SLM all Dr Abdul sema kweli wachana na hao wanatoa comment za unafik wamepewa kitu kidogo wakuzuuie usiesme kweli ndugu inshsllah mungu atamlipa joho kwa dhambi zake moto mtupu
@feisalsaid31054 жыл бұрын
Sema sema kweli wanafiki Hawataki uongee
@maggiemamaafricaofficial70804 жыл бұрын
Joho mwizi number one
@davidwalalason76304 жыл бұрын
Joho apora hella za wanyonge kwa kizazi chake cha kesho na kesho kutwa lakini mwenyezi mungu atatulipia sisi.
@feiruzsaid48674 жыл бұрын
Asalm alkm Dr.majid may Allah protect u.hawa watu ni wahalifu madhaalim wakubwa hawa kina joho.Allah atawatosha na Allah atatuhifadhi watu wa msa.hawajui wala hata hawana khoufu ya dhulma.Allah yupo anawaona.ipo siku yao.haipo mbali..Dr majid Allah yu pamoja na ww
@islamicnewschannel25513 жыл бұрын
Dr Amkeni habari zake ni za ukweli, uhakika na kuwamsha watu wa Mombasa na Kenya nzima.please Dr Amkeni my brother Don't Land here in KENYA,these people they kill you like they do to sadat but Alhamdulillah he is saved.WE LOVE YOU Dr Amkeni the people of coastal region and Kenya . please please my brother Dr Amkeni stay safe until 2022 Insha Allah people of Mombasa will vote you as the Governor of Mombasa 001, Allah akupe maisha na umri mrefu.
@esharamadhani5544 жыл бұрын
Subhana Allah joho😭😭😭tulikuwa hatujui subhana Allah🤭mungu hatakusameh 👉
@seadogs44604 жыл бұрын
31.4 billion Ksh amekodisha private jet kwenda Dubai kumwangalia Raila.Kumamako Joho alafu wataka kuwa Rais,labda women rep ndio utapata ama mzee wa mtaa
@yusufibrahim7424 жыл бұрын
Ukweli kabisa
@hallydaktari43704 жыл бұрын
Kweli kabisa
@naushadalhuwaliaalhuwalia9184 жыл бұрын
Sema sema baba pasua mbarika,namtu akikutukana tunae hatumuachi tutampa kali bure
@shaniahrachma31144 жыл бұрын
Shukran sanaa Mungu akulinde hata kma vibaraka njaa wa joho wanataka leta mambo ya dini ila tunawapotezea maguruwe hao
@alisalim94834 жыл бұрын
sipati picha joho angekua kwetu bongo na.hz pesa alizochukua anko magu angemyongaa wallah😂😂😂😂😂
@firozabdallaabdalla23284 жыл бұрын
Dr mwenyezi mungu atakupatia ujira wako insha allah
@ngugz244 жыл бұрын
So painful! We shall Revisit! Tutawanyaganya vyote na tuwa funge! Za mwizi ni "40" Mzee tuna kusikia tena sana zidii kuongea "Kizazi kipiya hiki" tuta pambana nao vilivyo. In the mean time wakuguze hata ki nywele kichwani watajuta!! ✌🏾 ✊🏾
@abdulrahmanmussa44794 жыл бұрын
Subhanallah mombasa sisi kulala ni kama kawa ukiamsha watu watu wanakurudisha na wewe ulale tutaamka siku likupilizwa parapanda
@feiruzsaid48674 жыл бұрын
Dr joho anastahiki kuwa msanii na wala sio governor sbb being a govener ni majukumu.na huyu ni mchumi kaipata cheo hiki ili tuu achume mali ya umma.majukumu hayawezi anapendeza kuimba na kukatika kiuno juu ya jukwaa.charactaless govener never seen before.khain
@esthernzisa62844 жыл бұрын
While it was opposition time the governor of Mombasa was always talking about Mombasa, saying that some poeple from up country want to steal your ports. I don't know how it came to be so after the hand shake. Na nyinyi ma MPs nyote teteeni watu wa pwani. Don't live your brothers alone. The man eater is surrounding all of you. It will be you time to be eaten.
@athumanikaroyo59994 жыл бұрын
Joho asili yake ni tanzania moa mayomboni tanga ndio kwao mombasa ni mgeni tu wengi awajui ilo
@abdurahmanali29014 жыл бұрын
Mungu akupe kila laheri
@mbindembinde20374 жыл бұрын
Pesa za county zaliwa na maslayqueen...kina n tewa, dxb, kyalo na dimpoz
@fahadfaraj18224 жыл бұрын
Kenya nchi imekithiri ufisadi
@firozabdallaabdalla23284 жыл бұрын
Asalam DR wasema ukweli na mwenyezi mungu Skype towfiq na sisi pia hizo pesa zitakua Moto kwao
@ayshenagib64624 жыл бұрын
Mungu ni hakim
@faizabbas46204 жыл бұрын
JOHO KWAO N TANGA,TANZANIA SIO MOMBASA KWAHVO JOHO N MKIMBIZI...🗡🔨🛠⚒..
@nikitambuthia61084 жыл бұрын
Ndo maana anaharibu mali ya waja...hana uroho ya wakenya na udhaifu wao. Kisha wana mombasa...vipi nyinnyi mwandokezewa siri zote hizi na mumekaa tu ndee!!!Kwanj kumuingoa Joho na familia yake watoke nguvuni ina washinda?!?Na ni pesa zenu zinaharibiwa,mwangalia tu?!? Wake up n take actions...this family is abnormal.childten who needs to be curbed n taken to court n jailed! Dkt Amken All this evudence. Pass it to the law!! Stop asking the gang to call you for what?!? Send the report to the right authorities if theirs law in kenya By now they shoukd have been arrested! Or u pass thr same info. To the same sYndicate investigating him on Artul brothers cases of drug traficking!
@AliMohamed-wp1op4 жыл бұрын
Tuambie nchi watokayo mababu za Joho tujue, kama ni Tanzania, Uganda, Somalia ama Sudan. TUAMBIE TAFADHALI TUPATE FAIDA
@kenyayetoyeto4 жыл бұрын
comoro
@mwakugomba4 жыл бұрын
Waga najiuliza kwa nini mr william king, a very bright fellow, alikubaki kua deputy governor! Why?
@hawatognola40223 жыл бұрын
Salamalhekum .baba asante kwa helimu . Ndio mana mombasa pablik bich wamechukuwa
@mohammedali78032 жыл бұрын
Waleykum musalaam warhmatulwahi wa barakatuh Amiyn
@haribuharibu30294 жыл бұрын
Mnalilia uongozi kumbe mule jasho la maskini.......jannah yenu duniani akhera ni kuni za jahannam.
@khalifaabdulkadir95023 жыл бұрын
Naomba Nmber ya Dr Amkeni
@viva00152 жыл бұрын
Joho mwisho wake ni mbaya sana na atapata kifo cha uchungu sana yeye na wafuasi wake
@haribuharibu30294 жыл бұрын
Waaleikumussalaam Dr Amkeni
@kenyayetoyeto4 жыл бұрын
jamani ukisikia hizo pesa ziliotumika na ukifananisha machakos wametumia pesa kidogo sana na amejenga hospital ngapi na ambulance school karibu 5 mpya kabisa wazee wanafatwa mpaka majumbani na kutibiwa bara bara zao hata nairobi hakuna hebu fikirieni jamani,
@petermwantole94334 жыл бұрын
dah,, niko +255 ,,lkn kwa mipasho hiyo , kweli Joho ajitathimini mara mbili km kuna ukweli wowote...
@drockyacrobatics33734 жыл бұрын
Asalam Aleykum ALLAH ata lipa in shaa ALLAH
@seadogs44604 жыл бұрын
INSHALLAH
@hassanmohamed83524 жыл бұрын
Send the entire dossier on Joho to ethicds and anti corruption
@suhelmohammed3414 жыл бұрын
Dahh this is touching
@kareemalamoody63454 жыл бұрын
Truthful is Truth
@abdillahihassanali1594 жыл бұрын
Joho MTU wa Moroni pesa zote amekula pesa za kwa vijana kibarua mbona no kwa watu Fulani wengine kwa chifu ukienda mpaka uhonge ndio uandikwe jina lsko kwenye Nazi kwa vijana
@esharamadhani5544 жыл бұрын
Asante bbangu ulikuwa wapi? wakati wote huwo babangu hukutuerevusha
@firozabdallaabdalla23284 жыл бұрын
Kaburi inawangojea
@ruu65924 жыл бұрын
Uyu kiboko haha
@ayshenagib64624 жыл бұрын
Ajijengee kaburi la pesa pia
@ruu65924 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@viva00152 жыл бұрын
Joho anajipendekeza kwa Raila ili asipelekwe marekani kwa tuhuma za madawa ya kulevya. Joho amebaki na kujipendekeza kwa Raila tu
@makenakendi2824 жыл бұрын
Mashaallah hatuogopi kufa Dr toboa
@kinara53654 жыл бұрын
Uyu ayuko Kenya. Haeziongea ivi akiwa area. Ako UK
@esharamadhani5544 жыл бұрын
Mungu akulinde haki
@nikitambuthia61084 жыл бұрын
Dkt Amken.. Send the report to the law With evidence such as these incrimating.. Pass the dossiet to Jicho Pevu n right Lawyer Let them be arrested ifnur factsnare real.. Or send info to interpol there in London.. These us damning info and worth immeadiete arrests!
Unazungumza ivi kumbe uko UK😂😂. Uezi zungumza ivi na uko 254
@lollatwapachannel.51324 жыл бұрын
Amkeni jamani ndugu zangu tutakauka tumenyonywa ya kutosha....
@gilbertmangola46992 жыл бұрын
Upandacho ndio utakachovuna, ukipanda mazuri utavuna mazuri na ukipanda maovu utavuna maovu
@karamazaid63704 жыл бұрын
Usichoke kuzungumza manenoyako yahaki watukweli wamelala twaumia sana
@firozabdallaabdalla23284 жыл бұрын
Na omba ndugu zangu za pwani tu amke sasa wacha ku lala tutashutuka pwani Isha uzwa badaye hakuna kitu tutaweza kufanya tuamkeni
@kenyayetoyeto4 жыл бұрын
hao mca wenyewe watashindwa wengi ni ODM na waizi kama wao wanpawa magari wataogopa kupokonywa na HATIMY amewaweka cona akiwapa anawawekea masharti
@abusalam70364 жыл бұрын
Niko na wewe DrAmkeeni na hawo wanaokula pesa hizo za ummaa kwa taarifa yao wanatia moto kwenye matumbo yao family hiyo hiyo moja wanapeana nafasi
@ayshenagib64624 жыл бұрын
Msaada kwanani atakae kututoa kwenye dhuluma hii kubwa lkn watakufa vibaya
@kenyayetoyeto4 жыл бұрын
muandamane kudai haki yenu muna haki kujua
@alisuleiman81104 жыл бұрын
Ribah
@abdurahmanali29014 жыл бұрын
Ahmed
@khalifaabdulkadir95023 жыл бұрын
Mtu anitumie pls kwa nmber yangu +254792303503
@ayshenagib64624 жыл бұрын
Ww Mohamed unanini ww wamtetea nn sasa
@hishamally48464 жыл бұрын
Sasa na wewe mzee wangu si ungekuwepo katika khayo maandamano ingependenza zaidi
@shaniahrachma31144 жыл бұрын
Ukikuwa ww inatosha ama nawe unapakatwa na joho
@susankariuki4494 жыл бұрын
You dont fear politicians?
@nikitambuthia61084 жыл бұрын
Fear who created you aa their powers are more intense than those of your fellow humans! Regardless of their earthly title names!
@kinara53654 жыл бұрын
He is not in Kenya. Haezi ongea ivi akiwa area. Uyu jamaa ako Uingereza
@susankariuki4494 жыл бұрын
@@kinara5365 okay no wonder!
@kinara53653 жыл бұрын
@Mrs Inziani ???
@kenyayetoyeto4 жыл бұрын
badal ya matusi tumia akili pima maneno yako na heshma haiuzwi ni kujifundisha
@sumayahfathi94134 жыл бұрын
Tulia tuli Maneno yako hata kwenye kanga yapo, Huwezi kushusha Nyota ya Hassan joho, wewe Mzee umri ushskwenda nenda katubu, unaongea ssnaaa, hatutaki kukuelewa kwenda zako
@abdulrahmanomar92014 жыл бұрын
Asili yako wewe ni punda milia, hayawani mkubwa ulozoea kupelekwa huku na kule. Huyo mzee anaongea facts tupu jinga ww!
@salimsamir82864 жыл бұрын
@@abdulrahmanomar9201 mpeukweli
@abdulrahmanmussa44794 жыл бұрын
Wallahi Mombasa Kuna watu ni mabunga balaaa yani joho dhulma za wazi wazi lakini hawaoni subhanallah
@naushadalhuwaliaalhuwalia9184 жыл бұрын
Malaya huyu namjua yuwatobwa mkundu wamuasha mbwa koko
@ngugz244 жыл бұрын
@samira Fathi. We pia nakushuku mwizi. Jiongele peke yako wacha sisi wengine tumuelewe Mzee na tuta muelewa tena sana! Pumbavu wewe!
@abudimuddy5174 жыл бұрын
Umri umekuwacha Mtubie mola wako wacha kuropokwa....
@makenakendi2824 жыл бұрын
Asema ukweli
@abudimuddy5174 жыл бұрын
@@makenakendi282 hana ukweli wowote ni chuki ndio amezidisha... hana busara hata kidogo wala hana heshima
@makenakendi2824 жыл бұрын
Ww kama ushakatiwa tulia
@makenakendi2824 жыл бұрын
Ww hata hauna hayaa unaongea hivo
@abdulrahmanomar92014 жыл бұрын
Mkweli ni ww funga hilo kundu lako @abudi muddy
@ahmedbadbess84624 жыл бұрын
You are not producing any evidence otherwise it just remains they are merely false allegations... Utaendelea kuongea mpaka koo ikutoke😁