Dr bashiru sawa kabisa mungu akupe maisha marefu mheshimiwa 👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@erickkundy53224 жыл бұрын
Very ethical & straight foward leader. I wish other leaders could demonstrate the same quality. Those power mongers who have crossed the lines should be eliminated from the system completely-they do not work for the party/country but for their own interests.
@sylvesterjose32864 жыл бұрын
Definitely I agree with what you say, those are not committed or responsible leaders, they are just mere money maniacs who are there to justify individual ambitions!
@mashakakalamba5194 жыл бұрын
In short "Bashiru is a great leader"
@sifamushi17474 жыл бұрын
I agree... 👌
@kiatu4 жыл бұрын
Ndio umuhimu wa wasomi wazalendo.
@1stladyafrica4024 жыл бұрын
Mwenyekiti anayeenda kugombea nafasi za kisiasa ni wa kuogopa kama ukoma.kwann aliomba kusaidia chama kama anamaslahi yake mengine.nashauri ili kukomesha hii Tabia baada ya uteuzi waondolewe kabisa kwenye nafasi za kusaidia chama maana haikuwa lengo lao
@samwellwiza53394 жыл бұрын
Sijui kama wanamuelewa katibu Mkuu ndg Bashiru..Mimi ninamuelewa ....
@abuumwinyimkuu48424 жыл бұрын
Binafsi nimemuelewa bro!
@grecioussilas98854 жыл бұрын
point....nakuelewa sana kiongoz wetu wa chama
@selestineluziga14474 жыл бұрын
Huyu ndie Katibu wa ukweli,kwa kweli chama kimepata mtu sahihi kwenye nafasi hii nyeti
@Gamba1774 жыл бұрын
Katibu msenge
@emmanuelsimon5454 жыл бұрын
Alikua mkuu wa idara ya siasa UDSM na ni mbobezi pia
@emmanuelsimon5454 жыл бұрын
@@Gamba177 elimu huna kama ungefika chuo kikuu mliman ungemjua vzr
@seifjuma34714 жыл бұрын
@@Gamba177 chunga dolelako linalo andika
@kalundaluhanga49234 жыл бұрын
@@Gamba177 unajaribu kutuonyesha Tania taking ya utotoni. Kwamba tukuone hats wazazi walk wana Tabia hizo? Pole Sana
@saidnoumani72444 жыл бұрын
2025 unaweza kuwa rais kwanini hapana?
@kaizambagwa51284 жыл бұрын
Ahsante kwa kumkumbuka baba yangu mzazi
@nestor3844 жыл бұрын
Huyu katibu mkuu JPM alichagua asee. Bonge la kion§ozi🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@gridkibanda25824 жыл бұрын
Amenikumbusha mbali uyo mzee uyo mbagwa aliogopeka saana kwetu tulikuwa wadogo ila adi sasa tumeishamaliza vyuo ila bado tunamkumbuka kwa kazi zake
@SafeHaven_TV4 жыл бұрын
Dr Bashiru,you are a great man my brother.Your integrity is unquestionable and I like you.Akili safi na unyenyekevu mkubwa.
@kanikipeter83774 жыл бұрын
Katibu Safi sana uko sawa kbs
@joasitz95594 жыл бұрын
Nimekupata sana Dr
@erastokinemelo78724 жыл бұрын
Great! Proper and clear responses
@gavanaally41764 жыл бұрын
Kwa kweli KM wa CCM, Chama kimelamba Dume, unasimamia Maadili ya Chama, pia Mikoani wapo Viongozi wasioridhika na vyeo,leo anacho hiki,kesho kile,na mtondogoo kile, pia suala la kuhujumu Chama nitatizo kubwa, lifanyiwe Kazi.
@frbm17294 жыл бұрын
Kuna baadhi ya wateule wa Rais wameanza kumbp Rais aliyewaamini akawateuwa ,sasa wamelewa madaraka wanaanza kupuuza hata ushauri wake.ni utovu wa nidhamu na kumkosea adabu meh. Rais. Wamejaa Tamaa na kujitajirisha haraharaka.
@ramadhanaliramadhan93644 жыл бұрын
Nimekuelewa ndg katibu
@josephnchunga12474 жыл бұрын
Dah Katibu Wa Ccm yuko vizuri
@kilimanjaro_media4 жыл бұрын
Mmmh makonda hapiti
@sylvestrengwelu20124 жыл бұрын
MH.KATIBU MKUU UKO VIZURI 100%
@felistermaximillian27934 жыл бұрын
Safi Sana, nimekuelewa mkuu
@abdalahfarida20744 жыл бұрын
Akili yako ni safi kabisa sio sawa na Polepole anaeendekza mipasho na ngonjera tu.
@issamanguri18904 жыл бұрын
Hapo uko sawa kabisa dr
@MS.independent89344 жыл бұрын
hawaridhiki hao baba ila acha wa'wapishe wengine kwenye hivyo viti walivyo viachaa
@abdulseif40934 жыл бұрын
mbagwa alikuwa anazingua sana kitambo kile
@hamedmaskari5184 жыл бұрын
Umemsema makonda ndio miaka 5 kawa Dc na Rc sasa anataka ubunge
@missmwayway47044 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Duuuhhh yn hapo inaonekana kabsaa walio wengi wao wanataka uchu wa madaraka na masilahi yao binafsi But sio Issue xana watakutana na Mzee magu baadae
@roseberryhamoud65424 жыл бұрын
Umeeleweka Katibu
@martinemasunga58024 жыл бұрын
Safiiii sana
@estameryngogo5944 жыл бұрын
Hakika CCM INA mtendaji mkuu sahihi kabisa
@danielbugwema69694 жыл бұрын
Kazi ya ukatibu imepata mkunaji ila niombe kiombe kiongozi watu wasihukukumiwe kwa kuwa tu wameacha nafasi zao nakwenda kugombea nafasi za Ubungo bali watu wapewe haki zao ili chama kiendelee kuwepo wasameheni wameteleza watajifunza
@thieryniyonkuru10674 жыл бұрын
Hapo lazima wakatwe panga🤣🤣🤣
@pancrasmwenda73074 жыл бұрын
Wana tamaa hao hakuna kusamehewa c waliapa wenyewe
@saimonmanyerezi71694 жыл бұрын
Kote wanataka wao.Ni bora kuachia kumoja shika nafasi unayoitaka na ukikosa imekula kwako.
@ellyitete9384 жыл бұрын
Mm sion kosa n sawa MTU unajiendeleza kielimu..........ukirifhika unadumaa kiakili......huwez jua pengine wewe ni rais ujae........ht baba wa taifa alikua na umr mdogo Ila Kaz kubwa angeridhika tusingepata uhuru
@saimonmanyerezi71694 жыл бұрын
Unajua nini Wtz tumekwishakuwa wengi,hakuna sababu yakwenda kugombea huku umeshika nafasi.Jiondoe kwenye madaraka ndipo ukagombee.
@ibtysophy34674 жыл бұрын
Yupo mtu litampata jambo
@samsondecoman9834 жыл бұрын
Mwenyekiti bashiru usichoke sana, hoja ni hao wakuu wamikoa wanao tamba wao nilazima washinde wakiongoZwa na makonda,huyo akipita nitaamini hata wewe umemshindwa.
@rugakali21574 жыл бұрын
Huyu Dr. Bashiru yupo poa sana
@sheryphamwenevalley61244 жыл бұрын
Walio wengi walioacha nafasi zao, kwa kauli hii walio wengi ndio kwaheri, hata kwa kauli ya JPM na Bashiru walio wengi waliokua na wadhifa ndio basi tena waombe wapate ubunge wakikosa kwaheri wawe wapiga debe la CCM
@christinewomanoffaith54794 жыл бұрын
Na ubunge hawapati ktk jina la Yesu! Wawapisha na wengine
@sheryphamwenevalley61244 жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 kabisa bora wakose shwain sana, km huyu bashite kamtukanisha sana Magu kwa nafasi ile leo wakuondoka kizembe huyu ndio angekosa kabisa hana kweli fadhila na vyeti vyake fake🏃♂️🏃♂️
@EK-kp2np3 жыл бұрын
Bashiru, tukikutaka uwe raisi, utakuwa😠, utake usitake. Kama unafaa, tutakubebesha tu 🤨uwe katibu mkuu au katibu mdogo, Hata haijawahi kutokea basi utakuwa wa kwanza, katiba si msahafu,Usitufokee🤓
@grationkato72534 жыл бұрын
Kweli kabisa sio kiongozi tu anaestaili kuacha alama bali kila mwanadamu yampasa kuacha alama duniani atustaili kuzidiwa na konokono akipita pahara anacha alama hivyo basi yatupasa nasi .big up Dr Bashiru jembe la chama dume
@MusicArousedFeelings4 жыл бұрын
Haya yakisimamiwa imara yatakiimarisha sana chama kwani hakutakiwa na ubakaji wa nafasi za uongozi chamani na kitaifa
@akramsayjr5914 жыл бұрын
Agreed with you 💯💯💯💯 Bashiru your legend love you bro
@mtakatifubony18294 жыл бұрын
Nimekuelewa sana, katibu mkuu
@mubofuthegreat49554 жыл бұрын
Sawa katibu mkuu
@Gamba1774 жыл бұрын
Katibu wako msenge
@Tiffany3404 жыл бұрын
Waacheni kuwasema umri wa uongozi ni kutumikia wananchi wakati wa ujana, hata kikwete alianza siasa akiwa kijana,, wananchi ndiyo tutawapima
@fredmapunda4 жыл бұрын
Uwa nakuelewa sana kiongoz wangu
@sylvesterjose32864 жыл бұрын
Kimsingi kiongozi yeyote kuamua kuacha kazi na kugombea nyadhifa fulani ni sahihi kabisa. Ni haki yake ya msingi katika kutimiza malengo na matarajio yake kimaisha. Shida ni kwa viongozi wateule wasiozingatia ushauri wa aliyewaweka kwenye nyadhifa zao, ni sawa na kumpiga Kofi la Uso.
@saimonmanyerezi71694 жыл бұрын
Hata katibu hajasema hana haki bali kwenye mchakato lazima uache nafasi uliyopewa kwanza ndipo ugombee.
@iviejustified81094 жыл бұрын
Prof M. K
@rosemushi31784 жыл бұрын
Katibu Mkuu anaushawishi katika hoja anazozijenga akitetea jambo.. Ana busara na ni muungwana sana. CCM ina Kiongozi.
@mathiasmsese61284 жыл бұрын
jamani kwa maneno haya ya busara nahisi tumtafutie mwenzetu kazi nyingine
@christinewomanoffaith54794 жыл бұрын
😂😂
@alexmalima95374 жыл бұрын
😂😂😂
@jafaribakari11884 жыл бұрын
Daa! Yaan ata sielewi elewi sa sijui itakuaje.
@revokatkashasha87144 жыл бұрын
Patamu hapo!Wataula wa chuya!!!
@mzalendomzalendo25674 жыл бұрын
Acheni kumsema jamani,aliyo yafanya ni makubwa kuliko mnacho msakama nacho.angalieno mema yake.
@hajihassan54334 жыл бұрын
Mara nyingi naikubali CCM na nampongeza Rais Magufuli anafanya kazi nzuri ingawa kaisahau Zanzibar lakini hiki kinachofanyika sasa siungi mkono, kwamba Kiongozi akienda kugombea Rais anatengua hii sio sawa, ni mamlaka yake lakini kama ambavyo tunakubaliana sote kuwa Rais Magufuli hakuna mbadala wake wapo pia baadhi ya wateuliwa wake hawana mbadala. Kimsingi Bunge likifunjwa hakuna Serikali acha mchakato uendelee ndio Utamaduni wa chama chetu baada ya awamu mpya utapanga awamu mpya hii kulazimisha kuna watu wasitendwe haki ili waumizwe kwa sababu wamegombea hii sio sawa.
@hajihassan54334 жыл бұрын
Mimi ni CCM damu damu lakini CCM huwezi kupata cheo kama huna fedha (sijuwi zinatolewa saa ngapi, lkn RUSHWA ipo) na ukiwa mtoto wa Kiongozi wengine watabaki kuwa washindikizaji hawana chao. Uadilifu ndani ya Chama bado hauko sawa sawa, maandiko yapo vizuri na kila swali lina jawabu.
@hamoudrushenya86504 жыл бұрын
CCM ipi hiyo?Zama za kuitegemea hela kukupa uongozi zimepitwa na wakati.Ushahidi ni utitiri wa walio chukua form kugombea, kipindi kilichopita usingeona haya kwa sababu waligombea wachache wenye hela.
@hajihassan54334 жыл бұрын
@Change Mindset Jenga hoja yako tu, huna haja ya matusi.
@hajihassan54334 жыл бұрын
@@hamoudrushenya8650 Hakuna siku duniani ambayo mwenye fedha atakuwa sawa na alokuwa hana, CCM ninayoungumza ni hii hii iliyoanzishwa 5/2/1977. Hujuwi siasa, wingi wa Wagombea sio dalili tosha ya demokrasia bali ni aina nyingine ya RUSHWA ambapo wenye nguvu (fedha) wamewatumia watu kugawanyisha kura ili mwisho wa siku aibuke mshindi. Hapana mlalahoi atashinda hapo. Mbona kwenye Rais hakujitokeza mtu kama sababu kafanya vizuri (tunakubali wote hapo) kwani hakuna Wabunge au Madiwani au Wawakilishi waliofanya vizuri? Kuna hitaji akili kubwa kuelewa Change mindset ambae akili zake has changed negetively hawezi kuelewa.
@godfreybigeyo91054 жыл бұрын
Naishauri ccm inakoelekea ni kubaya mumelewa kukubalika kwenu ,wakati vyama vinatafuta watu wenye mvuto kwa ajili ya kushinda uchaguzi nyie mnazuia watu kugombea why? Nani aliwai kutosheka ? 1, jpm alikuwa waziri hakutosheka akataka urais 2, bashiru ulikuwa mwalimu haukutosheka Leo ni katibu mkuu 3, jk alikuwa mwanajeshi akutosheka akaenda kwenye siasa adi urais 4, mkapa alikuwa mtumishi Wa ikulu hakutosheka akaenda kwenye ubunge shida iko wapi? Unatudanganya jk alikuwa mwanajeshi akaenda kwenye siasa mbona hakutosheka jeshini
@christophermwanilwa70744 жыл бұрын
Hujaelewa. Kugombea ni haki ya mtu na kanuni za Chama zinaruhusu. Ila ukigombea na ukiwa ni mteule lazima uachie cheo cha kuteuliwa wakae wengine. Hata ukiwa ni mfanyakazi wa Sheria inasema uache kazi.
@ibtysophy34674 жыл бұрын
@@christophermwanilwa7074 kuna wengine ni wazur kukoment lkn wazito kuelewa mada husika
@allymussa45574 жыл бұрын
Pia na Rais umwambie kuteuwa watu bila kufata utaratibu wachama nayeye pia anakosea mbona hamuyasemi wapinzani wengi wanateuliwa bila kufata utaratibu wachama nahilo pia useme
@moyesmboya61714 жыл бұрын
Makonda hamtampitisha?
@nabiimgongolwa87284 жыл бұрын
Mzee wa mafaili aeneze mafaili hadi tarafani mwenye kucheza rafu aadhibiwe
@Gamba1774 жыл бұрын
Mzee wako msenge anafirwa
@yusufmohamed88747 ай бұрын
Huyu jamaa ni tunu ktk hii nchi
@dicksonwambura98404 жыл бұрын
Siasa bwana na maelekezo yote hayo utashangaa makonda kapitishwa na kuwa mbunge
@silikonnyondo51464 жыл бұрын
Bashiku nimekuerewa Sana katika chama kusimamia haki je kwavyama vingine haki iyo inapatika kupitia chaguzi namanisha wateule hao wanafwata haki uyu kashindaje
Hapo Katibu Mkuu nisha kabisa wenye tamaa waache tamaa.
@sultanaljabri51094 жыл бұрын
Million 10 Kati ya million 59? Katika kipindi chote cha utawala ni tatizo kubwa na alama ya kutokubalika katika jamii. Uwezo wa kuwafikia wananchi ni mkubwa kwa CCM na Serakali yake tofauti na vyama vingine vilivyo kosa uhuru wa kufanya shughuli za za kisiasa ili kuwafikia wananchi wengi ili waongeze wanachama. Nini Maoni yako?
@allymussa45574 жыл бұрын
Mimi naona kwanza ushauri ungeutowa kwa Rais kwani nayeye pia anakosea kuwapa watu wasio wanachama uwongozi yani kwenje mikutano yake anateuwatu wapinzani bila kufanta utaratibu wachama
@abuumwinyimkuu48424 жыл бұрын
U ar a nature!
@allymussa45574 жыл бұрын
Msitishe watu mkajifanya kama njie ndio chama chenu kilamwana chama ana ana hakiyake kugombea
@angelanaftael79654 жыл бұрын
ccm Safi sana
@enzielias15434 жыл бұрын
Kwa maelekezo hayo ni wajibu wa viongozi na wanachama kuzingatia maadili na misingi ya CHAMA CHA MAPINDUZI.
@Elimunamalezi4 жыл бұрын
Weweee
@nabii-zc1hm4 жыл бұрын
Wamejiridhisha na uteuzk
@josephmwinyi4 жыл бұрын
Sema baba kuna viongizi hawajui hizo kanuni
@godshajulius70864 жыл бұрын
Kuna watu wamepewa dhamaa ya kuwakilisha majimbo mbalimbali kwa hawamu 2 Ila hawatendei haki watu wa majimbo hayo,tunaomba chama izingatie hili( Mara ni haibu watu wanarubuniwa na matajirin wanawachagua)
@godfreybigeyo91054 жыл бұрын
Nini tena?
@kenybenjiz78504 жыл бұрын
Duh
@abdulkuluwia65254 жыл бұрын
Pole bashite
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
hakuna kitu kibaya kwa kiongozi msomi kuwa na benefit of intrest
@Ishengoma14 жыл бұрын
Kama nani Benny
@seuryanael35184 жыл бұрын
Sijui watu wanapenda nini ubunge. Hakuna cha maaana kama hautaki kusaidia jamii yako na upo kwaajili ya maslahi yako binafsi labda nitakuelewa. Vijana pigeni kazi.
duuuuu kwa maelezo hayo makonda aji tadhmini sn nawengineoo pia😀
@denisimaliyaweni91834 жыл бұрын
Hata akijitathinim kaishachelewa
@hajihassan54334 жыл бұрын
Makonda kashindwa kutambua alama za nyakati, alishindwa kujuwa kuwa ana maadui wengi sana Serikalini na ndani ya Chama. Alikuwa yupo kwa Ihsani na imani ya Rais lakini keshaivunja. Wabunge wanaripoti shida zao kwa RC leo wewe ni RC unaomba Ubunge, why? Ni kweli ukiwa Mbunge una uhakika wa kibarua kwa miaka 5 hata ukifanya vibaya lakini nafasi ya uteuzi inapotea wakati wowote.
@sylvestrengwelu20124 жыл бұрын
Mariam Uko sahihi Ila MAKONDA KAANZA NA UVCCM KATUMIKIA VYWMA,UKUU WA MKOA KATUMIKIA VYEMA,NK.NI KIONGOZI KAACHA ALAMA KAKOMESHA MADAWA YA KULEVYA.MAADUI WANAOMCHUKIA NI WALE WALIOTAKA KULETA MADAWA AU RUSHWA. ANASTAHILI KUWA KIONGOZI WA NGAZI YA JUU.
@erickmoses63954 жыл бұрын
@@sylvestrengwelu2012 Ngazi ya juu ni ipi? Mkuu wa mkoa au Mbunge wa Kigamboni!!? Hahahahahaaa
@sylvestrengwelu20124 жыл бұрын
MAKONDA SIYO LEVEL YENU, SUBIRINI UCHAGUZI UISHE HAYA MNAYOSEMA MTAJIKATAA WENYEWE. MTAKUJA NIAMBIA.
@swaleheamri23034 жыл бұрын
Ok
@fathilaothman78704 жыл бұрын
Wanataka kutawala wao kila kitu wawe waoo zote ni rohombaya
@mecksonsamwel56054 жыл бұрын
Htr
@mytimeonce14794 жыл бұрын
Mheshimiwa Makonda hajiamini Katibu nimekuelewa... huyo bado..angeharibu Sana ...SNOBBY..
@godfreybigeyo91054 жыл бұрын
Sijawaelewa ccm yaani mgombea anateuliwa au kura za maoni ndo zinatoa mgombea ambaye anakubalika kwa wananchi
Katibu kweli umezungumza sahihi,na imani kweli ya serikali ya awamu ya tano mmeahidi na mmetekeleza na pia umeondoa ule utoaji rushwaa Hivyo vijana waende tu tutawaunga mkono tu wakipita, Mwenyekiti asimamie ipasavyo viva ccm
@lubambeheneli1334 жыл бұрын
Hawa vijana sio wazuri kama wamepewa madalaka wamekadi kwa dhalau Sasa wanaonekana hawako tayari kukufanya kazi na Rais Hata tukiwachagua watakwenda kumhujumu. Kazi kwetu wapiga kura.
@Gamba1774 жыл бұрын
Serikali ya ccm wasenge wezi
@josephndekele35864 жыл бұрын
Makonda hakuzaliwa kuwa mk7u wa mkoa hivyo ana haki ya kugombea kuwa mbunge waache kuminya demokrasia hata hivyo makonda ana nafasi ya kwenda upinzani akiona huko wanamkandamiza.
@revocatuschailla10274 жыл бұрын
Chama changu pendwa CCM wapeni watu uhuru wa kuchagua cha kufanya wasilazimishwe kufanya kitu asichotaka, hivyo msiwapige vita. Na hata Ndugu Bashiru hapo anasema ni haiki yao kugombea basi tusimame hapo na kuwapa hiyo haki ya kugombea.
@nestor3844 жыл бұрын
Kama wangekuwa hawazipendi nafasi walizokuwa nazo walipaswa kutokukubali uteuzi.. lakini kila nafasi unataka wewe DC time wewe, MPs time wewe wengine ambao hawana hizo nyazifa kubwa kubwa waende wapi kama kila kitu wewe!!
@jamesnigo78684 жыл бұрын
Haa katibu eti Ilikua Ni kata ya KATERERO
@seifjuma34714 жыл бұрын
😂😂😂😂😂umehisi nini tena mzeebabaaa 😜😜😜
@maserojoseph90734 жыл бұрын
Wasira
@mohamedhalifambela64194 жыл бұрын
Nataka nikachukue kadi ya uana chama Leo vipi naweza kuruhusiwa kugombea na nikiwa mwanachama mpya?
@errydeo88654 жыл бұрын
Huajasikiliza vizuri!mwanachama yoyote ana haki ya kugombea!ila kamati kuu lazima ikupitishe!ndo maana wengi wamechukua forms za kugombea!utaona mchujo!
@eliasai.ngwada83934 жыл бұрын
Nafikiri waliyofanya hivyo hamkuwaandaa, sababu hiyo ilikuwa ndiyo kawaida za chaguzi zilizopita, hivyo wao walitegenea ni yaleyale, kama mliweka hilo au hiyo adhabu katika kanuni za kugombea wao wakakiuka hilo ni tatizo lao. Lakini kama mmewatega tu kama panya mtakuwa mmewaonea. Mbaya zaidi waliyofanya kosa hilo ni wengi lakini mnamsakama aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mmoja tu kwa kutaka kumharibia nafikiri siyo sawa. MSIFANYE HIVYO MSIFUNGE MIKONO DEMOCRASIA ZA WATU, WAMESHAADHIBIWA KUFUTIWA NYAZIFA ZAO HIYO INATOSHA.
@kasimugullum58624 жыл бұрын
Mfano bora wa maadili.
@pancrasmwenda73074 жыл бұрын
Makonda kalowa
@fidemgina99794 жыл бұрын
Ssm ndicho chama chakupita bila kupngwa
@zozohmeed55464 жыл бұрын
Mie zozo nieleweshe
@dismasmtui7294 жыл бұрын
Hivi kweli,unaacha ukuu wa mkoa au mkuu wa wilaya kwenda kugombea ubunge???!!.Kuna nini cha zaidi kwenye ubunge?,au kuna maslahi zaidi?!!.
@modestussanga54134 жыл бұрын
Mi nahsi anaona Kuna probability akipita kuangaliwa kwenye nafas ya uwazir Tamaa tamaa tuu
@lucanusnickata88524 жыл бұрын
Kazi ya muda mchache unapata gari ya mkopo ukimaliza miaka mitano kiinua mgongo kikubwa ndo mana watu wanaacha kazi zao na taaluma zao
@barikilinus52744 жыл бұрын
Dismas.. ubunge maslah .posho vikao vya bunge,posho ukiwa kwenye vikao vya KAMATI za bunge.posho ukaguzi wa miradi kwenye kamati za bunge.marupurupu kibao na ile nono ya kumaliza awamu.
@tumaininerei59484 жыл бұрын
Tunasubiri matokeo ya kura za maoni.
@mohammedmdangwe20564 жыл бұрын
katibu bashiru unafaa umpokee kijiti rais magufuri 2025 tunakuomba misimamo yako na uwafilifu nchi itapaa
@healthugreat25444 жыл бұрын
Subscriber kwa KZbin Chanel yangu naomba
@allymussa45574 жыл бұрын
Hichi chama sio maliyenu pekeyenu kuwa muamuetu mnalolitaka nyie ndio liwe haiwezekani hivyo kila mwana chama anahaki yakugombea msilete mambo mnayo yataka nyie
@saimonmanyerezi71694 жыл бұрын
Tatizo Ally hujaelewa.Hakuna mtu anayekatazwa kugombea bali kwakuwa ana nafasi yakutumikia wananchi basi ajiuzulu kwanza huko ndipo aombe nafasi ya kazi kwenye ubunge.
@jumaothman94494 жыл бұрын
Uongozi wa CCM Tanzania bara unahitajika utoe mafunzo ya uongozi Zanzibar ili tukijenge chama na kuua vyama vyengine kama Tanzania bara
@sameramwajdu90294 жыл бұрын
Kwa hilo sahau chama kimoja Mh rabda mubadilishe maisha ya mtu mmoja mmoja
@allymussa45574 жыл бұрын
Wacha ujinga wwe iloneno chama cha mapinduzi uko bara lilikuwa halitumiki wamekopi zanzibar walikuwa waowanaita ccmtu