Yanga wajanja sana 29,000/- X 500 = 14,500,000 /- gharama ilotumia Club kufanya Event hiyo 5,000,000/- Pesa ilobakia kwenye club ni kibao ,
@errydeo88658 күн бұрын
Kwa wasio elewa wanafikiri this is just a game! Hiki ni chanzo kizuri sana cha mapato! Hawa ni vijana! Yanga wanachokifanya ni kubadilisha mashabiki kuwa WANACHAMA! NA wamegundua,this age huwa wengi si wanachama! Nafikiri ni kitu chenye tija! Wenye D1,itakua vigumu kuelewa,by the time wanaelewa Yanga wana wanachama mil10!
@murtazaseleman67939 күн бұрын
Happy to see you Ratifa
@yusuphally64209 күн бұрын
29000x500=14500000 kongore idara ya habari jitahidi muweze kupata vijana zaidi wawe wanachangia club
@زيتونتنزانيا9 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Jamani nipo mbali
@Yona2119 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@vumiliamgendi1489 күн бұрын
Nabichi napo mmeiga
@stephanobhoke52689 күн бұрын
kila kitu mtaiga tu nyie simba ndy inaanzisha nyie mnafata