Please SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and Share, Thanks for Watching #JoelNanauka #Malengo #Mafanikio #Hamasikatv
Пікірлер: 111
@adammsuka2144 жыл бұрын
Brother unazunguza vitu vya msingi sana ktk maisha naendelea kujifunza kutoka kwako me nimekuelewa nakama wenzangu mmemuelewa gonga like hapa kama zote
@bantrosameer26892 жыл бұрын
P
@jumannesahani77082 жыл бұрын
Nakuelewa sana broo nipo nafuatilia speech zako kazi nzuri
@wahomemartin4 жыл бұрын
Busara sana aisee. Hamasa kama hizi zingalikuwa na watazamaji mamilioni, lakini waliofika ni wenye kubarikiwa na nasaha hii. Asante ndugu Joel. Mola na akizidishie mshawasha nguvu na tija kuiendeleza kazi nzuri hii
@kelvinmalamla97594 жыл бұрын
Thanks brother nanauka for ur studies. Law of timing well understandable
@shabansalum60143 жыл бұрын
Maneno madhubuti kabisa... Shukran sana
@emanuelmashaur-3554 Жыл бұрын
Ahsante kwa mafundisho yako ngoja niyafanyie kazi
@odiliamathias5424 Жыл бұрын
Napenda maneno yako na nayaamini sana pia yananifundiaha sana
Nakufatilia sana.kuna kitu najifunza na utanisaidia wakati ujao
@mindemichael23074 жыл бұрын
Thank
@deusjohn11074 жыл бұрын
Ni sawa kabisa nanauka
@user-jj1sq2pj1c5 ай бұрын
Yaan nimebarikiwa kupata ujumbe huu
@richardmisogalya94994 жыл бұрын
saaafi saaana,ubarikiwe
@bonifacesaibull3634 жыл бұрын
Omeongea point sanaa
@leonardsilago42214 жыл бұрын
Ubarikiwe xana kaka joel
@pendotunioni16263 жыл бұрын
Uko vizur sanaa broo joel ,thanks for this
@mariamsaidi76254 жыл бұрын
Mi nakupenda sana bhana najivuza vitu vingi mungu akuweke kaka
@mapesajoseph51932 жыл бұрын
Well said bro Nanauka
@ussikhamisussi48824 жыл бұрын
That's good.
@Zylla2024 Жыл бұрын
Hongera kaka
@augustinekiyabi98394 жыл бұрын
Nakuelewa Sana mkuu
@giselalaurent19114 жыл бұрын
Asante kaka umenifumbua macho kanuni ya 2 na ya 3 zinanpiga chenga
@haseanatnsanya20793 жыл бұрын
Asante sana mungu awazidishie kher nyingi na baraka nyngi ktk kaz zako namaso yako nimazur
@JWanted-vf1en5 ай бұрын
Kak nikwer kabisa uongop
@jasperleopord48384 жыл бұрын
Pole na kazi Kaka naomba kupata mawasiliano yako
@hassanmhozya46414 жыл бұрын
Thanks for you support Godbless broo nanauka
@hamisimusaa16984 жыл бұрын
Thanks for good work
@michaelsafari4 ай бұрын
Marvelous speech
@gwantwamwaipaja11774 жыл бұрын
Thanks kaka keep it up.
@ramadhaniabdulkadry2884 жыл бұрын
Uko poa mno mada fupi maana kubwa kuliko muda uliotumia kutoa mada.nice
@ElimikaTz4 жыл бұрын
umenipa muonekano tofauti sana Asante. lakini nina swali, je nitajuaje kuwa huu ndio muda muafaka kufanya kitu flani? nitajuaje ninachofanya ni kitu sahihi? nafurahi kuna watu kama wewe na mimi na yule katika jamii yetu kwaajili ya kuhamasishana kwapamoja.
@ashazam16054 жыл бұрын
Aaah um
@hancforcejohn75892 жыл бұрын
Makes us changing
@eliasbufula62904 жыл бұрын
Nafurahishwa saaaaanasana na wewe, nakwakweli nilitakiwa kukupata mwaka wa 2012. Ningekuwa mbali sana.
@emmanuelnkongoki21874 жыл бұрын
Tescher
@missnicacyprian16544 жыл бұрын
Asntee bro, Keep it up!
@ruthsafari71654 жыл бұрын
Like it...congratulation
@georgemwachanga33043 жыл бұрын
Pole na kazi nahitaji somo hili
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Asante sana
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Mahitaji unipatie mwongozo wa usimamizi wa miradi
@Emkeiii4 жыл бұрын
Utajuaje kama unafny right thing at right time
@magynzioka11223 жыл бұрын
Utajua kulinga na majibu na unacho fanya
@khadijashabaninimba78902 жыл бұрын
💪🙏Ahsant Barikiwa sana
@DonSompo4 жыл бұрын
Well said nanauka
@teddybihemo13984 жыл бұрын
Thanks kakaa nanauka
@dennissimatwa28803 жыл бұрын
Be blessed
@meshackmwakajwanga83492 жыл бұрын
Mmmmh your righty for your speech
@reginanuhu13043 жыл бұрын
Ahsante kaka,nimepata kitu.
@rozimwasi61373 жыл бұрын
Asante mungu akubariki
@johariphilemon50764 жыл бұрын
Safi
@lemonadesoldier13774 жыл бұрын
Kwani kumpita mtu darasani ndio kuwa na AKILI??? Kuwa na AKILI ni Jambo moja /Kufaulu darasani ni Jambo Jingine
@magynzioka11223 жыл бұрын
Kweli kabisa
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Hapo ulikosea kabisa
@mathewmartin44132 жыл бұрын
Kwakweli kk umeni saidia sana kwa mafundisho ya Kila video yako ninayo isikiliza inanipa kupiga hatua mpya Kila wakati asante sana na mungu akubariki
@leahjohn62764 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka
@danielbyamungu74604 жыл бұрын
Good job
@aishafahdi83554 жыл бұрын
Thanks you brother 🤝
@bestshine6273 Жыл бұрын
Bright
@paninsabore87772 жыл бұрын
Ongea kiswahili hatuelewi kingeresa
@mwesigapius30742 жыл бұрын
Naomba ushauli wako mimi naitaji kuendesha magar makubwa kama scania na bus ivo naomba kujua nawezaje kutimiza malengo yangu kupitia kaz ii kwasababu nataka kujua inalipa au ailipi yan he inasoko ivo naitaji unipeushauliwako
@stanleyandrew49193 жыл бұрын
Kaka Joel nakuelew sana
@deogratiasshirima62703 жыл бұрын
Mchezaji aliweza kusimama at the right timing to score ni Fillipo Izaghi
@samuelmwaipaja51814 жыл бұрын
LAW OF TIMING! New concept learnt today! Asante Hamasika tv! ✊✊✊✊
@juliethsemwenda81003 жыл бұрын
Asante kwa. Somo.
@lizikilucholonga35322 жыл бұрын
Sawa
@yasintakirway51372 жыл бұрын
Salute
@jumamnango92714 жыл бұрын
👏👏👏
@SharifuJaa3 ай бұрын
Thanks saana
@christelle96904 жыл бұрын
Good sir
@baluankomba67893 жыл бұрын
ⁿⁱᶜᵉ
@issamohdfaki64654 жыл бұрын
Asante kaka
@gonzagagonzacharles66852 жыл бұрын
Exactly
@zuhuramike13993 жыл бұрын
Amen
@abelbenedicto53924 жыл бұрын
Thanks is Enough, "See you at the Top"
@user-wr5ce6lu8q6 ай бұрын
❤
@boscobalame8018 Жыл бұрын
I follow you
@tidythom99304 жыл бұрын
mi nko na miaka 18 ....july hii natarajia kwenda A level ...but am not interested in studies wat shall i do ......am interested in bussiness ...but my parents want me to study 😭😭😭😭😭
@manyamarobert68873 жыл бұрын
Fanya biashara kwenye mazingira uliyonayo sasa means mazingira ya shule(kama kuuza peni kama utakaa boarding school)nk
@manyamarobert68873 жыл бұрын
Fanya biashara kwenye mazingira uliyonayo sasa means mazingira ya shule(kama kuuza peni kama utakaa boarding school)nk
@geffymartini89634 жыл бұрын
Thank bro for good speech of life
@alfaalfa12932 жыл бұрын
Saluti kwako mwamba
@paschalmashauri84303 жыл бұрын
Good
@nelsonjonas73342 жыл бұрын
Apoo narudi rudia kukusikiliza maana Apo ni pagumu kdg akili itulie kdg kupata point.
@lastmarley68854 жыл бұрын
Mungu akupe miaka mingi ili tuvune mengi
@kalekwarashidi44834 жыл бұрын
🙏
@nurudinially47493 жыл бұрын
Kaka Joel ntajuaje kama ninachofanya ni sahihi katika muda sahihi
@michaelmsafiri74093 жыл бұрын
Nimependa masomo yako
@happydaimon28914 жыл бұрын
Nakuelewa Sana kaka
@sullegamasa77444 жыл бұрын
Swali ni kwamba je! Nitajuaje kuwa ni wakati sahihi kunya kitu sahihi?
@charlesmollel59083 жыл бұрын
Ni vipi utashinda maisha
@floridambunde42603 жыл бұрын
Mimi umenisaidia
@salmadalaquimane23644 жыл бұрын
Thanks
@cosmaskamata1058 Жыл бұрын
This Nanauka I know
@jacksonmambwe84162 жыл бұрын
Bro nilicherewa kukufuatilia kwakweli
@hajidotto88834 жыл бұрын
kUJUA WAKATI WA KUTOKA NI MUHIM SANA
@bantrosameer26892 жыл бұрын
Pamoja
@MsombaAlpha2 жыл бұрын
Sawa nimekuelewa ila je ntajuaje kwamba huu ni wakati uliosahihi?
@anetivicent61764 жыл бұрын
Mambo mengine yanahitaji hata utupie namba zako,,,maana tunateketea wengi,,,, nakupataje kakaangu Mimi nahisi unaniambia Mimi tu!!
@adamooclass21173 жыл бұрын
Asante sana kaka mungu akubaliki na aendelee kukupa maalifa zaidi
@ibrahnaisha34993 жыл бұрын
wronge time and wrong action Do right things at wrong time= resistant wrong action at right time = mistake Right things at right time.