Рет қаралды 9,615
Khutba hii imetolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Veternary Temeke Tarehe7/7/2020, Mada ikilenga safariya kuelekea katika uchaguzi mkuu wa Nchini Tanzania, magusudia ya mada hii nikufumbua macho Watanzania wapate kumjua mgombea mwenye sifa za kuwa kiongo , pia aliweza kukemeaushirikina ambao ufanywa na baadhi ya viongozi wakiamini kuwa nikujipatia nafasi zaidi ya kuweza kushinda, fatilia khutba hii hadi mwisho upate kuelimika na hii ikiwa nisehemu ya kwanza inshaallah tukutane ijumaa ijayo katika muendelezo wa khutba hii.