Рет қаралды 2,243,516
Je umewahi kusikia kuhusu nyoka mkubwa anayetoshana na ndovu? Ambaye pia huvalia kipuli? Nyoka anayeishi majini na hutoka nje tu kuanzia saa kumi na moja alfajiri hadi jua changa linapochomoza? Ni nyoka ambaye huwameza fahali, au wanyama wengine wakubwa mzimamzima! Sasa hayo ni madai ambayo yameenea sana eneo la Kinango kaunti ya Kwale.
Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on www.ktnkenya.tv
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya