HOUSE GIRL EP 29 | S3 | Love Story 💕💞

  Рет қаралды 14,452

BUSATI TV

BUSATI TV

Күн бұрын

HOUSE GIRL SEASON 3

Пікірлер: 383
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 сағат бұрын
Utakayeso hii comment mungu akujajalie upate watoto wenye tabia nzuri sio kama za kendy❤🤲❤🤲❤🤲❤🤲❤🤲
@wardaningawarda9942
@wardaningawarda9942 Сағат бұрын
Ammen
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Сағат бұрын
❤❤❤❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Сағат бұрын
❤❤❤
@KhadijaRamadhan-f2b
@KhadijaRamadhan-f2b Сағат бұрын
Allahumma ameena yarabi naww pia tunakuombea. Chukua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako
@YusraSiyaleo-yk2fz
@YusraSiyaleo-yk2fz Сағат бұрын
Amiiin ya rabil_alamiiin❤❤❤❤
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 2 сағат бұрын
Jaman tunao Taman chiko afeli mpango wake na huku mjin tujuan jamn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉wapendw a wote
@AminaDibwe
@AminaDibwe 2 сағат бұрын
Wanaomkubali da zuri gonga like hapa 😢😢
@NestorySanga-y2j
@NestorySanga-y2j 3 сағат бұрын
Kai unazingua sanaa kwa kujipendekeza kwa kendy acha ufwara
@RizikiZiki
@RizikiZiki 2 сағат бұрын
Kajifanya Muzungu mweusi bb imani😂😂
@RehemaKatana-hb4ei
@RehemaKatana-hb4ei 2 сағат бұрын
Kaniboo sana
@nurusaid4698
@nurusaid4698 2 сағат бұрын
Akili Kisoda Uwa Aisikii Mpka Ajionee Ndio Atatuwa Yupo Uzunguni Au Afrika
@Kibofuguidefrancophone
@Kibofuguidefrancophone 52 минут бұрын
Jamani mbona jasmin sie uyo
@NeemaDenja
@NeemaDenja 3 сағат бұрын
Jaman nimekuwa wa kwaza naombeni laiki zangu nawapenda sana malafiki zangu🫶🫶🫶🫶🫶🫶🙏🙏🙏🙏🙏
@DianaMkembelwa
@DianaMkembelwa 2 сағат бұрын
86,jamani tunaomchukia choko Cendi tujuwaje.ila chiko tutamkodi P Didi akunyooshe.😅😅😅😅😅😅
@HidayaMbodze
@HidayaMbodze Сағат бұрын
😂😂😂
@rabiambaga8356
@rabiambaga8356 3 сағат бұрын
Waaaoooo waliokuwa wanasubiri kwa ham gonga like hapa
@HoHo-l1r
@HoHo-l1r Сағат бұрын
Chiko lazima ufeli huo mpango wako na izo ndevu lazima utazichemsha safali hii 😂😂😂
@MichaelMirindi
@MichaelMirindi 39 минут бұрын
Kai amenikera sana amemukosea zuu
@MartinNiyukuri-n2t
@MartinNiyukuri-n2t Сағат бұрын
Zuu Leo amependeza Maua yako🎉🎉🎉🎉🎉
@JudithSimiyu-ps7ee
@JudithSimiyu-ps7ee Сағат бұрын
Kumbe pia wewe umeona 😅😅😅
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 2 сағат бұрын
Jaman kai unataka kumaliza zuu wetu jamn tulio kasirishwa na kitendo cha kendi jamn tujuan hap
@DidaAlly-iz1it
@DidaAlly-iz1it 42 минут бұрын
Uyu mke wa mpumbavu mwezangu mimi binafsi simpendi jmn 😂😂😂😂😂
@HabibaAthumanMwaboko-vq4qk
@HabibaAthumanMwaboko-vq4qk Сағат бұрын
Yani kilamba ukwaju mpumbavu una maneno yabusara sana walauchukuwa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ASHANDEGWA
@ASHANDEGWA 2 сағат бұрын
Twendeni mbele turudi nyuma ila mapenzi yanauma em candy na chiko tuachieni wanandoa wetu❤
@KissaMwakilembe
@KissaMwakilembe 2 сағат бұрын
Mii timu zuu moyo unaniuma jamani mpaka 😭😭😭😭
@Asmachima-dx5gb
@Asmachima-dx5gb 40 минут бұрын
Mama tasha mbn umemuamn gafla
@Hapygideon
@Hapygideon 2 сағат бұрын
Hivi zuuh na mpumbavu mwenzangu mmekosa pilipili kweli,,mummwagie kwenye macho
@samuelnthia8858
@samuelnthia8858 Сағат бұрын
Ndio hivyo.
@MwanapiliCharo-s2n
@MwanapiliCharo-s2n 47 минут бұрын
😂😂😂😂😂kwakweli wamboesha huyu kai
@HelinaEdward
@HelinaEdward 44 минут бұрын
Ila Khai anavobanagaa surual zakeee😂😂😂😂😂
@shamyalley2091
@shamyalley2091 2 сағат бұрын
Hyu chiko na candy wamechanganyikiwa😂😂😂😂
@franktodory
@franktodory Сағат бұрын
sema kai unajipendekeza sana naww
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol Сағат бұрын
Zuu umependeza San Hila hyoo Kai naye ajatuliya Hila bibi zuu upo wap njoo umkomeshe hyoo cend Hila chico ww unaharibu movie sasa balaa Kai Kai ww senge ww kweli Hila hyoo mpumbavu wake. Kiramba mchuzi taira hyoo Tena taira San hata meno ana Kai Kwa hapo hap sijakupenda kabisa chico chico
@TedyTibalilira
@TedyTibalilira 2 сағат бұрын
Hiv Kai unashndwa hata kumzibua makofi huyo candy unatoa mimacho tu km jinga vile
@NyokaDeGal
@NyokaDeGal 39 минут бұрын
Hapo sasa
@robertsalaibey5383
@robertsalaibey5383 2 сағат бұрын
i really need next episode,, sorry zuu....
@SamsonRandu-h9u
@SamsonRandu-h9u 2 сағат бұрын
Yote Haya uliyataka wewe kai ulkua untka kumuumiza zuu Haya Sasa umefanikiwa 😂😂😂😂😂
@DianaNafula-hg2hi
@DianaNafula-hg2hi 3 сағат бұрын
Leo nmejitahiti wa kwanza kutoka Kenya naombeni like ata moja basii🎉😂😂😂
@SharifaMombo-eh2bg
@SharifaMombo-eh2bg Сағат бұрын
Natamani Mr Tasha arudi awwkute chiko na Sania coz hilo fujo😅😅😅😅😅
@JudithJudy-hz6wr
@JudithJudy-hz6wr 2 сағат бұрын
Wacha nikoment haraka haraka kabla waomba likes hawajafika😂😂😂 from Saudi Arabia team strong hallooo gonga like hapa tukisonga
@AminaMussa-bw2jh
@AminaMussa-bw2jh 3 сағат бұрын
Mnipe mauwa yang leo nime wahi❤❤
@JosephaSulle-yi4zr
@JosephaSulle-yi4zr Сағат бұрын
Sitakii hi move tenaaa kwa kweli kendy na chiko nyie mmeshindikanaa kwa kwelii na chiko we haunaa akili au
@Aishybeb
@Aishybeb 2 сағат бұрын
Kai unafanya movie hainogi kama mwanzo inaboo sas kisa kai hadi nataman iishe 😢😢
@MercyTripple
@MercyTripple 2 сағат бұрын
I just love kilamba so much❤❤❤
@MaryBosibori-xm7us
@MaryBosibori-xm7us 39 минут бұрын
Kiramba mwambie huyo chambazi na cendy asikwangalie tena nyau😅😅😅
@MutabaziAmuri
@MutabaziAmuri 27 минут бұрын
Mama Mr tasha na kuomba achana n'a chiko siyo mtu mzuri kwako
@MaryamMaryam-vl8lm
@MaryamMaryam-vl8lm 2 сағат бұрын
Uwanatamani kunaruhusu voice ili nitoe uchungu wngu wte kw Kai move inaenda kunisinya hii yaani umepambania ndoa yko Kai mpaka hpo ulipo mpe Raha zuu n yye afurahie ndoa acha ujinga wwe
@LilatAaa-u7n
@LilatAaa-u7n Сағат бұрын
Kai unazinguwa sana bwana
@SabrahNibuka
@SabrahNibuka 2 сағат бұрын
Mama tasha leo umeniumiza Wajuwa mwanao kaenda owa iweje umkubali saniya kukaa hapo😢😢
@AgnessMeshack-x3u
@AgnessMeshack-x3u 56 минут бұрын
Mrudisheni jasmine apa bana😊😊
@onesmusfondo7679
@onesmusfondo7679 2 сағат бұрын
Angekuwa zuu,aende kumuona x usiku ungemuelewa j rahisi kma hvo....
@AnthonyKapaya-f2c
@AnthonyKapaya-f2c 42 минут бұрын
Eeeh ii move imefikia mahari Hadi inagusa my heart Msanii pongezi kwa fasihii yako
@AnnahNanjala-xh6ov
@AnnahNanjala-xh6ov 2 сағат бұрын
Mama kua makini na sania na chiko hawa ni majambasi zuku
@MrsMariam-x2s
@MrsMariam-x2s Сағат бұрын
Laa mama Tasha jamani iihaifayi kabisa kwasababu yampa nafasi huyo saniya tena usingempa kabisa kabisa sawa uyo chiku hukua unamfaham ila uyo saniya vp aaaa Yani hapo sijapenda
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 2 сағат бұрын
Jamn kendi kashindikan huyu dad Kilakona ameharibu jaman m nataman kendi akitaka kuharibu furah ya zuu bib zuu amnyooshe kendi mpaka aseme
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 3 сағат бұрын
Leo Sania kamuokoa mama Tasha make mmmmh Leo tungekuwa na msiba
@MrsMariam-x2s
@MrsMariam-x2s Сағат бұрын
Allahu akibarr huyu chiku hana adabu na nanamakosa sana huyu kanikera sana huyu chiku umenikera sana
@denispengo4962
@denispengo4962 Сағат бұрын
Huyu candy bonge la msanii siku za mbele huko
@KemmyMercy-my9uf
@KemmyMercy-my9uf 2 сағат бұрын
Chiko,kai, Sania na kendi kumbafu zenu mtajutia ipasavyo NKT 🙄😏😎
@AlineBaby-m5l
@AlineBaby-m5l 2 сағат бұрын
Na omba bibizu agombowe mujuku wake awapige fimbo cand n'a Kai naumiya sana kwa kuwona kend n'a Kai wako pamoja
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 Сағат бұрын
Hiki kipande cha kendi na kai kwa hapa mumetuongopea siyo kweli haiwezekani kitu kama hicho kwenye maisha ya binadamu hata kama mtu ni chizi
@VailethFrancis-ew6ro
@VailethFrancis-ew6ro 2 сағат бұрын
Kai umezinguwa sana tulieshukiya tujuwane kwa like
@HabibaAthumanMwaboko-vq4qk
@HabibaAthumanMwaboko-vq4qk Сағат бұрын
We kai kumbe bwege sana subiri kikukute
@FatumaBahatihassan
@FatumaBahatihassan Сағат бұрын
Mama Tasha leeo tungeku kosa mushuma ungezma leeo wakati mtoto wako Tasha yupo ukweni Kay! achana nahuo mwanamuke Candy asjekuletea mtatizo kwenye Ndoa yako ebuheshimu Ndoa yako achana nahuo kilukanjia Candy hanajipya kashindikana nilakona anatembea nalana za Muzazi. Pole Zuu
@TumainiMbati
@TumainiMbati 2 сағат бұрын
Waoooh mpumbavu mwenzangu
@MERCYMWIAMUSEMBI
@MERCYMWIAMUSEMBI 2 сағат бұрын
Alf wee kai mpuuzi usimwangalie kiramba. Unafunga ndefu hazikusaidii nyooooo
@ChimammyMummy
@ChimammyMummy 2 сағат бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu kendii n muuwajii akiamungu Yaan we hata huogopi mwenzako anamimba yaeza kumtoka na mineno yako michungu khaa
@leilayathumani2295
@leilayathumani2295 Сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kendi ni umbwa kwel yaan
@ChimammyMummy
@ChimammyMummy Сағат бұрын
@@leilayathumani2295 🤣🤣🤣
@husnachunga5720
@husnachunga5720 2 сағат бұрын
Kai Acha umbumbavu. We kama Bado unampenda uyo mshenzi. Wako muache zuu wetu usije ukamsababishia mauti kwa ujinga wako
@umentco9600
@umentco9600 2 сағат бұрын
Kilamba wacha vituko ukinda choo ndio ujamaliza shida 😂😂
@KarungiAngelique
@KarungiAngelique Сағат бұрын
Leo hiii mumenikwaza kbs angarahu s3 ihishe kbs MB zangu za Leo zimeniumiza kbs from Rwanda 🇷🇼
@MrsMariam-x2s
@MrsMariam-x2s Сағат бұрын
Kilamba upo sawa sawa kabisa unaongeya kweli pamoja na mbumbavu mwenzako kweli Kay kakosaya sana nimzaifu sana nahapo ndio atampa nafasi kendy kutamba
@YusraSiyaleo-yk2fz
@YusraSiyaleo-yk2fz Сағат бұрын
Amna kai yuko sawa
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 2 сағат бұрын
Sania leo ameokoa maisha ya mama Tasha, Tasha we endelea kuka huko utakuta mama yako washamzika
@maryamoTanzania
@maryamoTanzania 2 сағат бұрын
Alafu busati kama hii movie imeisha semeni musiaze kuviluuga mambo 🥵😏😏😏
@NorahMhanga-rf9ft
@NorahMhanga-rf9ft 2 сағат бұрын
😂😂😂😂
@TumainiMbati
@TumainiMbati 2 сағат бұрын
Mama utakapokuja kujua ukweli chiko ndio huyo cjui cjui utafanyaje
@MichaelLutonja
@MichaelLutonja Сағат бұрын
I love you busati tv na kazi nzuri sana za busati tv ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Hapygideon
@Hapygideon 2 сағат бұрын
😂😂😂😂kilamba katudhalilisha kweli Kai sini ya usaliti haikupendezi kabisa,nenda ukanye kwanza😂😂
@MinnahPetra
@MinnahPetra Сағат бұрын
kai haja fikria kabisa kuenda kuonana na candy
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 2 сағат бұрын
Kiramb nataman kwenda kupunguz kinyesi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 3 сағат бұрын
Kiramb mpe nondo kai amesha mkaribisha kendi nyumbn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Kiramb
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 2 сағат бұрын
Kai Umeyatak kwa kendi utakom wew a naongea maneno hat ambayo hujafany ili kumuumiza t zuu😢😢😢😢😢😢😢
@Hapygideon
@Hapygideon 2 сағат бұрын
Kilamba🙋🙋🙋🙋point mpumbavu mwenzangu
@Hapygideon
@Hapygideon 3 сағат бұрын
Kai unakera sana hatujafurahi kabisa
@Farthun
@Farthun Сағат бұрын
Mm nishachoka kabsa 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 eti mama tasha anakubli vitu tu halfu kai ndo unazidi kunikera na huyu candy wako ikifika pazuri niiteni mm roho inaniuma tu
@GhaniaNasser-d9p
@GhaniaNasser-d9p 2 сағат бұрын
Aisee nikifika kwa kiramba sielewi maana huyo mkeo mpumbavu simuelew mm
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol 57 минут бұрын
Taira hyooo
@fatumamkuzi8051
@fatumamkuzi8051 Сағат бұрын
Mwaiharibu sasa kai na kend
@almasisheshe7032
@almasisheshe7032 2 сағат бұрын
Kilamba Leo umekua kauzu Hadi unastahir pongeze big up for you
@Tatu-r2h
@Tatu-r2h 2 сағат бұрын
Mimi leo nimechukizwa na candy pamoja na chiko 😢
@MaryamMaryam-vl8lm
@MaryamMaryam-vl8lm 2 сағат бұрын
Pendaza zuri leo mashallah
@eshanjira6203
@eshanjira6203 Сағат бұрын
Mnaosema iishe msiangalie kama mwakereka tuachieni tunaopenda tuendelee
@JudithAmos-u3u
@JudithAmos-u3u 2 сағат бұрын
Kai unaferi sana kuwa na msimamo bwana unataka kutukera
@LucySamsoni
@LucySamsoni 3 сағат бұрын
Kai unanikela sana nakuona mwanaume wa ovyo sana Yani we jinga sana kai
@haluarahma3071
@haluarahma3071 48 минут бұрын
Kai mbona gwege sana,bt zuu usijali bibi yuko anakulinda n mizimu piaa.
@TumainiMbati
@TumainiMbati 2 сағат бұрын
Kilamba umetisha sana
@angelmauja1846
@angelmauja1846 Сағат бұрын
Em tasha toka Kijijini haraka
@SaraUlaya-is2ch
@SaraUlaya-is2ch Сағат бұрын
Yaan we kilamba nimwehu ila nakupenda❤❤❤
@lucymbuma681
@lucymbuma681 2 сағат бұрын
Kiukweli Kai umenikela san rooooooooh
@SamsonMajan-k3g
@SamsonMajan-k3g 3 сағат бұрын
Waoooo zahasubuhi jamaaa wote
@SamsonMajan-k3g
@SamsonMajan-k3g 2 сағат бұрын
Mmmmh jaman kendi Sania chiko Hawa vivuluge watafutiwe sawa yao tu ciwa pend Sana japo wachangamsha love story yeti Ila wamezidi wacio penda Tim ya mtu tatu Tia uzito chin apo
@irene-pw4dw
@irene-pw4dw 34 минут бұрын
Mrs ngonde kimamula😂😂😂😂
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 3 сағат бұрын
We Sania umefata nin kwa mam Tasha wew ushajazwa mimba unajipeleka hap
@Hapygideon
@Hapygideon 3 сағат бұрын
Kai Kai kai😢😢😢,,unatutafuta Nini na mizimu yetu,tutakuotesha busha mbwa wewe endelea😂😂😂
@buru1235
@buru1235 3 сағат бұрын
Yani kai tumetufikisha apa Aki ayiii Sasa Na Tasha alisema kuwa umemsahau Candy wooyi 😢 Kamkonde ndio mwanzo apo ulipo nyooo
@Uwamahorofarida-e6h
@Uwamahorofarida-e6h 3 сағат бұрын
Wakwanza kutoka Rwanda Team zuu oyeee
@FelistusKimanzi-f2g
@FelistusKimanzi-f2g 54 минут бұрын
Nice one
@AlineBaby-m5l
@AlineBaby-m5l Сағат бұрын
Basi muyimalize iyo hous girl kwasababu munaniwumiza loho yangu mumekosa yangin maneno yakupang namuja kupang ayomaneno yakuwongeza kuwumiza zuu😢
@JemaMbwilo
@JemaMbwilo Сағат бұрын
Kai mjinga kweli na hauna msimamo mwanaume Gani wewe mda wote huko unamsikiliza huyo hujui kuwa unamuumiza zuu 😢
@JudithSimiyu-ps7ee
@JudithSimiyu-ps7ee Сағат бұрын
Usije ukamulaumu akuna mtu anaeweza kumsahau x wake
@SophieMogiti
@SophieMogiti 20 минут бұрын
Inabdi amsahau juu ni mtu muuaji😢😅Kai kwa ukweli umekera
@EmmilianaWekesa
@EmmilianaWekesa Сағат бұрын
Wanaotaka bibi zuu ampe Kai adabu mpo😂😂
@ChristineMakori-om7nt
@ChristineMakori-om7nt 2 минут бұрын
Jamani wanaotaka mpumbafu mwenzetu arudishwe gonga like hapa tukisonga
@HhUhh-io8ix
@HhUhh-io8ix 50 минут бұрын
Ooooo😊 mama tasha amenda jaman chiko sania musimuwe loooooo
@YusraSiyaleo-yk2fz
@YusraSiyaleo-yk2fz Сағат бұрын
Tunaotaka cand adhulumiwe pesa zake gongen like hapa tujuane 😂😂😂😂😂
@sommohd7903
@sommohd7903 Сағат бұрын
Party za P DD 😂😂 Kai Acha uzungu Bhana 🤣....alaf piga menu unenepe kidogobhana mr Kai 😂
@JuliteNabwire
@JuliteNabwire 17 минут бұрын
Kai usidubutu kurudisha husiano na kendi itakuwa umeyaribu kabisa kuwa kama zatiti na Tasha👍
@FalidaIssa
@FalidaIssa 45 минут бұрын
Karogwa Kai hauko sasahihi kend niadui weww so msungu
@SadaPodo-k8f
@SadaPodo-k8f 3 сағат бұрын
Jaman michez miref inaisha hamun
MISSION IMPOSSIBLE [52]
21:47
CHADO MASTA FILMS
Рет қаралды 11 М.
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 35 МЛН
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 6 МЛН
My message to the ummah.
9:01
Hibaberry
Рет қаралды 1,7 М.
HOUSE GIRL EP 28 | S3 | Love Story 💕💞
23:05
BUSATI TV
Рет қаралды 64 М.
DUNIA (Ep 07)
24:28
ASMA FILMS
Рет қаралды 9 М.
Premier Full Episode -  Pete S1 Episode 1 | Maisha Magic East
27:21
Maisha Magic East
Рет қаралды 2,4 МЛН
HOUSE GIRL EP 26 | S3 | Love Story 💕💞
22:08
BUSATI TV
Рет қаралды 76 М.
BAD FRIEND {4} Sad story 💝
20:38
PRINCE RAMSH
Рет қаралды 386