Karibu Jesus Restoration Center, Mwanza. #2022MwakaWaNeemaYaMatokeoYasiyoYaKawaida
Пікірлер: 85
@wabbaitan3063 Жыл бұрын
Ninakuwa na furaha Tele na shauku ya Kujifunza kwa bidii kupitia Masomo Yako Ewe Pastor George Mukabwa Mpakwa mafuta wa BWANA usiye na makuu Wala mbwembe. Hakika umeitwa kututoa shimoni ktk Jina la Yesu. Uzidishiwe Kila unaposimama kufundisha. Amen. Tutembelee uku Mbeya japo semina ya week Moja.
@kmtcuniversity93107 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kweli ya mungu. ..wooow❤❤❤❤❤oye Niederoesterreich
@karenpaul783516 күн бұрын
Mungu akubariki Pastor wewe na familia yako 🙏
@mercysamuel9281 Жыл бұрын
Pastor nakupenda Sana ,umenitia nguvu Sana ,jumbe zako ni Mungu mwenyewe
@ZelaMwasenga-ml1lj2 ай бұрын
Pastor ahsante sana kwa haya mafundisho Kuna namna ambavyo Mungu anakutumia kusema nasisi kupitia neno ubarikiwe sana 👏👏
@EstaDamianАй бұрын
Nabarikiwa Sana nakufuatilia na ninaandika mafundisho ulipewa na BWANA
@missarepafra39739 ай бұрын
Amina Pastor masomo yako uyanatufungua tulipofungwa na adui🙏🙏
@user-sm4xc8uh2sАй бұрын
Mungu akubariki mutumishi minakufata pâle Congo mimesaidiwa saana,n'a mafundisho aya🙏🙏
@user-wf4kh9im7o4 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua pasta
@adelambaye1298 Жыл бұрын
Asante mtumishi kwà mafundisho haya yenye upako barikiwa
@bakunduwukizebenithe78885 ай бұрын
Nimejifunza sana ujumb wakusikiliza kila siku❤
@mchisraelimbarikiwanassari3588 Жыл бұрын
God bless you mtu wa Mungu
@murjiibrahim593224 күн бұрын
Ameen
@AbedyNalbert2 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu tunajivunia mafundisho yako❤❤❤
@marymessay2768Ай бұрын
Amen ubarikiwe Babaetu Mungu akutunze sana tuendelee kubarikiwa
@MAJABAable6 ай бұрын
BWANA aendelee kukuinua Pastor,mafundisho yako yananibariki sana sana.AMINA
@mungajoas33432 ай бұрын
Amina, Pst George, Sir Umefanyika Baraka Mno kwenye MAISHA Yangu.
@HildaPeter-bk9yy2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu aendelee kukuinua zaidi ili na sisi tuinuke! Mungu akutunze pastor.
@silvanusijoseph26 Жыл бұрын
Pastor Ubarikiwe San sana...
@gemamwakyusa6100 Жыл бұрын
Asante Pastor kwa somo hili! Neema ya kutendea kazi somo hili napokea
@everlyneimili11 ай бұрын
nashukuru Sana mtumishi Wa Mungu umenitoa mbali Na mafundisho yako....barikiwa zaidi
@melaniazacharia61562 жыл бұрын
Amen Ninapofunga ile roho inayonisumbua inakufa yenyewe🙏🙏
@user-ye1dt2eb8u8 ай бұрын
Bila ya kuomba, Kwa kufunga tuz help me dear,
@giftmollel7788 Жыл бұрын
Pastor nimekufahamu kwa wakati mzurii nakushukuru mno
@FlorenceObenda7 ай бұрын
Pastor nafatilia madundisho yako nayananibariki sana,may God bless you.
@annonciataumingabire1460 Жыл бұрын
Amen 🙏 Amen 🙏 Amen ❤❤❤
@nolascomichael2347 ай бұрын
Mungu akulinde AFYA yako uendelee kutusaidia
@israelandrew8851 Жыл бұрын
Haleluya
@charityfaustine319 Жыл бұрын
Blessed🙏
@lydiamichael55092 жыл бұрын
Amen and Amen
@ferdinandhabimana98233 ай бұрын
Bwana Yesu apewe sifa milele yote
@user-jh7iq7vb9y11 ай бұрын
Umenitia moyo pastor
@DieumerciMarume-zo9rj9 ай бұрын
Man of God,god bless you. Je remercie Dieu de t'avoir connue
@reubenmanembe6533 Жыл бұрын
Good messages Father God bless you!!🙏🙏
@AsherKihombo4 ай бұрын
Asante Baba kwaujumbe Muzuri 🙏
@salimajosephine16733 ай бұрын
Oona Mungu anavyo sema nami
@evalynependo3824 Жыл бұрын
Amen and Amen 🙏
@user-gt2ri8ou6z7 ай бұрын
Mungu akubariki Baba
@jeniferhussein4424 Жыл бұрын
Asante pastor kwa mafundixho mazur
@user-de5nd2fo9y6 күн бұрын
Amen🙏🙏🙏🙏🙏
@johnmushi5836 Жыл бұрын
Amen Amen Father
@pastorsulemanishilla21478 күн бұрын
Amen
@everlyneimili11 ай бұрын
napokea nguvu ya kiroho Kwa Jina la yesu...
@gilbertwanje10 ай бұрын
Napokea nikiwa Mombasa K🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@eunicemasungulwa Жыл бұрын
Ninajengeka kiimani sana kipitia mafundisho yako Pastor
@elizabethnduta84099 ай бұрын
Bwana asifiwe ,,nitashoshea aje hizo nguvu
@user-ye1dt2eb8u8 ай бұрын
Mwenye ameelewa zaidi kutimiza kusudi la Mungu aje Sasa, Tena uchochee kimaombi au Kwa kutenda mema au, yeyote wa rohoni anisaidie,naamini hapa hatulingani kirohoni,tuko katika viwango tofauti
@gideonmwaweza8177 Жыл бұрын
Baba yangu MUNGU akubaliki Sana
@user-kl9vv1cn5y4 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@measlaomari7703 Жыл бұрын
Amen amen
@rweumbizalugaimukamu49057 ай бұрын
Huyu ni Mtumishi WA kweli
@philipojangama Жыл бұрын
Ameen,
@nolascomichael2347 ай бұрын
Pastor, hakika umetumwa kutufungua AKILI zilizofungwa najitahidi Sana kuyatendea kazi
@collinslyimo448 Жыл бұрын
Ameeeen 🙏
@user-rg3br4uk5c Жыл бұрын
Nimekuelewa
@nyakatongongo429211 ай бұрын
Baba nashukuru sana nimejifuza kutafakari kuvunja sauti ninazosikia zikikaa zinanisumbua kwa kupitia neo barikiwa sana .nakufuatilia sana kutoka South africa
@user-ye1dt2eb8u8 ай бұрын
Mi pia naeikiaga sauti, hata sizielewangi aki .naona taabu kwangu, ujui ni shetani ujui ni roho wa Mungu
@measlaomari7703 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@collinslyimo448 Жыл бұрын
Ameeeeeeen
@jacklineisaac912 Жыл бұрын
AMEN
@user-rg9vd2xw5s11 ай бұрын
Amina baba
@georgeswaiswai45812 жыл бұрын
Nabalikiwa Sana na nimefurahi
@livinngowi19132 жыл бұрын
Kanisa lipo wapi
@mamadaniella28552 жыл бұрын
Amen, very inspiring.
@monicahmwalozi11 ай бұрын
Baba 😂😂😂😂😂umejua kunifurahisha
@user-vz2xt5do4y4 ай бұрын
Amen Amen
@user-vx5rb6rg1v11 ай бұрын
Amen 🙏
@giftmollel7788 Жыл бұрын
Haya nimafunuo ya ajabuu mno
@everkivuyo8596 Жыл бұрын
Baba m nasema tuu ninaneema kubwa kukupata huku utube nimepona kupitia wewe huku huku jina la Bwana lihimidiwe
@user-iq1pl8nw2yАй бұрын
Masomo Yako yananifanya niwe mtu mahaluma Yana nifunguwa minyororo ya shetani
@user-kv7hq5mb6m2 ай бұрын
Pastor nisaidie,nifanye nini Ili nitimize kusudi la Mungu lililoko ndani yangu?,najiona Rohoni Mimi ninani,lakini mwilini hamna!!!!!!
@sayunimshanga3861 Жыл бұрын
Amina masihi wa BWANA.
@atuganilembonge11 ай бұрын
Nasogea kiroho kupia hii
@erickmsimbe542411 ай бұрын
Amina mtumishi Bwana Yesu akupe nguvu zaidi ya kutumika kwa kizazi hiki
@user-gt2ri8ou6z7 ай бұрын
Amina Baba
@mayranehemia94693 ай бұрын
😂😂😂
@MaryMwihaki-if7ryАй бұрын
Amen
@bettkipkiruimichael3469Ай бұрын
Amen
@DelphinKatongolo2 ай бұрын
Amen
@AsherKihombo4 ай бұрын
Amen
@ericaEdenThomas6 ай бұрын
Amen
@easymapetv5 ай бұрын
Amen
@emmanuelsabuni52932 жыл бұрын
Amen
@christinealusiola-gc9go Жыл бұрын
Pastar nimekuelewa adi roo yangu imesonga atua nyingi ne ubarkiwe kapisa Amina amen 🙏🙏🙏🙏