Namwelewa Sana huyu jamaa ni bora kwangu hata Sasa bado naisikilza Aman,kalikawe na my nomber one afu anafatia senzo
@georgelivingstonekiyingi2170 Жыл бұрын
Raggea is a mission and not competition,soldier let yo message go forward against Babylon
@sylvanuskavindi27566 жыл бұрын
"Sisi ni watu masikini, tunahitaji kuboresha maisha. Iwapo tutakuwa na vurugu............."
@hamadikamdela41448 ай бұрын
12/02/2024 nasikiliza
@anacletogeraldo4 жыл бұрын
RIP Justin Kalikawe. I am Mozambican
@aloycelimu61922 жыл бұрын
Continue to Rest well brethren Justin Kalikawe 👊
@maulidsaid94483 жыл бұрын
Hivi kwanini kuna baazi ya nyimbo ziko na ujumbe mzuri lakini hazipatikani, zifuatazo ni nyimbo nzuri sana lakini sizipati mwenye nazo tuasiliane, Justin kalikawe_mv bukoba Molel_Amani Kuna nyingine aloimba simfahamu lakini wimbo unaitwa Umoja wa Africa, ngoma ziko poa sana
@msasogwamaka69839 жыл бұрын
You teach us through the musicians, Almighty of God you're memory never ever desaper. Jah bless Ras Kalikawe. R.I.P
@lubnalubna6083 жыл бұрын
Justin my friend RIP.Mtoto wa Upanga mwenzangu.
@thomjunior99478 жыл бұрын
People say hate is a strong word, but we say love like its nothing. Peace and Love is a very powerful word...ooh God just help the Tanzanian people
@mwandumazaoidrossa17026 жыл бұрын
Muziki ni reggae na rumba de république démocratique du Congo. huwo ndiyo muziki wa kweli
@givenmsigwa99784 жыл бұрын
Aendelee kupumzika kwa amani mjumbe wa Mwenyezi Mungu.
@karimadam82667 жыл бұрын
Tuzingatie Amani. Rest in eternal peace rasta man. #justin_kalikawe
@betrammwanga8250 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahari pema peponi nakuombea upunguziwe adhabu ya kaburi brother JUSTINE KALIKAWE from bukoba kitendaguro kagemu 🙏😭
@rowdyrondarouseyfire94767 жыл бұрын
R.I.P my lovely brother.
@quelengedawud56567 жыл бұрын
Muhimu sanaaah .Amani tz.ohh!!!!god bles
@emmanueljudas45224 жыл бұрын
R.I.P the Legend..
@emmanuelmbedule33587 жыл бұрын
good music, unaweza sahau shida zote kwa kusikiliza nyimbo kama hizi
@bakariiddy40644 жыл бұрын
nyimbo ii no muhimu sana
@maulidsaid94483 жыл бұрын
Mv bukoba unayo?
@ramadhanmasiku41053 жыл бұрын
Umetutoka kimwili lkn fikra zako zipo tu, ila jamaa zako hawakienzi vilivyo maana Kuna nyimbo nyingi umeimba kama mabawa,ninakupenda, reggae raga, n.k hazipo mtandaoni wala interview s zako we missed you brother r.i.p
@maulidsaid94483 жыл бұрын
Yani acha tu, kama wimbo wake uitwao mv bukoba nautafuta sana siupati
@sundayguy7796 жыл бұрын
daah nakumbuka mbali sana nymb za justin r.i.p
@kudrahschepe23059 жыл бұрын
I will never forget u wherever you are R I P
@victormushi8667 жыл бұрын
R.I.P Justine Kalikawe
@bakariiddy40645 жыл бұрын
rip Justin god bless you
@African511Ай бұрын
Mwamba kutoka pande za bukoba
@josephmagwiriba47609 жыл бұрын
JAMAA .ALIKUWA ANAJUWA POA TO MUNGU KAMPENDA
@jumamuhsin71855 жыл бұрын
Nakumbuka nikiwa mdogo cna wakati baba yangu anapiga nyimbo hii ya amani kwakutumia tape aisee god cna
@georgesaitoti73135 жыл бұрын
May ur soul live forever ,naukubali sana huu mziki wa ukombozi ,hauna chembe ya umbea,anaongea vitu fact
@pachawarriors1315 жыл бұрын
Shukrani nyingi kwa elimu hii Pumzika Pema Baba
@michaelmdope71583 жыл бұрын
Pumzika salama jastin kalikawe umeondoka lakini nafsi yako bado inaishi tutakukumbu sana na vizazi vyote vijavyo vitakukumbuka daima
@maulidsaid94483 жыл бұрын
@@michaelmdope7158 mv bukoba unayo?
@MrFaudhi4 жыл бұрын
Nice
@hucnasheb9768 Жыл бұрын
❤❤
@alidinahamidusanga7350 Жыл бұрын
Justin kalikawe mv bukoba
@amanwanyica16836 жыл бұрын
R.I.p jastin REO yanatimia
@allymaongez63234 жыл бұрын
R.I.P Justin bado uwepo wako unatambulika
@iddyrwechungula26607 ай бұрын
r.i.p kaka angu
@EsterSekela8 ай бұрын
KWA ANAYEJUA JINSI YA KUPATA NYIMBO ZOTE ZA KALIKAWE ANIJULISHE