UrAisi na wa nchi mbona anaweza,misingi yote ya uongozi anawazidi maraisi wa ccm wote watatu hadi wajao wote
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Mungu awe nawe wabaya wazimika kama mshuma
@mzambulileoАй бұрын
mungu akubariki bro
@asungwilemwaifungapenginei2385Ай бұрын
Tumekusikia, tumekuelewa, tumekuamini sasa tunataka mrejesho kwa vitendo vinavyotafsiri haya uliyosema🎉
@ponsianomnyaru9140Ай бұрын
Nenda ngorongoro mheshimiwa mwabukus watu wanaonewa sana mwabukus nenda tafadhal nenda nenda nenda
@babuumaeda7671Ай бұрын
❤❤❤ nakukubal Before Pres,,, TLS 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SayimcheleSayimche-mq5wvАй бұрын
Hogera kubwa sana Rais
@walterngowi5835Ай бұрын
Jameni anzeni kuwapigania Wamaasai wapate haki yao ya kuchagua viongozi wa nchi kama raia halali wa nchi yao 😎😎
@paulmathias6328Ай бұрын
Section 4
@user-qz2cs5wm5uАй бұрын
Mungu amewalani maadui ongela Ila kuwamakini Lissu alipochaguliwa akuchukua mda akashambuliwa na maadui nawemungu akulinde
@almasisalehe8164Ай бұрын
Hongereni sana TLS. Hii hotuba imefufua matumaini ya haki na amani kwa wote.
@saimonmlay4295Ай бұрын
section 4
@paulremigiuspaul3293Ай бұрын
Stay blessed Mkuu
@pueblo148Ай бұрын
Viva mwabukusi
@user-fx3xj3on5jАй бұрын
Mweshimiwa Rais Naomba TLS lianze na wamasai wanaoondolewa na watawala katika Ardhi yao.
@philipongenzatvАй бұрын
Mmulinde jamani wastokeee kumdhuru uendapo na uludipo kuwa care Sasa ivi chagua nasememu mhimu
@HeriMohamedi-re7xuАй бұрын
Tunamtaka n'a Rais watanganyika kbb kizimkazi hawataki wamasai halafu hivi CCM huku Tanganyika ilikujaje Tanganyika hayo mapinduzi yalifanyika wapi wakati Tanganyika tuliopata uhuru bila kumwaga damu
@DavidDanken-uf7kpАй бұрын
Defender
@user-qz2cs5wm5uАй бұрын
Kunamijitu aikupenda kabisa
@richardnganya2311Ай бұрын
Hususan chawa wa wale wanaopinga haki.
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
Mungu ametenda, Amen 🙏
@philipongenzatvАй бұрын
Kiu imeisha Baba mwabukusi mtu wamaana
@boscomfundo7953Ай бұрын
Mwamba Mwabukusi
@jacksonsilaa415Ай бұрын
Wewe ni mwamba
@jovinbikongoro3469Ай бұрын
Nakpa 5 naukubar sana mwabukus
@youngsachafurniture5482Ай бұрын
Ukizungumzia huyu mtu anaependwa huyu yumo
@WamisangiАй бұрын
Dunia ya digitali haikuona tatizo la bundi na ngedere wa sgr mbele yake.
@samwelangulile9668Ай бұрын
Tulishe Gombo kaka tusimame imaraa
@user-vv4wo5fu9tАй бұрын
WEWE NDIO RAIS WA MAWAKILI WOTE TANZANIA JARIBU KUZUNGUMZA LUGHA YETU YA KISWAHILI SIO UTULETEE LUGHA YA KITUMWA YANI LUGHA YA WATU WENGINE UKOME KUTULETEA LUGHA YA KITUMWA ...ACHA UPUMBAVU WAKO WEWE RAIS MWABUKUSI
@ponsianomnyaru9140Ай бұрын
Nenda nenda nenda
@danielkusongwa3981Ай бұрын
Kumetimbika tayari
@SadockChessaАй бұрын
Huyo mtambo aliyejitoa maisha juu ya Bandari zilizouuziwa waarabu wa Omani