Hichi ni kifala sana si ulisema mondi ni takataka 😂😂😂😂
@aloycekiwia8613Ай бұрын
Hajawahi kusema hivyo
@JIKUZENYAYOWASTELTDАй бұрын
@@aloycekiwia8613 angalia interview yake akiwa na stivo simple boy last month
@evodiusantony2115Ай бұрын
Hii jamaa atali
@msafitheboss2130Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti mbumbumbu... 😂😂😂😂😂😂😂😂
@bonfacewachira3297Ай бұрын
Aliskumwa casypool 😂😂😂
@LorkizzyCufulaneNassoroАй бұрын
Anatumia Nguvu nyingi kwa kuhongeya huyu Nsengue poxa
@musiccaentertainment100k8Ай бұрын
Umbwa ya wapi hii
@johnmeshack4431Ай бұрын
😁😁😁kiroho safi karbu tz
@Mzalendo-n8qАй бұрын
Hatuwezi kuja maana hio nchi inatawaliwa na mtu twaeza mtia mimba akaenda nyumban kuzaa😊
@johnmeshack4431Ай бұрын
@Mzalendo-n8q tunatawaliwa na mungu ciyo binadamu sisi tuna hofu ya juu
@Mzalendo-n8qАй бұрын
@@johnmeshack4431 ety Mungu...hivi nyinyi Tz mnamjua Mungu kwel!!?..kama mngekua mnamjua Mungu, mwadhan mngetawaliwa na mwanamke!!?..ama vitabu vya dini (Mungu) wenu vinaruhusu huo ujinga!!?..m
@yusternyirenda7231Ай бұрын
@@Mzalendo-n8q Kama watanzania wanavyowatia mimba wanawake wenu wa Kenya bila kuwaoa 😂😂😂
@Mzalendo-n8qАй бұрын
@yusternyirenda7231 hebu niambie..kina nani hao wanafanya hivyo!!?..juu huku kwenye nko..nko na watanzania wengi sana wanawake wanadanga tu..na wengine wanafanya kazi ya mbocha mshahara 5k per month..Sasa Kati ya wakenya na tz .Nan wajinga..
@VincentGamboMuyeАй бұрын
😂😂😂😂😂Uyu jamaa hzi n njaa, jamaa alkuw yuatoka aenda zake. Acha upuzi kipara Kwan alkuw hapo akipigiw simu
@HabibaMohamed-h3nАй бұрын
Mbona hawatufungulie biashara hao matajiri
@rhodandungeАй бұрын
Huyu msee ako na mdomo mingi sana
@amalsilim6894Ай бұрын
Lakin ukweli usemwe, kulipa waimbaji k165m kwa mara kidogo engetumiwa vizuri maskini wengi wenge faidika. Iyo ilikua israf hali ya juu akiwa Muislamu. Walimu wa madrasa wengi walala njaa, saizi wa firia wako vizuri. Wagonjwa Wengi wako siptali hawana pesa za bill.
@NgasaMaduhuАй бұрын
You mean angempaa show pozee na si diamond 😅😅 Anyway maskini hatumdai chochote wala pesa yake hatuna nafasi ya kumpangia matumizi na kabla ya kusema haya kaa ukijua maskini hatujawahi kumpa chochote so tusipende kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu tujipiganie wenyewe mbona diamond kapambana na alikua maskini tena kushinda wengi wetu.
@PaulineMbeke-n6jАй бұрын
Huyu jamaa ako na njaaa sana.anasukumana apate pesa kwa watu,kujipedekeza
@AayshaAyashАй бұрын
Ebu jarib na ww
@HassanHassan-dk5dbАй бұрын
Kasspool ndo habar ya mjini.
@zaxy_5iveАй бұрын
Atakuja akutikue
@JobOgangaАй бұрын
Hawa nao they don't have people wa ku interview we need to unfollow hii Media coz every day ni Caspool