❤❤❤❤❤naipenda xnaaa jmn piah naifatilia xnaaa wako vizuri xnaaa hawa watu jah bless u guys . Kila ckuu naweka bando kwajili yenh
@Rahema1233 ай бұрын
Ila duh mpo vizuri sana mnajuwa kutuelimisha inshaallah M/mungu hawalind mzdi kutuelimisha 🎉
@sharifanyumayo63143 ай бұрын
Mojawapo mie Nimefurah mno acha likukute na mganga Kunywa soda barid naja lipa. Kimekulamba Candy oooh
@StelaStela-bd8lf3 ай бұрын
Candy umeyatimba mateso kwako ss movie nzuri sana hongereni sana mungu awatangulie
@GfgGgh-v5z3 ай бұрын
Wallah Busati TV mmewezaaaaa tena mmewezaaa tenaaa🔥🔥🔥🔥💐🇹🇿 peperusha dunia nzima wajue kazi yakoo % haya yanafanyika katika jamii tunaziishi nazo
@richardchristopher71413 ай бұрын
Jamani Hii movie mafunzo yake niya ukweli bila chenga Hawa vijana walioigiza hii picha nikama vile mungu kawaonyesha kuwa matatizo mengi ya jamii now days yako hivi walai nimeipenda Sana. Kama nawewe uko Pamoja nao gonga like hapa❤
@busatitv3 ай бұрын
Asante sana tunakupenda mno Mtu wa Mungu
@richardchristopher71413 ай бұрын
@@busatitv Msikate tamaa pambaneni kwani nimeona mnakitu ndani yenu Sr God awe pamoja nanyi msitengane🙏
@AminaKavuo-gj3oc3 ай бұрын
Himefikia maali Pake wao Asante mungu
@MaryPendo-gy4yr3 ай бұрын
Candy tena bado
@reginaIssa-m2j3 ай бұрын
❤❤❤ candy hapo Bado hujaona mauzauza 😂😂😂utajuta kwenda kwa mganga
@GloriaVaati-ls9ql3 ай бұрын
Sasa imekuwa tamu zaidi....hongera kwenu kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@busatitv3 ай бұрын
🥰🥰
@RaphaelKanju3 ай бұрын
Watazamaji wenzang hii movie inanifundisha Sana Yan nimeipenda bule
@emanherman96583 ай бұрын
Hongereni sana muvi nzuri yakuelimisha 🎉🎉🎉🎉❤
@busatitv3 ай бұрын
Asante sana
@AminaPtg3 ай бұрын
Mungu akuweke director unatumia akil nyingi san 🥰💓🙏
@jobmoffat78443 ай бұрын
Movie ni nzuri Marekebisho ni kupunguza kukaa kwenye sceen ya aina moja kwa muda mrefu.
@MariahJuliuss3 ай бұрын
Daaaah jamni jamni mpaka raha 😅😅😂😂😂😂😂🎉❤🎉❤ candy amehaha atli bibi kiboko😊
@VanessaWilliam-m5i3 ай бұрын
Jamni mko vizuli sana mnatuwaishia move zetu ongereni
@Yohana-q7f3 ай бұрын
Hongera sana kwa movies nzuri
@CatherineKirugumiCathy3 ай бұрын
Leo sema furaha ya kendy kimekuramba sana pole dada mchawi mzuri ni mungu wachana na mzimu kitakuramba
@busatitv3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@ggfwtgg16523 ай бұрын
Hii movie mumetusha sana bbi zuuuu yaani nakuamini huezi kuniangusha maana unaweza sana kazi nzuri ❤❤❤❤
@BahatiKadenge-n5r3 ай бұрын
Much love from saudi ❤❤❤yn nafurahia sana katika hii move juu inanifunza katika maisha ya upendo wenu ❤❤❤cendy kitakuramba saii
@busatitv3 ай бұрын
🥰🥰
@KennedyMusaina3 ай бұрын
Ahh fresh show iko poa ina bamba sana ❤
@hlimaa51823 ай бұрын
Movie nzuri mno Yenye mafunzo mengi sana ambayo ndani yake yana ukweli ntupu katika maisha tunayo ishi Mume wa mcho wa daa masozi acheni tamaa itawaponza😂😂😂😂😂niko pale 👉 nasubiri episode 35❤
@saumodzumbo96713 ай бұрын
Nashukuru sana kai Mungu awazidishieni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jacklineshayo39623 ай бұрын
Jmn wa2 wako faster. Naomben like at 3 ty kwa ajl ya bib ake zuu🎉🎉
@muddyramadhan32553 ай бұрын
Hii movie ikiisha tafadhali naomba kwa dhati ya moyo wangu iwe na sehem ya pili maan naona km bado itakuwa namaan san toka nimeanza kuwafatlia hii kitu ni noma san
@افااقع3 ай бұрын
Hii movie yafundisha jamani ukifanyia mwenzako ubaya usitarajie kulipwa mema ❤❤
@Weksa-dg8ev3 ай бұрын
Kilicho wekwa gizani siku siku kitaonekana peupe rafikiye Cain safi sana honger❤❤❤❤😊
@AsebaleylaDavid3 ай бұрын
Ahsante kwa episode nyingine chukua 🎉🎉🎉 nawapenda sana
@MaarufuAmani-bq6qc3 ай бұрын
Tunae fulahi uamuzi wa bibi zuuu gonga like
@AishaAlly-ob7vd3 ай бұрын
Kai kendi anakupoteza kwenye direction ya maisha yaan Mungu aksimamie
@AyishaAyisha-k9r3 ай бұрын
Nitafulah sana zuu wangu akipona cend naye awe chizi kbx nahiyo loho mbaya yake
@BeatriceRobi-j5q3 ай бұрын
Malipo ni hapa duniani tenda mema mungu atakulipa
@nurusaid46983 ай бұрын
Nex Bwana Iwe Ewani Saabili Usiku Au Tatu Tusilale Bila Kutazama❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@pilicharo41233 ай бұрын
mukiambiwa usiende kwawaganga hamuelewi😅😅😅
@Zainab-vo2uz3 ай бұрын
Hii ndio nzuri sana dawa ya ubaya ni aibu
@MauaSaid-t4b3 ай бұрын
Nafurahi jamani kend kinamkuta kutoka kwa bibi AMA kweli ukimfanyia mtu ubaya malipo hapa hapa duniani movie hii ni darasa tosha
@busatitv3 ай бұрын
Kabisaaa
@SuzannMukuna3 ай бұрын
candy na bado macho haijakutoka itakutoka timu zuu mwaga likes zako hapo🎉🎉🎉
@JeannetteManirambona-o6m3 ай бұрын
😂😂😂
@MimiUsanase3 ай бұрын
Iyi movie nikali nayipendasana kinoma
@barakamshefa64263 ай бұрын
Hii movie inahistoria ya kweli na wenye tunatizana hii filamu bs tutapanuka ki akili na kuwa wabunifu sana katika maamuzi
@nuriatyhamiss72013 ай бұрын
Candy 😂 Dunia inazunguka momy Leo yamekufika😅
@NadraRajabu3 ай бұрын
Ila sania amenifurahisha sana jmn❤❤❤❤❤
@SimoniFeresian3 ай бұрын
Inakuja zamu candy kuwa chiz mda so mrefu
@CharleneNIYORUKUNDO3 ай бұрын
Wakwaza leo naomba like zang jmn from burundi😊😊😊
@PurityWaithira-ud2vj3 ай бұрын
Jamani watatu ni pewa likes nimejificha chooni mdoss wangu asinione bwana nyie😊,more love from qatar ❤
@RizikiZiki3 ай бұрын
Uhuum mambo kwa bibi zuu yananoga kwa kay yanazidi kua magumu haya si twaomba zuu apatikane atibiwe na kay atibiwe Candy kimurambe tena asiwe kica awemuzima afe taratibu tu😂😂
@LinahAssey-i5m3 ай бұрын
Hii movie inafundisha sana i like it
@busatitv3 ай бұрын
🙏🙏
@SharonNabwire-ft7qp3 ай бұрын
I like the video ❤❤❤❤🎉
@GivenessJamal3 ай бұрын
Hongerani kwa Kaz nzuri hampoi 🎉🎉🎉
@EdithaPaulo-e2z3 ай бұрын
nimewahi jamani naombeni like zengu timu zuuuh
@JudyDee-dt2fe3 ай бұрын
team zuu naona tuko na kahopes sasa wapi like za zuuu tukiamini atakua poa soon❤❤❤❤❤
@HidayaMbodze3 ай бұрын
Tushafikiwa😂😂 raha ilioje🎉🎉🎉
@SamiaMwachumba-xf8wo3 ай бұрын
Tuko hapa mbna raha
@EsterAsajile3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤@@SamiaMwachumba-xf8wo
@MwanashaAsha3 ай бұрын
Tuko apa tupo rada sana
@Ibrahim-f8p9 күн бұрын
Jaman namuonea candy hurumaa ❤❤❤ nampenda sanaa
@Ibrahim-f8p9 күн бұрын
Ila msinioshee mmmh😢
@ReginathaKibena3 ай бұрын
Zuu na Kai wapone haraka,mana wakipona utamu wa movie ndo unakolea sasa👌...candy ateseke na yeye😎
@busatitv3 ай бұрын
🙌
@ReginathaKibena3 ай бұрын
@@busatitv Ndy team Kai na zuu zamu yetu sasa😂
@Aziza..Shaban3 ай бұрын
Daa!! Kali hii. Tuone Kai yuwapeana talaka au yuwauza nyumba❤❤❤
@zainaalmahlruqy58293 ай бұрын
Wanawake wenzangu jistirini hakuna dini inatoruhusu mavazi kama hayo mnatutukanisha filam nzuri sana
@busatitv3 ай бұрын
🙏
@REHEMANCHALIKA2 ай бұрын
Umeongea kama watu mia wabadlshe🎉
@QweenNickson3 ай бұрын
Kidogo kidogo yameshamuanza Candy. Na hapo ni mwanzo tuu.
@JanethEmmanuel-mr5le3 ай бұрын
bibi honger mkomesha uyo candy❤❤
@KamamaaOmar3 ай бұрын
Yaani nmefurahia sana
@LilijohariLilijohari3 ай бұрын
Wasipo fanya haraka ku watibia kay na zuuu basi mali ime liwa 😅😅😅
@Saum-so9gr3 ай бұрын
Kazi nzur ❤️❤️👏👏
@Vincent0piyo-dc1qw3 ай бұрын
Kendy kayatimba mwenyewe.......Mwana kulitafuta mwana kulipata... Harusi kati ya Zuu na Kai tunayo hatuna????😊
@peterphilipo51033 ай бұрын
Hatari sana hongereni team BUSATI TV
@merinazyd05323 ай бұрын
Hivi kai akijua mauzauza yote hayo aliyo ya fanya cendy siatamfukuza kama mbwaa 😂😂😂😂
@busatitv3 ай бұрын
🤣🤣
@MwactyPatrick-dk4ls3 ай бұрын
@@busatitvhili ni bonge la movie kwann msipeleke dstv au azam jmn uwiiiii much love❤❤❤
@rishedynassor61703 ай бұрын
Kaz nzur
@mesamesa36983 ай бұрын
Mapema ndio best n kama unamkubali bibi gonga like nifurahi❤
@busatitv3 ай бұрын
🥰
@floramacheva58553 ай бұрын
😂😂😂😂 wuuueeeeh... Candy kapatikana, kimemramba tena vizuri sana 😍. Ukitenda mema unajitendea, na ukitenda maovu unajitendea.... Candy kula chuma hicho 😂😂😂😂
@Manasiti-k1p3 ай бұрын
Ebu munuachie likes mashabiki wenzangu tunao fatilia house girl nawapenda Sana
@ClariceMatulanga3 ай бұрын
Mmmmm
@NasmaMoses3 ай бұрын
Muv tam ❤❤
@tigejuma98653 ай бұрын
Wenye wanaimani kwmba cku yenye zuu atajaliwa kuonana na nyanyaah ndio mwisho wa uchizi wake....nakuuliza mbna mumenizunguka....!!? Niko wapi apa!!? Alafu mbn munalia😅
@REHEMANCHALIKA2 ай бұрын
Kwaiyo mawazo yako uko mbele na busat😂
@REHEMANCHALIKA2 ай бұрын
Bibi yangu nae hajambo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Tynamnyilis98243 ай бұрын
Watu wangu wa nguvu naomben like zenu basi leo wa kwanza👌
@WARDARAJABU-d9v3 ай бұрын
Na me naombeni like timu zuuh❤🎉🎉
@SilivesterkalaniJr3 ай бұрын
Bibi ameamua sasa patamu hapo😂😂😂😂😅
@estherezzy1363 ай бұрын
Waaa mkofasta aje ❤❤❤❤🎉❤🎉❤🎉
@RazikeRara3 ай бұрын
Congratulations bibi zuu nmependa sana
@busatitv3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@AkimanaVely-gq9cu3 ай бұрын
Nam leo nimewahi jomn Wana wa burundi tujuane kwa like bs
@dansonmukhwana88443 ай бұрын
Wa kwanza toka kenya wapi likes zangu jaman❤
@VillaviaChemutai-if2ry3 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wakenya mpo
@MariamAlly-xw6ms3 ай бұрын
Kai mpo vizuli mungu azidi kukupa mafunuo ya kuifunza tz na dunuia kwa ujumla
@Sayd-pi5lq3 ай бұрын
Ni motoo lkn episode inayo fata bb ake zuu lazima afanye K2 ili Kai akili yake irudi kabla nyumba haijauzwa😢
@RoseMsuya-q6m3 ай бұрын
Dah uyu kay niuchawi tu au kapewa na vingine😢😢 like zenu jaman
@MariaKahind3 ай бұрын
Canndy wachezea bibi ya boss mchawi wewe......ngoja ujikubali kuwa ulironga watu😂😂😂😂😂😂
@ZaithuniNassir3 ай бұрын
😅😅😅😅huyu nikiboko huyu bibi....kwa boss mchawiiii sana😊
@MariaKahind3 ай бұрын
@@ZaithuniNassir hatari huyo bibi........ila canndy ashaumbuka....halafu rafiki yake mnafki kama nn...walielewana saa hii ashatombowa siri.....marafiki jamani
@ZaithuniNassir3 ай бұрын
@@MariaKahind 🤣🤣🤣yy canndy ndio aloanza kumuharibia🤣🤣nayy hakutqka kabisa akaharibuuu kabisa saii atajua hajui
@MariaKahind3 ай бұрын
@@ZaithuniNassir mm nilisha juwa bibi ya boss mchawi akiingia atapata aibu
@TantineZuzu3 ай бұрын
Bibi zuuu kiboko sahii niko.namatumaini soon zuuu atakuwa sawa ❤❤🇧🇮🇧🇮
@DianaJordanManga3 ай бұрын
Candy. Alipofikia angeomba powa tuu mana habr zake zinazid kusambaa na bizuu kaamua kukasirika Kaz nzuri sana
@busatitv3 ай бұрын
Kabisaaa
@CheskoChali3 ай бұрын
Wapili naomba like 5
@mareiaMerry3 ай бұрын
Good job 👏
@salmakashau-ib9fq3 ай бұрын
Ss hyu Kai si boc ss mbn atembea kwa miguu
@Weksa-dg8ev3 ай бұрын
Bibike zuu ni vip mchawi ama na iyo kibuyu ni Cha nin uchawi sielewi Ako amesimama wapi❤
@MaggySemkande3 ай бұрын
Kwakweli na mm nimejiuliza hivohivo😢
@abdallahassan63783 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉Kaz nzuri sana
@momkhan-hc7zh3 ай бұрын
Busati naomba jina la nyimbo
@HalimaBakari-hg5py3 ай бұрын
Bi zuuh kayayuka Leo chezea mjukuu ww, wapi team bibi tujuane😅
@busatitv3 ай бұрын
🤣🤣
@GhUy-u7s3 ай бұрын
We jaman ❤❤❤❤
@Roze-so4he3 ай бұрын
Kazi nzuri
@neemapatrick64813 ай бұрын
Jamani house girls pambe❤❤❤❤
@SharonNabwire-ft7qp3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉
@EliasNiyibigira3 ай бұрын
Iike yangu jamani Niko zambia
@Rizikialiamechannel7633 ай бұрын
Hebu jaman leo Ndo fainal cndy kuumbuka kma unakubali weka like hpa team felus 😂 🇴🇲
@richardchristopher71413 ай бұрын
Hi
@AishaSudi-pu9xy3 ай бұрын
Leo niwai likes zenu bas😂
@Rizikialiamechannel7633 ай бұрын
@@AishaSudi-pu9xy😂😂😂😂
@ElizabettEmanuel3 ай бұрын
Leo Nini sijaelewa nieleweshe bas ndyo nikupe like 😂😂😂😂
@reginagikaro56543 ай бұрын
😅😅😅😅
@winnykirisha45563 ай бұрын
Eki kipindi kinamafunzo
@KalistusWiligis3 ай бұрын
Jamani nipeni like mm ndo wa kwanza leo
@rubniyi35513 ай бұрын
Bado hujasema 😂
@JenniferQueen-n2i3 ай бұрын
Number four jamani naombeni likes zangu
@janatmapenzi52643 ай бұрын
😂😂😂😂😂 candy lakusema cna ata nawapenda bure😂😂❤like flani amba hapa hata km nmechelewa namuuliza candy vp plan ya kufungua supermarket bado ipo ama
@nasrachimamy3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@NanaaHaji-qr1rk3 ай бұрын
Candy iyo pua itapungua mara hii😂
@ZaithuniNassir3 ай бұрын
😂😂😂😂na ataongea vizurii siyuaongea na ulimi😅😅😅
@JasminKilimo3 ай бұрын
Bibi zuuu hongera sana ❤❤
@AlexFute-um1dk3 ай бұрын
Nàona lugha ya kibena naenjoy 😂apaaaa
@mohamedlopa84103 ай бұрын
Kama unahiman zuuh ata apatikana nakuzungushiwa kibuyu kichwan tujuane kwa like zakutosha❤❤❤❤😂😂😂😂😂❤❤❤