HOUSE GIRL EP 35 | S2 | love story💞💕

  Рет қаралды 136,290

BUSATI TV

BUSATI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 717
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 ай бұрын
Asalaamu walekum... bwana yesu asifie yeyote atakayesoma hii coment uwe na maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@rubniyi3551
@rubniyi3551 2 ай бұрын
Makwako pia
@LighySteven-gd8wo
@LighySteven-gd8wo 2 ай бұрын
Ameeen inshalah
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 ай бұрын
😂😂😂😂❤❤❤❤❤
@shelyboyshely2928
@shelyboyshely2928 2 ай бұрын
Ameen nawe pia uwe na maisha marefu
@TheddyBasili-gv5tz
@TheddyBasili-gv5tz 2 ай бұрын
Amen❤❤😂😂
@WaniaLameck
@WaniaLameck 2 ай бұрын
Nimeumia sana Daktari kupelekeshwa na Sania bila kosa jamn 😢 duuuh
@hanifahkhamiss8485
@hanifahkhamiss8485 2 ай бұрын
Rafiki km sania hafai hata kidgo😢😢😢
@evalyneacheing-ow2ew
@evalyneacheing-ow2ew 2 ай бұрын
😢😢😢😢
@saidamwavuo9926
@saidamwavuo9926 2 ай бұрын
Yaan hii movie bila kendi hainogi tuñakupenda ❤❤❤❤❤❤
@Realme-xm3sh
@Realme-xm3sh 2 ай бұрын
Kbs kendy anainogesh sana😂😂😂nautaira wake mi nawapend tu yey na sania😂😂
@OmanMobile-py5bq
@OmanMobile-py5bq 2 ай бұрын
Hata samia
@bayahamisi
@bayahamisi 2 ай бұрын
Hata sania🎉🎉🎉 love you sania🎉🎉🎉🎉
@NasibuAlly-wb9uv
@NasibuAlly-wb9uv 2 ай бұрын
sasa kend sichizi
@NasibuAlly-wb9uv
@NasibuAlly-wb9uv 2 ай бұрын
sasa kend sichizi🤣🤣
@melanianjau3244
@melanianjau3244 2 ай бұрын
Daah jamani dactari ana tabu kweli huruma huzaa dhambi😂😂😂😂😂😂
@riziki8406
@riziki8406 2 ай бұрын
Ni kweli kbs
@manirambonajeanne3876
@manirambonajeanne3876 2 ай бұрын
😂😂😂😂Kandi hana shoo mbaa 😂😂😂Lakini zhambi zake sijuwi mwisho wake utakuwa aje😂😂😂😂😂
@elitumainimathayo9405
@elitumainimathayo9405 Ай бұрын
Na zambi huzaa mauti
@shabanjuma7102
@shabanjuma7102 2 ай бұрын
Candy anajua kuigiza, big up
@SaumuJumwa-u4v
@SaumuJumwa-u4v 2 ай бұрын
Kutoka kenya 🇰🇪team hamamu tutiane nguvu jamni
@RendinaaEliabi
@RendinaaEliabi 2 ай бұрын
Yan mama candy anapata shida jamani tujitahidi kuwaheshimu wazazi wetu wametuzaa kwa shida wametulea kwa shida tena tumekua tunawapa mtihani kuliko walikotoka Mungu tusaidie 🙏🙏🙏🙏
@AlfaCharles-e8h
@AlfaCharles-e8h 2 ай бұрын
Ad namuonea uruma mama candy
@AishaTanzania-t1g
@AishaTanzania-t1g 2 ай бұрын
Kumenoga huku njoooowen jmn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@riziki8406
@riziki8406 2 ай бұрын
😅😅😅😅
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 2 ай бұрын
Mama candy anapata tabu kwel #
@UmmuJuhaynaAbuuIssa
@UmmuJuhaynaAbuuIssa 2 ай бұрын
chiko kwisha habari yako na kizazi huna iyo ndo dwa yako anaee amin kuwa chika hana kizazi na ataaibika vibaya angonge lake hapa
@BarakaEdna
@BarakaEdna 2 ай бұрын
Mie hapa
@EuniceHaroun
@EuniceHaroun 2 ай бұрын
😅😅😅😅
@Stellabby-zo7mw
@Stellabby-zo7mw Ай бұрын
😂😂😂😂kwishaaa
@JudithKauwa
@JudithKauwa 2 ай бұрын
Kazi nzr busat tiv tupo pamoja
@سونو-ت6ن
@سونو-ت6ن 2 ай бұрын
Hongera kazi nzur🎉🎉
@LaidaProsper
@LaidaProsper 2 ай бұрын
Daa! Polee mama Candy kwa kupata mtoto kichomi😳
@LuciaBukula
@LuciaBukula 2 ай бұрын
Candy mshukuru Sania 😅😅😅😅 na ulikuwa hautaki kumsamehe ungekiona cha moto😅😅😅
@SaumuJumwa-u4v
@SaumuJumwa-u4v 2 ай бұрын
Ubaya umbwela 🤣🤣Chiko yamekukuta ndo wamtafuta Zatiti wangu 😂😂😂aaah huyo niwa Tasha baba tuliza madevu yako 😁😁😁kma unangoja harusi ya Tasha na zatiti tujuane
@saumJuma-q3e
@saumJuma-q3e 2 ай бұрын
Busat mko vzr sana kuwahisha kazi na mungu awaongoze yn hatulali kazkaz
@zainabsabas1807
@zainabsabas1807 2 ай бұрын
Chiko mbegu zenyewe unazo nyau ww😂😂
@rubniyi3551
@rubniyi3551 2 ай бұрын
Alakini kweli 😂😂😂😂
@FaisalAlrefai-u2y
@FaisalAlrefai-u2y 2 ай бұрын
Kimemramba 😂😂😂😂😂
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 2 ай бұрын
😂😂😂hana
@riziki8406
@riziki8406 2 ай бұрын
😅😅😅ndio hapo sasa chiko amechezwa shere bila kujijua😁😁
@HafsaShekigenda
@HafsaShekigenda 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Mbavu zangu jamani
@salehnasra-c7k
@salehnasra-c7k 2 ай бұрын
Wa kwanza leo tangu ianze hii movie
@EmmilianaWekesa
@EmmilianaWekesa 2 ай бұрын
Team saudi arabia hello🎉🎉❤❤
@AnastaziaKimaro
@AnastaziaKimaro 2 ай бұрын
Imeniuma sana wakati mama candy anaomba msamaha kwa kosa ambalo sio lake na yote ni kwaajili ya mwanae😂 like kwaajili ya mama zetu ❤
@umfahad2609
@umfahad2609 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa. Mzazi hauwi jamani.
@AnsufatRakitc-z5d
@AnsufatRakitc-z5d 2 ай бұрын
Ata mm
@HawaHussein-hq1lj
@HawaHussein-hq1lj 2 ай бұрын
Mama yuko tayar kufanya lolote japokuwa nilakumumi ilimrad mwanaw akae sawa
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 2 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊Mama ni mama2
@BerthaMisana
@BerthaMisana 2 ай бұрын
Jamn ya kalibia move nzima ni upande mmoja waka kuna sehm nyingi kwa tasha na kai had bibi zuu jama hamen
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 2 ай бұрын
Afadhali leyo nimekuwa 160 nimejitahidii😂😂❤❤❤❤❤❤
@KuvunaGonda
@KuvunaGonda 2 ай бұрын
Jamani chiko makosa siyamama niyahao walio valia vijora hasa huyo Sania ametia fora 😂😂
@marymele9714
@marymele9714 2 ай бұрын
Navyenye sikapendi kama mshumaa vile
@samsonkaboko5137
@samsonkaboko5137 2 ай бұрын
Chiko acha kuongopa, unapopokea taarifa kama hizi kwanza kabisa unalegeza tai kwanza
@FaisalAlrefai-u2y
@FaisalAlrefai-u2y 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@VgmukomboziOficiel
@VgmukomboziOficiel 2 ай бұрын
Congo hatulale tuko bomba naomba ata link kumi
@SaumuJumwa-u4v
@SaumuJumwa-u4v 2 ай бұрын
Tasha amezama kwa Zatiti huku nako chiko amemtafuta 😂😂hapa kutaendaje jamni 😁je zatiti ataolewa ama atamrudia chiko…….🤣🤣🤣🤣
@esthermabuga1259
@esthermabuga1259 2 ай бұрын
Shwaaa😅😅😅😅
@MercySilvester
@MercySilvester 2 ай бұрын
Sania na candy jamani na pia chiku ndo mwanzo huo malipo ni hapa hapa dunian acha umkumbuke zatiti sasa
@SaumuJumwa-u4v
@SaumuJumwa-u4v 2 ай бұрын
Chiko na dadako acha mungu awadhimbu 🤣🤣mimba haijaharibika leo wala kesho😅😅kuleni chuma hiyo zamu ni yenu halafu chiko wewe huzalishi acha kumlaumu dadako 😃😃😁😁😁😁
@ShamimAbdul-tf3fw
@ShamimAbdul-tf3fw 2 ай бұрын
Cendy tangu nimeanza kuangalia hii Movie leo nakupa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@IsmailabdallaNjama
@IsmailabdallaNjama 2 ай бұрын
Naomba jina la wimbo please naupenda xana
@NellyKombe
@NellyKombe 2 ай бұрын
Jaman move tamu nimekubali lkn mda mbona mumepunguza jameni chukueni maua yenu tem b
@FARIDARAMADHANI-p8i
@FARIDARAMADHANI-p8i 2 ай бұрын
Nani kaona mama candy kaongea kingerezaa😅😅😅are u serious😂😂😂
@violangaira
@violangaira 2 ай бұрын
Mama candy anajua kizungu😂😂
@GlycerySadkin
@GlycerySadkin 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂,nimedhani nimeskia vibaya
@MemoryKamutandi
@MemoryKamutandi 2 ай бұрын
Ww candy umemugeuka tena huyo doctor ww sania acha kumufundicha tabia mbaya 🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂
@GloriaNekesa-tz3ph
@GloriaNekesa-tz3ph 2 ай бұрын
Waa Candy kuna siku kitakuramba tuu sana umemuletea mamako shida aki uko mbaya Candy sanaa sanaa
@JosephaSulle-yi4zr
@JosephaSulle-yi4zr 2 ай бұрын
KunAaaa sehem naipendaaa mnoo mnoo palee zatiti anaandika text na kuifuta na pale anaposubili tasha ampigiee
@AngelamerisBinamungu
@AngelamerisBinamungu 2 ай бұрын
Tumemmisi Kaiii na Zuuu
@HoHo-l1r
@HoHo-l1r 2 ай бұрын
Huyo candy mimba ilishatoka. Mda mrefu chiku a ajua Leo pole 😂😂😂
@busatitv
@busatitv 2 ай бұрын
🤣🤣🤣
@LaillaNyadu
@LaillaNyadu 2 ай бұрын
Mimi wa Burundi 🇧🇮🇧🇮 like nataka
@JohnJimmy-y9z
@JohnJimmy-y9z 2 ай бұрын
Hongela san
@MauwaSama-t1v
@MauwaSama-t1v 2 ай бұрын
Jamani nilisubiri kwa hamu
@HawaJums
@HawaJums 2 ай бұрын
Wewe shida jamanii mbn unashida ivoo
@esthermabuga1259
@esthermabuga1259 2 ай бұрын
Ee chiko baba hapo ni kwako lala,, na mtoto huna😂😂😂😂😂
@aishaomar2287
@aishaomar2287 2 ай бұрын
Ati ni kwake🤣🤣
@samsonkaboko5137
@samsonkaboko5137 2 ай бұрын
Nampenda Sana zatiti nampenda zaititi nampenda Sana zatiti jamani zatiti
@MARYNAGUJustin
@MARYNAGUJustin 2 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉nilitoka out but nimeshindwa kulala kbla ya kuangalia house girl haha kazi iendele you can believe now huku oman ni sa nane ❤❤❤❤🎉
@Hapygideon
@Hapygideon 2 ай бұрын
Hivi nyinyi watu hamlalagi siku moja moja mkachelewa😅😅😅
@Ester-e5s
@Ester-e5s 2 ай бұрын
Sania na candy🙌ila mnanogesha movi
@AishaOthumani-wt6pz
@AishaOthumani-wt6pz 2 ай бұрын
Saanaa yaani wakiondoka na me siangalii move
@FailaQueen-qm4dt
@FailaQueen-qm4dt 2 ай бұрын
Shiiii 😏😏😏
@Ester-e5s
@Ester-e5s 2 ай бұрын
@@AishaOthumani-wt6pz yaan tuvituko hatuishi kila kona wenyewe mov inatufundishaa hiii wapew mauwa yao🌹🌹
@AbduMjimba
@AbduMjimba 2 ай бұрын
Jaman wakwanz leo naomben ata like jaman
@EuniceHaroun
@EuniceHaroun 2 ай бұрын
Like za nn jmn kwan mnalipwa
@TashaShonez
@TashaShonez 8 күн бұрын
Sania na kendi ndo wanajua ku act kwa ii movie ❤❤❤
@RuthNyongesa-me9cx
@RuthNyongesa-me9cx 2 ай бұрын
Came down ,,,kam down vipi chiko😂😂😂😂iyo ilitoka kitambo bana😂😂😂
@gracenyevu8082
@gracenyevu8082 2 ай бұрын
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
@FatmaRashid-i3h
@FatmaRashid-i3h 2 ай бұрын
Team strong nimekunywa panadol za kenya Leo najihisi kuandamana 😂
@TunuAdam-gc9rc
@TunuAdam-gc9rc 2 ай бұрын
😂😂
@Amina-n3r
@Amina-n3r 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@NicksonVakuvala
@NicksonVakuvala 2 ай бұрын
sijawah pata like naomba hata moja🙏🙏
@Aisha-o4v
@Aisha-o4v 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@shabanjuma7102
@shabanjuma7102 2 ай бұрын
Hizo like huwa mnazifanyia nn
@jayvannyclassic191
@jayvannyclassic191 2 ай бұрын
Wa kwanza leo nipeni likes zangu jamani 😂😂😂
@LydiaLoiruki
@LydiaLoiruki 2 ай бұрын
Nimekua wakwanza comment jmn
@MoreniObote
@MoreniObote 2 ай бұрын
Mmh Yan mama mwenyewe anashindwa kuelewa mwanae ni wakina gan candy weeeee ni shida
@niyonkuruevangeline1514
@niyonkuruevangeline1514 2 ай бұрын
Wakwanza leo🎉nipeni like zenu jamani❤hata5 nidashukuru wapendwa
@aishaomar2287
@aishaomar2287 2 ай бұрын
Sasa chiko ni namna gani ingine nesi akusaidie,amtie candy mimba au😂😂😂,aaaaweeeeh 😊...ila poleee
@riziki8406
@riziki8406 2 ай бұрын
Huyu sania na candy sijui ni waeke fungu gani kwa kweli walicho mfanya docter😅😅
@MasauShida
@MasauShida 2 ай бұрын
Kazi nzuri sana wana Busati tv🇹🇿
@Ramsagenius
@Ramsagenius 2 ай бұрын
Nawakubalini Bali sana busati tv
@tabithanzisa9755
@tabithanzisa9755 2 ай бұрын
Mambo ni moto hongereni sana busati tv❤❤❤❤😊
@christinekemunto461
@christinekemunto461 2 ай бұрын
Kwani nafurahi nitakuwa WA kwanza leo kumbe wapendwa wezangu jamani mumelala KZbin😅😅 haya nipe like Leo naomba like tano tu
@MohamedKipaji
@MohamedKipaji 2 ай бұрын
Hapo vp
@PeninahOdongo
@PeninahOdongo 2 ай бұрын
Hizi like mwaziomba mwazifanyia nn jamani mumekuwa omba omba sana😂😂😂
@SayiWales
@SayiWales 2 ай бұрын
Kazi iendelee
@SadaMwambungu
@SadaMwambungu 2 ай бұрын
Assalamualyikum Wana busat Leo nime kuwa was kwanza naombeni like
@سعدههوام
@سعدههوام 2 ай бұрын
Waalaikum salam warakhmatullah wabarakatuh
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 2 ай бұрын
Candy jini bwengo kweli😂😊
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 2 ай бұрын
Duuu huyu cendy
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 2 ай бұрын
Dokta safi sana
@buru1235
@buru1235 2 ай бұрын
Weeeh Leo nimewahi jmn narudi n comment
@SasherKhamisi
@SasherKhamisi Ай бұрын
Jaman candy uongeee kwa kituo. na kichambo unajua nitakukodi.❤
@fatumahdadah8092
@fatumahdadah8092 2 ай бұрын
Sijapeda zattii apokeye iyo sim😮 like
@ProsperMollel
@ProsperMollel 2 ай бұрын
Sania ni hatari sana ni muharibifu mbaya sana.
@FarajastevetzMpulila
@FarajastevetzMpulila 2 ай бұрын
Ila kend jmn umeamua kumgeuzia mzgo nes
@Teresia-bg9dt
@Teresia-bg9dt 2 ай бұрын
Waaah maskini mama kedy dah,🙆
@hypogotz8705
@hypogotz8705 2 ай бұрын
Gonga like kama naww hukapendi kasania 😂
@lovenessmichael7098
@lovenessmichael7098 2 ай бұрын
Mpo vizur san ❤
@JoanEthel
@JoanEthel 2 ай бұрын
Tasha I'm very happy to hear lovely word from your mouth ❤ marry zatiti and you will be happy
@buru1235
@buru1235 2 ай бұрын
Khaaa 🙌🙌🙌🙌 candy nimekuogopa Gai and for you chiko mbona unalaumu dadake Kwa kosa lenye si Sahihi wallai and Zatiti ndio nimeamini kuwa ukupewa talaka Gai 😮 And ukirudi Kwa chiko ww n fala Sana wallai kubali Tasha tu
@KhadijaMdee
@KhadijaMdee 2 ай бұрын
Siwapend hawa watu nampenda zatiti na Tasha ka na wewe unawakubal gonga like
@KiswagaPlumbingsupply
@KiswagaPlumbingsupply 2 ай бұрын
Congratulations
@ggfwtgg1652
@ggfwtgg1652 2 ай бұрын
Pole sana mman candy najua unaumia kwa sababu ya mtoto wako asifundwa na muzazi 😅chiko na bado utasema we huzai nacheka kama mazuri 😅😅😅
@LaizerChionda-de6ul
@LaizerChionda-de6ul 2 ай бұрын
Duuh kazi nzuri hiii naipenda hatari ❤❤❤
@babypromise
@babypromise 2 ай бұрын
Eh! Jamani candy and Sania mavituko tu😮
@bintijumachongoa892
@bintijumachongoa892 2 ай бұрын
Wallah mlikuwa mwatuumiza sana w3ngnr humu ndio furaha yetu..coz kazi zitutie presha mahueihan9 nayo yatutie stress na nyinyi nanyi mtuongezee ..aah mtupe kama mlivyotupa mwanzo jaman....atakama marambil ama tatu kwa sku..tunawapenda wana busati❤
@faustafadhili1680
@faustafadhili1680 2 ай бұрын
Amnaga show mbovu kwakweli kama kwenye hii muv umejifunza kitu like hapa mwaga makopa
@zippyMtali
@zippyMtali 2 ай бұрын
Leo nimewai mnipeeni like jamani
@JacksonVicent-i1t
@JacksonVicent-i1t 2 ай бұрын
Super hero mkurya wa kwanza ku like mzigo huu
@sophiajj2296
@sophiajj2296 2 ай бұрын
Naombeni like mekuwa wakwanza kilasiku nawapa nyie tu😢😂
@totooboki8072
@totooboki8072 2 ай бұрын
Wa kwanz leo jaman naomb like💃
@SaudaAthuman-x2f
@SaudaAthuman-x2f 2 ай бұрын
Sania anajua kupatia candy, anamuingiza mulemule
@aishalovesesibe
@aishalovesesibe 2 ай бұрын
Sania ni mutoto mubaya anamudanganya kendy😂😂😂🤣🤣🤣🇧🇮🇧🇮
@tabanyabinghi263
@tabanyabinghi263 6 күн бұрын
Malipo ni hapa hapa duniani mwenye anabixha aseme
@MoohajezAmagove
@MoohajezAmagove 2 ай бұрын
Mimi naye like hata moja hamuwezi nipa?
@Franciscah-ks5zq
@Franciscah-ks5zq 2 ай бұрын
Wenye tumeisubiri hii kwa moyo wote tusalimiane kwa like
@CallebNyangari-xp9xt
@CallebNyangari-xp9xt 2 ай бұрын
Mambo
@franktodory
@franktodory 2 ай бұрын
kazi nzuli sana ila haimanishi tusiombane like
@zainabmbwana8195
@zainabmbwana8195 2 ай бұрын
😂😂
@SaidiHafsa
@SaidiHafsa 2 ай бұрын
Nimewahi na mimi like zangu wa 44
@NurumrishoAbdalla
@NurumrishoAbdalla Ай бұрын
Daah hunyu mama cany anashida kweli kwa mtoto wadizainihi mungu tunusuru sana
@SaudaAthuman-x2f
@SaudaAthuman-x2f 2 ай бұрын
Na leo nimekua wa kwanza naomba like ❤
@SospeterAmosy
@SospeterAmosy 2 ай бұрын
Jaman wanaokua wa mwisho Kila siku kuangalia house girl like hapa😂😂
@millysitati8844
@millysitati8844 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂Why are you shouting nah😂
@SospeterAmosy
@SospeterAmosy 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂​@@millysitati8844
@Recho-k9o
@Recho-k9o 2 ай бұрын
Mi ndo wamwisho Kila siku jmn😂😂😂
@SospeterAmosy
@SospeterAmosy 2 ай бұрын
@@Recho-k9o inatakiwa uwe rafiki yangu
@SamsonCharo-g1j
@SamsonCharo-g1j 2 ай бұрын
Nimemiss part ya Kai na zuu busati❤❤❤❤
@prettyney3812
@prettyney3812 2 ай бұрын
Jmn leo nimechelewa waiguru alikua amenifichia simu yangu😢😢😢😢😢 hongeren sana wana Busati Tv ❤❤❤🎉
@esthermabuga1259
@esthermabuga1259 2 ай бұрын
Pole sana ,,lakin kwann waiguru jamen😢😢
@prettyney3812
@prettyney3812 2 ай бұрын
@@esthermabuga1259 ni roho mbaya yaa toka saaa mbili ndo ananipa saiv😔😔😔
@esthermabuga1259
@esthermabuga1259 2 ай бұрын
@@prettyney3812 Mungu akutie nguvu mwaya
@prettyney3812
@prettyney3812 2 ай бұрын
@@esthermabuga1259 Asante kipenzi ila nimebakisha miezi miwili tu niondoke
@rehemanamangwamba
@rehemanamangwamba 2 ай бұрын
Na mie like jaman hata 5 hv 😢,,,
@Aisha-o4v
@Aisha-o4v 2 ай бұрын
@@rehemanamangwamba towa salam utapata Zaid ya hizotano🤣😂😂
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol Ай бұрын
Hyoo mama cend anatia Hadi huruma tu masikn anamuogopa cend kama kamzaaa yeyw
HOUSE GIRL  EP 36 || love story💞💕
20:15
BUSATI TV
Рет қаралды 188 М.
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 4,6 МЛН
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 27 МЛН
HOUSE GIRL EP 45  | S3 | LOVE STORY 💞💕
21:05
BUSATI TV
Рет қаралды 40 М.
HOUSE GIRL EP 37 | S2 | sad story 💔💔
16:48
BUSATI TV
Рет қаралды 138 М.
HATIMA  YA CHOKORAA  FULL MOVIE 💞
44:38
NDOTO TV
Рет қаралды 2,7 М.
DHULMA FULL MOVIE PART 1 (OFFICIAL H.D)
51:35
Tamthilia za pwani official
Рет қаралды 478 М.
WRONG HOUSE EP |14|
1:05
Boss Mchawi
Рет қаралды 222 М.
HOUSE GIRL EP 36  | S3 | LOVE STORY 💞💕
26:29
BUSATI TV
Рет қаралды 106 М.
MAPACHA WALIBADILISHANA MWILI
16:00
Movie Recap swahili
Рет қаралды 143 М.
HOUSE GIRL EP 39 | S2 | love story💞💕
20:46
BUSATI TV
Рет қаралды 139 М.
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37