Whatsapp group la house girl fans 👇👇 chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl
@JacklineMazonge3 ай бұрын
Tunaochukizwa na matendo ya candy weka like hapa
@Mwashashaali3 ай бұрын
Ucjal
@maryammaryam73543 ай бұрын
Yaan Ile siku dawa zitaisha atajutia😂
@Mjamdaa3 ай бұрын
Nachukia kwa vitendo vyake
@Bakr_salim3 ай бұрын
Haki ya Mungu
@MaryPendo-gy4yr3 ай бұрын
Alafu ubaya zaidi Kai haelewi
@MariamRashidi-n7u3 ай бұрын
Jamani wanani wako tiyari kusubiri namba 27 tujuwane kbs 😂😂😂
@merryelias24033 ай бұрын
Mimi jamani
@MariamRashidi-n7u3 ай бұрын
@@merryelias2403 kwel usijali wataileta karibuni
@MadamOrida3 ай бұрын
Tunao kelwa na matendo😢ya kendy naomba weka like hapa
@busatitv3 ай бұрын
😭😭
@Asma-hn1jk3 ай бұрын
Hongern sana guys but mungekua munayuletea ata vipart viwili man movie nzuri ata sitamn iwe inaish haraka😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@IteritekakellyKelly3 ай бұрын
Jaman wanawotak km da zuu atarud kweny hariyake yakawaida wek like hap 😢😢😢
@esterkimalio88463 ай бұрын
Kai kweli umelogwa ukalogeka looh,,,candy unadhambi kubwa sana aiseee😢😢😢😢
@busatitv3 ай бұрын
😭😭
@esterkimalio88463 ай бұрын
@@busatitv pole bhana usilie ndio maisha😂😂😂
@mwalisuleih11643 ай бұрын
😢😢😢😢Atayalipia maumvu candy 😢😢😢😢
@MeMere-u1y3 ай бұрын
Candy Siku zamwiz ni Albain daw Yako inachemuka 😢😢
@GladysKarembo3 ай бұрын
Kendi,Hiyo ni iwe ni ku act tuu bt isiwe ndivyo ulivyo katika maisha yako halisi,Maana duuh una roho mbaya kwa kweli.
@lubazumaduhuАй бұрын
lakin mtu hawez ect kitu ambacho si huruka yake
@leahnyaguthie41753 ай бұрын
wakwanza leo like za kenya pamoja na team strong
@MbethiKomu2 ай бұрын
Anna Giza CBB material
@floramacheva58553 ай бұрын
Kweli 😢😢 Kai umekorokwa akili vilivyo....ila candy, sijui siku dawa itaisha nguvu utakuwa rafiki wa nani....
@mwalisuleih11643 ай бұрын
Atauramba mkavuu nayy barabarni huko tutamuona tuu 😂😂😂😂😂😂😂
@user-Ambani3 ай бұрын
Ata rafiki yake ashamruka😂
@JumaaCharo-t6w3 ай бұрын
Kai anaharibu utamu wa movie hayo mafunzo yahii movie ilikua inakuja vizuri ila ep 25 nahii Kai waaaah Ila Acha tuone mwisho😂😂😂😂 nawafatilia nikiwa kenya❤
@نيجي-ن1د3 ай бұрын
Ishaanza tutuboo kabisa kwani movie nyingi siku hizi lazma kuingizwe tu ushirikina
@DivineIngabire-lj3sr3 ай бұрын
Kai nilikua nakupenda lakini leo nimekucukia kabisa umeniumiza jamani
@FatmaSharif-mp1cm3 ай бұрын
Hata me nimemchukia🥺🥺
@mwantimeally85213 ай бұрын
Wamwisho kilasiku nipen bas like za kuchelewa😅
@RobyWerema3 ай бұрын
Tangu nianze kwangailia Leo ndo nimewai jamn mniulumieko mnipe likes
@busatitv3 ай бұрын
Nice
@leatimoth36113 ай бұрын
❤❤❤❤😂
@RashidiSaidi-ij9nv3 ай бұрын
Nakubali sana kazi zako nzuri sana na kwakweli unaweza kufika mbali zaidi ya hapo
@rahimaaaaa56823 ай бұрын
😊😊😊🎉
@Josephnyinge3 ай бұрын
Like za mavi wwe angalia video uende zako mkojo
@kingfocustzog3 ай бұрын
Watu amlali mpo macho kweli
@Salma-h1g3 ай бұрын
Nyieee kendi anaota au 😊😊
@HawaOmary-gw2oo3 ай бұрын
Jaman kwahiyo mimi ndio sipati like 👍 😢😢
@HawaSadock3 ай бұрын
Wajinaaabana😂😂😂😂😂😂
@JoselineJuma-r7o3 ай бұрын
Tunaendelea vizuri 🎉🎉🎉
@gracemuusi34213 ай бұрын
254 niko live naomba like
@busatitv3 ай бұрын
🙏🙏
@zeynab76173 ай бұрын
Wacha wee nimejaribu kuwahi❤❤❤❤
@phorahmahaza6383 ай бұрын
Wakwanza Leo jmn😂😂😂😂
@nasraAl-b1w3 ай бұрын
Zuu yuko wapi sasa sijapenda
@JamillaWesonga3 ай бұрын
Kai 😢😢😢😢nawe kendy chako kii motoni
@CatherineKirugumiCathy3 ай бұрын
Candy leo ni dada wa kanisa anaongea vizuri
@busatitv3 ай бұрын
🤣🤣
@AjuwaeTannu3 ай бұрын
Jamani hadi huluma dada wakazi mapenzi yalikuwa yamesha noga
@busatitv3 ай бұрын
😭😭😭
@yktitho64933 ай бұрын
Leo nimewai nipeni maua yangu
@TatuDimka3 ай бұрын
Jamn Leo nimewah naomben like 10 t
@busatitv3 ай бұрын
💪💪
@eunice18083 ай бұрын
Good job@@busatitv
@MwanaidiMohammed-bm6qg3 ай бұрын
Dakh kai mazure mazure yakikutoka käi utakuja juta käi pole sana ila candy mnafiki sana unajifanya mwema ila candy lichá kwamba nimchezo ila sijapenda tabiya yako dakh
Jamani msitucheleweshe kutuma nyengine sawa mwatuchanganya
@JoyceMsambili3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@salmazwallo59203 ай бұрын
Mmmmhh marafikii so watunaiseee
@Marlenapilikitsao-gk9je3 ай бұрын
Kicha Ni kicha tu Hata umpe joho jipya atararuwa kusudi aweuchi jamani kendi unaroho dada
@hlimaa51823 ай бұрын
😢😢😢😢kai hadi huruma kipenzi cha baba leo unamkana duuh 🤔 alafu Candy leo kawa malaika kwa kiramba 😂😂😂hapo kiramba kagundua kitu kupitia ukarimu wa candy na kubadika kwa kai shukran sana busati nipo nanyi hadi tamati❤❤❤❤❤
@busatitv3 ай бұрын
🙏🙏
@DalilaHasani-m2i3 ай бұрын
jamani nice kila siku inaishia patamu❤❤❤❤ tunawapendaaa
@shivobs44853 ай бұрын
Aliye angalia kabla ya kwenda misa ya kwanza kama mimi gonga like yako hapa
@NASRAZOMBE3 ай бұрын
Yani le mmezingua sanaaaa ao wageni wametoka wapi na htuelewi uyo mtt nani mnaharibu move bhna achaneni n ao wapya tuendelee n tuliowazoea series yenyewe fupi afu mwatuwekea wapya mada zao hatuzielewi ndo nn mctukasirishe washabiki bhn watoeni kama mwasikiliza mashabiki zenu
@ZayNiyonzima3 ай бұрын
❤❤❤ Leo mmejitahid kuongeza mda aya ndio mambo Sasa tunayo penda 🥰🥰🥰
@AllyMwalim-hu6tl3 ай бұрын
Jamani daw jamn mbay sanaa daw Zina mwisho hzo
@bintiabdallahmwakulani63503 ай бұрын
Kai punguzq hasira kuna kitu chandelea hpa katikati na jaribu kuelewa ayo mbro
@KhadijaMasoud-m6u3 ай бұрын
Ss huyo mganga kawaroga watu wote ht marafiki mana watu wote hataki ht kuwaona anawafukuza hyo marogo ya mapenzi au uchizi kabisa
@busatitv3 ай бұрын
🤣🤣
@KemmyMercy-my9uf3 ай бұрын
Wenye wanangoja zinafika episode kama tano na kuwatch mara moja mko wapi 😂😂 good work kai 👏👏
@MammyMeju3 ай бұрын
Jamn kai amebadilika san mpk mm inaniuma
@gracenyevu80823 ай бұрын
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
@busatitv3 ай бұрын
🙏🙏
@barakahtemba3 ай бұрын
Inasikitisha house girl kuwa chizi
@UniceMsomi3 ай бұрын
Ila kendi anafanya nicheke kama mweu et anapiga magoti mpanka chini😂😂😂😂 duh adi rafiki ake Kai kashangaa😂😂
@JacklinePaul-oq3ws3 ай бұрын
Candy mda wako umekarbia, get ready hapatakuwa na msaada wowote dunia nzima utakua mwenyewe
@MrangiOg3 ай бұрын
Msiwe mnachelewa sana kuachia epsd
@latifakijuba38743 ай бұрын
Ikifika sehem ya kai nipeleka mbele namchukia sana
Musha haribu kabisa watu murio waweka Leo hovyo sijapenda hata kidogo
@FaithIndangasi3 ай бұрын
Uyu gai amezama but kama unahamini atajirudia waka like
@fammamourchy21643 ай бұрын
Mmmmmlh Candy kabadika kawa n'a heshima ao
@Pili-n3l3 ай бұрын
Hii move ck iz haielewek watu wapya muv inakua chapwa zinakuja stor zisoeleweka
@LinusMsimbano-uq1kg3 ай бұрын
Nakweli ajui alitendalo kabsa yan cendy sikupendi we una roho mbaya
@walteradera43363 ай бұрын
Wow am right on time
@HanifaHabibo3 ай бұрын
😂😂mambo ni Moto kwa kendi anajifanya mwema kwa watu wa Kai
@KhalfanSalum-fv5ew3 ай бұрын
Amakweli kai umepigika mpka baba hana thaman tena kwako lakin tambuwa huyo nibab.
@caroleangambe12393 ай бұрын
Next episode plz ❤❤❤❤
@busatitv3 ай бұрын
❤❤❤
@AsiaOmari-w8q3 ай бұрын
Jmn candy ipo cku yatakurudia😢😢
@busatitv3 ай бұрын
😭😭😭😭
@LispaKadzoKalu3 ай бұрын
Kai utajuta wewe chunga kauli zako😢
@12omochildren3 ай бұрын
Nimeamka earlier in the morning kuwatch ,thank u very important ❤❤
@lalyaszubeda65273 ай бұрын
Kai hawa watu unawafukuza sahii utakua na wakati mgumu sana kuwarudiaha ama kuwafikia wakati unawahitaji😢
@FurahafutakazaGloria3 ай бұрын
Tunapashwa tia maoni yetu hapa ila nyinyi kilasiku munaomba like 👍 ivi hamuone kama Kai anaboa?
@onesmusfondo76793 ай бұрын
Mi naona naelekea kushindwa na upuuzi wa kai na candy,ssa mzee anapona au la...
@SalumVullu3 ай бұрын
Uyu nae bada asrme kicho mpeleka ana let's polojo
@SalumVullu3 ай бұрын
Uchaw mbaya jaman tusiwawekee wanaume dawa jaman
@MohamedSaidy-y5z2 ай бұрын
Jmn like zangu kwa uvumilivu wa Dada wakazi
@barakahtemba3 ай бұрын
Kumbe dawa zipo,
@asmamohd57693 ай бұрын
Kila mtu wa kwanza anataka like haya mie wa mwisho nataka like zangu ila kai ananiboa sikuhiz 😢😢😢😢
@VeronicaAlfredy3 ай бұрын
Kipande cha Leo kibaya bhn bcz kimewahi kuisha Bora muwe mnatoa vipande viwili viwili
@SalomeNkwabi-jy4nu3 ай бұрын
We kai kai kai nakuita mara 3 litakukuta jambo hutokujasahau😢😢😢
@nadzuwazidi3 ай бұрын
Candy uko na roho mbaya yani umevuruga familia dzima amuna amai ila sikuzote atendaye ubaya umurudia mwenyewe..ila niko naimani wataponà..wanao amini baba kai na zuu na kai mwenyewe kubadilika awe kai wakawaida gonga like 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@busatitv3 ай бұрын
❤❤❤🙏
@saudamwakunemwa38563 ай бұрын
Kandy mwisho wa ubaya aibu mama😂
@NaomiDeo2 ай бұрын
Jaman Kai Kawa gaid duhh dawa zipo
@MarryMbiu-si2sz3 ай бұрын
Kai utapokonywa karamu mim nina ushahidi mkwe wangu aligombana na shemeji angu anachukuwa Karam yake shem aliteseka mpaka hatar
@JosephinaMjema3 ай бұрын
Jama kai anazid uchiz kuliko zuu
@FaridahFemy3 ай бұрын
Kwakweli Kai kashapotea jamani ila kama wapo wanawake dizaini hii kwakweli siyo poa
@ChenxonJombiii2 ай бұрын
Wanao mkubali bibi ake zuu kwa uhakiki gonga ma like kama yot wadau
@OmanMuscut-ju3xp3 ай бұрын
Mmmmh mbona mnanza kualibu tena hii movie awa wengine wametokea wapi mbona sijaelewa
@ceciliawilly85733 ай бұрын
Jamani team gulf naomba likes
@GfgGgh-v5z3 ай бұрын
Wanaume wasio na msimamo kama Kai ndio haya madhara huwakuta 😢