Juma Nature Afunguka Kuhusu Maisha Yake Ya Muziki | Shajara na Babbie Kabae

  Рет қаралды 13,707

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

5 ай бұрын

Mkongwe wa Bongoflava Juma Nature akiifungua Shajara yake kwa Babbie Kabae

Пікірлер: 36
@superhemed7590
@superhemed7590 5 ай бұрын
Juma humu umeelezea vzr sn bro km ukiwa ujalewa unakuwa mtu powa sn. Acha pombe ndg yetu urudi kwny game km zaman unaua kipaji na historia yk nzuri ndg yetu tunakupenda sn. ACHA POMBE LETA MASHAIRI HALISI YA NATURE MZEE
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 5 ай бұрын
Nimekuelewa Sana huyu jamaa akiachatu pombe ujue anarudi kwaharaka Sana
@jilalamaligisa4854
@jilalamaligisa4854 3 ай бұрын
Kipindi kizuri na Juma Nature ni moja ya watu waliobeba historia ya muziki wa bongofleva, mahojiano haya yangefana sana kama mtangazaji angekuwa mkongwe pia na anayeujua, kuufuatilia na kuupenda muziki wa bongofleva tangu zamani, hakika kipindi kingeshiba sana lakini hakijapendeza kabisa kwa sababu mtangazaji hajahoji mambo yote ya msingi na kwa kina mfano TMK Wanaume Family ilianzishwa mwaka gani, ikavunjika mwaka gani na Juma Nature kuunda Wanaume Halisi, yaani miaka mtangazaji haulizi wakati kipindi hiki kinaweza kabisa kuwa rejea ya mtu fulani aliyeamua kuandika historia ya muziki wa bongofleva au ya Juma Nature. Tambua Juma Nature ni msanii mkubwa sana na mkongwe sana na anayepaswa kuheshimiwa sana katika muziki wa bongofleva hivyo unapomhoji jitahidi kuuliza maswali mengi na ya msingi kwa faida ya kizazi chake, cha sasa na vizazi vijavyo. Kifupi sijapendezwa na mtangazaji, sina chuki naye binafsi na simfahamu ila sijapendezwa na alivyofanya mahojiano kwa msanii mkubwa kama Juma Nature, hajamtendea haki.
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 5 ай бұрын
Huyu mtangazaji hajui mziki wala hajamfuatilia Juma Nature vizuri kabla ya kufanya nae mahojiano.
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 5 ай бұрын
Kibla nature❤💥kaka Saidi my tune of time😊
@pajambeshi7347
@pajambeshi7347 5 ай бұрын
Namekubali sana msani wangu bora wa muda wote
@ray45king84
@ray45king84 5 ай бұрын
R.i.p BK... kiungo muhimu sana kama gundi kwenye kundi la Wanaume. Ahsante Nature kwa kumpa shavu kwenye Sitaki demu rmx, Mbichi hizi,Tatu bila,Yaliyopangwa na Mungu..kama emcee ,BK,Dollo na Bob Q wapo underrated sana..Respect
@devymwanjala1123
@devymwanjala1123 5 ай бұрын
Nakukubar sana nature kwenye sim yangu zimejaa nyimbo zako
@allykota8355
@allykota8355 Ай бұрын
Yani Juma kapona kweli uchawi upo yani Juma leo kaongea vizuri sana
@gatsonmatiko8000
@gatsonmatiko8000 5 ай бұрын
Safi sana musitu wa vina sanecha
@dr_deo
@dr_deo 5 ай бұрын
Juma Nature ni hazina kubwa sana...a living legend
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 5 ай бұрын
Wimbo HISTORY sijaupata. Nimeutafuta sana sana. Holaaaa
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 5 ай бұрын
Watu wanafiki sana, Juma Nature kama asingedanganywa ajitoe kwenye wanaume family Leo hii asingekua hapo alipo, halafu waliomdanganya wanayoka hii hii kitu ambayo love hii ameitea tena waje wamcheke
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 5 ай бұрын
Uyu mama haku fit kabisa kumuhoji juma😅
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 5 ай бұрын
Hajui mziki wala historia ya Nature, yaani yuko hapo kama ndugu msikilizaji tu
@alexmoses1430
@alexmoses1430 5 ай бұрын
Napenda sana kumsikiliza nature utamani amalize kuongea
@labanimakangila-il4fw
@labanimakangila-il4fw 5 ай бұрын
Hatari sana msitu wa vina
@user-bd8vo9sn3i
@user-bd8vo9sn3i 4 ай бұрын
Nkunda staa
@BarakaSety-gn3dj
@BarakaSety-gn3dj 5 ай бұрын
Acheni hio tabia mungu ndo amewafikisha hapo mlipo... Tunaomba mtusaidie from simanjiro
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 5 ай бұрын
akusaidie mungu wako.. acha kulilia watu
@user-bd8vo9sn3i
@user-bd8vo9sn3i 4 ай бұрын
Nkunda sta
@emmanuelkitomali3143
@emmanuelkitomali3143 5 ай бұрын
Hii interview inadeserve sehemu ya pili aisee , kuna vitu bado natamani kujua zaidi Issue ya kuondoka tmk chanzo Nini Issue ya Sinta Nadhani ingetufanya tumjue nature zaidi. Babie plz em fanya namna basi
@AMwamzola
@AMwamzola 3 ай бұрын
Sister nilikua namkubal Uyo jamaa
@user-yv3jk5bl2p
@user-yv3jk5bl2p 5 ай бұрын
Nature yn ni mtu wa wa2
@BarakaSety-gn3dj
@BarakaSety-gn3dj 5 ай бұрын
Mbona mnakuwa tofauti natunavo wasikiliza Wana clouds
@OllerDesononline6333
@OllerDesononline6333 5 ай бұрын
Hahahahahahahahah😂😂😂😂😂😂 eti kiroho sayona.
@ip_header
@ip_header 5 ай бұрын
Quality ya camera kama miaka ya 90's, mbona mna rudi analog wakati mmeshafika Digital 😊
@lujobilz7482
@lujobilz7482 5 ай бұрын
Nature Nature Nature Nature Nature
@enockmbogoni-lw4bp
@enockmbogoni-lw4bp 5 ай бұрын
Wakike yule haaa demu
@raphaelmheta
@raphaelmheta 5 ай бұрын
MSITU WA VINA
@user-ru9gl5jr1t
@user-ru9gl5jr1t 5 ай бұрын
Kirobotoooooooo
@user-tr2mf3hp5s
@user-tr2mf3hp5s 5 ай бұрын
Absolutely to him we lov you
@mzeebaba6045
@mzeebaba6045 5 ай бұрын
Kiroboto
@unjuinkuganda1991
@unjuinkuganda1991 5 ай бұрын
FAKE CAMERA
John Dilinga "DJ JD" Anaifungua Shajara Yake Kwa Babbie Kabae
50:43
Sheria Ngowi Aifungua Shajara Yake Kwa Babie Kabae
55:41
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 8 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
Coy Mzungu, Ndaro, Said na Leonardo hawa hapa, ni lazima UCHEKE TU!
1:01:33
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 74 М.
Mfahamu zaidi Bushoke na baba yake mzazi Maximillian Bushoke
16:13
Dizzim Online
Рет қаралды 8 М.
Boss (feat. Ferooz & Juma nature)
7:26
Dominick DM7 - Topic
Рет қаралды 71 М.