No video

HUKU HAWAPITI: Tazama Jeshi lilivyozingira viunga vya Ikulu Kenya tayari kuwakabili waandamanaji

  Рет қаралды 40,447

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 86
@harithimahmoud1577
@harithimahmoud1577 Ай бұрын
BIG UP SANA WAKENYA
@user-yp9el7xp8g
@user-yp9el7xp8g Ай бұрын
Tukipewa silaha tunaingia state house
@MohammedGabaye
@MohammedGabaye Ай бұрын
Jamaaa sauti IP chini sana mamae
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 Ай бұрын
JIDANGANYE
@user-mt6nu5hs8q
@user-mt6nu5hs8q Ай бұрын
Me nisha mwambia mala kibao, wkt anatangaza anabana sana sauti kiasi kwamba anacho kiongea nivigumu kumuelewa.
@saidkindojo2494
@saidkindojo2494 Ай бұрын
Hii ni kweli huyu jamaa anazingua saana afu hata hajirekebishi , sijui nan kamdanganya
@tinershayo6191
@tinershayo6191 Ай бұрын
Nawapenda wakenya tupo pamoja❤
@b.k.5659
@b.k.5659 Ай бұрын
Jeshi haliwezi kuua watu ambao hawana silaha, kwa mujibu ya kanuni zao, wala haliwezi kupewa amri na wakuu wa polisi.
@ChireGriffin
@ChireGriffin Ай бұрын
Kenya wanaua.
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 Ай бұрын
Jidanganye halafu ujichanganye.. utajikuta chumba cha maiti😂😂😂 Chezea africa ww
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Ай бұрын
Waambie, mgunguko wao katika ikulu sio tishio
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Ай бұрын
😂😂😂
@wanguijemimah3551
@wanguijemimah3551 Ай бұрын
Tuko under martial law jeshi ndiyo yenye inchi Kwa siku kumi na nne. Msicheze vijana hatutaki maafa zaidi.
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l Ай бұрын
Hivi wakienda lundo la watu wataweza kuuwa wakenya na risasi. Nguvu ya umma ni balaa kabisa. Ruto ashuke tu chini. Awasikilize wananchi.
@mdimistudio6041
@mdimistudio6041 Ай бұрын
Huyu dhahiri hakushinda u Raisi
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Ай бұрын
Absolutely 💯
@roselynealima3618
@roselynealima3618 Ай бұрын
Leo zakayo ameshuka😂🎉 Chezea GZ
@Mumewangu
@Mumewangu Ай бұрын
Bora mkalale tu. Manake unaona iyo Bundukiee
@fxmeddy9567
@fxmeddy9567 Ай бұрын
JMK kaiponza kenya alienda kusimamia uchaguzi kama mnakumbuka vizuri. Hapa tz napo tunaibiwa mnoooo
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Ай бұрын
Simulizi na sauti, jeshi kulizunguka ikulu isingetushtua ole wake kama asingetii sheria tungelifika huko
@salumkisaka7502
@salumkisaka7502 Ай бұрын
Taarifa za jana
@ZainabLol-wx7xf
@ZainabLol-wx7xf Ай бұрын
Ndugu zetu Kenya kusanyeni Mawe tu...Wakirusha Risasi wamiminieni Mawe😅😅😅
@YustaMfugale
@YustaMfugale Ай бұрын
Utajuaje hao waandamanaji Leo Kama wanajipanga silaha
@miriamvihenda7408
@miriamvihenda7408 Ай бұрын
Kesho tunaingia uko 😂😂😂😂
@kellyjtee8541
@kellyjtee8541 Ай бұрын
Tuwaoombee
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
Wakenya wanaumoja sanaaa walio London,USA wote,UK wameandamana ni wito Rais asikilize wananchi wake
@sponsor7882
@sponsor7882 Ай бұрын
Tanzania vip 😊😊😊
@arifali3942
@arifali3942 Ай бұрын
Jarib Tz
@issalyanali4119
@issalyanali4119 Ай бұрын
Alipeleka waanajeshi HAITI wakati kulinda nchi yake waandamanaji changamoto😅
@donaldkaji7905
@donaldkaji7905 Ай бұрын
Sauti mzee iko chini sana
@user-fy9pw2zr8l
@user-fy9pw2zr8l Ай бұрын
sijui ni simu yako 😅😅😅 mimi iko vizuli
@donaldkaji7905
@donaldkaji7905 Ай бұрын
@@user-fy9pw2zr8l hapana asee jamaa ana sauti ndogo mpaka uongeze sana
@MohammediKihimbwa-bj4pf
@MohammediKihimbwa-bj4pf Ай бұрын
Kenya wamemchaguwa mweu Sasa anacho kijuwa yeye kumfuraisha marekani tu
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj Ай бұрын
😂😂Kumbe Zakayo muoga nyoooko
@mashiassenga8849
@mashiassenga8849 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mesaidikazungu4299
@mesaidikazungu4299 Ай бұрын
😂😂😂
@kenyre697
@kenyre697 Ай бұрын
SEMA IKULU NDONGO YA NAKURU
@YustaMfugale
@YustaMfugale Ай бұрын
Tuwaombee tu wakenya maana kesho inaweza kuwa ni siku ya historia
@aishaarusha894
@aishaarusha894 Ай бұрын
Kenya wana jeshi bovu sana
@kidatokassim7616
@kidatokassim7616 Ай бұрын
Kenya has top 10 ranked military in Africa sijui Tanzania Iko wapi
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
​​@@kidatokassim7616 mm mtz Kenya wapo vizuri sema jamaa hapo juu uelewa wake mdogo anataka polisi wakenya wapige wananchi wake kama wanapgana na al shabab. huwezi kusema Kenya wanajeshi bovu wale ni wananchi wakenya kwahiyo huwenzi kutreat ndugu zako kama utakavyo mtreat adui kutoka nje
@kolosii4351
@kolosii4351 Ай бұрын
Watu hawajui, wanajeshi wapo kibaruani, ila sio kama wao maisha hayo hayawagusi, kwa hiyo msishangae hao wanasomesha watoto pia, wanabiashara zao.
@aishaarusha894
@aishaarusha894 Ай бұрын
@@kidatokassim7616 apana kwakweli na kataaa kabisa wanajeshi wabovu wakenya kabisa mafuzo ziro kabisa yani wametia aibu kabisa wameshindwa kuwazibiti raiya mabomu yana waripukia mikononi loh
@MariamKhalid-ub9jj
@MariamKhalid-ub9jj Ай бұрын
Wanajeshi ni kama pia wamechoshwa na uyu ruto ju familia zao haziko mbinguni ziko apa Kenya..
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l Ай бұрын
Wakiamua hata ikulu wamwagwe askari. Hawa askari hawawezi kuuwa wananchi. Watakachofanya ni kumtorosha rais kumpeleka mbali.
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 Ай бұрын
Wanaosema wanajeshi ni wabovu wacha nikwambie. Hakuna watu duniani woga kama tz huwa wakiona demonstration wanajificha mivunguni hasa kwa wanawake.
@avinrwegasira3448
@avinrwegasira3448 Ай бұрын
Sauti yako irekebishe haipendezi
@mpendarootys2657
@mpendarootys2657 Ай бұрын
Kesho sasa itakua aje
@Mimi.Official
@Mimi.Official Ай бұрын
Huyo sio lazuma wamfuate state House watampata tu sehemu nyingine
@user-le1gv4wb1n
@user-le1gv4wb1n Ай бұрын
jamaaa halijui kuongeaa litanganza kama anasoma imla
@husseinmkungu1166
@husseinmkungu1166 Ай бұрын
Nenda kafirwe huko uliekua hujui kutangaza niww uliepakata matako acha majungu muache mwenzako afanye kazi watu km nyinyi ndio mnaorejesha nyuma watu
@artisthusnatalal3099
@artisthusnatalal3099 Ай бұрын
Basi usitukane...poaa
@Mgema001
@Mgema001 Ай бұрын
​@@husseinmkungu1166 unamtetea sana huyu jamaa Kila comment aliambiwa ajirekebishe, vipi ni shogaako nini😂
@ZainabLol-wx7xf
@ZainabLol-wx7xf Ай бұрын
Wakubali kufa na kupona wawaponde mawe waingie😅😅
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy Ай бұрын
Sauti kidogo iboreshwe
@issalyanali4119
@issalyanali4119 Ай бұрын
Rais wao alisema Putin kavamia Ukraine sasa yeye ndo kavamiwa huyu ,,mzee wangu putin yuko north Korea 😂😂
@feisalaley3629
@feisalaley3629 Ай бұрын
CIA OYEEEEEEEEEE. ONGEZENI KAMBI ZA KIJESHI WA KIGENI MTAYAONA ZAIDI KILIKO HAYO, MSITIE AKILI TU.
@BillyJames-l6x
@BillyJames-l6x Ай бұрын
Sasa Ww unasema nn
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Zakayo hiyo hatari
@magufulitvkenya6315
@magufulitvkenya6315 Ай бұрын
Mtangazaji.ongea.kwasauti
@husseinmkungu1166
@husseinmkungu1166 Ай бұрын
Saut Gani unayoitaka ww baba au kiziwi ww
@stanastana3199
@stanastana3199 Ай бұрын
😂😂😂​@@husseinmkungu1166
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
🎉🎉
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 Ай бұрын
Hii ishu ishakua serious
@MohdAli-cx7bc
@MohdAli-cx7bc Ай бұрын
Wakenya ni waoga sana
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys Ай бұрын
Ubarikiwe
@GodenBMDaniel
@GodenBMDaniel Ай бұрын
Ruto achiya madaraka
@michilita2959
@michilita2959 Ай бұрын
Sisi tumeamuwa hatumtaki hata alete ndege za vita hatumtaki
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Tanzania pekee ndio inchi mkiitisha maandamano wanajeshi wao wanatangaza siku ya usafi wa jiji yaani inabidi maandamano yawe ya amani sababu mnaandamana na wajeda wapo pembeni yako sasa jitie wazimu utaona show utayopewa tuliosoma cuba hiyo tunaijua sana😅😅😅andamana jeshi tufanye usafi basi😅😅
@ClassicUsed-jg6ri
@ClassicUsed-jg6ri Ай бұрын
Nipe namba nikutumie bando
@user-pk1yl7zt8p
@user-pk1yl7zt8p Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@zenooernest18
@zenooernest18 Ай бұрын
Ila wewe...
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Ай бұрын
Mfumo wa Bongo upo kivyake
@princejames7438
@princejames7438 Ай бұрын
Huyu mtangazaji vp kwan amekabwa au
@miriamvihenda7408
@miriamvihenda7408 Ай бұрын
Kesho tunaingia uko 😂😂😂😂
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 32 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 40 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 14 МЛН
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 30 МЛН
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA
7:00
Lasalo Comedian
Рет қаралды 462 М.
Mabalozi wa Ufaransa na Marekani, AY wamemtembelea Sugu nyumbani kwake
2:39
I was deported from the UK after they stole my military plane idea | Tuko TV
54:51
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 32 МЛН