IMENIUMA SANA by Zabron Singers (Official Video)

  Рет қаралды 5,535,037

Zabron Singers.

Zabron Singers.

Күн бұрын

Wimbo huu maalumu uliandaliwa na kuimbwa siku ya msiba baada ya kifo cha mwanakwaya mwenzetu Ndugu Marco Joseph Bukuru ambae alikuwa ni Mwenyekiti,mwimbishaji na Mwalimu msaidizi kwenye Zabron Singers.
Kwa mavumbi tuliumbwa,mavumbini tutarudi. Mwanzo 3:19
#msiba #zabronsingers #imeniumasana

Пікірлер
@machonnetv
@machonnetv 5 ай бұрын
Wapi likes za wakenya tunaopenda zabron singers😢 God Bless everyone for supporting this amazing choir... And for 3.2k + likes Thanks
@miriamnjoki2668
@miriamnjoki2668 5 ай бұрын
This wasn't fair 😭
@peteromeno
@peteromeno 5 ай бұрын
We are here kenyans
@annmuyoma1957
@annmuyoma1957 5 ай бұрын
Wakenya tuko na nyinyi kwa kipindi hiking kingumu
@JustineOuma-zn3hg
@JustineOuma-zn3hg 5 ай бұрын
We are here, this was so painful,my God strengthens you guys 😢😢
@rosengendo5295
@rosengendo5295 5 ай бұрын
Tuko pamoja nanyi.. Mungu anajua sababu...sote tuko safarini🇰🇪🇰🇪
@croxzfireGideonsirma
@croxzfireGideonsirma 5 ай бұрын
Am among Kenyans🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 who are sending word of condolences... poleni Sana
@DeitripSafaris4
@DeitripSafaris4 5 ай бұрын
Tribe KENYA weka button pole ndugu zetu kutoka Tanzania 😢
@user-hh2vo6xk7r
@user-hh2vo6xk7r 5 ай бұрын
Wewe hujielewi, is Kenya a tribe or country???
@elijawakaba
@elijawakaba 5 ай бұрын
So touching
@paulinesimiyu3809
@paulinesimiyu3809 5 ай бұрын
Ni wewe hujielewi. He has used the best term, meaning one Kenya and yes am tribe kenya​@@user-hh2vo6xk7r
@DeitripSafaris4
@DeitripSafaris4 5 ай бұрын
@@user-hh2vo6xk7r my tribe is Kenya my home is Kenya my country is Kenya what is your problem I don't subscribe to silly tribal shenanigans they're the reason most Kenyan youths are jobless ...hapa tuko kufariji ndugu zetu kutoka TZ mengine jiwekee nonsense
@sir_yongo
@sir_yongo 5 ай бұрын
Anajielewa. Kenya is a country not a tribe, that's right, but understand his comment according to the context. Thank you. ​@@user-hh2vo6xk7r
@alleyjuniourtz
@alleyjuniourtz 2 ай бұрын
I've come here after losing my lovely Mom 🤱❤ 15/10/2024 was bad day ever to me😭...R.I.P MY MOM❤
@vionahgesare2517
@vionahgesare2517 Ай бұрын
Hugs
@TifarahL
@TifarahL Ай бұрын
My condolences to you and your family. Take heart 🫂
@lydiamsheri4095
@lydiamsheri4095 Ай бұрын
Ipo siku utapata amani teeena,kufiwa na mama daaaaaa haielezeki
@gracekuria4767
@gracekuria4767 Ай бұрын
Continue taking heart dear...God still on the throne
@petroschavula7204
@petroschavula7204 27 күн бұрын
My condolences I lost mine on 19/06/2021. I still mourning to date.
@MaureenOnyango-p9x
@MaureenOnyango-p9x 5 ай бұрын
Wakenya mko wap maana Marco alikua anatupenda San sisi wakenya ju ata mwisho wake alikua apa Kenya😭😭😭😭😭nipe like zako tukiomboleza🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@peacemwesiga
@peacemwesiga 5 ай бұрын
😭😭😭😭 Mungu awape nguvu
@BelindaMumero
@BelindaMumero 5 ай бұрын
Ata sisi tunashindwa kuzoea😭😭
@susanonyangi-lh6yn
@susanonyangi-lh6yn 5 ай бұрын
Bado inauma 😢😢😢😢
@tracymugo4988
@tracymugo4988 5 ай бұрын
May God give them peace that surpasses human understanding.
@exctellaundry9593
@exctellaundry9593 5 ай бұрын
This is very deep😭😭😭
@peterwaweru2723
@peterwaweru2723 5 ай бұрын
Kutoka Kenya tunaendelea kusema poleni Sana
@godfreytuda3722
@godfreytuda3722 5 ай бұрын
Worship song
@MariaWema
@MariaWema 5 ай бұрын
Kenya 🇰🇪 Wanaupendo wa kweli na jirani zao Mungu awatunze Wakenya🙏
@joycewambui6138
@joycewambui6138 5 ай бұрын
Amina.
@LilianNyaboke-fl7en
@LilianNyaboke-fl7en 5 ай бұрын
AMEN
@MetrineSitati
@MetrineSitati 5 ай бұрын
Amen 🙏
@FaithWaititu-iv1hj
@FaithWaititu-iv1hj 5 ай бұрын
Amen
@godfreymburu3319
@godfreymburu3319 5 ай бұрын
Amina dada yetu
@winifredonuegbu5512
@winifredonuegbu5512 2 ай бұрын
I’m a Nigerian 🇳🇬 and I just came across this song. The melody is sooo beautiful, Swahili is such a lovely language.The melody just got me thinking and reflecting about life.🥹🕊️
@ramadhanitokwete8069
@ramadhanitokwete8069 2 ай бұрын
Welcome Tz
@Starlifecontent24
@Starlifecontent24 2 ай бұрын
😢😢they are singing with bitterness for losing one of their choir members
@Roxana-q5j
@Roxana-q5j 2 ай бұрын
They sang in pain after loosing one of them some months back
@ZabronSingers
@ZabronSingers Ай бұрын
Thanks and be blessed Win
@saidikaimu1763
@saidikaimu1763 28 күн бұрын
Wow!!!! Nice to hear that 🙏🙏
@ruthmutiso9948
@ruthmutiso9948 5 ай бұрын
Mungu wape nguvu wana zabron singers from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪ukumbuke familia ya Marco kwa maana wewe ndio Mme wa wajane na baba wa yatima.
@joelnjuguna7777
@joelnjuguna7777 5 ай бұрын
Wakenya wenye tunaandamana na Hawa marafiki zetu TikTok, Facebook and here KZbin let's gather here na wenye wame watch mara zaidi ya moja weka like✌️👋
@tumwebazedanson7520
@tumwebazedanson7520 5 ай бұрын
On behalf of Ugandans, we are sorry and saddened by the death of such a young soul who was devoted to God's service 🙏. Our sure hope is the resurrection, when the Saints go marching in!
@UserName-b2y
@UserName-b2y 5 ай бұрын
🎉🎉 tupoo
@stevenwonder777
@stevenwonder777 5 ай бұрын
Tuko hapa mkuu
@NsengiyumvaLevis-m1k
@NsengiyumvaLevis-m1k 10 күн бұрын
naomba namba yenu
@CynthiaCynthia-e3z
@CynthiaCynthia-e3z 5 ай бұрын
Kama unapenda nyimbo za zabron singers let's gather here as Kenyans
@joanmungai
@joanmungai 5 ай бұрын
Hebshss😅
@rosecherono-w3q
@rosecherono-w3q 4 ай бұрын
kama unapenda nyimbo za zabrons singers lets gather here KENYA
@PuritynyakioKiranga
@PuritynyakioKiranga 5 ай бұрын
Kama fan wa zabron singers from kenya , niliumia sana bt kwa yote mungu ako na sababu, thou kuna sauti inamiss 😢 ,
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 5 ай бұрын
😢
@elijahmahugu6587
@elijahmahugu6587 5 ай бұрын
Marco alikuwa na vocals poa sana MUNGU awape Amani moyoni mwenyu ❤❤.
@aminahmlelwa-j2v
@aminahmlelwa-j2v 5 ай бұрын
🥲
@Judy-i1e
@Judy-i1e 5 ай бұрын
😢
@FranciscoKatakwa
@FranciscoKatakwa 3 ай бұрын
co mungu ni Mungu
@PATRICKKYALO.SacredVoicesKenya
@PATRICKKYALO.SacredVoicesKenya 5 ай бұрын
Nawaombeeni muwe imara hata baada ya pigo hili kali ...kweli kifo hakizoeleki....Amani ya Kristo iwatawale daima.Shabiki yenu toka KENYA
@Mutio-Joanne
@Mutio-Joanne 5 ай бұрын
From Kenya🇰🇪 our Condolences 🙏🙏 Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri, ili tujipatie moyo wa hekima. ZAB 90:12
@PeggyMakomere
@PeggyMakomere 3 ай бұрын
From my beloved country 🇰🇪🇰🇪 and At my low point of life i just had to bump on this song 😭😭😭😭 My good Lord touch our souls and heal the pain we're going thru.. Keep on resting in peace 🙏 Marco coz because of you this song was sang to heal the broken hearts 😭😭😭😭
@kanjutz3247
@kanjutz3247 5 ай бұрын
Mungu watie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu pia muendeleze kipaji cha mtoto wa macro Ili uwepo wake kwenye sanaa uendelee kuishi ameen
@rachelayieko3560
@rachelayieko3560 5 ай бұрын
Death ain't easy they've United in Christ and will never depart in spirit will praise together our hope are united in Christ
@ChristineMuai
@ChristineMuai 5 ай бұрын
Much love from kenya❤❤❤ msife moyo...😢😢😢😢pita na like
@tabsnjeri1499
@tabsnjeri1499 5 ай бұрын
As a Kenyan poleni sana ❤️❤️❤️❤️ nliumia pia sana 😢😢😢enda salama.poleni saluti ya Marco ina miss apo.kenya pita na like
@AyubuKivali
@AyubuKivali 2 ай бұрын
Mungu awaidie san msonge mbele
@NiccaSaua
@NiccaSaua Күн бұрын
Kwa kwelii nyimbo zenu haipiti siku bila kuwaskililizà yaan wimbo wowote ukitoka kwangu naomba mzuri Mungu mwenyez wa mbinguni awalinde na kuwatunza daima ❤
@vinnnduri7509
@vinnnduri7509 5 ай бұрын
Leaving this comment so whenever someone from Kenya likes, I come back to watch this piece
@LinetMukoya-v4r
@LinetMukoya-v4r 4 ай бұрын
😢😢😢
@stephenonyiso2124
@stephenonyiso2124 4 ай бұрын
Come and watch please
@cherohsharon560
@cherohsharon560 4 ай бұрын
Come back please
@RobinsonLeonard-so8md
@RobinsonLeonard-so8md 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/f3PSm5JtiZuGhLMsi=AKcqPGhYzF-4i8ih
@akluckygerald8238
@akluckygerald8238 Ай бұрын
Not only Kenya.. The song is so super and emotional.. Everyone feels it.. One love from Kampala, Uganda
@phelixomondi373
@phelixomondi373 5 ай бұрын
Sisi tumeumia sana😭😭😭Tunakiri tunakuhitaji sana. Mola awatie nguvu🙏🙏Condolences from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hildakogo4856
@hildakogo4856 5 ай бұрын
Pokeeni pole kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪mungu awape faraja wakati huu mgumu, poleni sana wanakwaya wote, familia pamoja na nchi ya Tanzania,, hili jambo limeguza Kila mtu,, mungu tayari kamweka mahala pa wema wake na tunaamini ipo siku tutaonana tena,, kipaji Chake kitabaki kumbukumbu kwetu, mungu awape neema Wana wake waendeleze kipaji hicho.. nanyi waimbaji mungu awape nguvu hili muendelee kumtumikia zaidi ,, it is well.
@Jebet-b8e
@Jebet-b8e 3 ай бұрын
Much love from Kenya 😢msife moyo zabron singers mungu yupo nanyi kila wakati
@nehemiakipchumba254
@nehemiakipchumba254 5 ай бұрын
Your Kenyan 🇰🇪 brothers are deeply sympathizing with you,poleni sana Kaka Zetu Watanzania 🇹🇿.
@jentrixadema508
@jentrixadema508 5 ай бұрын
Kenyans🇰🇪 let's make this song to trend number 1 kumorn marco 😢
@LivingTarimo-k8n
@LivingTarimo-k8n 2 күн бұрын
Xmmnnnjk😊
@yvonnemukiri119
@yvonnemukiri119 5 ай бұрын
Wa kwanza kufika uku kutoka kenya 😭😭😭
@estherhadassah4906
@estherhadassah4906 5 ай бұрын
Tumefika😢😢😢😢
@mkmkj7425
@mkmkj7425 5 ай бұрын
​@@estherhadassah4906aki nikiona hii wimbo mahali popote naanza kulia aki
@njoki84
@njoki84 5 ай бұрын
😢😢
@nancynjeri4348
@nancynjeri4348 5 ай бұрын
So so sad😢, may the peace of God be with you all, from KENYA
@SarahBella-l3j
@SarahBella-l3j 5 ай бұрын
😢😢😢
@Wanjikugichini01
@Wanjikugichini01 3 ай бұрын
This one hits hard when you've lost a loved one😢 Til that morning Jolly My heart is broken 💔
@benwaish7277
@benwaish7277 2 ай бұрын
ime nikumbusha tu August 2..2023 the day she packed and left 😢..and never heard her from her ever since..😢
@florawairimu4448
@florawairimu4448 5 ай бұрын
Tumeumia sana hapa Kenya ,juu nyinyi watanzania Huwa mnatubariki na nyimbo nzuri za injili...Mungu atawapa njia nyingine na nguvu....
@timendumbwe4818
@timendumbwe4818 5 ай бұрын
Marco ameitwa na Bwana na ametii, ameitika.. Siku zetu za kuishi. duniani ni chache na zinahesabika.... Amekufa akiwa Mtumishi wake Kristo, na waliokufa katika Bwana hawafi, bali wanaishi ... Mnajihisi wapweke ila yu Pamoja nanyi🙏.... Mungu wetu Muaminifu azidi kuikumbatia Familia yote! Sifa na utukufu tunamrejeshea Bwana🙏 Bwana ndie aliyemleta kwetu, na yeye ndie kamchukua na hatuna budi kushukuru.. Amen 🙏😊
@MariaDawite
@MariaDawite 5 ай бұрын
😭😭🙏
@dantethewiseone4372
@dantethewiseone4372 5 ай бұрын
Nyimbo ni mzuri Sana Zabron Singers 🔥🔥🔥🔥NATAZAMA KUTOKA NCHI JIRANI YA KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪WAKENYA MPOOOOOO‼️‼️‼️‼️MBONYEZE LIKE💓💓💓💓
@RobinsonLeonard-so8md
@RobinsonLeonard-so8md 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/f3PSm5JtiZuGhLMsi=AKcqPGhYzF-4i8ih
@DaimaNyakarundi-bm1gc
@DaimaNyakarundi-bm1gc 4 ай бұрын
Much thanks for this song...from DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩..mboté na bino nyonso batu ya kenya...nzembo oyo ezo pesa biso pasi😢😢😢 je dedie c chant..a la population de l'est du congo ...all congolese support me..!!!
@RobinsonLeonard-so8md
@RobinsonLeonard-so8md 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/f3PSm5JtiZuGhLMsi=AKcqPGhYzF-4i8ih
@EzraOmwonga
@EzraOmwonga 5 ай бұрын
Am here from Kenya,,it has really heart me,,rip Marcos zabron singers take heart
@Marion729
@Marion729 5 ай бұрын
Pokea pole zetu kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪,,farijikeni katika bwana
@ImaniMadiba-yu7wn
@ImaniMadiba-yu7wn 5 ай бұрын
Hello
@catherinenzisa1800
@catherinenzisa1800 5 ай бұрын
Poleni sana zabrons.
@Senorinamaganga
@Senorinamaganga 5 ай бұрын
​@@ImaniMadiba-yu7wnp6
@ImaniMadiba-yu7wn
@ImaniMadiba-yu7wn 5 ай бұрын
@@Marion729 inaumiza Saaana 😭💔😢
@josephinemusau4887
@josephinemusau4887 5 ай бұрын
Poleni
@kelsykerubo
@kelsykerubo 5 ай бұрын
Poleni sana rafiki zangu🙏🙏, RIP MARCO😢🕊️💔
@agnesnyawira
@agnesnyawira 5 ай бұрын
I declare there shall be no another premature death to Zabrons choir, and as the mountains surrounds Jerusalem so shall it be for zabrons now and forever. No more bad news. Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MariaShehemba
@MariaShehemba 5 ай бұрын
Hapa ndio nimejua wakenya wanapenda Zabron singers Mungu awabariki sana majirani zetu tuendelee kupeana moyo tutakutana na Marco katika asubuhi njema Yesu atakaporudi haya machozi tunayolia hatutalia tena❤❤❤
@macheraonyango6758
@macheraonyango6758 5 ай бұрын
Umejua tangu lini, msiba usikufanye ujue hata wewe penda wakenya
@MariaShehemba
@MariaShehemba 5 ай бұрын
@@macheraonyango6758 na wapenda sana nimewahi kuishi kenya wakipenda hawana unafiki ❤️❤️
@carolineouma8374
@carolineouma8374 5 ай бұрын
Tunawapenda sana sana.
@AskMikeTv.
@AskMikeTv. 5 ай бұрын
Wakenya wanaopenda Zabron singers mko wapi. Naomba likes
@everlynechepchumba6012
@everlynechepchumba6012 5 ай бұрын
Niko hapa 👋
@fortieztush2244
@fortieztush2244 5 ай бұрын
Tuko
@vincentjohn5777
@vincentjohn5777 5 ай бұрын
Tuko wengi
@eunicenjenga7321
@eunicenjenga7321 5 ай бұрын
Surely imetuuma pia sisi lakini twatulia kwako Mungu
@youngmum3115
@youngmum3115 5 ай бұрын
Sijui kama Niko pekeangu ila najikuta nalia tuu💔 kifo hakina huruma😓😥
@MaryWanjunji
@MaryWanjunji 3 ай бұрын
Naomba na Mimi mtu anishike mkono ,nateseka sana huku saudia na watoto wangu nyumbani..Mungu naomba msaada pia😢😢
@atuyade1
@atuyade1 3 ай бұрын
I wish you well from here in Houston TX.
@CeciliaKoki-k4o
@CeciliaKoki-k4o 3 ай бұрын
What's going on kwan
@angelamueni8
@angelamueni8 3 ай бұрын
​@@atuyade1❤
@PatrickEmili
@PatrickEmili 3 ай бұрын
Pole San mungu pekee ndyo umtegemee
@virginianjoroge4463
@virginianjoroge4463 5 ай бұрын
Am dedicating this song to myself after losing my mom who was my best friend, Kwa kweli Mungu angeniuliza singekubali umchukue mamangu, ila mapenzi Yako na yatimie... Poleni our brothers and sisters,more prayers from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@cherotichtendet
@cherotichtendet 5 ай бұрын
May her dear soul rest in peace sister
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 ай бұрын
Pole sana sister
@Giftarrowfashion
@Giftarrowfashion 2 ай бұрын
Sorry for the lost
@aaronmailuofficial251
@aaronmailuofficial251 5 ай бұрын
Wakenya mko wapi tuomboleze na ndugu zetu wa zabron..gonga like tuonyeshe upendo😭😭😭 🎉🎉🎉🎉
@YunisNdege
@YunisNdege 3 ай бұрын
Bs
@YunisNdege
@YunisNdege 3 ай бұрын
Yur
@YunisNdege
@YunisNdege 3 ай бұрын
Bxu
@YunisNdege
@YunisNdege 3 ай бұрын
Zvt
@RobinsonLeonard-so8md
@RobinsonLeonard-so8md 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/f3PSm5JtiZuGhLMsi=AKcqPGhYzF-4i8ih
@Bee-iq2wm
@Bee-iq2wm 5 ай бұрын
Poleni sana Dada Victoria, Ndugu Japheth na wanazabroni wote kwa kumpoteza Mwenyekiti, mwalimu mpendwa wenu Ndugu Marco Joseph, Mtu wa watu na mpatinishi. Mungu awafariji na awatie nguvu wakati huu mgumu sana. Mungu awalinde. Wapi Likes za Zabron kutoka Kenya na TZ Jameni!
@derrick7were
@derrick7were 2 ай бұрын
"Hili limeniumiza sana. Hawamu hii nimeumia sana. Mungu nisaidie" I admit I need you. At the juncture of my vulnerability dear Lord, manifest your strength in me. Where I assume I have lost let your light shine. Your plans are beyond reason or measure. You take that which doesn't belong to us, you give us what we should get. Hili limeniumiza sana. Let your light be what I shall depend on each time. May the times of difficulty draw me more nearer to thee. Hili limeniumiza sana. There is such beauty in the face of pain. The beauty is you launching us to what we ought to have. There is a joy in mourning. There is an assurity you bring forth that man cannot bring. I BLESS YOU LORD. MY HEART IS PLEASED WITH YOUR PERFECT WILL UPON MY LIFE.
@elienew3788
@elienew3788 5 ай бұрын
Katika hili hakika limeumiza watu wengi sana nkiwa mmoja wao hakika Mungu wa rehema na neema awafariji wateule na aendelee kuwatia nguvu kuieneza injili
@MaryBosibori-o6c
@MaryBosibori-o6c 5 ай бұрын
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tumeumia pia sana ila mungu awatie nguvu wakati huu mungum Rip Marco we already miss you 😭😭😭😭💔💔💔💔
@ShaqilaJuma
@ShaqilaJuma 5 ай бұрын
😢😢😢😢
@Mggiecharleskui
@Mggiecharleskui 5 ай бұрын
Kama wewe ni Mkenya🇰🇪 let's show love by giving them likes na mnipitie tukisonga
@omnifx254
@omnifx254 16 күн бұрын
On 15th Jan 2015 LOST MY YOUNGER BRO, MCA Solo.... Life is so unpredictable. He'd visited our family in Kisii, only to die thru a grisly accident days before he was supposed to fly back to USA where he stays. Rest in Peace My bro
@mukhsintwaha5909
@mukhsintwaha5909 8 күн бұрын
Pole sana Mwenyezi Mungu amrehem
@angelandinda2842
@angelandinda2842 2 сағат бұрын
🫂🫂🫂🫂🫂🫂🫂🫂🫂
@jentrixadema508
@jentrixadema508 5 ай бұрын
Wakenya🇰🇪🇰🇪😢 tulikupenda sana but mungu ni nani akaamua urudi kwake jina lake litukuzwe😢
@Kumbuni01Comedy
@Kumbuni01Comedy 5 ай бұрын
Wapi likes zabron ,,, from KENYA ❤
@ZawadiIbrahim-w2x
@ZawadiIbrahim-w2x 3 ай бұрын
.mwana kam'gwa
@jerubetjoan20
@jerubetjoan20 5 ай бұрын
Imetuuma wakenya sana 😭😭, wakenya mko wapi tulie na wenzetu 😢😢.
@susanodera4125
@susanodera4125 3 ай бұрын
Tribe luo Kenya...you are our brothers and much love from Kenya I've been touched deeply in my heart and I really feel to loose one of us Marco who stood by us in our choirs❤❤❤ wooooiiiiiiii! I don't have the strength RIP Marco
@kisiiekiogetv3519
@kisiiekiogetv3519 5 ай бұрын
Can't get tired of listening to the song ata kama tumempoteza ndugu yetu😢😢😢😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@carolineouma8374
@carolineouma8374 5 ай бұрын
Every single day.
@carolineouma8374
@carolineouma8374 5 ай бұрын
❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MaryPendo-gy4yr
@MaryPendo-gy4yr 4 ай бұрын
Kabisa
@MusabmusakotiKoti
@MusabmusakotiKoti 5 ай бұрын
Views m 1 tumefika lakin ata like 2 TU kwa ajili ya kuwafariji zabrongs singers
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 5 ай бұрын
kwanyimbo hii munazidi kuniliza😢ewe mwokozi wetu Yesu kristo tunaomba faraja toka kwako 🙏🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@SaraphinaChamba
@SaraphinaChamba 4 ай бұрын
Mungu azidi kuwainua Zabron wimbo mzuri Yesu ajitokeze tena katika maisha yangu.
@joeldaniel3348
@joeldaniel3348 5 ай бұрын
Oooh😢😢 mwenyezi mungu hakika hili limetuumiza na kutuliza watu wote sio kwa TANZANIA 🇹🇿 Na KENYA 🇰🇪 Tu Bali afrika mashariki yote mwenyezi MUNGU Aendelee kukupunguzia adhabu ya kaburi huko uliko😢😢😢
@DoctorKipingu-jb2cp
@DoctorKipingu-jb2cp 5 ай бұрын
Aliye urudia wimbo huu zaidi ya mara moja gonga like tukiwafariji zabron singer
@carolineouma8374
@carolineouma8374 4 ай бұрын
I watch everyday. Hata tulipopoteza watoto kwa mkasa wa moto Kenya huu wimbo ulitangulia kwenye mkutano wa X.🙏
@jeffmbugua1267
@jeffmbugua1267 5 ай бұрын
Zabron mnastahili mhamie huku Kenya, we love you soo much ❤❤❤❤❤❤
@youdelinetresalus240
@youdelinetresalus240 4 ай бұрын
From Haiti 🇭🇹! God Gave and he took away! May his name be blessed Zabron singer
@Lyn254
@Lyn254 5 ай бұрын
Poleni sana Wana zabron, tupone sote Kenya tunawajali 🇰🇪 Amani
@mercyotiato6301
@mercyotiato6301 5 ай бұрын
May God keep comforting zabron singers from Kenya poleni sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@carolweru6136
@carolweru6136 5 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 from Kenya Roho yake iko binguni pateni nguvu juu ameeda akijua Mungu
@RobinsonLeonard-so8md
@RobinsonLeonard-so8md 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/f3PSm5JtiZuGhLMsi=AKcqPGhYzF-4i8ih
@samisaac9424
@samisaac9424 2 ай бұрын
Kuzaliwa ni mara moja na kufa ni mara moja... Mungu tujalie mwisho mwema 🙏🙏🙏
@جاااحظمجنون
@جاااحظمجنون 5 ай бұрын
Mungu watie nguvu ndugu zangu 😭😭😭😭😭😭 from Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tumeumia sana hapa Mungu awe Mufarigi wa sisi sote🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪
@KabulaJoseph-c7t
@KabulaJoseph-c7t 5 ай бұрын
Marco umeniliza nilikupenda kaka kweli ulikua unanibariki Sana ulikua na kitu Cha kipekee nilitamani ungekuwepo kwenye kusolo huu wimbo 😢 ona Sasa sikuoni tena daaaah, pumzika kwa amani
@EvalynMagoma-h5g
@EvalynMagoma-h5g 5 ай бұрын
Who's crying 😭😭😭💔 and heartbroken like me 💔😭?3 Yrs ago his son, Joseph Marco,,sang "TUMKUMBUKE MUNGU"song,2 yrs ago Marco sang "DAKTARI "wa moyo wangu song and now he's gone 😢💔😭 fulfilling what they sang.Indeed,life is spiritual 🙏.May God console his family.As a Kenyan sister, have lost a friend, brother and servant of God 🙏.We loved you but God loved you most.Shalom Zabron Singers 🙏,wife, kids,fans, parents and relatives.We Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪, we've lost 💔💔😭
@wincklful
@wincklful 5 ай бұрын
Amen
@robinsonmaru6241
@robinsonmaru6241 5 ай бұрын
Soo painful😢😢but God will comfort you and strengthen you all through .
@EvalynMagoma-h5g
@EvalynMagoma-h5g 5 ай бұрын
@@robinsonmaru6241 Amen 🙏, thank you 🙏
@SalomeMideva
@SalomeMideva 4 ай бұрын
Mungu awafanyie wepesi mjikaze katika Kristo Bwana♥️😭😭unagusa Sana huu wimbo from Kenya
@evajoram
@evajoram 5 ай бұрын
Sauti ya Marco haipo katika huu wimbo 😢😢 ni upweke sana Mungu awatie nguvu ndugu zetu mlibebe hili poleni sana
@pelekabunzali409
@pelekabunzali409 5 ай бұрын
Aise wakenya mnaipenda zabron kuliko hata watanzania Poleni sana Wana ZABRON na familia kiujumla
@ChebetKirui-ib5jj
@ChebetKirui-ib5jj 5 ай бұрын
Kabisaa twaipenda sana let Marco rest in peace and eternal life 😢😢
@yvettevellasoita633
@yvettevellasoita633 5 ай бұрын
Kenya tumehuzunishwa sana pia. Tunaomba Mungu awape nguvu wana Zabron Singers kwa wakati huu mgumu. Nina jirani yangu dada wa Kiislamu yuaimba nyimbo zenyu zote na alilia sana alipokua anafuatilia matanga yake Marco. Yesu anaguza kila mtu kupitia kwa sauti na nyimbo zenyu. Naomba aendelee kuwapa nguvu.
@natashamapholisa6969
@natashamapholisa6969 Ай бұрын
I'm here for this song after listening to it on the circulating pictures of Ezekiel Outoma the deceased 😢 😭 😭 MAY HIS SOUL REST IN PEACE 🙏 All the way from Zimbabwe🇿🇼 🇿🇼
@dennisngenoh2555
@dennisngenoh2555 5 ай бұрын
These guys are madly talented. Imagine creating this masterpiece at a time when they had lost one of them, just to honour him.
@PhelistasMakungu
@PhelistasMakungu 5 ай бұрын
And the song compsed in a solemn tone very touching indeed. It will be used in funerals alot. Good job wana ZABRON and my condolences still go to his wife who was really hit by this demise. May God grant her peace and strength to take care of the little ones. Always in our prayers GOD BLESS MAMA
@carolineouma8374
@carolineouma8374 5 ай бұрын
Truly blessed🙏
@janejanny672
@janejanny672 5 ай бұрын
Hili nineniumiza Nili imeniuliza sana Awamu hii nimeumiaia sana mungu nisaidie mbona umeniacha sana katika hili nimetumia sana eee mungu nisaidie Rip Marco wale bado tunatiririka na machozi weka like ilinieze kurudi na kuutazama huu wimbo Tena
@liyapieval
@liyapieval 5 ай бұрын
Very much painfull😭😭😭still in shock ...may God be your comfort🇰🇪🇰🇪
@maureenmuhati4242
@maureenmuhati4242 3 ай бұрын
😢😢😢 this song Marcos your spirit speaks much to us. Enyewe Mungu hii was tough. God rest all our loved ones in peace
@ciscahmueni8241
@ciscahmueni8241 5 ай бұрын
🇰🇪🇺🇲 Nitie nguvu Baba nimechoka, moyo unauma nimechoka😢😢😢😢 nisaidie Baba nimechoka, peke yangu Baba siwezi😢😢😢😢.
@amanihajembe5922
@amanihajembe5922 5 ай бұрын
Mungu akutie nguvu atajibu kwa wakati Sawa Sawa na mapenzi take.
@jeannettekeza6434
@jeannettekeza6434 5 ай бұрын
Huu wakati una nikumbusha ile wakati ile kundi la waimbaji wa Rwanda walipo achwa nawapendwa wao 😭😭😭! Ila kwa Sasa wameisha si mama tena ! Na nyinyi nazani muta kuwa Mtazidi kuwa hodari kuzidi hata mwanzo! Mungu ni mwema tu kwetu siku Zote ❤❤❤
@dr_muyoka
@dr_muyoka 5 ай бұрын
Amina 🙏🙏
@MarySimbatz
@MarySimbatz 4 ай бұрын
Amen 🙏
@TeresiahWanjiku-j7y
@TeresiahWanjiku-j7y 5 ай бұрын
Inauma Sana ila ni mapenzi ya mungu.mungu awafariji zabron singers,napenda song zenyu ktoka Kenya😭😭😭😭😭.
@evelynnkatha3439
@evelynnkatha3439 2 ай бұрын
I like playing this song it reminds me my deaparted family members mom,dad,Siz,son may your souls continue resting still fresh in my mind😭😭😭😭
@CayasAgisa
@CayasAgisa 5 ай бұрын
Kenya🇰🇪 tunaomboleza Marco so sad in our hearts he'll remain 😢🥲😭😭😭😭
@dicksonmuli6780
@dicksonmuli6780 5 ай бұрын
Mungu awafariji watu wa Mungu...inaumiza sana Nipe like ya mkenya
@janeshigami8769
@janeshigami8769 5 ай бұрын
Mimi ni m-Kenya🇰🇪....ni kweli....mmeumia sana....hili ni janga katika kikundi chenu....kama mimi nalia hivi....nyinyi je?....😭😭😭...ninasikiza nyimbo zenu zote nikilia tu....😭😭😭....nawaombea Mungu awape nguvu na azipe hili pengo....kwangu mlikuwa No. 1...ringtone ya simu yangu ni Mkono wa Bwana...😭😭😭
@AabbyAlima
@AabbyAlima 5 ай бұрын
Aki n8 uchungu Mungu awatie nguvu
@emmanuelkilasa4079
@emmanuelkilasa4079 5 ай бұрын
Mungu awatie nguvu msonge mbele msihisi kupungukiwa, lkn bad sijajua khus mwimbaji was kipind wimb wa mkono wa bwana aliyekua Sol list na vctr yuk wap?
@Edgybhthjklew
@Edgybhthjklew 5 ай бұрын
Tears are dropping down on my cheeks this is Soo painful😢😢😢
@ttapuiaga
@ttapuiaga 2 ай бұрын
I just love this song, in the name of Jesus....love from Tuvalu🇹🇻🇹🇻🇹🇻🇹🇻
@AlianceNeema
@AlianceNeema 2 ай бұрын
Pole sana ndugu zangu,nasi tulikuwa tukimupenda Marco kupitiya nyimbo,sote tumevunjika moyo Na tutamukumbuka daima
@wajinatv3033
@wajinatv3033 5 ай бұрын
Kama umeguswa na huu wimbo ganga like kwangu
@duduville
@duduville 5 ай бұрын
Nimeguswa ,nimepoteza mtoto wa dada yangu ..its so painful for me n my family.
@EdithMatala
@EdithMatala 5 ай бұрын
@@duduville pole sana
@GetrudeAsembo
@GetrudeAsembo 5 ай бұрын
​@@duduville pole sana mimi nimepoteza sister yangu 😢😢😢
@Janet-x9j
@Janet-x9j 5 ай бұрын
Poleni sana
@annekoch7952
@annekoch7952 4 ай бұрын
Polen sana
@Gorgeousij
@Gorgeousij 5 ай бұрын
Mimi mkenya na wapenda sana na naumia sana,Mungu atupe uvumilivu na kwendelea na safari
@Christopher-xj5fz
@Christopher-xj5fz 5 ай бұрын
Huu msiba umegusa mioyo ya watu wengi hakika Marko alikuwa ni mtu wa watu ,hakika mungu ampumzishe mahali pema Amina 🙏
@damariskemongera8405
@damariskemongera8405 3 ай бұрын
You move me into tears and loving The Lord through your beautiful music😢Can't have enough of you even after a long day and am in the kitchen ❤️ iI enjoy every word.....
@AdamMohamed-u4p
@AdamMohamed-u4p 5 ай бұрын
Msiba unauma sana kiukweli unatia hasira sana unavunja moyo sana watu wazuri ndo wanaondoka inauma jaman
@sofiawanjiru5195
@sofiawanjiru5195 5 ай бұрын
Waah bado siamiamini😔 1:13 😔😔Ila kazi ya Mungu haina makosa..Poleni sana kutoka Kenya😔😔😔😔😔🙏
@michaelwesonga4084
@michaelwesonga4084 5 ай бұрын
Hakika Mimi pia kama fans wenu nimeumia sana kumpoteza mwezunu Marco Joseph
@khwakajoy1162
@khwakajoy1162 2 ай бұрын
My problems shall surely end here.....thanks zabron Choir
@sharonnanjala512
@sharonnanjala512 5 ай бұрын
Team gulf....lets comfort team zabron singers with love ❤❤❤❤❤
@danielbushasha2687
@danielbushasha2687 5 ай бұрын
Kutoka Kenya.Nimebubujikwa na machozi.Ni huzuni sana kumpoteza mtumishi wa Mungu kama wakati tunamhitaji sana.poleni !Mungu awape nguvu kustahimili.
@Nduwimanadenise
@Nduwimanadenise 5 ай бұрын
Mungu hana Makosa jinalake lihibidhiwe milele amina❤❤Mungu awafaliji gutoka Burundi 🇧🇮
@MathewKitaka
@MathewKitaka 3 ай бұрын
Who is here November,,,,,, sometimes it's not easy but lord is on our side😭just give me a like
@lillymasika277
@lillymasika277 3 ай бұрын
I'm here 😢God is faithful 🙏
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 3 ай бұрын
Me too
@faithareba-p5o
@faithareba-p5o 2 ай бұрын
😢😢
@lasleysavai3988
@lasleysavai3988 2 ай бұрын
Me too
@GaudanceYasinta
@GaudanceYasinta 5 ай бұрын
Duu! Roho inauma lakini mungu kapanga, kazi yake haina makosa, kikubwa tumuombee mpendwa wetu tukiamini yupo kifuani pa Ibrahim,❤❤❤
@Wangui_winnice
@Wangui_winnice 5 ай бұрын
May God give you strength... Take heart and may Marco's heart rest in peace 🕊️🕊️🕊️... Sending love and light from Kenya 🇰🇪 tuko pamoja kwa maombi
@bridgitsenerwa
@bridgitsenerwa 5 ай бұрын
The fact Our Marco was sick while in Kenya..As a country we are grieving together and Marco will be in our hearts forever..
@RobinsonLeonard-so8md
@RobinsonLeonard-so8md 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/f3PSm5JtiZuGhLMsi=AKcqPGhYzF-4i8ih
@MargaretBellah-xm7ks
@MargaretBellah-xm7ks 3 ай бұрын
Marko amelala na kwa kazi nzuri aliofanya duniani Mungu akamua alale ili apumzike 😢sad without you Marko but we're grateful for those who are alive ❤ much love from kenya 🇰🇪
Zabron Singers - Unaendeleaje(Official video)
5:52
Zabron Singers.
Рет қаралды 156 М.
упс #aminkavitaminka #aminokka
00:12
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,2 МЛН
NERF TIMBITS BLASTER
00:39
MacDannyGun
Рет қаралды 14 МЛН
Сигма бой не стал морожкой
00:30
КРУТОЙ ПАПА на
Рет қаралды 10 МЛН
How Strong is Glass? 💪
00:25
Brianna
Рет қаралды 29 МЛН
упс #aminkavitaminka #aminokka
00:12
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,2 МЛН