KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 9
@AmaniKasekwa-uw8hpАй бұрын
Wamuletee Elia mpanzu atatusaidia
@salummbuleti6047Ай бұрын
Hivi ndivyo tulivyomkosa mazoki, na ndo tunavyomkosa mpanzu
@adrianorayner6551Ай бұрын
Unadhani kupata sign ya mchezaji ni rahisi kihivo mpaka sasa tuwape maua Yao viongozi sio.kila.mda lawama
@geofreykasinda1895Ай бұрын
Jamani wana simba kama ishu ni hela tuichangie basi simba yetu, kama mpanzu shida ni hela tuchange ili mpanzu aje simba na si aje kwenye mkutano kama manzoki
@cosmasthomas9164Ай бұрын
Mo dewji lipa m400,huyu mpanzu ni mtu na nusu
@audaxbizimana8084Ай бұрын
Simba siku zote kwa Wachezaji wazuri hawataki kutumia hela hapo wanakimbia mbali kinyama mnakumbuka Manzoki sasa ni Mpanzu na Hatuwezi kutoa hela ila atakuja kwenye uchaguzi tu
@SurprisedFullMoon-gg9vuАй бұрын
Kabsaaa
@TumainiSaitoti-i5zАй бұрын
Mnaelewa kweli mnacho sema mchezaji kabakiza miezi 4 halafu unalipa milioni mia4 za nini real Madrid wanamtaka Alphonso Davies wa buyern na buyern wanataka hela nyingi kutoka kwa Madrid na mchezaji mwenyewe kabakiza mkataba wa mwaka mmoja Madrid wamewaambia buyern kama hawataki pesa ambazo Madrid wanataka kuwapa basi waache watamchukua bure dirisha dogo kwa hiyo Simba wako sahihi