hii sauti ndio inafaa kuwa default voice kwenye Kila habari
@Babyzay178Ай бұрын
Trump anaweza shinda Uraisi tena ooooh 😅👏
@EmmanuelSima-qz1gdАй бұрын
Natabasam tu hata sjui anaongea nn😂😂
@FatumaMuyaАй бұрын
😂😂😂
@daslamonline4665Ай бұрын
Bora umejisemea ukweli wako
@vibetz9991Ай бұрын
Wenye HeLa wanaishi na vizazi vyao sita,, wanazaa mapemaaa
@boscow9380Ай бұрын
Sauti ya kai iwekwe kwenye GPS zote ❤
@Shafikimanga7Ай бұрын
Hilo tukio limeongeza wigo mpana wa familia na marafiki kisaidia kampeni zake na kutikana na kuchangiwa kwa wengi wenye umri tofauti tofauti kunazidi kushawishi rika hizo kumpenda na kumchagua trump,
@hamoudcreator6343Ай бұрын
Hawa Jamaa, Me Siku Hizi nawaonaga kama Mazombi, Sijui Kwanini...
@starfocus-9Ай бұрын
Hunizidi mimi kwl unajua tangu nianze kufatilia sns kuna kachuki fulani hivi ninako kbxa
@brytonstwange6833Ай бұрын
Wezii
@allyngitu4584Ай бұрын
Good
@Adamson-kz2pnАй бұрын
Weka matangazo yanayoeleweka kaka ..utatupoteza ilo la safari ya mama abduli litatupoteza 😂😂 go cuba kwa maelezo zaidi
@kafitiwilliam8358Ай бұрын
Safi story nzuri
@onesmomasala-rg2wdАй бұрын
Uko sawa mjukuu trump
@MsAggie5Ай бұрын
Anaongea kwa confidence hadi raha, kweli media ndizo zinafanya watu wamuone Trump aonekane mbaya.
@davidndayizeye1207Ай бұрын
Vipi kuhusu hutuba ya vivek ??
@AFRICA_D669Ай бұрын
Watu wenye maisha yao, mzungu ni mzungu tu hawa watu walituchuma kweli kweli dadeq africa pumbavu
@malongoisack5811Ай бұрын
mpaka sasa hivi wanatuchuma tena sasa hivi wanachuma vingi kuliko mwanzo
@AFRICA_D669Ай бұрын
@@malongoisack5811 yeah asa tunapigwa parefu kwel kwel, ukoloni mambo Leo
@leonarddamianАй бұрын
The media makes my grandpa seem like a different person,but I know him for who he's.He is very caring and loving he truly want the best for this country and he will fight every single day to make America great again.
@JohnCage-we6tpАй бұрын
Sem dogo mzuri htr natamn nimtumie dm huyuu tumlete tz😂😂😂
@hurumajosephat6333Ай бұрын
Kai ni mwafrika au
@NeemaSamson-ti8pcАй бұрын
Nahisi wazazi wake hasa baba yake ni muafrica maana ana uafrica kwa mbali
@paschalfausitine7108Ай бұрын
Trump kashakuwa RAIS wa marekani tusubili kuwapishwa
@mwenebatuetabo5515Ай бұрын
Mmh jamani kuwa mjukuu wa trump utapewa kendi tu we kai hacha kutuweka kitambaa machoni, kwahiyo utuba tu babu yako alikupa gari la Tesla yenye samani 100 000$
@swazi-bmzwabusarawysd8083Ай бұрын
Alie na number yake Ailete chap malkaida tufanye kazi yetu
@comics3437Ай бұрын
Trump anabeba kombe
@jacksonngusi4122Ай бұрын
Habar hizi nnazipenda zinaonesha wazi mwelekeo wa nchi kubwa Duniani