Kassim Mganga Ft Nyota & Kilimanjaro Band (Njenje) | Somo | Official Music Video

  Рет қаралды 2,420,752

Kassim Mganga

Kassim Mganga

7 жыл бұрын

#KassimMganga #Nyota #KilimanjaroBandoNjenje #Somo #OfficialVideo @SlideDigital
(C) Slide Digital
SMS [Skiza 8091879] to 811
Kassim Mganga Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/kassimmganga
Written & Performed by Kassim Mganga
Follow Kassim Mganga on:
Instagram; / kassimmganga
Twitter: / kassimmgangaa
Facebook: / kassim.mganga.3
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz

Пікірлер: 948
@jasminemussa4546
@jasminemussa4546 5 ай бұрын
Anyone in 2024 🥰🥰
@wapazasauti700
@wapazasauti700 3 ай бұрын
Nipo 2024
@AhmedAbubakari
@AhmedAbubakari 2 ай бұрын
Im 😊😊❤
@user-jg3ek6ot3u
@user-jg3ek6ot3u Ай бұрын
Jana na leo😂
@oprahmenash4709
@oprahmenash4709 Ай бұрын
Tupooooo🎉
@ackenkubetta9541
@ackenkubetta9541 Ай бұрын
Hii ngoma noma
@salehkaniki875
@salehkaniki875 4 жыл бұрын
Km mpaka LEO unaitizama hii ngoma gonga like twende sawa
@LevisKII-fi6nf
@LevisKII-fi6nf Ай бұрын
Hii song imetoka Niko form for jah bless my life mwez wa kumi naowa...hii nyimbo itapigwa inagusa Sana hisia zangu
@Baba_Ben.
@Baba_Ben. 6 жыл бұрын
Huu sasa ndio mziki mzuri tunaouzungumzia kila siku. Kama nawe umeukubali gonga like.
@aronievance1570
@aronievance1570 5 жыл бұрын
Lucas Fredrick in
@khalfanially1671
@khalfanially1671 5 жыл бұрын
😍
@omarymkamba3045
@omarymkamba3045 5 жыл бұрын
Kweli kabisa huu ndio mziki wa Tanzania
@gracematuro6319
@gracematuro6319 5 жыл бұрын
yaani
@aminaally9156
@aminaally9156 5 жыл бұрын
Tanga rahaaaaaaaaaa
@ChettaFlyee
@ChettaFlyee 7 жыл бұрын
Mwanamama wa Mombasa nae mtaalam sana Nani kamuelewa kama mm ? Tia like
@filamupictures9349
@filamupictures9349 7 жыл бұрын
Steven Gaudence sio wa mombasa huyo wa tanga asili yake kigoma
@mpoyluny3712
@mpoyluny3712 7 жыл бұрын
we hii keel?
@carolinemshanga6976
@carolinemshanga6976 7 жыл бұрын
nmemuelea sana
@ramadhanshaban2565
@ramadhanshaban2565 7 жыл бұрын
noma
@ramadhanshaban2565
@ramadhanshaban2565 7 жыл бұрын
noma
@latiphakasimu6481
@latiphakasimu6481 4 жыл бұрын
Kwa kaka kaxm Tonga enx hizo bado anastill vzur weka like yako hapo kama bado unasikiliza hili goma 2020 somo wote oeeeh
@user-kt4wj8iy3i
@user-kt4wj8iy3i Күн бұрын
❤❤❤wa mombasa tuliochanganya damu na Tanga mambo yetu haya
@daudinyello4033
@daudinyello4033 5 жыл бұрын
KAWIMBO FULANI HIVI AMAZING.....Tanga ya tajiri. KAMA UNAMKUBALI KASSIM MGANGA ACHIA LIKE YAKO
@abdallahdulla1117
@abdallahdulla1117 3 жыл бұрын
Like
@priscakundy7233
@priscakundy7233 5 жыл бұрын
Nani bado anapenda mpaka Leo 2019
@mariammariam4721
@mariammariam4721 4 жыл бұрын
Tanga iza tenaaa
@catherinewaithera5522
@catherinewaithera5522 4 жыл бұрын
Mimi
@dimososhabani3471
@dimososhabani3471 4 жыл бұрын
Mm nakubali sana huyo jamaaa
@hapifaniashedo2847
@hapifaniashedo2847 3 жыл бұрын
Mimi
@esterelias3793
@esterelias3793 3 жыл бұрын
Mpaka leo nyimbo haichushi
@halimamshami3279
@halimamshami3279 5 жыл бұрын
Nani mwengine bado anatazamaa hii 2019, the best song ever♡♥♡.
@josephkaale6472
@josephkaale6472 Жыл бұрын
Wimbo mzuri (sio nyimbo wadau) wimbo mzuri sana laafudhi nzuri Kiswahili chepesi kinaeleweka maneno yanasikika ladha ya mwambao (sio radha wadau) wimbo umesheheni ujumbe na vionjo mujaarab (sio ngoma wadau ni wimbo)
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema 11 ай бұрын
Duh miaka 6 ishapita 😢nyie Umri unakimbia hile mbaya 2023
@najmachimoche3281
@najmachimoche3281 Жыл бұрын
NYOTA a.k.a Bi. Riziki mamake Sanura 🥰🥰SANURA series ❤
@missysunshine9932
@missysunshine9932 5 жыл бұрын
nani anasikiliza mwaka huu mwezi huu..saa hizi
@dullatawakal1492
@dullatawakal1492 5 жыл бұрын
Mimi hapa 😂😂
@mikerichard20
@mikerichard20 2 жыл бұрын
Kiukwl kila ninapo skia hu wimbo namkumbuk best angu ndugu yangu swaleh ulikuwa akipenda usikuiliza nami ndipo nilipo uskia 2017 mpka naleo 2022 nauskiliz kilanimkumbuk ndugu yangu tukiwa wote babati naupenda sana huwimbo wimbo somo
@haroubmustafa172
@haroubmustafa172 7 жыл бұрын
anisemesha kauli tamu ana hila Leo nmekosa kesho nmepata hewalwa..somo ya mwali uko wapi nikutunze ........MZIKI mtamu kutoka kwa tajir....saweeeee tangaiweza
@theafricannetworker8229
@theafricannetworker8229 4 жыл бұрын
Ningeweza ningemfanya Kassim awe milionea kwa wimbo huu tu. Naweza kuusikiliza hata mara mia na sichoki.
@Baba_Ben.
@Baba_Ben. 6 жыл бұрын
Bonge ya nyimbo na hii ndio ilistahili Views 5M sio hizi za kipuuzi zenye kiki kwenye mitandao.
@uwimanauwimana7303
@uwimanauwimana7303 3 жыл бұрын
umeona Eeeh hizi ndio ngoma za madili sio huyo upuzi wa daimond 🤣🤣
@yudadaniel4867
@yudadaniel4867 3 жыл бұрын
umemaliza?
@salwasuleiman3525
@salwasuleiman3525 3 жыл бұрын
@@yudadaniel4867 😃😃😃👍
@olluoddiossa4846
@olluoddiossa4846 2 жыл бұрын
Fact
@halimakindamba4883
@halimakindamba4883 2 жыл бұрын
Nyotaa anikoshaa anposemaa.mkishindwa mrudisheni na mpigeni kwa upande wa kangaa😁😁😁
@mohamedkaka7036
@mohamedkaka7036 6 ай бұрын
Master piece my party starter every weekend
@arafatismail4945
@arafatismail4945 4 жыл бұрын
Tsawe tamdaiweza 254 msambweni like kama zoteee za kassim
@fatumasarai6819
@fatumasarai6819 3 жыл бұрын
Umeonaeeee
@numohd
@numohd Жыл бұрын
Old is gold asikwambie mtu kila ukisikiliza nyimbo ndio bado inazidi kuwa tamu👌🏽👌🏽👌🏽
@huss668
@huss668 11 ай бұрын
Kabisaa Old is gold👌👌👌
@antarsangali4456
@antarsangali4456 Жыл бұрын
NJENJE wamchukue Kassim Mganga atairudisha katika chati yake
@wardaaliamin3744
@wardaaliamin3744 7 жыл бұрын
soma na mwali kangalauke somo na mwali nenda nae rudi nae kangalauke , somo yake hoye hoyee somo wote hoyeee
@charleshaule4008
@charleshaule4008 4 жыл бұрын
Tatizo ni kuwa hatuwaheshimu wasanii wazuri, Kasim Mganga hii kazi aliyoifanya ni kubwa sana nikiifananisha na zile za Tatu Nane. Huyu kijana ametuwakilisha kuutambulisha utamaduni wa Mswahili. Taasisi, vyombo vya habari na mtu mmoja mmoja tungewasaidia kununua kazi zao kuzitangaza kwa nguvu tungekuwa na tunu ya kujidai kwa wasanii wazuri kama Mganga. Mm namsikilza kwa makini Kasim Mganga, atapotea na uzuri wake kama wimbo Boko wa The Kilimanjaro, Indege ya Inafrika akina Bob Rubala na Bizzman bila kupata utambulisho wa Kimataifa. Naumia sana kwa kweli.
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 2 жыл бұрын
Tanzania ndio nchi pekee duniani ambapo muziki mzuri hauendi Ila makapi ndio yanayoenda! Sijui tumerogwa!
@user-ky7kn6dm7h
@user-ky7kn6dm7h 7 ай бұрын
Hinyimbo inanikusha mbali sana kaka kasimu ngoma zako Kali hujawahi kukosea kaka
@kaykay-wu1oh
@kaykay-wu1oh Жыл бұрын
Ila duuh,masomo viuno vigumu sijapentaaa
@mwanashoogobo1785
@mwanashoogobo1785 Жыл бұрын
2023 coast vibe always lit🇰🇪🇰🇪❤️🤗
@mwafrikabarz4507
@mwafrikabarz4507 5 жыл бұрын
Daah! Kasim, 😂😂wee kachaw, aseee! M husikilizaga&hufanya ngumu(hiphop), lkn huwa spitwi ngoma ako, 👑 👑 Wagumu wenzangu, hebu gongeni like twende sawa
@queencosmas8091
@queencosmas8091 4 жыл бұрын
Msanii wangu pendwa kassim haya wale wa Tanga tujuane hapa, ila kuna watu wanaimba bhana yani kamziki katama kanapenya hadi kumoyo
@aishawakesho2270
@aishawakesho2270 10 ай бұрын
Mi nimeujuwa Leo Kisha TikTok ndo imenifikisha huku😂 this song is lit
@yusuphhaji1399
@yusuphhaji1399 7 жыл бұрын
Mziki mzuri na ujumbe safi kwa wenye akili timamu....#Ahsante_Tajiri
@bibanpembe734
@bibanpembe734 7 жыл бұрын
Khaswaaa kwa mwenye akil timam anajua nn maana ya hii nyimboo
@ladyzee7491
@ladyzee7491 7 жыл бұрын
Yusuph Haji kweli Kabisa bro
@carolinemshanga6976
@carolinemshanga6976 7 жыл бұрын
Aki mzik mzur "somo" imekuwa somo kwel
@fatumaababy1281
@fatumaababy1281 7 жыл бұрын
kweli sana tuuuuuu
@razackdimary2995
@razackdimary2995 7 жыл бұрын
Mashaalah Ujumbe mzuri kabisaa
@kaeselionvidoti947
@kaeselionvidoti947 7 жыл бұрын
my favorite Singer Asante Sanaa nilimiss radha ya Kilimanjaro Band 😊😊😊
@apollojohn1865
@apollojohn1865 7 жыл бұрын
Kaeselion Vidoti mimi pia Nakumic ww
@kaeselionvidoti947
@kaeselionvidoti947 7 жыл бұрын
Apollo John hayaaa
@barakajackson3287
@barakajackson3287 7 жыл бұрын
anweza kaa kimya mwaka mzima ila akitoa kitu kinakua kitu kizur
@apollojohn1865
@apollojohn1865 7 жыл бұрын
km hvo, ucpoteze basi
@nasibumuguha3642
@nasibumuguha3642 7 жыл бұрын
Kaeselion Vidoti i love this song
@denismasele4130
@denismasele4130 3 ай бұрын
2024 still breathing like hear 🎉❤
@madegajan1912
@madegajan1912 7 жыл бұрын
DAH HUYU DEMU ANA MKUNDU HALAFU MZURI KICHIZ,mziki mtamu kapatia kinoma kumuweka huyu dada
@badboy2577
@badboy2577 7 жыл бұрын
Kali sana tazamia 1 M views mwisho wa mwezi wa feb
@akademkkz
@akademkkz 7 жыл бұрын
vingoma flani amaizing..
@fetyalmasi8916
@fetyalmasi8916 3 жыл бұрын
Somoye mwali uko wapi nkutunzeeeee
@bakariali4026
@bakariali4026 7 жыл бұрын
tumekuwelewa wanzanzibari kaka ,,kwa uwo wimbo ,,nashauri mastesheni yote waupige kwa sana uo wimbo
@lilianboimanda7443
@lilianboimanda7443 7 жыл бұрын
mesejiiii nzuriiiii sanaaaaa ladiessss tuchezeeee huku ukitafakariiii ujumbeee huuuu I hope ndoa zilizovunjikaaaaaa ziungikeeee hasa wanawakeeeeeee
@iphonesamsungdoctor2603
@iphonesamsungdoctor2603 7 жыл бұрын
lilian boimanda kwel kabisa
@ramadhanishabani2618
@ramadhanishabani2618 4 жыл бұрын
Ok
@quintdemusiciansuccessfigh232
@quintdemusiciansuccessfigh232 3 жыл бұрын
Vizuri may
@lilithtity8865
@lilithtity8865 4 жыл бұрын
2020 anyone?!🇰🇪 representing..classic song
@issambwana5443
@issambwana5443 2 жыл бұрын
Jj
@issambwana5443
@issambwana5443 2 жыл бұрын
J
@issambwana5443
@issambwana5443 2 жыл бұрын
J
@issambwana5443
@issambwana5443 2 жыл бұрын
Jjj
@issambwana5443
@issambwana5443 2 жыл бұрын
Jj
@moriahogola8665
@moriahogola8665 3 жыл бұрын
Mombasa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-fm2pr6iq6v
@user-fm2pr6iq6v 11 ай бұрын
Goma tam ili
@amirkingu5481
@amirkingu5481 7 жыл бұрын
Daaaah nimeskiliza hii ngoma ten times, hainiishi hamu, hivi vigoma vya wananjenje kwakweli vimenogesha sana hili goma, brooo umefanya kitu safi sana, Kasim unatuliaga sana kutunga ngoma zako zinafurahisha na kufundisha..... Somo la mwariiiiiiiiiiiiiii..................
@benignendayishimye3449
@benignendayishimye3449 7 жыл бұрын
I think i jst found my new favorite song ❤👌
@khalifatwaha4212
@khalifatwaha4212 7 жыл бұрын
Benigne Uz and favorite singer
@salmamagee7584
@salmamagee7584 7 жыл бұрын
aiseee good saana tanga hiyo
@mkimazi
@mkimazi 6 жыл бұрын
Benigne Uz j Z
@ramlaomary5905
@ramlaomary5905 6 жыл бұрын
Nice
@sylvanusnyamikindomgono7437
@sylvanusnyamikindomgono7437 7 жыл бұрын
mzee MGONO musoma tz. hapo bwana kasimu kwa wimbo SOMO kwangu mie nimefika mambo mubasharaaaaaaaa
@lydiajohn3268
@lydiajohn3268 7 жыл бұрын
kweli somo amefanyakazi mpaka anajisifu kafundwa kafundika pia aliyompa kayazingatia mchukue mchukue mkishindwa mrudishie ahaaaaa.
@saidkale6465
@saidkale6465 7 жыл бұрын
Mambo yetu ya tanga Pwani raha
@tuntulusekelo4191
@tuntulusekelo4191 7 жыл бұрын
Somo na mwali kangalauke somo na mwali nenda nae rudi nae mwali wangu kangalauke . somo yake hoyee hoyee , somo wote hoyee hoyee . what a nice song aseeee Best Kassim
@devothapaschal6895
@devothapaschal6895 7 жыл бұрын
naikubali san hyo ngoma aisee!!
@josephmbuvi3040
@josephmbuvi3040 7 жыл бұрын
DEVOTHA PASCHAL
@sabuhassabah7636
@sabuhassabah7636 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@sumayyahtrixah5182
@sumayyahtrixah5182 Ай бұрын
Sooomo hooooyee....wale karibu tuolewe halooo❤❤❤
@mudyabuu4664
@mudyabuu4664 Жыл бұрын
Kassim hii ngoma mashallah.somo🙏
@isserkherry8593
@isserkherry8593 7 жыл бұрын
tajir Wang mziki unaudai hela nyingi kassim mziki mzur hujawai niangusha
@hamaddede464
@hamaddede464 7 жыл бұрын
watu wanapenda muziki mzuri sio mziki wenye promo nzuri ukalazimishwa kuupenda
@Basagamp4
@Basagamp4 6 жыл бұрын
Hamad Dede Nimeipenda Comment yako na umenena ukweli
@fadhillahhaulejr6802
@fadhillahhaulejr6802 5 жыл бұрын
Kombination hii ni balala kuna mama nyota sauti tangu na tangu kali Kasim kumetokea kitu cha ajabu sana nategemea More than 5m views
@deogratiusmlelema8677
@deogratiusmlelema8677 4 жыл бұрын
Hapa Kassim ulipiga... Miaka 100 watakusikiliza
@user-hk2om2ef7m
@user-hk2om2ef7m 7 жыл бұрын
lugha iko na wenyewe watu wa pwani, mashallah, Kiswahili kitamu kweli, big up guys, beautiful song. please give us more like this.
@ziadasinga596
@ziadasinga596 7 жыл бұрын
Nyota na kassim mmetisha wimbo nzuri umetulia ukiusikia automatic nyonga inacheza Masha Allah
@khadijarajab354
@khadijarajab354 7 жыл бұрын
Ziada Singa umeona eee lazima kiuno kikupe ushirikiano
@nadiamajaliwa1564
@nadiamajaliwa1564 7 жыл бұрын
Ziada Singa kiuno cha somo tena kungwi haswaa sio viono tuvionavyo siku hizi
@user-nb1em9rn6u
@user-nb1em9rn6u 3 ай бұрын
Mais força kama wapo wanchie nhingine ❤❤❤
@rabiangwache4111
@rabiangwache4111 7 жыл бұрын
oooohh,kassim hukufanya kosa kumchukua Nyota Waziri kwa kweli.angekaa mwingn sijui kama ingekua nzur hivi
@junayhaone874
@junayhaone874 6 жыл бұрын
Hakika hii nyimbo inakonga moyoni Maadili Maufundi Yani kila ladha ya Pwani IPO hapo Hongera sana bro kassim mganga hujawahi kutuangusha
@snahlicious
@snahlicious 7 жыл бұрын
kabla ya kulishwa nabebwa naenda koga nae anisahaulisha nsilete mwenza hapo baadae nimehalisha namwomba mola nzikwe nae kitandani hachoshi pia tukilala anikumbatia ametulia ajilia vinono vya mumewe
@cecyernest1962
@cecyernest1962 7 жыл бұрын
snahlicious
@omarimwabasho7757
@omarimwabasho7757 4 жыл бұрын
Santa kichuna
@fadhilialli2788
@fadhilialli2788 4 жыл бұрын
snahlicious ateriii sn
@livingmasawe7015
@livingmasawe7015 4 жыл бұрын
snahlicious s
@annakapinga8443
@annakapinga8443 4 жыл бұрын
Mmmh kweli analishwa?
@graysontogo4251
@graysontogo4251 Жыл бұрын
Kasimu unajua na dada nyota
@muniraidd7613
@muniraidd7613 Жыл бұрын
Taanga iweza
@abouawladsanzesanze429
@abouawladsanzesanze429 6 жыл бұрын
Nyimbo itaishi kwa muda mrefu.... Hongera sana tajiri wa Mahabba
@nadiamajaliwa1564
@nadiamajaliwa1564 7 жыл бұрын
mashallah MASHALLAH kassim bhanaaa umetupa rahaa jamanii nakizungusha kiuno taratiiibuuuu hakuna jasho wala ninii asante nyota waziri mmanyema wa kwetu uko juu na team yoote ya kilimanjaro band mwaaah
@missagatha1756
@missagatha1756 7 жыл бұрын
Mziki mtamu huu jmn sichoki kusikiliza, kassim nyimbo zako hazichoshi uko juu kaka
@rihaabfaheer8325
@rihaabfaheer8325 7 жыл бұрын
kassim mganga Huna mpinzani ktk upande wa tungo bonge moja langoma hatar sn
@SunShine-jn7xh
@SunShine-jn7xh 7 жыл бұрын
kasimu naomba umpe zawadi huyo mama yaani kaupamba wimbo wako kuanzia uzuri wake na muonekano wake na ameimba vizuri sana. nimempenda sana huyo mama jamani. bg up sana kasim unatoaga nyimbo za ukweli
@Kkassy14
@Kkassy14 4 жыл бұрын
Kweli kabisa, so classy mashaaAllah ❤️
@theafricannetworker8229
@theafricannetworker8229 4 жыл бұрын
Yaani huyu mama ana sauti nzuri hadi mwili wangu unasisimka
@sharifhamim8494
@sharifhamim8494 3 жыл бұрын
Pamb san huy mam
@pillymatala9353
@pillymatala9353 3 жыл бұрын
Wimbo mtamu sana mashallah
@zuberymkumba3268
@zuberymkumba3268 7 жыл бұрын
siye waungwana wa pwani unatuwakilisha vyema mno ndani ya bongo flavour hupotezi ladha za naghma za waungwana.....
@abouawladsanzesanze429
@abouawladsanzesanze429 7 жыл бұрын
hakika
@halimakindamba4883
@halimakindamba4883 2 жыл бұрын
Sio Mngmii Jamaniii
@kibahasrall7387
@kibahasrall7387 7 жыл бұрын
Huyu jamaa ni fundi sana napenda anavoghani ana sauti ya kuimbia
@japhetkakwezi9497
@japhetkakwezi9497 7 жыл бұрын
Kassim umetuletea bonge moja ya ngoma...huwa haubahatishi....from HAIWEZEKANI to SOMO ni muziki mzuri zaidi every single timefrom you...AHSANTE SANA kwa good music...hivyo vionjo vya wana njenje ni oooollleeeeeee oollleeee...BIG ONE
@mohdmajid3326
@mohdmajid3326 6 жыл бұрын
Nice
@babyhawa4542
@babyhawa4542 7 жыл бұрын
zuri sana
@sitikhamis7978
@sitikhamis7978 4 жыл бұрын
Mm kila cku namskiliza Kassim, Kiba, Aslay na Bella......
@gabrielsixtus1718
@gabrielsixtus1718 5 жыл бұрын
miziki y nyumban mitamu sna. the kilimanjaro band hwajawahi niangusha
@anodnjenje9084
@anodnjenje9084 7 жыл бұрын
Nmeelewa kasimu we ni nouma
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 7 жыл бұрын
Hautaki haraka music uliopangwa ukapingika, maadili haya ndiyo yetu pwani yanapotea, hivi video imenikumbusha mbali sana kuna mpaka kitanda cha TAUSI da zamani sana nimeipenda sana, safi mganga na nyota njenje
@arafatslim5386
@arafatslim5386 4 жыл бұрын
Mashallah
@joycemusa1706
@joycemusa1706 4 жыл бұрын
Me huu wimbo unanikosha nataman Kila saa niuludie
@fikirimlongachaka2505
@fikirimlongachaka2505 4 жыл бұрын
Mwari fundi akizungusha mashaalaa mpishi oda ajui kuunguza mashaalah
@asuntashengena7438
@asuntashengena7438 7 жыл бұрын
shikamoo kasimu ckwaujumbe uwo jmn nc endelea hivyohivyo bro
@grayson348
@grayson348 7 жыл бұрын
My best brother singer, sijawah juta kukufaham broo safi sana na Mungu akubariki sana Mziki mzuri wenye mpangilio wa aina yake.
@babahamrathy...7423
@babahamrathy...7423 2 жыл бұрын
Still listening in 2021
@goodlucksniper2247
@goodlucksniper2247 3 жыл бұрын
Tumekumis mashabiki wako kassimu fanya turudishie ladha ya pwan na sisi tujivunie kuwa mashabiki wako
@kisandikundy2098
@kisandikundy2098 6 жыл бұрын
cassim Kunanyimbo inaitwa somo ya kwako lakin siyo hii nilkuwa naitaka
@moses7655
@moses7655 3 жыл бұрын
Who else is here after watching esmas wedding
@dylomemohabbat9610
@dylomemohabbat9610 7 жыл бұрын
Hii ni hataaar kwa Afya
@DottoSalum-hw8zx
@DottoSalum-hw8zx Жыл бұрын
Pambeeee tuuu
@alilucadis4402
@alilucadis4402 2 жыл бұрын
Tunao angalia hii nyimbo mwaka huu tujuane 2021
@mimizlove6992
@mimizlove6992 6 жыл бұрын
Cassim hakoseagi
@aishakhatib1041
@aishakhatib1041 6 жыл бұрын
cjawai kinai kuckiliza huu wimbi
@saulmwakyusa1001
@saulmwakyusa1001 7 жыл бұрын
namkubali kasm kwanza hangaiki na Media kwenda kutambulisha ngoma zake wala video
@teresiamsigala5925
@teresiamsigala5925 2 жыл бұрын
2021 tunaoendelea kuangalia hii ngoma nipeni like
@awadhtevez2918
@awadhtevez2918 7 жыл бұрын
that's why we called u tajiri wamahaba jamaa unajua mpk bac mziki mtamu mashairi mwanana big up brother
@josephmwananzumi6412
@josephmwananzumi6412 7 жыл бұрын
Safi sana muziki mzur ladha nzuri vinanda vizur
@hagaisalehe4316
@hagaisalehe4316 7 жыл бұрын
muziki safi ujumbe safi haswa wanaojua umuhimu wa sooomo jamani
@hidayaamour185
@hidayaamour185 8 ай бұрын
All time favorite😍
@hammerQ954
@hammerQ954 7 жыл бұрын
safiiiii
@salumuathumani2217
@salumuathumani2217 7 жыл бұрын
Kwa Cassim ni maraha tu big up brother
@mrsmacintoshmrsmacintosh9251
@mrsmacintoshmrsmacintosh9251 7 жыл бұрын
oyeeee😘
@sugarmussa8932
@sugarmussa8932 5 жыл бұрын
Mombasa raha tyu mombasa kwa mama na nyanya angu
@arafatismail4945
@arafatismail4945 5 жыл бұрын
Tsawee kandaiweza najivunia kua mdigo like kama zoteee za kassim
Kinyaunyau (Official Video) - Kilimanjaro Band Njenje
6:46
Kilimanjaro Band Njenje
Рет қаралды 1,3 МЛН
Haiwezekani | Kassim Mganga | Official Audio
5:21
Kassim Mganga
Рет қаралды 206 М.
Универ. 13 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:07:11
Комедии 2023
Рет қаралды 3 МЛН
$10,000 Every Day You Survive In The Wilderness
26:44
MrBeast
Рет қаралды 125 МЛН
Mbosso Ft Njenje (Kilimanjaro Band) - Tulizana (Official Video)
3:06
Cassim Mganga - Moto Moto (Official Video)
3:34
Kassim Mganga
Рет қаралды 542 М.
Gere by Kilimanjaro band
7:31
teen saphy pro.
Рет қаралды 10 М.
Mkungu Wa Ndizi (feat. Tid)
4:55
QChief
Рет қаралды 38 М.
Isha Mashauzi - Nimpe Nani (OFFICIAL HD VIDEO)
3:28
Isha Mashauzi
Рет қаралды 3,9 МЛН
Kassim Mganga | Dalila | Official Music Video
3:49
Kassim Mganga
Рет қаралды 363 М.
Kachiri
6:54
Kilimanjaro Band - Topic
Рет қаралды 245 М.
D Voice Ft Zuchu - BamBam  (Official Music Video)
3:33
D Voice
Рет қаралды 13 МЛН
Utalijua Jiji Full Song
18:13
Oliver Aswani
Рет қаралды 2,6 МЛН
Kilimanjaro Band - Kachiri (Official Audio) SMS SKIZA 8090594 to 811
6:54
Kilimanjaro Band Njenje
Рет қаралды 147 М.
Adil - Серенада | Official Music Video
2:50
Adil
Рет қаралды 230 М.
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
2:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 733 М.
Төреғали Төреәлі & Есен Жүсіпов - Таңғажайып
2:51
Say Mo - LIL BIT & 1 shot 2 (Waysberg music) remix
2:43
Waysberg Music🇰🇿
Рет қаралды 48 М.
BABYMONSTER - 'LIKE THAT' EXCLUSIVE PERFORMANCE VIDEO
2:58
BABYMONSTER
Рет қаралды 45 МЛН
Лето
2:20
MIROLYBOVA - Topic
Рет қаралды 498 М.
Saǵynamyn
2:13
Қанат Ерлан - Topic
Рет қаралды 1,1 МЛН