Jenerali ULIMWENGU atoa Agalizo Nyerere kutangazwa MWENYEHERI"hakupenda Democrasia/Hakuwa Mwizi"

  Рет қаралды 19,400

Breez Online Tv

Breez Online Tv

Күн бұрын

Jenerali ulimwengu akizungumza na viongozi wa Dini kuhuhu Haki za Binadamu.
#breezonlinetv #daressalaam #kanisakatoliki

Пікірлер: 65
@edwinlyimo5611
@edwinlyimo5611 9 ай бұрын
Huwa nakusikiliza sana,hujawahi kukosea,hata leo nimefurahi sana,uko vizuri Sana,ila hapa kwenye ushauri wako kwa mwanasiasa kuwa mwenye heri sijakuelewa,kwakuwa Nyerere alimtumikia Mungu, kupitiatia siasa,na umethibitisha hakufanya mabaya yoyote,alikuwa na mwaminifu na mkamilifu,hivyo ni jukumu la wanaharakati hao wanao pendekeza atangazwe mwenye heri kumpima kwa vigezo hivyo,wala sio historia,kwa maoni yangu,Wamtangaze tu kuwa mwenye heri,anastahili yeye wala sio kazi yake
@isayagilson5710
@isayagilson5710 9 ай бұрын
Kweli kabisa wafanye utafiti kama kunamwanasiasa amewahi kuwa mwenye heri maanake ninaowasikia wenye heri walijikita kufanya kazi ya mungu tu sasa Nyerere alikuwa Rais ukiwa kiongozi unaweza ukalazimika ufanye mambo ambayo hayampendezi mungu kutokana na katiba inasema nini.
@josephlorri431
@josephlorri431 9 ай бұрын
Kuna imani zingine hawajiamini wanachoamini..huwa wanajadili imani za wenzao. Wakatoliki wanajiamini sana kwa imani zao... hawajihangaishi na imani za wengine, wanajua ni wakubwa kwenye ujenzi wa hoja
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 9 ай бұрын
Ktk hili la Nyerere wanapoteza muda wao tu Bure.
@zachariamalley7076
@zachariamalley7076 9 ай бұрын
Mungu hufanya kazi yake kupitia kwa watu na c lazima ambao wajikwezao kuwa wenye fikara Bora kwa macho ya kiulimwengu huu, Bali wa nyenyejevu na mioyo ya haki. Binadamu asijetumia akili zake ktk jukwaa kuhukumu wengine na Imani zao.
@AUDIFANCEACHITIMBWA
@AUDIFANCEACHITIMBWA 8 ай бұрын
Vipi kuhusu Mt. Paulo (Saulo)?
@PhilipCharlesBukuku
@PhilipCharlesBukuku 15 күн бұрын
Nyerere was a benevolent Dictator .May Jehovah God Rest Him in Eternal Peace.🎉🎉🎉
@ernestkamata2555
@ernestkamata2555 9 ай бұрын
Kutangazwa mwenye heri siyo luwa ni malaika aliyeishi duniani ila ni mwanadamu kama sisi. Kwa asiye mkatoriki hawezi kujua kabisa
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 8 ай бұрын
''UKWELI UTABAKI KUWA KWELI''
@ernestkamata2555
@ernestkamata2555 9 ай бұрын
Umemaliza speach vibaya, kwani akiwa wa kwanza kunatatizo?
@tanzania2559
@tanzania2559 9 ай бұрын
Tuanzie hapa 26:00
@mshumbusimchuruza5960
@mshumbusimchuruza5960 9 ай бұрын
Kabisaa umesema ninayosema moyoni mwangu
@PhilipCharlesBukuku
@PhilipCharlesBukuku 15 күн бұрын
Twaha Ulimwengu Phobia, Tundu Antipas Phobia, Sugu Phobia, Freeman Mbowe Phobia, J Lema Phobia, Dr Slaa Phobia😂😂😂😮😮😮
@adenmwakalobo760
@adenmwakalobo760 10 ай бұрын
Ni kweli kaka Jenerali unapendeza ktk tafakuri zako nyongi. Mojawapo ktk sifa zako nyingi ni umahiri wako ktk kujifunza na kutumia lugha ikiwa ni pamoja na Kiswahili. Asalaam aleikhum si salamu yenye kumaanisha dini (uislamu) bali ni salamu yetu ktk lugha yetu ya Kiswahili, hivyo hakuna haja ya ku-appease mtu mwingine (mkristu au wa dini nyingine). Hongera na shukuran kwa ufafanuzi sahihi. Pia ahsante kwa harakati hizo zote zihusuzo kuwaamsha Watanzania juu ya masuala ya msingi yanayowahusu sana.
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 10 ай бұрын
Hujaambiwa anatangazwa kuwa mwenye heri. Process ya uchunguzi ndiyo inaanza. Don't confuse people. You are jumping into conclusion.
@thobiasbukali9008
@thobiasbukali9008 10 ай бұрын
Unadhani Demokorasia ni mpango wa Mungu?
@PhilipCharlesBukuku
@PhilipCharlesBukuku 15 күн бұрын
😮😮😮😊😊😊
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 9 ай бұрын
Jenerali anapiga spana kila mtu. Safi sana
@zachariamalley7076
@zachariamalley7076 9 ай бұрын
Ajipige spana mwenyewe kwa kuwa naye alishawahi kuwa sehemu ya mfumo na hakuweza leta maboresho tija, rahisi kushutumu wengine lakini ngumu kujifanya mwenyewe, ndo tabia ya wanaharakati wengi wa aina hii. Kazi iliyobaki ni kuganga njaa au kutafuta vijisifa mitandaoni, maneno kiuanaharakati hayawezi ongeza chembe ya mchanga, tone ya maji, lazima yaandamane na matendo ya utashi wa kuyafanyia kazi kiuhalisia na wenye mamlaka. Ukosoaji wa masifa hauna tija kwetu watu wa kawaida.
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 9 ай бұрын
Kanisa lijitathimini ,kwanini linalaximisha maji kupanda mlima?
@KirengaNdemino
@KirengaNdemino 8 ай бұрын
Mhm
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 9 ай бұрын
Only solution is Tanzania unity without boder voice your national Ander ccm police force rool religious leader opposition leader odinary Tanzania people you need to unit rengforce unity to get power back under brutal leadership of ccm leadership
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 9 ай бұрын
Alirithi utawala wa kifalme.Alikuwa Waziri Mkuu wa kwanza katika ufalme wa Malkia wa Uingereza.Baada ya madaraka 09.12.1962.Alianza kuondoka katika utawala wa kifalme.Alileta ujamaa na kujitegemea.Alituandaa tuende mbele kwa kujitegemea hata kimawazo.Ameondoka 1985.Tunao wajibu pia kwa maslahi yetu.Tusishindwe kujiamini.
@adampetermakombe5654
@adampetermakombe5654 10 ай бұрын
Huyu muzee napeda kumusikiliza tuuuu
@lucianyenzi5206
@lucianyenzi5206 9 ай бұрын
Waachie wenye imani yao waendelee na mchakato, maana wanajua wanachofanya, maana wewe haikuhusu, kwa kuwa hujui hata vigezo wanavyotumia ili mtu awe mwenyeheri na hatimaye atangazwe mtakatifu
@dassustephen731
@dassustephen731 9 ай бұрын
Amwfhanganyikiwa huyu hajielewi
@aloyce6583
@aloyce6583 9 ай бұрын
Ukitaka maendeleo achana na democracy
@eatlawe
@eatlawe 4 ай бұрын
Hii ya kutangza mwenye heri ni utapeli wa tu wa Waroma na mila za Kirumi na siyo Biblia hiyo! Hakuna mwandamu na hasa hawo wanaobariki ushoga kujua mtu ameenda wapi! Ili ujue ujaja ujanja ni wakubwa tu au watu maarufu tu ndio wanaopewa hizo sifa za kibinadamu. Ila wasiojulikana wanaenda kwa mashetani! Hii 100% fake and heretic!
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 9 ай бұрын
Jenerali are u ok, basically u a telling us Nyerere was a dictator. But now it’s worse, kila kitu ni Mama kaleye neema etc etc, it’s bad! Nyerere hakuiba, leo watu wanaingia hapo ni kujitajirisha tu, it is horrible!
@dassustephen731
@dassustephen731 9 ай бұрын
The guy echoes ludiclulous nonsense and promulgating bunch of stupendous ignorance,arrogance and stupidity
@zegelibilishanga6047
@zegelibilishanga6047 10 ай бұрын
Haya mambo hayakuhusu Kutangazwa au kutotangazwa hakujadiliwi na mtu asiyejua ukatoliki nn
@daudimazengo7772
@daudimazengo7772 9 ай бұрын
Mhhhh mwishowe umeharibu. Kwani akianza yeye kuwa mwenye heri Kuna ubaya. Au hadi awepo Mzungu kwanza? Pia mambo ya dini tuwaachie wana dini wenyewe. Maana hata mchakato huo inaonesha huujui. Be wise for not judging on what you don't clearly know about.
@LeonardKasambala-we6gv
@LeonardKasambala-we6gv 10 ай бұрын
Mzee wangu General huwa unanidai kwa Kila tamko la hotuba zako
@didacuskasunga1856
@didacuskasunga1856 10 ай бұрын
ppp0ppp000pp
@didacuskasunga1856
@didacuskasunga1856 10 ай бұрын
pppp0000000pp0pppp
@MbwanaKisoro
@MbwanaKisoro 10 ай бұрын
tegezi
@joelsaganya4077
@joelsaganya4077 9 ай бұрын
Tangu ni mjue huyu mzee, mazungumzo yake yanaonyesha chuki ya dhati kwa watu anaoamini yeye sio wa upande wake, kifupi mtu huyu ni mbaguzi wa kupindukia
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 9 ай бұрын
Haujamwelewa vzr, Sasa hapo kaongea kipi Cha uongo? Au unapenda watu wanaosifia hata pasipo stahili?
@oswaldpancras5314
@oswaldpancras5314 8 ай бұрын
​Kuna watu wanataka akili zao tu zikubalike, bila kujali athari mbaya zinazowapata wengine, ndio maana unaona maoni ya aina hii, kwao ni kujikweza tu.....i​@@josephmoyo5617
@eliasnicolaurobath6864
@eliasnicolaurobath6864 9 ай бұрын
Hakika ni ajabu mimi kama mimi nasema hakuna mtu mwema alie wahi kukubalika kwao au kwenye taifa lake ukweri ni huo angalieni stolia za mitume mjifunze hapo kwa mitume
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 9 ай бұрын
Alichowafanyia ,akina kambona,bibi titi Mohamed na wengine wengi niaibu. Yeye mwenyewe alisema kwao kunakivhakaHuwa anakwenda kufanya matambiko ya mizimu. Aliporuka shimo lililo na mbuzi ndani ,Kisha mashekhe wakamwambia Sasa Swain hakuwezi tena.hayo ni machache sana ,Kisha Leo mnakomaa kumefanya mwenye heri kumbe wagonjwa wa Akili wapo wengi sana ktk nchi hii Hadi wasomi nao ni wagonjwa.
@PhilipCharlesBukuku
@PhilipCharlesBukuku 15 күн бұрын
😂😂😂😢😢😢😮😮😮😅😅😅😊😊😊
@PhilipCharlesBukuku
@PhilipCharlesBukuku 15 күн бұрын
Sir George Kahama was a true son of Tanzania. R.IP Sir G. Kahama, Kandoro, etc May Jehovah God bless the United Republic of Tanzania . Kudos for 4R.
@PhilipCharlesBukuku
@PhilipCharlesBukuku 15 күн бұрын
Don't be bootlickers to the west! We should run while others walk(JKN)😊😊
@PhilipCharlesBukuku
@PhilipCharlesBukuku 15 күн бұрын
❤❤❤Tanzania!!
@karimambosanga4290
@karimambosanga4290 10 ай бұрын
Ulimwengu ni dhahabu inayo na azina ktk nchi hii bahati mbaya hatambuliki
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 9 ай бұрын
Huyu ni mchumiatumbo tu
@nashonkibayayu3776
@nashonkibayayu3776 9 ай бұрын
Umesema kitu ambacho umejichanganya mwenyewe. Wayahudi, wamevamiwa, watu 1000 wameuawa, watu zaidi ya 200 walitekwa, hakuna walio piga kelele, hakuna walio ondoa uovu huo kwa mikono Yao, hakuna walio Nina. Wengi wlishangilia, walifurahia. Leo wanajibiwa Kwa uovu walio ufanya, watu wanasimama. Wanasema hakuna haki. Happy haki Iko watu? Walilo watendewa was yahudi, ndiyo majibu ya wanao tendewa wapalesitina. Biblia inasema , Chochote apandacho mtu, ndicho atakacho vuna.
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 8 ай бұрын
Just keep ur Big Mouth SHUT
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 10 ай бұрын
KANISANI KATOLIKI SHAUKU YA MKUTANGAZA NYERERE NIPO ST,MAANA ALIPAMBANA MNO KUUDHOFISHA UISILAM NA KULIPA KANISA GOODCHANCE!!KUMBE MASIKINI HAKUJUWA UISILAM HAWAHITAJI UMESHENARY KUENEZA,UNASAMBAA KAMA HEWA!! NA LEO HII UISLAM UNAZIDI KUKUWA NA TISHIO KWA DINI ZINGINE DUNIANI!!
@deogratiusvalentino6248
@deogratiusvalentino6248 9 ай бұрын
Una ushahidi?
@fredtarimo1738
@fredtarimo1738 9 ай бұрын
Sasa wewe unafurahia dini zingine zikitishiwa na uislam? Hii sasa ni roho mbaya.
@deogratiusvalentino6248
@deogratiusvalentino6248 9 ай бұрын
Leta ushahidi wa hoja yako, acha kuzunguka mbuyu
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 9 ай бұрын
@hamzakimaro: kauli yako ni ya kishabiki zaidi bila uhalisia. Ushahidi wa kudhoofisha uisilamu ni mavi ya juzi hayanuki. Nyerere aliondoka kwenye uongozi mwaka 1985 akaingia muisilamu mbona bado mnaendelea kulalamika kwamba uisilamu unakandamizwa? Kuchelewa kwenu kimaendeleo hakutokani na sababu iliyo nnje yenu. Huo ndio ukweli I stand to be corrected!
@fatmasherallysherally537
@fatmasherallysherally537 9 ай бұрын
Well said Hamza
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,2 МЛН
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
JENERALI ULIMWENGU ANENA HAYA MBELE YA VIONGOZI WA DINI KUHUSU HAKI ZA BINADAMU
51:46
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 19 М.
KIJANA ANAYEIGIZA SAUTI YA RAIS SAMIA AWAVUNJA MBAVU MKUTANONI
6:59