Kassim Mganga Ft Nyota & Kilimanjaro Band (Njenje) | Somo | Official Music Video

  Рет қаралды 2,469,174

Kassim Mganga

Kassim Mganga

Күн бұрын

#KassimMganga #Nyota #KilimanjaroBandoNjenje #Somo #OfficialVideo @SlideDigital
(C) Slide Digital
SMS [Skiza 8091879] to 811
Kassim Mganga Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/kassimm...
Written & Performed by Kassim Mganga
Follow Kassim Mganga on:
Instagram; / kassimmganga
Twitter: / kassimmgangaa
Facebook: / kassim.mganga.3
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz

Пікірлер: 961
@jasminemussa4546
@jasminemussa4546 8 ай бұрын
Anyone in 2024 🥰🥰
@wapazasauti700
@wapazasauti700 6 ай бұрын
Nipo 2024
@AhmedAbubakari
@AhmedAbubakari 6 ай бұрын
Im 😊😊❤
@user-jg3ek6ot3u
@user-jg3ek6ot3u 4 ай бұрын
Jana na leo😂
@oprahmenash4709
@oprahmenash4709 4 ай бұрын
Tupooooo🎉
@ackenkubetta9541
@ackenkubetta9541 4 ай бұрын
Hii ngoma noma
@salehkaniki875
@salehkaniki875 4 жыл бұрын
Km mpaka LEO unaitizama hii ngoma gonga like twende sawa
@Baba_Ben.
@Baba_Ben. 7 жыл бұрын
Huu sasa ndio mziki mzuri tunaouzungumzia kila siku. Kama nawe umeukubali gonga like.
@aronievance1570
@aronievance1570 6 жыл бұрын
Lucas Fredrick in
@khalfanially1671
@khalfanially1671 5 жыл бұрын
😍
@omarymkamba3045
@omarymkamba3045 5 жыл бұрын
Kweli kabisa huu ndio mziki wa Tanzania
@gracematuro6319
@gracematuro6319 5 жыл бұрын
yaani
@aminaally9156
@aminaally9156 5 жыл бұрын
Tanga rahaaaaaaaaaa
@Dantaata
@Dantaata 3 жыл бұрын
Wale wa 2021 gonga like
@LevisKII-fi6nf
@LevisKII-fi6nf 4 ай бұрын
Hii song imetoka Niko form for jah bless my life mwez wa kumi naowa...hii nyimbo itapigwa inagusa Sana hisia zangu
@ChettaFlyee
@ChettaFlyee 7 жыл бұрын
Mwanamama wa Mombasa nae mtaalam sana Nani kamuelewa kama mm ? Tia like
@filamupictures9349
@filamupictures9349 7 жыл бұрын
Steven Gaudence sio wa mombasa huyo wa tanga asili yake kigoma
@mpoyluny3712
@mpoyluny3712 7 жыл бұрын
we hii keel?
@carolinemshanga6976
@carolinemshanga6976 7 жыл бұрын
nmemuelea sana
@ramadhanshaban2565
@ramadhanshaban2565 7 жыл бұрын
noma
@ramadhanshaban2565
@ramadhanshaban2565 7 жыл бұрын
noma
@daudinyello4033
@daudinyello4033 5 жыл бұрын
KAWIMBO FULANI HIVI AMAZING.....Tanga ya tajiri. KAMA UNAMKUBALI KASSIM MGANGA ACHIA LIKE YAKO
@abdallahdulla1117
@abdallahdulla1117 4 жыл бұрын
Like
@user-ir3zu9wq1l
@user-ir3zu9wq1l 2 ай бұрын
Tunawo angalia tujuane kwa like 😊
@user-nf8ul6br9d
@user-nf8ul6br9d 2 ай бұрын
❤❤❤
@latiphakasimu6481
@latiphakasimu6481 4 жыл бұрын
Kwa kaka kaxm Tonga enx hizo bado anastill vzur weka like yako hapo kama bado unasikiliza hili goma 2020 somo wote oeeeh
@arafatismail4945
@arafatismail4945 5 жыл бұрын
Tsawe tamdaiweza 254 msambweni like kama zoteee za kassim
@fatumasarai6819
@fatumasarai6819 4 жыл бұрын
Umeonaeeee
@priscakundy7233
@priscakundy7233 5 жыл бұрын
Nani bado anapenda mpaka Leo 2019
@mariammariam4721
@mariammariam4721 4 жыл бұрын
Tanga iza tenaaa
@catherinewaithera5522
@catherinewaithera5522 4 жыл бұрын
Mimi
@dimososhabani3471
@dimososhabani3471 4 жыл бұрын
Mm nakubali sana huyo jamaaa
@hapifaniashedo2847
@hapifaniashedo2847 4 жыл бұрын
Mimi
@esterelias3793
@esterelias3793 3 жыл бұрын
Mpaka leo nyimbo haichushi
@fatashkibz7421
@fatashkibz7421 4 жыл бұрын
Wa pwani mambo yakikwetu yako apa wamombasa like plz😍😍😍😄
@Baba_Ben.
@Baba_Ben. 7 жыл бұрын
Bonge ya nyimbo na hii ndio ilistahili Views 5M sio hizi za kipuuzi zenye kiki kwenye mitandao.
@uwimanauwimana7303
@uwimanauwimana7303 3 жыл бұрын
umeona Eeeh hizi ndio ngoma za madili sio huyo upuzi wa daimond 🤣🤣
@yudadaniel4867
@yudadaniel4867 3 жыл бұрын
umemaliza?
@salwasuleiman3525
@salwasuleiman3525 3 жыл бұрын
@@yudadaniel4867 😃😃😃👍
@olluoddiossa4846
@olluoddiossa4846 3 жыл бұрын
Fact
@kaykay-wu1oh
@kaykay-wu1oh Жыл бұрын
Ila duuh,masomo viuno vigumu sijapentaaa
@SiwaSaid-r6g
@SiwaSaid-r6g 22 күн бұрын
Umeona eeeh 😂❤
@theafricannetworker8229
@theafricannetworker8229 4 жыл бұрын
Ningeweza ningemfanya Kassim awe milionea kwa wimbo huu tu. Naweza kuusikiliza hata mara mia na sichoki.
@missysunshine9932
@missysunshine9932 6 жыл бұрын
nani anasikiliza mwaka huu mwezi huu..saa hizi
@dullatawakal1492
@dullatawakal1492 5 жыл бұрын
Mimi hapa 😂😂
@numohd
@numohd Жыл бұрын
Old is gold asikwambie mtu kila ukisikiliza nyimbo ndio bado inazidi kuwa tamu👌🏽👌🏽👌🏽
@huss668
@huss668 Жыл бұрын
Kabisaa Old is gold👌👌👌
@yusuphhaji1399
@yusuphhaji1399 7 жыл бұрын
Mziki mzuri na ujumbe safi kwa wenye akili timamu....#Ahsante_Tajiri
@bibanpembe734
@bibanpembe734 7 жыл бұрын
Khaswaaa kwa mwenye akil timam anajua nn maana ya hii nyimboo
@ladyzee7491
@ladyzee7491 7 жыл бұрын
Yusuph Haji kweli Kabisa bro
@carolinemshanga6976
@carolinemshanga6976 7 жыл бұрын
Aki mzik mzur "somo" imekuwa somo kwel
@fatumaababy1281
@fatumaababy1281 7 жыл бұрын
kweli sana tuuuuuu
@razackdimary2995
@razackdimary2995 7 жыл бұрын
Mashaalah Ujumbe mzuri kabisaa
@snahlicious
@snahlicious 7 жыл бұрын
kabla ya kulishwa nabebwa naenda koga nae anisahaulisha nsilete mwenza hapo baadae nimehalisha namwomba mola nzikwe nae kitandani hachoshi pia tukilala anikumbatia ametulia ajilia vinono vya mumewe
@cecyernest1962
@cecyernest1962 7 жыл бұрын
snahlicious
@omarimwabasho7757
@omarimwabasho7757 5 жыл бұрын
Santa kichuna
@fadhilialli2788
@fadhilialli2788 5 жыл бұрын
snahlicious ateriii sn
@livingmasawe7015
@livingmasawe7015 4 жыл бұрын
snahlicious s
@annakapinga8443
@annakapinga8443 4 жыл бұрын
Mmmh kweli analishwa?
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 2 жыл бұрын
Tanzania ndio nchi pekee duniani ambapo muziki mzuri hauendi Ila makapi ndio yanayoenda! Sijui tumerogwa!
@kaeselionvidoti947
@kaeselionvidoti947 7 жыл бұрын
my favorite Singer Asante Sanaa nilimiss radha ya Kilimanjaro Band 😊😊😊
@apollojohn1865
@apollojohn1865 7 жыл бұрын
Kaeselion Vidoti mimi pia Nakumic ww
@kaeselionvidoti947
@kaeselionvidoti947 7 жыл бұрын
Apollo John hayaaa
@barakajackson3287
@barakajackson3287 7 жыл бұрын
anweza kaa kimya mwaka mzima ila akitoa kitu kinakua kitu kizur
@apollojohn1865
@apollojohn1865 7 жыл бұрын
km hvo, ucpoteze basi
@nasibumuguha3642
@nasibumuguha3642 7 жыл бұрын
Kaeselion Vidoti i love this song
@joseph__kaale
@joseph__kaale Жыл бұрын
Wimbo mzuri (sio nyimbo wadau) wimbo mzuri sana laafudhi nzuri Kiswahili chepesi kinaeleweka maneno yanasikika ladha ya mwambao (sio radha wadau) wimbo umesheheni ujumbe na vionjo mujaarab (sio ngoma wadau ni wimbo)
@charleshaule4008
@charleshaule4008 5 жыл бұрын
Tatizo ni kuwa hatuwaheshimu wasanii wazuri, Kasim Mganga hii kazi aliyoifanya ni kubwa sana nikiifananisha na zile za Tatu Nane. Huyu kijana ametuwakilisha kuutambulisha utamaduni wa Mswahili. Taasisi, vyombo vya habari na mtu mmoja mmoja tungewasaidia kununua kazi zao kuzitangaza kwa nguvu tungekuwa na tunu ya kujidai kwa wasanii wazuri kama Mganga. Mm namsikilza kwa makini Kasim Mganga, atapotea na uzuri wake kama wimbo Boko wa The Kilimanjaro, Indege ya Inafrika akina Bob Rubala na Bizzman bila kupata utambulisho wa Kimataifa. Naumia sana kwa kweli.
@fatmaissa6681
@fatmaissa6681 5 жыл бұрын
Wale wa Tanga wenzangu ambao bado waiangalia hii mukuje hapa ,,tupia like yako Tangaa raha bhanaa😍😍 najivunia kwakweli kuwa mtangaa
@nidhalkamal9929
@nidhalkamal9929 4 жыл бұрын
Nzuri
@tuntulusekelo4191
@tuntulusekelo4191 7 жыл бұрын
Somo na mwali kangalauke somo na mwali nenda nae rudi nae mwali wangu kangalauke . somo yake hoyee hoyee , somo wote hoyee hoyee . what a nice song aseeee Best Kassim
@devothapaschal6895
@devothapaschal6895 7 жыл бұрын
naikubali san hyo ngoma aisee!!
@josephmbuvi3040
@josephmbuvi3040 7 жыл бұрын
DEVOTHA PASCHAL
@sabuhassabah7636
@sabuhassabah7636 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@arafatismail4945
@arafatismail4945 5 жыл бұрын
Tsawee kandaiweza najivunia kua mdigo like kama zoteee za kassim
@SunShine-jn7xh
@SunShine-jn7xh 7 жыл бұрын
kasimu naomba umpe zawadi huyo mama yaani kaupamba wimbo wako kuanzia uzuri wake na muonekano wake na ameimba vizuri sana. nimempenda sana huyo mama jamani. bg up sana kasim unatoaga nyimbo za ukweli
@Kkassy14
@Kkassy14 4 жыл бұрын
Kweli kabisa, so classy mashaaAllah ❤️
@theafricannetworker8229
@theafricannetworker8229 4 жыл бұрын
Yaani huyu mama ana sauti nzuri hadi mwili wangu unasisimka
@sharifhamim8494
@sharifhamim8494 4 жыл бұрын
Pamb san huy mam
@pillymatala9353
@pillymatala9353 3 жыл бұрын
Wimbo mtamu sana mashallah
@lilianboimanda7443
@lilianboimanda7443 7 жыл бұрын
mesejiiii nzuriiiii sanaaaaa ladiessss tuchezeeee huku ukitafakariiii ujumbeee huuuu I hope ndoa zilizovunjikaaaaaa ziungikeeee hasa wanawakeeeeeee
@iphonesamsungdoctor2603
@iphonesamsungdoctor2603 7 жыл бұрын
lilian boimanda kwel kabisa
@ramadhanishabani2618
@ramadhanishabani2618 4 жыл бұрын
Ok
@quintdemusiciansuccessfigh232
@quintdemusiciansuccessfigh232 3 жыл бұрын
Vizuri may
@mwafrikabarz4507
@mwafrikabarz4507 6 жыл бұрын
Daah! Kasim, 😂😂wee kachaw, aseee! M husikilizaga&hufanya ngumu(hiphop), lkn huwa spitwi ngoma ako, 👑 👑 Wagumu wenzangu, hebu gongeni like twende sawa
@halimamshami3279
@halimamshami3279 5 жыл бұрын
Nani mwengine bado anatazamaa hii 2019, the best song ever♡♥♡.
@mwanashoogobo1785
@mwanashoogobo1785 Жыл бұрын
2023 coast vibe always lit🇰🇪🇰🇪❤️🤗
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema Жыл бұрын
Duh miaka 6 ishapita 😢nyie Umri unakimbia hile mbaya 2023
@lilithtity8865
@lilithtity8865 4 жыл бұрын
2020 anyone?!🇰🇪 representing..classic song
@issambwana5443
@issambwana5443 3 жыл бұрын
Jj
@issambwana5443
@issambwana5443 3 жыл бұрын
J
@issambwana5443
@issambwana5443 3 жыл бұрын
J
@issambwana5443
@issambwana5443 3 жыл бұрын
Jjj
@issambwana5443
@issambwana5443 3 жыл бұрын
Jj
@ziadasinga596
@ziadasinga596 7 жыл бұрын
Nyota na kassim mmetisha wimbo nzuri umetulia ukiusikia automatic nyonga inacheza Masha Allah
@khadijarajab354
@khadijarajab354 7 жыл бұрын
Ziada Singa umeona eee lazima kiuno kikupe ushirikiano
@nadiamajaliwa1564
@nadiamajaliwa1564 7 жыл бұрын
Ziada Singa kiuno cha somo tena kungwi haswaa sio viono tuvionavyo siku hizi
@user-hk2om2ef7m
@user-hk2om2ef7m 7 жыл бұрын
lugha iko na wenyewe watu wa pwani, mashallah, Kiswahili kitamu kweli, big up guys, beautiful song. please give us more like this.
@user-fm2pr6iq6v
@user-fm2pr6iq6v Жыл бұрын
Goma tam ili
@Najla_Chimoche
@Najla_Chimoche Жыл бұрын
NYOTA a.k.a Bi. Riziki mamake Sanura 🥰🥰SANURA series ❤
@halimakindamba4883
@halimakindamba4883 2 жыл бұрын
Nyotaa anikoshaa anposemaa.mkishindwa mrudisheni na mpigeni kwa upande wa kangaa😁😁😁
@benignendayishimye3449
@benignendayishimye3449 7 жыл бұрын
I think i jst found my new favorite song ❤👌
@khalifatwaha4212
@khalifatwaha4212 7 жыл бұрын
Benigne Uz and favorite singer
@salmamagee7584
@salmamagee7584 7 жыл бұрын
aiseee good saana tanga hiyo
@mkimazi
@mkimazi 6 жыл бұрын
Benigne Uz j Z
@ramlaomary5905
@ramlaomary5905 6 жыл бұрын
Nice
@mikerichard20
@mikerichard20 2 жыл бұрын
Kiukwl kila ninapo skia hu wimbo namkumbuk best angu ndugu yangu swaleh ulikuwa akipenda usikuiliza nami ndipo nilipo uskia 2017 mpka naleo 2022 nauskiliz kilanimkumbuk ndugu yangu tukiwa wote babati naupenda sana huwimbo wimbo somo
@akademkkz
@akademkkz 7 жыл бұрын
vingoma flani amaizing..
@antarsangali4456
@antarsangali4456 Жыл бұрын
NJENJE wamchukue Kassim Mganga atairudisha katika chati yake
@saidkale6465
@saidkale6465 7 жыл бұрын
Mambo yetu ya tanga Pwani raha
@user-ky7kn6dm7h
@user-ky7kn6dm7h 10 ай бұрын
Hinyimbo inanikusha mbali sana kaka kasimu ngoma zako Kali hujawahi kukosea kaka
@japhetkakwezi9497
@japhetkakwezi9497 7 жыл бұрын
Kassim umetuletea bonge moja ya ngoma...huwa haubahatishi....from HAIWEZEKANI to SOMO ni muziki mzuri zaidi every single timefrom you...AHSANTE SANA kwa good music...hivyo vionjo vya wana njenje ni oooollleeeeeee oollleeee...BIG ONE
@mohdmajid3326
@mohdmajid3326 6 жыл бұрын
Nice
@graysontogo4251
@graysontogo4251 Жыл бұрын
Kasimu unajua na dada nyota
@husnangapu502
@husnangapu502 7 жыл бұрын
Mchukueni mkishindwa mrudishenin kwa somoe na nyakanga afundwe tena maneno kuntuje
@user-kt4wj8iy3i
@user-kt4wj8iy3i 3 ай бұрын
❤❤❤wa mombasa tuliochanganya damu na Tanga mambo yetu haya
@amirkingu5481
@amirkingu5481 7 жыл бұрын
Daaaah nimeskiliza hii ngoma ten times, hainiishi hamu, hivi vigoma vya wananjenje kwakweli vimenogesha sana hili goma, brooo umefanya kitu safi sana, Kasim unatuliaga sana kutunga ngoma zako zinafurahisha na kufundisha..... Somo la mwariiiiiiiiiiiiiii..................
@krushers__krushers__1860
@krushers__krushers__1860 7 жыл бұрын
Huu wimbo jamani sichoki kuusikiliza na kuuangalia, bonge moja la wimbo.
@zuberymkumba3268
@zuberymkumba3268 7 жыл бұрын
siye waungwana wa pwani unatuwakilisha vyema mno ndani ya bongo flavour hupotezi ladha za naghma za waungwana.....
@abouawladsanzesanze429
@abouawladsanzesanze429 7 жыл бұрын
hakika
@DeeBeks
@DeeBeks 2 ай бұрын
Ngoma za maisha 💯💪🙌 kila siku ni kama ndio mwanzo imetoka. Mungu Barik sana
@badboy2577
@badboy2577 7 жыл бұрын
Kali sana tazamia 1 M views mwisho wa mwezi wa feb
@muhammadomar1787
@muhammadomar1787 3 жыл бұрын
Bonge la wimbo .Gonga like hapa kama bado waisikiliza
@hamaddede464
@hamaddede464 7 жыл бұрын
watu wanapenda muziki mzuri sio mziki wenye promo nzuri ukalazimishwa kuupenda
@Basagamp4
@Basagamp4 6 жыл бұрын
Hamad Dede Nimeipenda Comment yako na umenena ukweli
@hagaisalehe4316
@hagaisalehe4316 7 жыл бұрын
muziki safi ujumbe safi haswa wanaojua umuhimu wa sooomo jamani
@junayhaone874
@junayhaone874 6 жыл бұрын
Hakika hii nyimbo inakonga moyoni Maadili Maufundi Yani kila ladha ya Pwani IPO hapo Hongera sana bro kassim mganga hujawahi kutuangusha
@dottoyasin8108
@dottoyasin8108 6 жыл бұрын
Nkiwazia ndoa yng tu naikmbka nymbo hii,,wish npate somo kama huyu,,somo wote ooyeeeeeh!!!
@isserkherry8593
@isserkherry8593 7 жыл бұрын
tajir Wang mziki unaudai hela nyingi kassim mziki mzur hujawai niangusha
@gabrielsixtus1718
@gabrielsixtus1718 6 жыл бұрын
miziki y nyumban mitamu sna. the kilimanjaro band hwajawahi niangusha
@yusuphhaji1399
@yusuphhaji1399 7 жыл бұрын
Daaaaaah!!! Kaka tangu nianze kufatilia muziki wako hakika hujawai kukosea kira wimbo utakaotoa ni mkali
@khadijakasembo2490
@khadijakasembo2490 7 жыл бұрын
kasim hongera tulimis Sana iyo radha
@jaclinep8193
@jaclinep8193 7 жыл бұрын
Yusuph Haji mm mwenyewe huwa namuelewa sana
@jaclinep8193
@jaclinep8193 7 жыл бұрын
Yusuph Haji
@ibrahimmasoud7366
@ibrahimmasoud7366 7 жыл бұрын
kira = kila
@mudyabuu4664
@mudyabuu4664 Жыл бұрын
Kassim hii ngoma mashallah.somo🙏
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 7 жыл бұрын
Hautaki haraka music uliopangwa ukapingika, maadili haya ndiyo yetu pwani yanapotea, hivi video imenikumbusha mbali sana kuna mpaka kitanda cha TAUSI da zamani sana nimeipenda sana, safi mganga na nyota njenje
@arafatslim5386
@arafatslim5386 4 жыл бұрын
Mashallah
@joycemusa1706
@joycemusa1706 4 жыл бұрын
Me huu wimbo unanikosha nataman Kila saa niuludie
@muniraidd7613
@muniraidd7613 Жыл бұрын
Taanga iweza
@abouawladsanzesanze429
@abouawladsanzesanze429 6 жыл бұрын
Nyimbo itaishi kwa muda mrefu.... Hongera sana tajiri wa Mahabba
@teresiamsigala5925
@teresiamsigala5925 3 жыл бұрын
2021 tunaoendelea kuangalia hii ngoma nipeni like
@nadiamajaliwa1564
@nadiamajaliwa1564 7 жыл бұрын
mashallah MASHALLAH kassim bhanaaa umetupa rahaa jamanii nakizungusha kiuno taratiiibuuuu hakuna jasho wala ninii asante nyota waziri mmanyema wa kwetu uko juu na team yoote ya kilimanjaro band mwaaah
@rihaabfaheer8325
@rihaabfaheer8325 7 жыл бұрын
kassim mganga Huna mpinzani ktk upande wa tungo bonge moja langoma hatar sn
@MoRasheed
@MoRasheed 7 жыл бұрын
Kabla ya kulishwa nabebwa naenda kuga nae anisahaulisha nsilete mwenzako baadae Nimehalalisha namuomba Mola nzikwe nae eh anisahaulisha nsilete mwenzako baadae Kitanda ninacho shindia Tukilala anikumbatiaa..... *Write the following verse*
@filamupictures9349
@filamupictures9349 7 жыл бұрын
Modi Rasheed anisahaulisha nsilete mweza hapo baadae
@shexiibabe1
@shexiibabe1 7 жыл бұрын
ametulia anajilia vinunu vya mumewe anakulia eeeh ananukia vinunu na rangi, somo yake hoyee hoyee somo wote hoyee hoyee mwari fundi akizungusha mashallah, mpishi hodari hajui kuunguza mashallah
@halimakindamba4883
@halimakindamba4883 2 жыл бұрын
Sio Mngmii Jamaniii
@grayson348
@grayson348 7 жыл бұрын
My best brother singer, sijawah juta kukufaham broo safi sana na Mungu akubariki sana Mziki mzuri wenye mpangilio wa aina yake.
@olluoddiossa4846
@olluoddiossa4846 3 жыл бұрын
Natumaini wengine wataiga huyu jamaa nammisi sana
@anodnjenje9084
@anodnjenje9084 7 жыл бұрын
Nmeelewa kasimu we ni nouma
@alilucadis4402
@alilucadis4402 3 жыл бұрын
Tunao angalia hii nyimbo mwaka huu tujuane 2021
@fatumaababy1281
@fatumaababy1281 6 жыл бұрын
Nani bado upo 2018🔥🙌😘✅👌
@mwanauwanihassan4427
@mwanauwanihassan4427 6 жыл бұрын
nzr
@irenenjeri4633
@irenenjeri4633 6 жыл бұрын
fatuma Ababy tupo
@bosslady8152
@bosslady8152 6 жыл бұрын
Nipo
@zawadishipo8840
@zawadishipo8840 6 жыл бұрын
fatuma
@modyboas808
@modyboas808 6 жыл бұрын
fatuma Ababy wawoo
@heriholder1625
@heriholder1625 4 жыл бұрын
Nimekuja hapa baada ya kuiskia ktk harusi ya Esma , kassim unajua dah, kirimanjaro band Wana njenje 🙏🙏🙏
@salumuathumani2217
@salumuathumani2217 7 жыл бұрын
Kwa Cassim ni maraha tu big up brother
@mrsmacintoshmrsmacintosh9251
@mrsmacintoshmrsmacintosh9251 7 жыл бұрын
oyeeee😘
@queencosmas8091
@queencosmas8091 4 жыл бұрын
Msanii wangu pendwa kassim haya wale wa Tanga tujuane hapa, ila kuna watu wanaimba bhana yani kamziki katama kanapenya hadi kumoyo
@babahamrathy...7423
@babahamrathy...7423 3 жыл бұрын
Still listening in 2021
@mohamedkaka7036
@mohamedkaka7036 9 ай бұрын
Master piece my party starter every weekend
@moses7655
@moses7655 4 жыл бұрын
Who else is here after watching esmas wedding
@deogratiusmlelema8677
@deogratiusmlelema8677 4 жыл бұрын
Hapa Kassim ulipiga... Miaka 100 watakusikiliza
@dylomemohabbat9610
@dylomemohabbat9610 7 жыл бұрын
Hii ni hataaar kwa Afya
@moriahogola8665
@moriahogola8665 3 жыл бұрын
Mombasa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@josephmwananzumi6412
@josephmwananzumi6412 7 жыл бұрын
Safi sana muziki mzur ladha nzuri vinanda vizur
@fadhillahhaulejr6802
@fadhillahhaulejr6802 5 жыл бұрын
Kombination hii ni balala kuna mama nyota sauti tangu na tangu kali Kasim kumetokea kitu cha ajabu sana nategemea More than 5m views
@babyhawa4542
@babyhawa4542 7 жыл бұрын
zuri sana
@krushers__krushers__1860
@krushers__krushers__1860 7 жыл бұрын
wimbo una mahadhi ya pwani raha tupu, huyo mama ameplay part yake vzr sanaaaaa....
@ramadhanisaid4114
@ramadhanisaid4114 7 жыл бұрын
dah kwel mzik mtam wenye ujumbe hauchok kuuskiliza, khassim mganga umetishaaa na kilimanjaro band.
@deogratiaskiondo2649
@deogratiaskiondo2649 7 жыл бұрын
Ramadhani Said ametisha kaka
@sugarmussa8932
@sugarmussa8932 5 жыл бұрын
Mombasa raha tyu mombasa kwa mama na nyanya angu
@aishakhatib1041
@aishakhatib1041 6 жыл бұрын
cjawai kinai kuckiliza huu wimbi
@elizabethemil2727
@elizabethemil2727 6 жыл бұрын
yani napenda hapo walipochanganya somo na mwali kangaraukee full mauno kila ukifikia hapo .
@awadhtevez2918
@awadhtevez2918 7 жыл бұрын
that's why we called u tajiri wamahaba jamaa unajua mpk bac mziki mtamu mashairi mwanana big up brother
@kisandikundy2098
@kisandikundy2098 6 жыл бұрын
cassim Kunanyimbo inaitwa somo ya kwako lakin siyo hii nilkuwa naitaka
@nasrihassan7460
@nasrihassan7460 7 жыл бұрын
Tulikuwa tumemic mzuki mzuri kama huu
@kyandomarick5978
@kyandomarick5978 7 жыл бұрын
hakika kassim music unaujua na hasa hii nyimbo yaani balaaaaa
@HamisiMtityo
@HamisiMtityo 3 жыл бұрын
@2021 still feel goose bumps, the guitar ,the lady's voice, and mwambao theme... damn still good
@DottoSalum-hw8zx
@DottoSalum-hw8zx Жыл бұрын
Pambeeee tuuu
@omkamasamson9050
@omkamasamson9050 7 жыл бұрын
ngoma kali,sautt na vyombo vimepigwa kwa viwango,at the same time mixing kali
@PESSA1231
@PESSA1231 7 жыл бұрын
Nimepata radha ya Kilimanjaro Band mziki mzuri sana mipigo ya kiasili ya mtanzania asante Kassim Mganga pamoja Kilimanjaro Band
Kinyaunyau (Official Video) - Kilimanjaro Band Njenje
6:46
Kilimanjaro Band Njenje
Рет қаралды 1,5 МЛН
Isha Mashauzi - Sio Levo Yako (Official Music Video)
4:11
Isha Mashauzi
Рет қаралды 345 М.
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 6 МЛН
Sigma Girl Pizza #funny #memes #comedy
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 2 МЛН
Cute
00:16
Oyuncak Avı
Рет қаралды 3,6 МЛН
20011109 Light Experience
22:43
Luton-Digital-Media-Archive
Рет қаралды 6
Haiwezekani | Kassim Mganga | Official Audio
5:21
Kassim Mganga
Рет қаралды 225 М.
Mkungu Wa Ndizi (feat. Tid)
4:55
QChief
Рет қаралды 54 М.
Gere by Kilimanjaro band
7:31
teen saphy pro.
Рет қаралды 15 М.
Mbosso Ft Njenje (Kilimanjaro Band) - Tulizana (Official Video)
3:06
Kassim   Haiwezekani
5:09
vasinvic
Рет қаралды 86 М.
TAARAB. Abdul Misambano - Mtoto kitu na Box mp3
13:57
Marjan Sempa
Рет қаралды 838 М.
Christian  Bella - Nashindwa (Official Music Video)
4:05
Christian Bella
Рет қаралды 3,1 МЛН
Tupendane - (Official Video )  Kilimanjaro Band Njenje
5:58
Kilimanjaro Band Njenje
Рет қаралды 1 МЛН
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 6 МЛН