Jenerali ulimwengu akizungumza na viongozi wa Dini kuhuhu Haki za Binadamu. #breezonlinetv #daressalaam #kanisakatoliki
Пікірлер: 65
@edwinlyimo56119 ай бұрын
Huwa nakusikiliza sana,hujawahi kukosea,hata leo nimefurahi sana,uko vizuri Sana,ila hapa kwenye ushauri wako kwa mwanasiasa kuwa mwenye heri sijakuelewa,kwakuwa Nyerere alimtumikia Mungu, kupitiatia siasa,na umethibitisha hakufanya mabaya yoyote,alikuwa na mwaminifu na mkamilifu,hivyo ni jukumu la wanaharakati hao wanao pendekeza atangazwe mwenye heri kumpima kwa vigezo hivyo,wala sio historia,kwa maoni yangu,Wamtangaze tu kuwa mwenye heri,anastahili yeye wala sio kazi yake
@isayagilson57109 ай бұрын
Kweli kabisa wafanye utafiti kama kunamwanasiasa amewahi kuwa mwenye heri maanake ninaowasikia wenye heri walijikita kufanya kazi ya mungu tu sasa Nyerere alikuwa Rais ukiwa kiongozi unaweza ukalazimika ufanye mambo ambayo hayampendezi mungu kutokana na katiba inasema nini.
@josephlorri4319 ай бұрын
Kuna imani zingine hawajiamini wanachoamini..huwa wanajadili imani za wenzao. Wakatoliki wanajiamini sana kwa imani zao... hawajihangaishi na imani za wengine, wanajua ni wakubwa kwenye ujenzi wa hoja
@josephmoyo56179 ай бұрын
Ktk hili la Nyerere wanapoteza muda wao tu Bure.
@zachariamalley70769 ай бұрын
Mungu hufanya kazi yake kupitia kwa watu na c lazima ambao wajikwezao kuwa wenye fikara Bora kwa macho ya kiulimwengu huu, Bali wa nyenyejevu na mioyo ya haki. Binadamu asijetumia akili zake ktk jukwaa kuhukumu wengine na Imani zao.
@AUDIFANCEACHITIMBWA8 ай бұрын
Vipi kuhusu Mt. Paulo (Saulo)?
@PhilipCharlesBukuku15 күн бұрын
Nyerere was a benevolent Dictator .May Jehovah God Rest Him in Eternal Peace.🎉🎉🎉
@ernestkamata25559 ай бұрын
Kutangazwa mwenye heri siyo luwa ni malaika aliyeishi duniani ila ni mwanadamu kama sisi. Kwa asiye mkatoriki hawezi kujua kabisa
@shenjamamzingi79508 ай бұрын
''UKWELI UTABAKI KUWA KWELI''
@ernestkamata25559 ай бұрын
Umemaliza speach vibaya, kwani akiwa wa kwanza kunatatizo?
@tanzania25599 ай бұрын
Tuanzie hapa 26:00
@mshumbusimchuruza59609 ай бұрын
Kabisaa umesema ninayosema moyoni mwangu
@PhilipCharlesBukuku15 күн бұрын
Twaha Ulimwengu Phobia, Tundu Antipas Phobia, Sugu Phobia, Freeman Mbowe Phobia, J Lema Phobia, Dr Slaa Phobia😂😂😂😮😮😮
@adenmwakalobo76010 ай бұрын
Ni kweli kaka Jenerali unapendeza ktk tafakuri zako nyongi. Mojawapo ktk sifa zako nyingi ni umahiri wako ktk kujifunza na kutumia lugha ikiwa ni pamoja na Kiswahili. Asalaam aleikhum si salamu yenye kumaanisha dini (uislamu) bali ni salamu yetu ktk lugha yetu ya Kiswahili, hivyo hakuna haja ya ku-appease mtu mwingine (mkristu au wa dini nyingine). Hongera na shukuran kwa ufafanuzi sahihi. Pia ahsante kwa harakati hizo zote zihusuzo kuwaamsha Watanzania juu ya masuala ya msingi yanayowahusu sana.
@maggiehiza588410 ай бұрын
Hujaambiwa anatangazwa kuwa mwenye heri. Process ya uchunguzi ndiyo inaanza. Don't confuse people. You are jumping into conclusion.
@thobiasbukali900810 ай бұрын
Unadhani Demokorasia ni mpango wa Mungu?
@PhilipCharlesBukuku15 күн бұрын
😮😮😮😊😊😊
@simonrusigwa30249 ай бұрын
Jenerali anapiga spana kila mtu. Safi sana
@zachariamalley70769 ай бұрын
Ajipige spana mwenyewe kwa kuwa naye alishawahi kuwa sehemu ya mfumo na hakuweza leta maboresho tija, rahisi kushutumu wengine lakini ngumu kujifanya mwenyewe, ndo tabia ya wanaharakati wengi wa aina hii. Kazi iliyobaki ni kuganga njaa au kutafuta vijisifa mitandaoni, maneno kiuanaharakati hayawezi ongeza chembe ya mchanga, tone ya maji, lazima yaandamane na matendo ya utashi wa kuyafanyia kazi kiuhalisia na wenye mamlaka. Ukosoaji wa masifa hauna tija kwetu watu wa kawaida.
@josephmoyo56179 ай бұрын
Kanisa lijitathimini ,kwanini linalaximisha maji kupanda mlima?
@KirengaNdemino8 ай бұрын
Mhm
@abdalahgunda13199 ай бұрын
Only solution is Tanzania unity without boder voice your national Ander ccm police force rool religious leader opposition leader odinary Tanzania people you need to unit rengforce unity to get power back under brutal leadership of ccm leadership
@ChristmasMaheri9 ай бұрын
Alirithi utawala wa kifalme.Alikuwa Waziri Mkuu wa kwanza katika ufalme wa Malkia wa Uingereza.Baada ya madaraka 09.12.1962.Alianza kuondoka katika utawala wa kifalme.Alileta ujamaa na kujitegemea.Alituandaa tuende mbele kwa kujitegemea hata kimawazo.Ameondoka 1985.Tunao wajibu pia kwa maslahi yetu.Tusishindwe kujiamini.
@adampetermakombe565410 ай бұрын
Huyu muzee napeda kumusikiliza tuuuu
@lucianyenzi52069 ай бұрын
Waachie wenye imani yao waendelee na mchakato, maana wanajua wanachofanya, maana wewe haikuhusu, kwa kuwa hujui hata vigezo wanavyotumia ili mtu awe mwenyeheri na hatimaye atangazwe mtakatifu
@dassustephen7319 ай бұрын
Amwfhanganyikiwa huyu hajielewi
@aloyce65839 ай бұрын
Ukitaka maendeleo achana na democracy
@eatlawe4 ай бұрын
Hii ya kutangza mwenye heri ni utapeli wa tu wa Waroma na mila za Kirumi na siyo Biblia hiyo! Hakuna mwandamu na hasa hawo wanaobariki ushoga kujua mtu ameenda wapi! Ili ujue ujaja ujanja ni wakubwa tu au watu maarufu tu ndio wanaopewa hizo sifa za kibinadamu. Ila wasiojulikana wanaenda kwa mashetani! Hii 100% fake and heretic!
@AdamSaffi2119 ай бұрын
Jenerali are u ok, basically u a telling us Nyerere was a dictator. But now it’s worse, kila kitu ni Mama kaleye neema etc etc, it’s bad! Nyerere hakuiba, leo watu wanaingia hapo ni kujitajirisha tu, it is horrible!
@dassustephen7319 ай бұрын
The guy echoes ludiclulous nonsense and promulgating bunch of stupendous ignorance,arrogance and stupidity
@zegelibilishanga604710 ай бұрын
Haya mambo hayakuhusu Kutangazwa au kutotangazwa hakujadiliwi na mtu asiyejua ukatoliki nn
@daudimazengo77729 ай бұрын
Mhhhh mwishowe umeharibu. Kwani akianza yeye kuwa mwenye heri Kuna ubaya. Au hadi awepo Mzungu kwanza? Pia mambo ya dini tuwaachie wana dini wenyewe. Maana hata mchakato huo inaonesha huujui. Be wise for not judging on what you don't clearly know about.
@LeonardKasambala-we6gv10 ай бұрын
Mzee wangu General huwa unanidai kwa Kila tamko la hotuba zako
@didacuskasunga185610 ай бұрын
ppp0ppp000pp
@didacuskasunga185610 ай бұрын
pppp0000000pp0pppp
@MbwanaKisoro10 ай бұрын
tegezi
@joelsaganya40779 ай бұрын
Tangu ni mjue huyu mzee, mazungumzo yake yanaonyesha chuki ya dhati kwa watu anaoamini yeye sio wa upande wake, kifupi mtu huyu ni mbaguzi wa kupindukia
@josephmoyo56179 ай бұрын
Haujamwelewa vzr, Sasa hapo kaongea kipi Cha uongo? Au unapenda watu wanaosifia hata pasipo stahili?
@oswaldpancras53148 ай бұрын
Kuna watu wanataka akili zao tu zikubalike, bila kujali athari mbaya zinazowapata wengine, ndio maana unaona maoni ya aina hii, kwao ni kujikweza tu.....i@@josephmoyo5617
@eliasnicolaurobath68649 ай бұрын
Hakika ni ajabu mimi kama mimi nasema hakuna mtu mwema alie wahi kukubalika kwao au kwenye taifa lake ukweri ni huo angalieni stolia za mitume mjifunze hapo kwa mitume
@josephmoyo56179 ай бұрын
Alichowafanyia ,akina kambona,bibi titi Mohamed na wengine wengi niaibu. Yeye mwenyewe alisema kwao kunakivhakaHuwa anakwenda kufanya matambiko ya mizimu. Aliporuka shimo lililo na mbuzi ndani ,Kisha mashekhe wakamwambia Sasa Swain hakuwezi tena.hayo ni machache sana ,Kisha Leo mnakomaa kumefanya mwenye heri kumbe wagonjwa wa Akili wapo wengi sana ktk nchi hii Hadi wasomi nao ni wagonjwa.
@PhilipCharlesBukuku15 күн бұрын
😂😂😂😢😢😢😮😮😮😅😅😅😊😊😊
@PhilipCharlesBukuku15 күн бұрын
Sir George Kahama was a true son of Tanzania. R.IP Sir G. Kahama, Kandoro, etc May Jehovah God bless the United Republic of Tanzania . Kudos for 4R.
@PhilipCharlesBukuku15 күн бұрын
Don't be bootlickers to the west! We should run while others walk(JKN)😊😊
@PhilipCharlesBukuku15 күн бұрын
❤❤❤Tanzania!!
@karimambosanga429010 ай бұрын
Ulimwengu ni dhahabu inayo na azina ktk nchi hii bahati mbaya hatambuliki
@mengikiguruwe67509 ай бұрын
Huyu ni mchumiatumbo tu
@nashonkibayayu37769 ай бұрын
Umesema kitu ambacho umejichanganya mwenyewe. Wayahudi, wamevamiwa, watu 1000 wameuawa, watu zaidi ya 200 walitekwa, hakuna walio piga kelele, hakuna walio ondoa uovu huo kwa mikono Yao, hakuna walio Nina. Wengi wlishangilia, walifurahia. Leo wanajibiwa Kwa uovu walio ufanya, watu wanasimama. Wanasema hakuna haki. Happy haki Iko watu? Walilo watendewa was yahudi, ndiyo majibu ya wanao tendewa wapalesitina. Biblia inasema , Chochote apandacho mtu, ndicho atakacho vuna.
@shenjamamzingi79508 ай бұрын
Just keep ur Big Mouth SHUT
@hamzakimaro376410 ай бұрын
KANISANI KATOLIKI SHAUKU YA MKUTANGAZA NYERERE NIPO ST,MAANA ALIPAMBANA MNO KUUDHOFISHA UISILAM NA KULIPA KANISA GOODCHANCE!!KUMBE MASIKINI HAKUJUWA UISILAM HAWAHITAJI UMESHENARY KUENEZA,UNASAMBAA KAMA HEWA!! NA LEO HII UISLAM UNAZIDI KUKUWA NA TISHIO KWA DINI ZINGINE DUNIANI!!
@deogratiusvalentino62489 ай бұрын
Una ushahidi?
@fredtarimo17389 ай бұрын
Sasa wewe unafurahia dini zingine zikitishiwa na uislam? Hii sasa ni roho mbaya.
@deogratiusvalentino62489 ай бұрын
Leta ushahidi wa hoja yako, acha kuzunguka mbuyu
@celestinshayo72959 ай бұрын
@hamzakimaro: kauli yako ni ya kishabiki zaidi bila uhalisia. Ushahidi wa kudhoofisha uisilamu ni mavi ya juzi hayanuki. Nyerere aliondoka kwenye uongozi mwaka 1985 akaingia muisilamu mbona bado mnaendelea kulalamika kwamba uisilamu unakandamizwa? Kuchelewa kwenu kimaendeleo hakutokani na sababu iliyo nnje yenu. Huo ndio ukweli I stand to be corrected!