Ingia Ulingoni/Ana Uwezo wa Kuendesha Gari Kilomita 1600/Madereva wa Mabasi Wamnyooshea Mikono Juu/

  Рет қаралды 68,756

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

3 жыл бұрын

Kwenye kipindi cha #LeoTena alidondoka Malkia wa Nguvu Halima dereva wa Basi la kampuni ya Maning Nice, linalofanya safari ya kutoka Dar kwenda Tunduma....tazama hapa

Пікірлер: 98
@evaristmrope
@evaristmrope 2 жыл бұрын
Nimerudi hapa kuiangalia hii interview baada ya huyu mama kupata ajali na kukatika mkono.! Pole sana Bi Halima
@pcthemaster9096
@pcthemaster9096 2 жыл бұрын
Inasikitisha sana. Ndoto zake maskin zimeishia hapo
@happycharlie155
@happycharlie155 2 жыл бұрын
🙏😭😭
@elishajeremiah8240
@elishajeremiah8240 2 жыл бұрын
Pole Sana dadaangu... Wewe mjasili Sana mungu akutie nguvu.
@hamedrashid1882
@hamedrashid1882 2 жыл бұрын
Nakubali Sanaa Halima na pia pole sanaaa tena kwa ajali inshalllah utapona kwa uwezo wa mungu
@user-bi4um8cn2u
@user-bi4um8cn2u 2 жыл бұрын
Hongera. Kwa. Mwana. Mama. IN SHA ALLAH. M/MUNGU. Atakuhifadhi. Na Kila. Baya. Amin
@kitambimwana4974
@kitambimwana4974 2 жыл бұрын
Duuuuu ilikuwa interview nzurii Sanaa kwa kipenzi changuu Halima ,,Ila leoo ,,tunaongea menginee ,,,pole sanaaa kipenz changu ,,,m/mungu ataweka wepesi ,,,inshallah
@thatkidluffy6390
@thatkidluffy6390 2 жыл бұрын
M.mungu umfanyie mja wako wepesi katika maisha yake na umfungulie kila lenye kheri kwa wepesi na pole sana kwa mtihani
@athumanimapande8394
@athumanimapande8394 2 жыл бұрын
Daaah zaidi ya maumivu nimesikia leo 22/05/2022 amepata ajari amekatika mkono Mungu akusimamia upone haraka
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 2 жыл бұрын
Hongera sana sana Mdada. Wanaume jifunzeni sana
@montanaprime
@montanaprime 3 жыл бұрын
Mungu akusaidie sana Mama. Ndoto yako itatimia
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 2 жыл бұрын
Pole sana dadangu...imeniuma sanaa.mungu akufanyie wepesi upone Kwa wakati.urudi kujenga taifa
@mekumeku2484
@mekumeku2484 2 жыл бұрын
Aliyemwamini na kumpa gari ndio jembe zaidi
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 2 жыл бұрын
Halima kiukweli Abiria wako wanakupenda sana sana.
@shanielmasoud4130
@shanielmasoud4130 2 жыл бұрын
Hongera sana dada khalima tuko pamoja
@mwajumambowa4035
@mwajumambowa4035 2 жыл бұрын
Pole dada halima kwa ajali uyopata jana mungu atakujalia utapona 🙏😭😭
@juniorshekaoneka9662
@juniorshekaoneka9662 2 жыл бұрын
Halima kapata ajali majuzi akiwa na basi la superfeo akitokea songea kwenda dar na kakatika mkono. Mungu amponye
@ladyt1471
@ladyt1471 2 жыл бұрын
Hongera sana mamy wanawake tunaweza
@sarahmsigwa6728
@sarahmsigwa6728 2 жыл бұрын
Pole da Halima mungu akupe nguvu kipindi hiki kigumu😭🙏
@reganndoss2679
@reganndoss2679 2 жыл бұрын
Ongera Sana pia napenda kuona mwanamke akiendesha gar kubwa pia mi dereva nipo nao kwenye kampun
@petersynto2043
@petersynto2043 2 жыл бұрын
Pole sana best maaana mmmh niimeumia sana baada yakuona ajali uliyoipata Mungu ni mwema daima atakufanyia wepesi upone haraka ili tujumuike pamoja na shughuri za kulijenga taifa letu Tz
@aboubackhrkassangullah4755
@aboubackhrkassangullah4755 3 жыл бұрын
Cku ya kwanza namuona halima nilizani ni konda nilipanda gari nilijua kuwa yeye ndo dereva baada ya kufika nangurukuru kiujumla Yuko vizuri
@khamiskamtoi2609
@khamiskamtoi2609 2 жыл бұрын
😭😭😭Dah Dakika ya 19:24 second dah 😥 Mungu Akufanyie wepes Ccter upone Amiin Inshaallah Maisha yapo Bora hujafa Ccter
@ericktarimo8157
@ericktarimo8157 2 жыл бұрын
Dah Leo ndio umepat ajali Mpak umepoteza viungo... Mungu akutie nguvu up one haraka.. Inshallah dada khalima
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 жыл бұрын
Maskini pole halima nimesikia Leo umepata ajali umekatika mkono 😭Allah atakusaidia utapona. Kumbe uliomba kwa mola wako usipate ajali ukakatika kiungo!😭
@siriusa186
@siriusa186 2 жыл бұрын
nilitaka kuandika Kama wewe mungu ampe subira🙏🙏
@edwardmbungani6524
@edwardmbungani6524 2 жыл бұрын
Daah! Nikimuona huyu dada roho inaniuma
@hadijaabdrahamani5089
@hadijaabdrahamani5089 3 жыл бұрын
Sio kwa wanaume wetu Dada
@aishaally654
@aishaally654 2 жыл бұрын
Pole halima kwaajali kukatika mkono daaah pole san
@abdilahijumatv727
@abdilahijumatv727 3 жыл бұрын
Mama lao akisukuma zhongtong climber 💯💯💯
@maikovineventscompany1180
@maikovineventscompany1180 2 жыл бұрын
HUYU ANAITWA MAMA LAO. MIENING NICE. KILA AKIFIKA LINDI CHETI.
@Official83640
@Official83640 2 жыл бұрын
Acheni Mungu aitwe Mungu na kabla hujafa ujaumbika sasa mkono umekatika kwa ajari aisee awe pole
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 3 жыл бұрын
Hongera dada
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 жыл бұрын
Mashaallah mungu wetu mlinde huyu dada azidi kipaji chake
@priscajohn6090
@priscajohn6090 2 жыл бұрын
Pole sana my' Mungu akuponye
@supertal2943
@supertal2943 2 жыл бұрын
Pole Sana Daa Halima, Allah shifaq
@magrethngonye1981
@magrethngonye1981 2 жыл бұрын
Pole sana kipenzi changu mungu atakuponya
@amosmwanga4027
@amosmwanga4027 3 жыл бұрын
Mungu akulinde mama.... big up sana
@nasrinairi9556
@nasrinairi9556 3 жыл бұрын
Umeumbwa kuthubutu na kufanya Mama, endelea kujitoa ili ufikie malengo. 🙌🔥🔥
@muungujaunguja8609
@muungujaunguja8609 2 жыл бұрын
Mshukuru Mungu dada shukuru kwa kila jambo dada yetu utapona🙏
@aishaally654
@aishaally654 2 жыл бұрын
Daaaah halima sasa Amepata Ajali juzi 2 kapata Ajali sasa hanamkono inauma
@user-bi4um8cn2u
@user-bi4um8cn2u 2 жыл бұрын
MASHALLAH.
@pascalnicolaus6986
@pascalnicolaus6986 2 жыл бұрын
Big up super woman
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah
@tanjaniyoman3160
@tanjaniyoman3160 2 жыл бұрын
Mwijaku oman zamanisana wanaendesha gari wanawake mi saudia tu.
@janematuta3057
@janematuta3057 2 жыл бұрын
Duh my friend Mungu akuponye
@helenangamoga5927
@helenangamoga5927 2 жыл бұрын
Pole sana dada
@babramakungu2692
@babramakungu2692 2 жыл бұрын
Dah mambo yetu wanadamu tufanye kimya ki.ya kwa kweli mungu atusaidie leo kilema
@khalidsalum1740
@khalidsalum1740 2 жыл бұрын
kweli kwaniii husda ni nyingiii mnooo
@fatumaathumani9977
@fatumaathumani9977 3 жыл бұрын
Nice one
@zuhurambonde1982
@zuhurambonde1982 2 жыл бұрын
Nimejisikia vibaya mpaka nimerudia leo kuangalia upyaa
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 2 жыл бұрын
Hizo km ndogo sana, Mi hapa nazunguka Est africa nzima naendesha bila kuchoka!
@edsonqasus6885
@edsonqasus6885 Жыл бұрын
Kwa hiyo wewe naye ni demu unaenda enzini na kuzaa coz unajilinganisha na mwanamke
@salamaseif4183
@salamaseif4183 2 жыл бұрын
Ongera Sana halima
@daudmtange8005
@daudmtange8005 2 жыл бұрын
Daah huwez amini huyuu dem nishawa kusafili nae kama konda
@elizabethkalemwa4714
@elizabethkalemwa4714 2 жыл бұрын
Pole halima kushukuru uhai unao
@theresiamilanzi5907
@theresiamilanzi5907 2 жыл бұрын
Safi kabisa .mimependa 💔
@iviejustified8109
@iviejustified8109 3 жыл бұрын
Mashallah.... Hongera saana miaka 10 ndiyo kawaida mtu ana upgrade katika maisha .... Kila baada ya miaka 10 katika kazi yoyote uki focus lazima upande juu uwe master...
@imanifrancis8381
@imanifrancis8381 2 жыл бұрын
Du!Mungu akusimamie
@meckrinapaulo8122
@meckrinapaulo8122 3 жыл бұрын
Namkubali sana mama lao
@mwajumambowa4035
@mwajumambowa4035 2 жыл бұрын
Daa umepoteza mkono wako wakulia nimeumia Sana jamani
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 2 жыл бұрын
Bora huyo mpumbavu alifukuzwa kazi. Hakupenda maendeleo yako.
@lydiakangongole6783
@lydiakangongole6783 2 жыл бұрын
Mungu akutetee
@yassinsalum1864
@yassinsalum1864 2 жыл бұрын
Pore sana dada
@zuhuzuli.5150
@zuhuzuli.5150 2 жыл бұрын
Pole sana kipenzi😭
@sulleyally5040
@sulleyally5040 2 жыл бұрын
Huyo mume atakae muowa awe na wake wawili lazimaa
@africanflame1521
@africanflame1521 2 жыл бұрын
super woman
@samwelmhando9104
@samwelmhando9104 3 жыл бұрын
Mama Lao
@kefrinpatson7800
@kefrinpatson7800 3 жыл бұрын
Hongera mama.wanawake tunaweza
@zakiahamisi9840
@zakiahamisi9840 3 жыл бұрын
Namkumbuka huyu Dada ,wakati yuko kwenye kampuni ya Hamanju wakiwa wanakuja kutia mafuta kwenye kituo chetu oil com Lindi , na tulikuwa tunacheza nae mchezo Wa kupeana alikuwa vizuri sana
@amoselead4029
@amoselead4029 3 жыл бұрын
Badirsheni kama tunduru siyo tunduma
@maufoung
@maufoung 3 жыл бұрын
Ukiona gari ya Kwanza inaingia dar ujue alima anatembea ovyo huyo hatar
@shabansalee4924
@shabansalee4924 2 жыл бұрын
Uyo mtoto kuna mtu anaitwa Aridi simbaaa ama kichuya muuliziee uyo utapata moto wake uyo naraaaaaa ataliiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤐
@nekashash2190
@nekashash2190 2 жыл бұрын
Naomba namba zake huyo mdada Kwani ameolewa?
@ramamchina4730
@ramamchina4730 2 жыл бұрын
Dada ulikoxea sn kuweka mambo yko adhalani
@happyvilukamtawa8948
@happyvilukamtawa8948 3 жыл бұрын
Mama lao hilooooooo
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Жыл бұрын
Sasa la ajabu nn? Hiv wanawake mnajiweka WAP? Ndyo maana mmepewa nguvu ya kubeba mimba na kusukuma mtoto, halafu mjue ni binadamu Kama binadamu mwingine tu! Wote akili ziko sawa na binadamu mwingine! Kwa hiyo hamna sababu ya kubweteka kuwa et kazi ngumu ngumu nj za wanaume!
@babazungu3180
@babazungu3180 2 жыл бұрын
Masaa 8 tu hp km 800 kwa south Africa speed 120
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
Much 😂😃😃 DURBAN J, BURG KM 600 Tu Lakini Ma BUS Yanatembea Masaa Ma Nane 😃😃😃 INTER CAPE , TRANSLUX , Sijui GRYHOND Zote nimepanda na Hakuna Bus Inatembea KM 120 BUS zote zina Stika Za KM. 100 PH na KM 80 PH
@oyay2821
@oyay2821 2 жыл бұрын
Eti watu wa Kenya hawataki masomo? Hio ni athari ya kuishi Tz
@maurididinani7453
@maurididinani7453 3 жыл бұрын
Tatizo la huyu dada anakimbiza sana gari
@aboubackhrkassangullah4755
@aboubackhrkassangullah4755 3 жыл бұрын
Kiboko ya baraka classic huyo halima
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
@@aboubackhrkassangullah4755 😂😂😂 Wacha weeh
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 2 жыл бұрын
Leo kapta ajali dah Mungu amlinde
@mohamediyusuph5527
@mohamediyusuph5527 2 жыл бұрын
Huyu dada hanywi energy ili kutoa usingizi
@pendolukinga8564
@pendolukinga8564 Жыл бұрын
u
@khadijakadunda6233
@khadijakadunda6233 3 жыл бұрын
mm mwenyew dereva wa Lori nimefurah Sana
@fatumadavd505
@fatumadavd505 3 жыл бұрын
Nakupataje halima ili unipe muongozo napenda sana hii kazi my dear
@kambiantony6098
@kambiantony6098 3 жыл бұрын
Khadija kadunda mie mwenyewe napenda hii fani dada naomba unishike mkono
@khadijakadunda6233
@khadijakadunda6233 3 жыл бұрын
jaman Kwan ww dereva
@lilianievaristo5922
@lilianievaristo5922 2 жыл бұрын
Khadija naomba tuwasiliane plz nataka kuwa dereva wa maroli.
@khadijakadunda6233
@khadijakadunda6233 2 жыл бұрын
Nipe no yako
@abdilahijumatv727
@abdilahijumatv727 3 жыл бұрын
Mama lao akisukuma zhongtong climber 💯💯💯
@jitukorofi9517
@jitukorofi9517 2 жыл бұрын
Pole sana dada
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 57 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 101 МЛН
SIONGEI NA ZAMARADI KABISA / WIVU / SITAKI TENA  -  IRENE PAUL
3:21
Wasafi Media
Рет қаралды 43 М.
MAIDS PAMBE USIKU WA ZUU #WeCaptureYourMemory #KitchenPartyOnline
2:54
Kitchen Party Online
Рет қаралды 53
Halima Mbwana: "Muda mwingine naweza nikalala porini mwenyewe"
14:16
BBC News Swahili
Рет қаралды 17 М.
Mwanamke aliyeamua kujiajiri licha ya kuwa na elimu ya kuajirika
22:37
У Тебя Есть 3 Желания! 😌 @NutshellAnimations
0:46
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 7 МЛН
100❤️
0:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 21 МЛН
Сын вернулся с войны и сделал сюрприз 🤯
0:17
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 5 МЛН
УНИТАЗ В ЛЕСУ?? #shorts
0:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 2,5 МЛН
Sigma Girl Past #sigma #funny #comedy
0:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 22 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
0:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 6 МЛН