KATIBU MKUU CCM, DKT BASHIRU AFUNGUKA KUHUSU VIONGOZI WANAOACHA NAFASI ZAO NAKWENDA KUGOMBEA

  Рет қаралды 88,777

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 199
@joxevictus3720
@joxevictus3720 4 жыл бұрын
Dr bashiru sawa kabisa mungu akupe maisha marefu mheshimiwa 👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@erickkundy5322
@erickkundy5322 4 жыл бұрын
Very ethical & straight foward leader. I wish other leaders could demonstrate the same quality. Those power mongers who have crossed the lines should be eliminated from the system completely-they do not work for the party/country but for their own interests.
@sylvesterjose3286
@sylvesterjose3286 4 жыл бұрын
Definitely I agree with what you say, those are not committed or responsible leaders, they are just mere money maniacs who are there to justify individual ambitions!
@mashakakalamba519
@mashakakalamba519 4 жыл бұрын
In short "Bashiru is a great leader"
@sifamushi1747
@sifamushi1747 4 жыл бұрын
I agree... 👌
@kiatu
@kiatu 4 жыл бұрын
Ndio umuhimu wa wasomi wazalendo.
@1stladyafrica402
@1stladyafrica402 4 жыл бұрын
Mwenyekiti anayeenda kugombea nafasi za kisiasa ni wa kuogopa kama ukoma.kwann aliomba kusaidia chama kama anamaslahi yake mengine.nashauri ili kukomesha hii Tabia baada ya uteuzi waondolewe kabisa kwenye nafasi za kusaidia chama maana haikuwa lengo lao
@samwellwiza5339
@samwellwiza5339 4 жыл бұрын
Sijui kama wanamuelewa katibu Mkuu ndg Bashiru..Mimi ninamuelewa ....
@abuumwinyimkuu4842
@abuumwinyimkuu4842 4 жыл бұрын
Binafsi nimemuelewa bro!
@grecioussilas9885
@grecioussilas9885 4 жыл бұрын
point....nakuelewa sana kiongoz wetu wa chama
@selestineluziga1447
@selestineluziga1447 4 жыл бұрын
Huyu ndie Katibu wa ukweli,kwa kweli chama kimepata mtu sahihi kwenye nafasi hii nyeti
@Gamba177
@Gamba177 4 жыл бұрын
Katibu msenge
@emmanuelsimon545
@emmanuelsimon545 4 жыл бұрын
Alikua mkuu wa idara ya siasa UDSM na ni mbobezi pia
@emmanuelsimon545
@emmanuelsimon545 4 жыл бұрын
@@Gamba177 elimu huna kama ungefika chuo kikuu mliman ungemjua vzr
@seifjuma3471
@seifjuma3471 4 жыл бұрын
@@Gamba177 chunga dolelako linalo andika
@kalundaluhanga4923
@kalundaluhanga4923 4 жыл бұрын
@@Gamba177 unajaribu kutuonyesha Tania taking ya utotoni. Kwamba tukuone hats wazazi walk wana Tabia hizo? Pole Sana
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 4 жыл бұрын
2025 unaweza kuwa rais kwanini hapana?
@kaizambagwa5128
@kaizambagwa5128 4 жыл бұрын
Ahsante kwa kumkumbuka baba yangu mzazi
@nestor384
@nestor384 4 жыл бұрын
Huyu katibu mkuu JPM alichagua asee. Bonge la kion§ozi🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@gridkibanda2582
@gridkibanda2582 4 жыл бұрын
Amenikumbusha mbali uyo mzee uyo mbagwa aliogopeka saana kwetu tulikuwa wadogo ila adi sasa tumeishamaliza vyuo ila bado tunamkumbuka kwa kazi zake
@SafeHaven_TV
@SafeHaven_TV 4 жыл бұрын
Dr Bashiru,you are a great man my brother.Your integrity is unquestionable and I like you.Akili safi na unyenyekevu mkubwa.
@kanikipeter8377
@kanikipeter8377 4 жыл бұрын
Katibu Safi sana uko sawa kbs
@joasitz9559
@joasitz9559 4 жыл бұрын
Nimekupata sana Dr
@erastokinemelo7872
@erastokinemelo7872 4 жыл бұрын
Great! Proper and clear responses
@gavanaally4176
@gavanaally4176 4 жыл бұрын
Kwa kweli KM wa CCM, Chama kimelamba Dume, unasimamia Maadili ya Chama, pia Mikoani wapo Viongozi wasioridhika na vyeo,leo anacho hiki,kesho kile,na mtondogoo kile, pia suala la kuhujumu Chama nitatizo kubwa, lifanyiwe Kazi.
@frbm1729
@frbm1729 4 жыл бұрын
Kuna baadhi ya wateule wa Rais wameanza kumbp Rais aliyewaamini akawateuwa ,sasa wamelewa madaraka wanaanza kupuuza hata ushauri wake.ni utovu wa nidhamu na kumkosea adabu meh. Rais. Wamejaa Tamaa na kujitajirisha haraharaka.
@ramadhanaliramadhan9364
@ramadhanaliramadhan9364 4 жыл бұрын
Nimekuelewa ndg katibu
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 4 жыл бұрын
Dah Katibu Wa Ccm yuko vizuri
@kilimanjaro_media
@kilimanjaro_media 4 жыл бұрын
Mmmh makonda hapiti
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 4 жыл бұрын
MH.KATIBU MKUU UKO VIZURI 100%
@felistermaximillian2793
@felistermaximillian2793 4 жыл бұрын
Safi Sana, nimekuelewa mkuu
@abdalahfarida2074
@abdalahfarida2074 4 жыл бұрын
Akili yako ni safi kabisa sio sawa na Polepole anaeendekza mipasho na ngonjera tu.
@issamanguri1890
@issamanguri1890 4 жыл бұрын
Hapo uko sawa kabisa dr
@MS.independent8934
@MS.independent8934 4 жыл бұрын
hawaridhiki hao baba ila acha wa'wapishe wengine kwenye hivyo viti walivyo viachaa
@abdulseif4093
@abdulseif4093 4 жыл бұрын
mbagwa alikuwa anazingua sana kitambo kile
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 4 жыл бұрын
Umemsema makonda ndio miaka 5 kawa Dc na Rc sasa anataka ubunge
@missmwayway4704
@missmwayway4704 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Duuuhhh yn hapo inaonekana kabsaa walio wengi wao wanataka uchu wa madaraka na masilahi yao binafsi But sio Issue xana watakutana na Mzee magu baadae
@roseberryhamoud6542
@roseberryhamoud6542 4 жыл бұрын
Umeeleweka Katibu
@martinemasunga5802
@martinemasunga5802 4 жыл бұрын
Safiiii sana
@estameryngogo594
@estameryngogo594 4 жыл бұрын
Hakika CCM INA mtendaji mkuu sahihi kabisa
@danielbugwema6969
@danielbugwema6969 4 жыл бұрын
Kazi ya ukatibu imepata mkunaji ila niombe kiombe kiongozi watu wasihukukumiwe kwa kuwa tu wameacha nafasi zao nakwenda kugombea nafasi za Ubungo bali watu wapewe haki zao ili chama kiendelee kuwepo wasameheni wameteleza watajifunza
@thieryniyonkuru1067
@thieryniyonkuru1067 4 жыл бұрын
Hapo lazima wakatwe panga🤣🤣🤣
@pancrasmwenda7307
@pancrasmwenda7307 4 жыл бұрын
Wana tamaa hao hakuna kusamehewa c waliapa wenyewe
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 4 жыл бұрын
Kote wanataka wao.Ni bora kuachia kumoja shika nafasi unayoitaka na ukikosa imekula kwako.
@ellyitete938
@ellyitete938 4 жыл бұрын
Mm sion kosa n sawa MTU unajiendeleza kielimu..........ukirifhika unadumaa kiakili......huwez jua pengine wewe ni rais ujae........ht baba wa taifa alikua na umr mdogo Ila Kaz kubwa angeridhika tusingepata uhuru
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 4 жыл бұрын
Unajua nini Wtz tumekwishakuwa wengi,hakuna sababu yakwenda kugombea huku umeshika nafasi.Jiondoe kwenye madaraka ndipo ukagombee.
@ibtysophy3467
@ibtysophy3467 4 жыл бұрын
Yupo mtu litampata jambo
@samsondecoman983
@samsondecoman983 4 жыл бұрын
Mwenyekiti bashiru usichoke sana, hoja ni hao wakuu wamikoa wanao tamba wao nilazima washinde wakiongoZwa na makonda,huyo akipita nitaamini hata wewe umemshindwa.
@rugakali2157
@rugakali2157 4 жыл бұрын
Huyu Dr. Bashiru yupo poa sana
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 4 жыл бұрын
Walio wengi walioacha nafasi zao, kwa kauli hii walio wengi ndio kwaheri, hata kwa kauli ya JPM na Bashiru walio wengi waliokua na wadhifa ndio basi tena waombe wapate ubunge wakikosa kwaheri wawe wapiga debe la CCM
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 4 жыл бұрын
Na ubunge hawapati ktk jina la Yesu! Wawapisha na wengine
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 4 жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 kabisa bora wakose shwain sana, km huyu bashite kamtukanisha sana Magu kwa nafasi ile leo wakuondoka kizembe huyu ndio angekosa kabisa hana kweli fadhila na vyeti vyake fake🏃‍♂️🏃‍♂️
@EK-kp2np
@EK-kp2np 3 жыл бұрын
Bashiru, tukikutaka uwe raisi, utakuwa😠, utake usitake. Kama unafaa, tutakubebesha tu 🤨uwe katibu mkuu au katibu mdogo, Hata haijawahi kutokea basi utakuwa wa kwanza, katiba si msahafu,Usitufokee🤓
@grationkato7253
@grationkato7253 4 жыл бұрын
Kweli kabisa sio kiongozi tu anaestaili kuacha alama bali kila mwanadamu yampasa kuacha alama duniani atustaili kuzidiwa na konokono akipita pahara anacha alama hivyo basi yatupasa nasi .big up Dr Bashiru jembe la chama dume
@MusicArousedFeelings
@MusicArousedFeelings 4 жыл бұрын
Haya yakisimamiwa imara yatakiimarisha sana chama kwani hakutakiwa na ubakaji wa nafasi za uongozi chamani na kitaifa
@akramsayjr591
@akramsayjr591 4 жыл бұрын
Agreed with you 💯💯💯💯 Bashiru your legend love you bro
@mtakatifubony1829
@mtakatifubony1829 4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana, katibu mkuu
@mubofuthegreat4955
@mubofuthegreat4955 4 жыл бұрын
Sawa katibu mkuu
@Gamba177
@Gamba177 4 жыл бұрын
Katibu wako msenge
@Tiffany340
@Tiffany340 4 жыл бұрын
Waacheni kuwasema umri wa uongozi ni kutumikia wananchi wakati wa ujana, hata kikwete alianza siasa akiwa kijana,, wananchi ndiyo tutawapima
@fredmapunda
@fredmapunda 4 жыл бұрын
Uwa nakuelewa sana kiongoz wangu
@sylvesterjose3286
@sylvesterjose3286 4 жыл бұрын
Kimsingi kiongozi yeyote kuamua kuacha kazi na kugombea nyadhifa fulani ni sahihi kabisa. Ni haki yake ya msingi katika kutimiza malengo na matarajio yake kimaisha. Shida ni kwa viongozi wateule wasiozingatia ushauri wa aliyewaweka kwenye nyadhifa zao, ni sawa na kumpiga Kofi la Uso.
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 4 жыл бұрын
Hata katibu hajasema hana haki bali kwenye mchakato lazima uache nafasi uliyopewa kwanza ndipo ugombee.
@iviejustified8109
@iviejustified8109 4 жыл бұрын
Prof M. K
@rosemushi3178
@rosemushi3178 4 жыл бұрын
Katibu Mkuu anaushawishi katika hoja anazozijenga akitetea jambo.. Ana busara na ni muungwana sana. CCM ina Kiongozi.
@mathiasmsese6128
@mathiasmsese6128 4 жыл бұрын
jamani kwa maneno haya ya busara nahisi tumtafutie mwenzetu kazi nyingine
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 4 жыл бұрын
😂😂
@alexmalima9537
@alexmalima9537 4 жыл бұрын
😂😂😂
@jafaribakari1188
@jafaribakari1188 4 жыл бұрын
Daa! Yaan ata sielewi elewi sa sijui itakuaje.
@revokatkashasha8714
@revokatkashasha8714 4 жыл бұрын
Patamu hapo!Wataula wa chuya!!!
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 4 жыл бұрын
Acheni kumsema jamani,aliyo yafanya ni makubwa kuliko mnacho msakama nacho.angalieno mema yake.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
Mara nyingi naikubali CCM na nampongeza Rais Magufuli anafanya kazi nzuri ingawa kaisahau Zanzibar lakini hiki kinachofanyika sasa siungi mkono, kwamba Kiongozi akienda kugombea Rais anatengua hii sio sawa, ni mamlaka yake lakini kama ambavyo tunakubaliana sote kuwa Rais Magufuli hakuna mbadala wake wapo pia baadhi ya wateuliwa wake hawana mbadala. Kimsingi Bunge likifunjwa hakuna Serikali acha mchakato uendelee ndio Utamaduni wa chama chetu baada ya awamu mpya utapanga awamu mpya hii kulazimisha kuna watu wasitendwe haki ili waumizwe kwa sababu wamegombea hii sio sawa.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
Mimi ni CCM damu damu lakini CCM huwezi kupata cheo kama huna fedha (sijuwi zinatolewa saa ngapi, lkn RUSHWA ipo) na ukiwa mtoto wa Kiongozi wengine watabaki kuwa washindikizaji hawana chao. Uadilifu ndani ya Chama bado hauko sawa sawa, maandiko yapo vizuri na kila swali lina jawabu.
@hamoudrushenya8650
@hamoudrushenya8650 4 жыл бұрын
CCM ipi hiyo?Zama za kuitegemea hela kukupa uongozi zimepitwa na wakati.Ushahidi ni utitiri wa walio chukua form kugombea, kipindi kilichopita usingeona haya kwa sababu waligombea wachache wenye hela.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
@Change Mindset Jenga hoja yako tu, huna haja ya matusi.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
@@hamoudrushenya8650 Hakuna siku duniani ambayo mwenye fedha atakuwa sawa na alokuwa hana, CCM ninayoungumza ni hii hii iliyoanzishwa 5/2/1977. Hujuwi siasa, wingi wa Wagombea sio dalili tosha ya demokrasia bali ni aina nyingine ya RUSHWA ambapo wenye nguvu (fedha) wamewatumia watu kugawanyisha kura ili mwisho wa siku aibuke mshindi. Hapana mlalahoi atashinda hapo. Mbona kwenye Rais hakujitokeza mtu kama sababu kafanya vizuri (tunakubali wote hapo) kwani hakuna Wabunge au Madiwani au Wawakilishi waliofanya vizuri? Kuna hitaji akili kubwa kuelewa Change mindset ambae akili zake has changed negetively hawezi kuelewa.
@godfreybigeyo9105
@godfreybigeyo9105 4 жыл бұрын
Naishauri ccm inakoelekea ni kubaya mumelewa kukubalika kwenu ,wakati vyama vinatafuta watu wenye mvuto kwa ajili ya kushinda uchaguzi nyie mnazuia watu kugombea why? Nani aliwai kutosheka ? 1, jpm alikuwa waziri hakutosheka akataka urais 2, bashiru ulikuwa mwalimu haukutosheka Leo ni katibu mkuu 3, jk alikuwa mwanajeshi akutosheka akaenda kwenye siasa adi urais 4, mkapa alikuwa mtumishi Wa ikulu hakutosheka akaenda kwenye ubunge shida iko wapi? Unatudanganya jk alikuwa mwanajeshi akaenda kwenye siasa mbona hakutosheka jeshini
@christophermwanilwa7074
@christophermwanilwa7074 4 жыл бұрын
Hujaelewa. Kugombea ni haki ya mtu na kanuni za Chama zinaruhusu. Ila ukigombea na ukiwa ni mteule lazima uachie cheo cha kuteuliwa wakae wengine. Hata ukiwa ni mfanyakazi wa Sheria inasema uache kazi.
@ibtysophy3467
@ibtysophy3467 4 жыл бұрын
@@christophermwanilwa7074 kuna wengine ni wazur kukoment lkn wazito kuelewa mada husika
@allymussa4557
@allymussa4557 4 жыл бұрын
Pia na Rais umwambie kuteuwa watu bila kufata utaratibu wachama nayeye pia anakosea mbona hamuyasemi wapinzani wengi wanateuliwa bila kufata utaratibu wachama nahilo pia useme
@moyesmboya6171
@moyesmboya6171 4 жыл бұрын
Makonda hamtampitisha?
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 4 жыл бұрын
Mzee wa mafaili aeneze mafaili hadi tarafani mwenye kucheza rafu aadhibiwe
@Gamba177
@Gamba177 4 жыл бұрын
Mzee wako msenge anafirwa
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 7 ай бұрын
Huyu jamaa ni tunu ktk hii nchi
@dicksonwambura9840
@dicksonwambura9840 4 жыл бұрын
Siasa bwana na maelekezo yote hayo utashangaa makonda kapitishwa na kuwa mbunge
@silikonnyondo5146
@silikonnyondo5146 4 жыл бұрын
Bashiku nimekuerewa Sana katika chama kusimamia haki je kwavyama vingine haki iyo inapatika kupitia chaguzi namanisha wateule hao wanafwata haki uyu kashindaje
@georgejohnmitanga5763
@georgejohnmitanga5763 4 жыл бұрын
Viogozi wagazi zakata wanawagombea kunasehemu mabalozi wanapewa ukoo wajipanga kwahilo madiwani wegi watapita wasiyo kubalika kwanaichi uchaguzi watu wamemaliza wamebaki kutangazwa wajumbe 100 kaweka wakwake kilakijiji 15x5=75 tayar hesabu ndg bilakujali mbovu kiasigani
@sungwambuga9255
@sungwambuga9255 4 жыл бұрын
Wateule wa JPM watuachie sisi wakulima tugombee
@rodgersmwakipesile6306
@rodgersmwakipesile6306 4 жыл бұрын
Hapo Katibu Mkuu nisha kabisa wenye tamaa waache tamaa.
@sultanaljabri5109
@sultanaljabri5109 4 жыл бұрын
Million 10 Kati ya million 59? Katika kipindi chote cha utawala ni tatizo kubwa na alama ya kutokubalika katika jamii. Uwezo wa kuwafikia wananchi ni mkubwa kwa CCM na Serakali yake tofauti na vyama vingine vilivyo kosa uhuru wa kufanya shughuli za za kisiasa ili kuwafikia wananchi wengi ili waongeze wanachama. Nini Maoni yako?
@allymussa4557
@allymussa4557 4 жыл бұрын
Mimi naona kwanza ushauri ungeutowa kwa Rais kwani nayeye pia anakosea kuwapa watu wasio wanachama uwongozi yani kwenje mikutano yake anateuwatu wapinzani bila kufanta utaratibu wachama
@abuumwinyimkuu4842
@abuumwinyimkuu4842 4 жыл бұрын
U ar a nature!
@allymussa4557
@allymussa4557 4 жыл бұрын
Msitishe watu mkajifanya kama njie ndio chama chenu kilamwana chama ana ana hakiyake kugombea
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 4 жыл бұрын
ccm Safi sana
@enzielias1543
@enzielias1543 4 жыл бұрын
Kwa maelekezo hayo ni wajibu wa viongozi na wanachama kuzingatia maadili na misingi ya CHAMA CHA MAPINDUZI.
@Elimunamalezi
@Elimunamalezi 4 жыл бұрын
Weweee
@nabii-zc1hm
@nabii-zc1hm 4 жыл бұрын
Wamejiridhisha na uteuzk
@josephmwinyi
@josephmwinyi 4 жыл бұрын
Sema baba kuna viongizi hawajui hizo kanuni
@godshajulius7086
@godshajulius7086 4 жыл бұрын
Kuna watu wamepewa dhamaa ya kuwakilisha majimbo mbalimbali kwa hawamu 2 Ila hawatendei haki watu wa majimbo hayo,tunaomba chama izingatie hili( Mara ni haibu watu wanarubuniwa na matajirin wanawachagua)
@godfreybigeyo9105
@godfreybigeyo9105 4 жыл бұрын
Nini tena?
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 4 жыл бұрын
Duh
@abdulkuluwia6525
@abdulkuluwia6525 4 жыл бұрын
Pole bashite
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 4 жыл бұрын
hakuna kitu kibaya kwa kiongozi msomi kuwa na benefit of intrest
@Ishengoma1
@Ishengoma1 4 жыл бұрын
Kama nani Benny
@seuryanael3518
@seuryanael3518 4 жыл бұрын
Sijui watu wanapenda nini ubunge. Hakuna cha maaana kama hautaki kusaidia jamii yako na upo kwaajili ya maslahi yako binafsi labda nitakuelewa. Vijana pigeni kazi.
@eliasaid538
@eliasaid538 4 жыл бұрын
Miladi ayoo tufikishie ujumbe kwa magufuli wachimbaji tuliyoko igomaa mafinga tunanyanyasika
@MS.independent8934
@MS.independent8934 4 жыл бұрын
duuuuu kwa maelezo hayo makonda aji tadhmini sn nawengineoo pia😀
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 4 жыл бұрын
Hata akijitathinim kaishachelewa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
Makonda kashindwa kutambua alama za nyakati, alishindwa kujuwa kuwa ana maadui wengi sana Serikalini na ndani ya Chama. Alikuwa yupo kwa Ihsani na imani ya Rais lakini keshaivunja. Wabunge wanaripoti shida zao kwa RC leo wewe ni RC unaomba Ubunge, why? Ni kweli ukiwa Mbunge una uhakika wa kibarua kwa miaka 5 hata ukifanya vibaya lakini nafasi ya uteuzi inapotea wakati wowote.
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 4 жыл бұрын
Mariam Uko sahihi Ila MAKONDA KAANZA NA UVCCM KATUMIKIA VYWMA,UKUU WA MKOA KATUMIKIA VYEMA,NK.NI KIONGOZI KAACHA ALAMA KAKOMESHA MADAWA YA KULEVYA.MAADUI WANAOMCHUKIA NI WALE WALIOTAKA KULETA MADAWA AU RUSHWA. ANASTAHILI KUWA KIONGOZI WA NGAZI YA JUU.
@erickmoses6395
@erickmoses6395 4 жыл бұрын
@@sylvestrengwelu2012 Ngazi ya juu ni ipi? Mkuu wa mkoa au Mbunge wa Kigamboni!!? Hahahahahaaa
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 4 жыл бұрын
MAKONDA SIYO LEVEL YENU, SUBIRINI UCHAGUZI UISHE HAYA MNAYOSEMA MTAJIKATAA WENYEWE. MTAKUJA NIAMBIA.
@swaleheamri2303
@swaleheamri2303 4 жыл бұрын
Ok
@fathilaothman7870
@fathilaothman7870 4 жыл бұрын
Wanataka kutawala wao kila kitu wawe waoo zote ni rohombaya
@mecksonsamwel5605
@mecksonsamwel5605 4 жыл бұрын
Htr
@mytimeonce1479
@mytimeonce1479 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Makonda hajiamini Katibu nimekuelewa... huyo bado..angeharibu Sana ...SNOBBY..
@godfreybigeyo9105
@godfreybigeyo9105 4 жыл бұрын
Sijawaelewa ccm yaani mgombea anateuliwa au kura za maoni ndo zinatoa mgombea ambaye anakubalika kwa wananchi
@barakaabel482
@barakaabel482 4 жыл бұрын
Dr. Bashiru
@sudymgeni701
@sudymgeni701 4 жыл бұрын
Namkumbuka mbagwa alikua anachapa mpaka viboko nakuwekwa selo.alikua kiboko mbaya sio mchezo kaka
@sameramwajdu9029
@sameramwajdu9029 4 жыл бұрын
Vizuri wanyoweni kwa magaeya chupa
@neemachriss2605
@neemachriss2605 4 жыл бұрын
Katibu kweli umezungumza sahihi,na imani kweli ya serikali ya awamu ya tano mmeahidi na mmetekeleza na pia umeondoa ule utoaji rushwaa Hivyo vijana waende tu tutawaunga mkono tu wakipita, Mwenyekiti asimamie ipasavyo viva ccm
@lubambeheneli133
@lubambeheneli133 4 жыл бұрын
Hawa vijana sio wazuri kama wamepewa madalaka wamekadi kwa dhalau Sasa wanaonekana hawako tayari kukufanya kazi na Rais Hata tukiwachagua watakwenda kumhujumu. Kazi kwetu wapiga kura.
@Gamba177
@Gamba177 4 жыл бұрын
Serikali ya ccm wasenge wezi
@josephndekele3586
@josephndekele3586 4 жыл бұрын
Makonda hakuzaliwa kuwa mk7u wa mkoa hivyo ana haki ya kugombea kuwa mbunge waache kuminya demokrasia hata hivyo makonda ana nafasi ya kwenda upinzani akiona huko wanamkandamiza.
@revocatuschailla1027
@revocatuschailla1027 4 жыл бұрын
Chama changu pendwa CCM wapeni watu uhuru wa kuchagua cha kufanya wasilazimishwe kufanya kitu asichotaka, hivyo msiwapige vita. Na hata Ndugu Bashiru hapo anasema ni haiki yao kugombea basi tusimame hapo na kuwapa hiyo haki ya kugombea.
@nestor384
@nestor384 4 жыл бұрын
Kama wangekuwa hawazipendi nafasi walizokuwa nazo walipaswa kutokukubali uteuzi.. lakini kila nafasi unataka wewe DC time wewe, MPs time wewe wengine ambao hawana hizo nyazifa kubwa kubwa waende wapi kama kila kitu wewe!!
@jamesnigo7868
@jamesnigo7868 4 жыл бұрын
Haa katibu eti Ilikua Ni kata ya KATERERO
@seifjuma3471
@seifjuma3471 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂umehisi nini tena mzeebabaaa 😜😜😜
@maserojoseph9073
@maserojoseph9073 4 жыл бұрын
Wasira
@mohamedhalifambela6419
@mohamedhalifambela6419 4 жыл бұрын
Nataka nikachukue kadi ya uana chama Leo vipi naweza kuruhusiwa kugombea na nikiwa mwanachama mpya?
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
Huajasikiliza vizuri!mwanachama yoyote ana haki ya kugombea!ila kamati kuu lazima ikupitishe!ndo maana wengi wamechukua forms za kugombea!utaona mchujo!
@eliasai.ngwada8393
@eliasai.ngwada8393 4 жыл бұрын
Nafikiri waliyofanya hivyo hamkuwaandaa, sababu hiyo ilikuwa ndiyo kawaida za chaguzi zilizopita, hivyo wao walitegenea ni yaleyale, kama mliweka hilo au hiyo adhabu katika kanuni za kugombea wao wakakiuka hilo ni tatizo lao. Lakini kama mmewatega tu kama panya mtakuwa mmewaonea. Mbaya zaidi waliyofanya kosa hilo ni wengi lakini mnamsakama aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mmoja tu kwa kutaka kumharibia nafikiri siyo sawa. MSIFANYE HIVYO MSIFUNGE MIKONO DEMOCRASIA ZA WATU, WAMESHAADHIBIWA KUFUTIWA NYAZIFA ZAO HIYO INATOSHA.
@kasimugullum5862
@kasimugullum5862 4 жыл бұрын
Mfano bora wa maadili.
@pancrasmwenda7307
@pancrasmwenda7307 4 жыл бұрын
Makonda kalowa
@fidemgina9979
@fidemgina9979 4 жыл бұрын
Ssm ndicho chama chakupita bila kupngwa
@zozohmeed5546
@zozohmeed5546 4 жыл бұрын
Mie zozo nieleweshe
@dismasmtui729
@dismasmtui729 4 жыл бұрын
Hivi kweli,unaacha ukuu wa mkoa au mkuu wa wilaya kwenda kugombea ubunge???!!.Kuna nini cha zaidi kwenye ubunge?,au kuna maslahi zaidi?!!.
@modestussanga5413
@modestussanga5413 4 жыл бұрын
Mi nahsi anaona Kuna probability akipita kuangaliwa kwenye nafas ya uwazir Tamaa tamaa tuu
@lucanusnickata8852
@lucanusnickata8852 4 жыл бұрын
Kazi ya muda mchache unapata gari ya mkopo ukimaliza miaka mitano kiinua mgongo kikubwa ndo mana watu wanaacha kazi zao na taaluma zao
@barikilinus5274
@barikilinus5274 4 жыл бұрын
Dismas.. ubunge maslah .posho vikao vya bunge,posho ukiwa kwenye vikao vya KAMATI za bunge.posho ukaguzi wa miradi kwenye kamati za bunge.marupurupu kibao na ile nono ya kumaliza awamu.
@tumaininerei5948
@tumaininerei5948 4 жыл бұрын
Tunasubiri matokeo ya kura za maoni.
@mohammedmdangwe2056
@mohammedmdangwe2056 4 жыл бұрын
katibu bashiru unafaa umpokee kijiti rais magufuri 2025 tunakuomba misimamo yako na uwafilifu nchi itapaa
@healthugreat2544
@healthugreat2544 4 жыл бұрын
Subscriber kwa KZbin Chanel yangu naomba
@allymussa4557
@allymussa4557 4 жыл бұрын
Hichi chama sio maliyenu pekeyenu kuwa muamuetu mnalolitaka nyie ndio liwe haiwezekani hivyo kila mwana chama anahaki yakugombea msilete mambo mnayo yataka nyie
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 4 жыл бұрын
Tatizo Ally hujaelewa.Hakuna mtu anayekatazwa kugombea bali kwakuwa ana nafasi yakutumikia wananchi basi ajiuzulu kwanza huko ndipo aombe nafasi ya kazi kwenye ubunge.
@jumaothman9449
@jumaothman9449 4 жыл бұрын
Uongozi wa CCM Tanzania bara unahitajika utoe mafunzo ya uongozi Zanzibar ili tukijenge chama na kuua vyama vyengine kama Tanzania bara
@sameramwajdu9029
@sameramwajdu9029 4 жыл бұрын
Kwa hilo sahau chama kimoja Mh rabda mubadilishe maisha ya mtu mmoja mmoja
@allymussa4557
@allymussa4557 4 жыл бұрын
Wacha ujinga wwe iloneno chama cha mapinduzi uko bara lilikuwa halitumiki wamekopi zanzibar walikuwa waowanaita ccmtu
@nyakamwebakeha2915
@nyakamwebakeha2915 Жыл бұрын
baba ngombea uraixi
DKT BASHIRU AWAKA-"Kuna Wapumbavu Wameanzisha Upuuzi CCM"
14:22
Global TV Online
Рет қаралды 54 М.
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН
BREAKING: ALLY KAMWE ATANGAZA KUJIUZULU YANGA SC
2:01
Millard Ayo
Рет қаралды 21 М.
JPM:MAKONDA/"NILIKWAMBIA UACHE TAMAA/NILIJUA UTAKOSA KURA ZA MAONI KIGAMBONI"
19:30
MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
35:46
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН