HOUSE GIRL EP 34 || love story💞💕

  Рет қаралды 186,143

BUSATI TV

BUSATI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 772
@anethJapheth
@anethJapheth 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤naipenda xnaaa jmn piah naifatilia xnaaa wako vizuri xnaaa hawa watu jah bless u guys . Kila ckuu naweka bando kwajili yenh
@Rahema123
@Rahema123 3 ай бұрын
Ila duh mpo vizuri sana mnajuwa kutuelimisha inshaallah M/mungu hawalind mzdi kutuelimisha 🎉
@sharifanyumayo6314
@sharifanyumayo6314 3 ай бұрын
Mojawapo mie Nimefurah mno acha likukute na mganga Kunywa soda barid naja lipa. Kimekulamba Candy oooh
@StelaStela-bd8lf
@StelaStela-bd8lf 3 ай бұрын
Candy umeyatimba mateso kwako ss movie nzuri sana hongereni sana mungu awatangulie
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 3 ай бұрын
Wallah Busati TV mmewezaaaaa tena mmewezaaa tenaaa🔥🔥🔥🔥💐🇹🇿 peperusha dunia nzima wajue kazi yakoo % haya yanafanyika katika jamii tunaziishi nazo
@richardchristopher7141
@richardchristopher7141 3 ай бұрын
Jamani Hii movie mafunzo yake niya ukweli bila chenga Hawa vijana walioigiza hii picha nikama vile mungu kawaonyesha kuwa matatizo mengi ya jamii now days yako hivi walai nimeipenda Sana. Kama nawewe uko Pamoja nao gonga like hapa❤
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
Asante sana tunakupenda mno Mtu wa Mungu
@richardchristopher7141
@richardchristopher7141 3 ай бұрын
@@busatitv Msikate tamaa pambaneni kwani nimeona mnakitu ndani yenu Sr God awe pamoja nanyi msitengane🙏
@AminaKavuo-gj3oc
@AminaKavuo-gj3oc 3 ай бұрын
Himefikia maali Pake wao Asante mungu
@MaryPendo-gy4yr
@MaryPendo-gy4yr 3 ай бұрын
Candy tena bado
@reginaIssa-m2j
@reginaIssa-m2j 3 ай бұрын
❤❤❤ candy hapo Bado hujaona mauzauza 😂😂😂utajuta kwenda kwa mganga
@GloriaVaati-ls9ql
@GloriaVaati-ls9ql 3 ай бұрын
Sasa imekuwa tamu zaidi....hongera kwenu kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🥰🥰
@RaphaelKanju
@RaphaelKanju 3 ай бұрын
Watazamaji wenzang hii movie inanifundisha Sana Yan nimeipenda bule
@emanherman9658
@emanherman9658 3 ай бұрын
Hongereni sana muvi nzuri yakuelimisha 🎉🎉🎉🎉❤
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
Asante sana
@AminaPtg
@AminaPtg 3 ай бұрын
Mungu akuweke director unatumia akil nyingi san 🥰💓🙏
@jobmoffat7844
@jobmoffat7844 3 ай бұрын
Movie ni nzuri Marekebisho ni kupunguza kukaa kwenye sceen ya aina moja kwa muda mrefu.
@MariahJuliuss
@MariahJuliuss 3 ай бұрын
Daaaah jamni jamni mpaka raha 😅😅😂😂😂😂😂🎉❤🎉❤ candy amehaha atli bibi kiboko😊
@VanessaWilliam-m5i
@VanessaWilliam-m5i 3 ай бұрын
Jamni mko vizuli sana mnatuwaishia move zetu ongereni
@Yohana-q7f
@Yohana-q7f 3 ай бұрын
Hongera sana kwa movies nzuri
@CatherineKirugumiCathy
@CatherineKirugumiCathy 3 ай бұрын
Leo sema furaha ya kendy kimekuramba sana pole dada mchawi mzuri ni mungu wachana na mzimu kitakuramba
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@ggfwtgg1652
@ggfwtgg1652 3 ай бұрын
Hii movie mumetusha sana bbi zuuuu yaani nakuamini huezi kuniangusha maana unaweza sana kazi nzuri ❤❤❤❤
@BahatiKadenge-n5r
@BahatiKadenge-n5r 3 ай бұрын
Much love from saudi ❤❤❤yn nafurahia sana katika hii move juu inanifunza katika maisha ya upendo wenu ❤❤❤cendy kitakuramba saii
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🥰🥰
@KennedyMusaina
@KennedyMusaina 3 ай бұрын
Ahh fresh show iko poa ina bamba sana ❤
@hlimaa5182
@hlimaa5182 3 ай бұрын
Movie nzuri mno Yenye mafunzo mengi sana ambayo ndani yake yana ukweli ntupu katika maisha tunayo ishi Mume wa mcho wa daa masozi acheni tamaa itawaponza😂😂😂😂😂niko pale 👉 nasubiri episode 35❤
@saumodzumbo9671
@saumodzumbo9671 3 ай бұрын
Nashukuru sana kai Mungu awazidishieni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jacklineshayo3962
@jacklineshayo3962 3 ай бұрын
Jmn wa2 wako faster. Naomben like at 3 ty kwa ajl ya bib ake zuu🎉🎉
@muddyramadhan3255
@muddyramadhan3255 3 ай бұрын
Hii movie ikiisha tafadhali naomba kwa dhati ya moyo wangu iwe na sehem ya pili maan naona km bado itakuwa namaan san toka nimeanza kuwafatlia hii kitu ni noma san
@افااقع
@افااقع 3 ай бұрын
Hii movie yafundisha jamani ukifanyia mwenzako ubaya usitarajie kulipwa mema ❤❤
@Weksa-dg8ev
@Weksa-dg8ev 3 ай бұрын
Kilicho wekwa gizani siku siku kitaonekana peupe rafikiye Cain safi sana honger❤❤❤❤😊
@AsebaleylaDavid
@AsebaleylaDavid 3 ай бұрын
Ahsante kwa episode nyingine chukua 🎉🎉🎉 nawapenda sana
@MaarufuAmani-bq6qc
@MaarufuAmani-bq6qc 3 ай бұрын
Tunae fulahi uamuzi wa bibi zuuu gonga like
@AishaAlly-ob7vd
@AishaAlly-ob7vd 3 ай бұрын
Kai kendi anakupoteza kwenye direction ya maisha yaan Mungu aksimamie
@AyishaAyisha-k9r
@AyishaAyisha-k9r 3 ай бұрын
Nitafulah sana zuu wangu akipona cend naye awe chizi kbx nahiyo loho mbaya yake
@BeatriceRobi-j5q
@BeatriceRobi-j5q 3 ай бұрын
Malipo ni hapa duniani tenda mema mungu atakulipa
@nurusaid4698
@nurusaid4698 3 ай бұрын
Nex Bwana Iwe Ewani Saabili Usiku Au Tatu Tusilale Bila Kutazama❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@pilicharo4123
@pilicharo4123 3 ай бұрын
mukiambiwa usiende kwawaganga hamuelewi😅😅😅
@Zainab-vo2uz
@Zainab-vo2uz 3 ай бұрын
Hii ndio nzuri sana dawa ya ubaya ni aibu
@MauaSaid-t4b
@MauaSaid-t4b 3 ай бұрын
Nafurahi jamani kend kinamkuta kutoka kwa bibi AMA kweli ukimfanyia mtu ubaya malipo hapa hapa duniani movie hii ni darasa tosha
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
Kabisaaa
@SuzannMukuna
@SuzannMukuna 3 ай бұрын
candy na bado macho haijakutoka itakutoka timu zuu mwaga likes zako hapo🎉🎉🎉
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 3 ай бұрын
😂😂😂
@MimiUsanase
@MimiUsanase 3 ай бұрын
Iyi movie nikali nayipendasana kinoma
@barakamshefa6426
@barakamshefa6426 3 ай бұрын
Hii movie inahistoria ya kweli na wenye tunatizana hii filamu bs tutapanuka ki akili na kuwa wabunifu sana katika maamuzi
@nuriatyhamiss7201
@nuriatyhamiss7201 3 ай бұрын
Candy 😂 Dunia inazunguka momy Leo yamekufika😅
@NadraRajabu
@NadraRajabu 3 ай бұрын
Ila sania amenifurahisha sana jmn❤❤❤❤❤
@SimoniFeresian
@SimoniFeresian 3 ай бұрын
Inakuja zamu candy kuwa chiz mda so mrefu
@CharleneNIYORUKUNDO
@CharleneNIYORUKUNDO 3 ай бұрын
Wakwaza leo naomba like zang jmn from burundi😊😊😊
@PurityWaithira-ud2vj
@PurityWaithira-ud2vj 3 ай бұрын
Jamani watatu ni pewa likes nimejificha chooni mdoss wangu asinione bwana nyie😊,more love from qatar ❤
@RizikiZiki
@RizikiZiki 3 ай бұрын
Uhuum mambo kwa bibi zuu yananoga kwa kay yanazidi kua magumu haya si twaomba zuu apatikane atibiwe na kay atibiwe Candy kimurambe tena asiwe kica awemuzima afe taratibu tu😂😂
@LinahAssey-i5m
@LinahAssey-i5m 3 ай бұрын
Hii movie inafundisha sana i like it
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🙏🙏
@SharonNabwire-ft7qp
@SharonNabwire-ft7qp 3 ай бұрын
I like the video ❤❤❤❤🎉
@GivenessJamal
@GivenessJamal 3 ай бұрын
Hongerani kwa Kaz nzuri hampoi 🎉🎉🎉
@EdithaPaulo-e2z
@EdithaPaulo-e2z 3 ай бұрын
nimewahi jamani naombeni like zengu timu zuuuh
@JudyDee-dt2fe
@JudyDee-dt2fe 3 ай бұрын
team zuu naona tuko na kahopes sasa wapi like za zuuu tukiamini atakua poa soon❤❤❤❤❤
@HidayaMbodze
@HidayaMbodze 3 ай бұрын
Tushafikiwa😂😂 raha ilioje🎉🎉🎉
@SamiaMwachumba-xf8wo
@SamiaMwachumba-xf8wo 3 ай бұрын
Tuko hapa mbna raha
@EsterAsajile
@EsterAsajile 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤​@@SamiaMwachumba-xf8wo
@MwanashaAsha
@MwanashaAsha 3 ай бұрын
Tuko apa tupo rada sana
@Ibrahim-f8p
@Ibrahim-f8p 9 күн бұрын
Jaman namuonea candy hurumaa ❤❤❤ nampenda sanaa
@Ibrahim-f8p
@Ibrahim-f8p 9 күн бұрын
Ila msinioshee mmmh😢
@ReginathaKibena
@ReginathaKibena 3 ай бұрын
Zuu na Kai wapone haraka,mana wakipona utamu wa movie ndo unakolea sasa👌...candy ateseke na yeye😎
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🙌
@ReginathaKibena
@ReginathaKibena 3 ай бұрын
@@busatitv Ndy team Kai na zuu zamu yetu sasa😂
@Aziza..Shaban
@Aziza..Shaban 3 ай бұрын
Daa!! Kali hii. Tuone Kai yuwapeana talaka au yuwauza nyumba❤❤❤
@zainaalmahlruqy5829
@zainaalmahlruqy5829 3 ай бұрын
Wanawake wenzangu jistirini hakuna dini inatoruhusu mavazi kama hayo mnatutukanisha filam nzuri sana
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🙏
@REHEMANCHALIKA
@REHEMANCHALIKA 2 ай бұрын
Umeongea kama watu mia wabadlshe🎉
@QweenNickson
@QweenNickson 3 ай бұрын
Kidogo kidogo yameshamuanza Candy. Na hapo ni mwanzo tuu.
@JanethEmmanuel-mr5le
@JanethEmmanuel-mr5le 3 ай бұрын
bibi honger mkomesha uyo candy❤❤
@KamamaaOmar
@KamamaaOmar 3 ай бұрын
Yaani nmefurahia sana
@LilijohariLilijohari
@LilijohariLilijohari 3 ай бұрын
Wasipo fanya haraka ku watibia kay na zuuu basi mali ime liwa 😅😅😅
@Saum-so9gr
@Saum-so9gr 3 ай бұрын
Kazi nzur ❤️❤️👏👏
@Vincent0piyo-dc1qw
@Vincent0piyo-dc1qw 3 ай бұрын
Kendy kayatimba mwenyewe.......Mwana kulitafuta mwana kulipata... Harusi kati ya Zuu na Kai tunayo hatuna????😊
@peterphilipo5103
@peterphilipo5103 3 ай бұрын
Hatari sana hongereni team BUSATI TV
@merinazyd0532
@merinazyd0532 3 ай бұрын
Hivi kai akijua mauzauza yote hayo aliyo ya fanya cendy siatamfukuza kama mbwaa 😂😂😂😂
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🤣🤣
@MwactyPatrick-dk4ls
@MwactyPatrick-dk4ls 3 ай бұрын
​@@busatitvhili ni bonge la movie kwann msipeleke dstv au azam jmn uwiiiii much love❤❤❤
@rishedynassor6170
@rishedynassor6170 3 ай бұрын
Kaz nzur
@mesamesa3698
@mesamesa3698 3 ай бұрын
Mapema ndio best n kama unamkubali bibi gonga like nifurahi❤
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🥰
@floramacheva5855
@floramacheva5855 3 ай бұрын
😂😂😂😂 wuuueeeeh... Candy kapatikana, kimemramba tena vizuri sana 😍. Ukitenda mema unajitendea, na ukitenda maovu unajitendea.... Candy kula chuma hicho 😂😂😂😂
@Manasiti-k1p
@Manasiti-k1p 3 ай бұрын
Ebu munuachie likes mashabiki wenzangu tunao fatilia house girl nawapenda Sana
@ClariceMatulanga
@ClariceMatulanga 3 ай бұрын
Mmmmm
@NasmaMoses
@NasmaMoses 3 ай бұрын
Muv tam ❤❤
@tigejuma9865
@tigejuma9865 3 ай бұрын
Wenye wanaimani kwmba cku yenye zuu atajaliwa kuonana na nyanyaah ndio mwisho wa uchizi wake....nakuuliza mbna mumenizunguka....!!? Niko wapi apa!!? Alafu mbn munalia😅
@REHEMANCHALIKA
@REHEMANCHALIKA 2 ай бұрын
Kwaiyo mawazo yako uko mbele na busat😂
@REHEMANCHALIKA
@REHEMANCHALIKA 2 ай бұрын
Bibi yangu nae hajambo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Tynamnyilis9824
@Tynamnyilis9824 3 ай бұрын
Watu wangu wa nguvu naomben like zenu basi leo wa kwanza👌
@WARDARAJABU-d9v
@WARDARAJABU-d9v 3 ай бұрын
Na me naombeni like timu zuuh❤🎉🎉
@SilivesterkalaniJr
@SilivesterkalaniJr 3 ай бұрын
Bibi ameamua sasa patamu hapo😂😂😂😂😅
@estherezzy136
@estherezzy136 3 ай бұрын
Waaa mkofasta aje ❤❤❤❤🎉❤🎉❤🎉
@RazikeRara
@RazikeRara 3 ай бұрын
Congratulations bibi zuu nmependa sana
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@AkimanaVely-gq9cu
@AkimanaVely-gq9cu 3 ай бұрын
Nam leo nimewahi jomn Wana wa burundi tujuane kwa like bs
@dansonmukhwana8844
@dansonmukhwana8844 3 ай бұрын
Wa kwanza toka kenya wapi likes zangu jaman❤
@VillaviaChemutai-if2ry
@VillaviaChemutai-if2ry 3 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wakenya mpo
@MariamAlly-xw6ms
@MariamAlly-xw6ms 3 ай бұрын
Kai mpo vizuli mungu azidi kukupa mafunuo ya kuifunza tz na dunuia kwa ujumla
@Sayd-pi5lq
@Sayd-pi5lq 3 ай бұрын
Ni motoo lkn episode inayo fata bb ake zuu lazima afanye K2 ili Kai akili yake irudi kabla nyumba haijauzwa😢
@RoseMsuya-q6m
@RoseMsuya-q6m 3 ай бұрын
Dah uyu kay niuchawi tu au kapewa na vingine😢😢 like zenu jaman
@MariaKahind
@MariaKahind 3 ай бұрын
Canndy wachezea bibi ya boss mchawi wewe......ngoja ujikubali kuwa ulironga watu😂😂😂😂😂😂
@ZaithuniNassir
@ZaithuniNassir 3 ай бұрын
😅😅😅😅huyu nikiboko huyu bibi....kwa boss mchawiiii sana😊
@MariaKahind
@MariaKahind 3 ай бұрын
@@ZaithuniNassir hatari huyo bibi........ila canndy ashaumbuka....halafu rafiki yake mnafki kama nn...walielewana saa hii ashatombowa siri.....marafiki jamani
@ZaithuniNassir
@ZaithuniNassir 3 ай бұрын
@@MariaKahind 🤣🤣🤣yy canndy ndio aloanza kumuharibia🤣🤣nayy hakutqka kabisa akaharibuuu kabisa saii atajua hajui
@MariaKahind
@MariaKahind 3 ай бұрын
@@ZaithuniNassir mm nilisha juwa bibi ya boss mchawi akiingia atapata aibu
@TantineZuzu
@TantineZuzu 3 ай бұрын
Bibi zuuu kiboko sahii niko.namatumaini soon zuuu atakuwa sawa ❤❤🇧🇮🇧🇮
@DianaJordanManga
@DianaJordanManga 3 ай бұрын
Candy. Alipofikia angeomba powa tuu mana habr zake zinazid kusambaa na bizuu kaamua kukasirika Kaz nzuri sana
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
Kabisaaa
@CheskoChali
@CheskoChali 3 ай бұрын
Wapili naomba like 5
@mareiaMerry
@mareiaMerry 3 ай бұрын
Good job 👏
@salmakashau-ib9fq
@salmakashau-ib9fq 3 ай бұрын
Ss hyu Kai si boc ss mbn atembea kwa miguu
@Weksa-dg8ev
@Weksa-dg8ev 3 ай бұрын
Bibike zuu ni vip mchawi ama na iyo kibuyu ni Cha nin uchawi sielewi Ako amesimama wapi❤
@MaggySemkande
@MaggySemkande 3 ай бұрын
Kwakweli na mm nimejiuliza hivohivo😢
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉Kaz nzuri sana
@momkhan-hc7zh
@momkhan-hc7zh 3 ай бұрын
Busati naomba jina la nyimbo
@HalimaBakari-hg5py
@HalimaBakari-hg5py 3 ай бұрын
Bi zuuh kayayuka Leo chezea mjukuu ww, wapi team bibi tujuane😅
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🤣🤣
@GhUy-u7s
@GhUy-u7s 3 ай бұрын
We jaman ❤❤❤❤
@Roze-so4he
@Roze-so4he 3 ай бұрын
Kazi nzuri
@neemapatrick6481
@neemapatrick6481 3 ай бұрын
Jamani house girls pambe❤❤❤❤
@SharonNabwire-ft7qp
@SharonNabwire-ft7qp 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉
@EliasNiyibigira
@EliasNiyibigira 3 ай бұрын
Iike yangu jamani Niko zambia
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 3 ай бұрын
Hebu jaman leo Ndo fainal cndy kuumbuka kma unakubali weka like hpa team felus 😂 🇴🇲
@richardchristopher7141
@richardchristopher7141 3 ай бұрын
Hi
@AishaSudi-pu9xy
@AishaSudi-pu9xy 3 ай бұрын
Leo niwai likes zenu bas😂
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 3 ай бұрын
@@AishaSudi-pu9xy😂😂😂😂
@ElizabettEmanuel
@ElizabettEmanuel 3 ай бұрын
Leo Nini sijaelewa nieleweshe bas ndyo nikupe like 😂😂😂😂
@reginagikaro5654
@reginagikaro5654 3 ай бұрын
😅😅😅😅
@winnykirisha4556
@winnykirisha4556 3 ай бұрын
Eki kipindi kinamafunzo
@KalistusWiligis
@KalistusWiligis 3 ай бұрын
Jamani nipeni like mm ndo wa kwanza leo
@rubniyi3551
@rubniyi3551 3 ай бұрын
Bado hujasema 😂
@JenniferQueen-n2i
@JenniferQueen-n2i 3 ай бұрын
Number four jamani naombeni likes zangu
@janatmapenzi5264
@janatmapenzi5264 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 candy lakusema cna ata nawapenda bure😂😂❤like flani amba hapa hata km nmechelewa namuuliza candy vp plan ya kufungua supermarket bado ipo ama
@nasrachimamy
@nasrachimamy 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@NanaaHaji-qr1rk
@NanaaHaji-qr1rk 3 ай бұрын
Candy iyo pua itapungua mara hii😂
@ZaithuniNassir
@ZaithuniNassir 3 ай бұрын
😂😂😂😂na ataongea vizurii siyuaongea na ulimi😅😅😅
@JasminKilimo
@JasminKilimo 3 ай бұрын
Bibi zuuu hongera sana ❤❤
@AlexFute-um1dk
@AlexFute-um1dk 3 ай бұрын
Nàona lugha ya kibena naenjoy 😂apaaaa
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 ай бұрын
Kama unahiman zuuh ata apatikana nakuzungushiwa kibuyu kichwan tujuane kwa like zakutosha❤❤❤❤😂😂😂😂😂❤❤❤
@busatitv
@busatitv 3 ай бұрын
🥰🥰🥰🤣🤣
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 ай бұрын
😂😂😂​@@busatitv
@RutaRubedi
@RutaRubedi 3 ай бұрын
😂😂😂 ndio mambo yako nini
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 ай бұрын
​@@RutaRubedi😂😂😂😂
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 ай бұрын
​@@busatitv❤❤❤
@jedenecosta
@jedenecosta 3 ай бұрын
Tendy kumekucha Kwako Naona.ukiamariza Namugu
HOUSE GIRL  EP 35 || love story💞💕
21:21
BUSATI TV
Рет қаралды 193 М.
BIG BOSS | full movie |  { season 1 }
2:20:24
CLAM VEVO
Рет қаралды 2,9 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,5 МЛН
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 15 МЛН
ദീർഘം - 2024  by Dr.Rashid Gazzali at Salafiyya Training College Karinganad
1:29:47
HOUSE GIRL EP 36  | S3 | LOVE STORY 💞💕
26:29
BUSATI TV
Рет қаралды 16 М.
MY LIFE FULL MOVIE
1:16:15
BHAILAM
Рет қаралды 629 М.
PLAN B _ Episode 21
1:00:01
kp wa Aquino
Рет қаралды 144 М.
HOUSE GIRL EP 60 || SEASON FINALE
22:53
BUSATI TV
Рет қаралды 198 М.
Jua Kali Leo Jumamosi Usiku 19-10-2024
22:15
KASKAZINI - Tv
Рет қаралды 31 М.
MR MONEY_EP 09
22:01
LIKOMA
Рет қаралды 237 М.
WANTED FULL MOVE
1:07:36
SOPA RAHA
Рет қаралды 310 М.
HOUSE GIRL EP 34  | S3 | LOVE STORY 💞💕
22:52
BUSATI TV
Рет қаралды 82 М.
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН