Katta ni umwe wa aria manonio rukungu ni urimi 🤣🤣 #ngonithuita #gathaiyadennis #gathaiyanangoni #kwigangara #jka
Пікірлер: 4
@frimmbits2 ай бұрын
Kuna jamaa alipoteza savings + 1m alikopa kwa mtu wa timberyard sababu ameambiwa kuna miti ya cypress mature inauzwa urgently. Akaenda akanunua miti na wakaandikiana na yule mtu aliambiwa ndiye mwenye shamba. Siku ya kukata miti, akaona land cruiser ya polisi imemkujia mbona anakata miti ya yenyewe. Kumbe yule jamaa aliuza miti alikuwa farmhand kwa shamba. Akauza miti akapotea na akapigia mwenye shamba akam tipoff ati miti inakatwa