KAULI TATA YA KIJANA ALIYECHOMA PICHA YA RAIS SAMIA BAADA YA AACHIWA HURU

  Рет қаралды 70,814

Baharia TV

Baharia TV

14 күн бұрын

Пікірлер: 356
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 12 күн бұрын
Sasa fain iyo kalipwa samia au nani 😢😢😢 picha tuu milion 5 shikamoo tanzania
@talibsaid8096
@talibsaid8096 11 күн бұрын
Sheria ni sheria tu ingekuwa we we Mzee wako katukwanwa na mtu bila sababu ungesikiaje pia maisha magumu lakini kila usiku mko bar hamtaki kujishughulisha watanzania wacheni kuchezea amani waangalieni kenya ilivyo vurugu la muda mfupi lakini litawarudisha miaka kadhaa nyuma na Jawa mawakili hawana la kufanya
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 11 күн бұрын
@@talibsaid8096 tusi gani alio tukanwa pengine kachora vibaya picha kaamua kuunguza,, kusema wa tanzania hatu ji shughulishi unatulidha weye,, ukome labda wewe una maisha magumu mwenzio nishajenga na maisha yangu tuu
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 7 күн бұрын
Kwahio wakenya wote wameshindwa baa?
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 7 күн бұрын
Alitukana tusi gani
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 7 күн бұрын
@@user-wi8og3sv4j hapo sasa ana njaa huyu mkenya
@iddidandodando6063
@iddidandodando6063 12 күн бұрын
Safi Sana mliosimamia kuhakikisha chaula yupo huru,Hali ya maisha ni mbaya Sana.
@batashqiraa9936
@batashqiraa9936 12 күн бұрын
Kuna mijitu ipo serikalini mijizi ya pesa za umma lkn hawakamatwi wala hawashtakiwi, huyu mnyonge amechana picha tu na kusema ukweli kuwa maisha magumu amefungwa, yaani nyinyi mahakimu mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuwaonea wanyonge
@RechoMzava-gt7so
@RechoMzava-gt7so 12 күн бұрын
Kabisaaa na watahukumiwa kama wanavohukumu wenzao
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 7 күн бұрын
Anaetukana na mlarushwa nani mwenye madhara zaidi?
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 5 күн бұрын
TRA ni moja ya wahalifu
@dulaabdallarashid
@dulaabdallarashid 12 күн бұрын
Kenya twachoma hadi bunge na hafungwi mtu nyie picha tu raisi amepanik
@denicegaspar9479
@denicegaspar9479 9 күн бұрын
😂😂😂😂
@RahimaMct-ik8mr
@RahimaMct-ik8mr 9 күн бұрын
Yupo sahih ndoman wamemchangia😅😅
@johnbidya119
@johnbidya119 8 күн бұрын
Democracy zero..
@NuruJuma-zv3yz
@NuruJuma-zv3yz 8 күн бұрын
Kenya hamjafungwa bali mliuwawa😊kufungwa na kuwawa vipi hapo
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 7 күн бұрын
​@@NuruJuma-zv3yzangekuwa angecomemti vip kakoment marehemu?
@user-lu8ny2gu7t
@user-lu8ny2gu7t 12 күн бұрын
Wacheni ujinga kwani amechoma picha ya Mungu mnaacha kushughulika na mambo ya maana kuna mijizi huko serikalini mbona hamuishitaki
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 11 күн бұрын
Iyo pesa ingeenda mojakwa Moja kusidia wananchi
@KASSIMMHILU-oh5ch
@KASSIMMHILU-oh5ch 9 күн бұрын
Yani 😀😀 MIMI ndio mana Adi umeme nimeweka wangu tu mana serikali Hamna kitu
@floraflora5717
@floraflora5717 12 күн бұрын
Uyo kwaza. Sio raisa alipigiwa kura lini uchanguzi ulifanyika lini mimi naamini tuu tazania akuna rais rais alikufa atujachagua bado
@jumahamadomar9124
@jumahamadomar9124 10 күн бұрын
Kwa muujibu wa katiba ya Tanzania anapokufa raisi makamu wa raisi anachukuwa uraisi bila kupiga kura nyengine, kwani kawaida ya kura Tanzania mgombea wa urais na makamu wake wanachaguliwa pamoja kwa iyo ukisema hukumpigia kura unajidanganya,INSHA ALLAH mitano tena hata kwa shari maana kinachowauma ni asili ya huyo mama si jengine lolote wala hamukutarajia kuona raisi kutoka zanzibar lakini Mungu mkubwa ameficha tusivyovijuwa,kitawauma sanaaaaa na bado
@mariakabonga2
@mariakabonga2 10 күн бұрын
😂😂😂😂 yaani uko sawa kabisa
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 10 күн бұрын
We ni mijnga sana hatakama ujui kusoma hata picha huni​@@jumahamadomar9124
@emanuelnisetas7510
@emanuelnisetas7510 9 күн бұрын
@@jumahamadomar9124 huyo mama hafai
@DottoMussa-ro6rw
@DottoMussa-ro6rw 9 күн бұрын
yes,,nakuunga mkono na ndio maana Hana uchungu na ardhi yetu ama nchi yetu
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 12 күн бұрын
Huu ni ujumbe mwenye akili na aelewe watu wanaumia maisha magumu
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 12 күн бұрын
Ni kweli yy kasema kweli maisha magumu shida ni ipi hata huku ulaya maisha magumu juzi tumepiga kura tumechagua kiongozi mwengine muhindi tumempiga na chini juu maisha magumu 😢
@Amirimwashembe
@Amirimwashembe 8 күн бұрын
P1 na koment zte nzur za kumpongeza kijana au kuwapongeza waliomsaidia ila mm namuombea dua ya maisha yke usalama wake kua Allah amhifadh aise
@HappyBooks-dj6oy
@HappyBooks-dj6oy 12 күн бұрын
Watu wananyea Mavi picha ya Samia kwenye kanga mbona hamuongei.Sio kila mtanzania muoga.Safi sana bro.Salute
@nancolower_8032
@nancolower_8032 11 күн бұрын
Ujinga
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 7 күн бұрын
Na ya mama Yako ikifanyiwa mbele yako utasemaje samia ana familia yake
@HappyBooks-dj6oy
@HappyBooks-dj6oy 7 күн бұрын
Uyo sio Mama yako ukilala njaa hawezi kukuletea chakula ila Familia yake hawezi kuacha walale njaa.Sio Mama yangu ni raisi tu kama Marais wengine
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 7 күн бұрын
@@HappyBooks-dj6oy nakuuliz ni rais Lkn n mzaz wa mwenzako je angekuwa ni mama yako mzazi ungefurahia
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 12 күн бұрын
Kuna wezi wa CAG mnawaacha mnaenda kufunga mtoto
@elimuvisioncenter
@elimuvisioncenter 11 күн бұрын
😂😂😂 mtoto😅
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 7 күн бұрын
😅
@CeciliaShauri-vc7up
@CeciliaShauri-vc7up 11 күн бұрын
Kweli maisha ni magumu mno. Kuna baadhi wanakimbiwa na waume zao, mama wanabaki na watoto kwa mateso makubwa. Mungu tusaidie hatujui kesho yetu.
@harshkirit6780
@harshkirit6780 12 күн бұрын
Safi sana. Hongereni watanzania wenzangu kwa kumsaidia ndugu yetu.. kuna mijitu serikalini wanatunyanyasa wananchi. Haya sasa wajiandae 2025 kama watapita hayamajitu PIPOZ PAWA...HAPO SAWA
@jaybajay9973
@jaybajay9973 11 күн бұрын
Watapita maana wasanii wa sanaa totauti tofauti eanampigia Debe
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 7 күн бұрын
Ingelikua Samia ni mama yako mzazi ungekuj kupongeza watu km unavyofanya juu ya mama w mwengin
@pyerinajilatu2884
@pyerinajilatu2884 9 күн бұрын
Mbarikiwe sana mnaojitoa kusaidia watu Kwa moyo wa upendo Atawalipa Mungu
@user-ex4rk2yx4s
@user-ex4rk2yx4s 12 күн бұрын
Musiwatukuze marais kama manabii
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 12 күн бұрын
Anayeona ni vurugu ana maisha mazuri. Tunaoshindia buku tunafurahi sana
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 7 күн бұрын
Angefanyiwa mama yako je
@user-do2id6pp4g
@user-do2id6pp4g 8 күн бұрын
Mwinyi alipigwa Kofi lkn alisema mwacheni huyo mtu asifanywe chochote hivi jamani viongozi tuangalieni nafasi zetu no mitihani tu wala sio raha kuwa hapo
@EliaShirima-rh4wq
@EliaShirima-rh4wq 5 күн бұрын
❤❤tumechoka utawala wa kikoloni watupe katiba utawala huu ni wa utumwani
@zulekhamohamed3431
@zulekhamohamed3431 10 күн бұрын
Mume wangu amechoma picha yangu nimshitaki??
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 Күн бұрын
Fanya haraka iwezekanavo ila ujue asipochangia fain humpati tena 😂😂😂
@SalmaAthuman-hp3en
@SalmaAthuman-hp3en 12 күн бұрын
Mama samia umeona nguvu ya watanzania ndo ujue tumekuchoka
@MnubiMm
@MnubiMm 12 күн бұрын
@@SalmaAthuman-hp3en nguvu Ujinga huo wangechoma ya Mama yako na kukashifu ungeshabikia hivi umechoka na Nani? Kwa nini mnakuwa mnapenda kuwachanganya watu kwenye mambo yenu ya na fikra zenu wewe na wenzio saw usifikili wa msifikili Kila unachoona sawa wewena wengine ni hivyo hili mnalo sifu ni Jambo la hivyo kabisa subili wazazi wenu waanze kuzaliliswa ndio mtajua
@NuruJuma-zv3yz
@NuruJuma-zv3yz 8 күн бұрын
Umemchaka wewe,
@AbdallaMpambika-bp6ub
@AbdallaMpambika-bp6ub 8 күн бұрын
Acha ujinga wewe rais mwenyew hameifanya kesi iwe rahisi kama angeonesha amechukizwa uyo jamaa angekaa jera
@SalmaAthuman-hp3en
@SalmaAthuman-hp3en 8 күн бұрын
@@AbdallaMpambika-bp6ub milembe iko wazi muda wote muhimbili sibishani na vichaa
@SalmaAthuman-hp3en
@SalmaAthuman-hp3en 8 күн бұрын
@@NuruJuma-zv3yz tumemchoka ndiyo wewe anakusaidia nini 😂kichaa ww
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 12 күн бұрын
Hakimu rudisha pesa za fain kwani kamchoma rais au picha wizi ulokithiri tanzania yetu
@TeleziaMwaipopo
@TeleziaMwaipopo 5 күн бұрын
Safii Sana kijana Kwa kumchamba MTU xxxx😅😅😅
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 12 күн бұрын
Uzuri amechangiwa na chenji imebaki amepata na kianzio
@BasiliClement-ql1yg
@BasiliClement-ql1yg 7 күн бұрын
Napenda tu kutoa hongera kwa makanda wenye uchungu na nchi yao mawakili wameonyesha uzalendo juu ya nchi yao na wananchi kiujumla
@Mona-pn2pv
@Mona-pn2pv 2 күн бұрын
Pole watanzania kwaku kosa uhuru wenu mpaka picha piya 😢 Allah awasamehe na viongozi wenu
@barakanyanchama4297
@barakanyanchama4297 6 күн бұрын
Msionee watanzania kwani hiyo picha ariyo choma niayamwenyez Mungu au niyamwanadam
@LeloJonas
@LeloJonas 5 күн бұрын
Hauna adabu kabisa una choma picha ya raisi
@danielkanso
@danielkanso 12 күн бұрын
Hawa watu wameshindwa kutatua mahitaji ya wananchi kazi kufuatilia mambo ya picha si ichorwe tena kwa raisi au ndiyo tuseme raisi amechomwa short mind
@karimmveyange2558
@karimmveyange2558 12 күн бұрын
ASANTENI SANA WASHIRIKA. MBALI KIDOGO. LAKINI UMOJA NI NGUVU, NA MUNGU YUPO PAMOJA NA WENYE KUPAMBANA KWA HAKI
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 12 күн бұрын
Ugumu wa maisha ni kweli jamani kadi kwenye umeme kodi kubwa sana
@jullythedone8615
@jullythedone8615 12 сағат бұрын
Ndyo maana watoto wa wafanya Kaz serikalini hawafanyi vzuri mashulen maana wanavaa na kula Hela za damu
@RajaaRajaa-id5wx
@RajaaRajaa-id5wx 7 күн бұрын
Mm binafsi huyu rais cmpend
@user-lc6te2pe2l
@user-lc6te2pe2l 5 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 12 күн бұрын
Jamani jamani inamaana Samia anahadhi kubwa sana kuliko Muumba watu wanamtukana Muumba mchana kweupe hatujackia hata kufikishwa kwa mjumbe
@user-os8qc7pl1g
@user-os8qc7pl1g 12 күн бұрын
Mama umeshachokwa achiangazi
@KasalamaAlly
@KasalamaAlly Күн бұрын
Huyo muhuni tu kama wahuni wengine chezea Dola we
@leokamil6284
@leokamil6284 12 күн бұрын
Mchanganyiko kiakili maisha magumu wachache wanakula maisha, maumivu ya ndani kwa ndani mpaka mtu anaona liwalo naliwe
@user-vc8cc2pt7n
@user-vc8cc2pt7n 5 күн бұрын
Ndo wajue wananchi wanechoka maisha magum serikari imeka kimya tu watanzania sasa tumechoka
@MsJuniormjunyhandsomeboy
@MsJuniormjunyhandsomeboy 11 күн бұрын
Mubarikiwe sana wapendw
@DormanDorman-jm3dz
@DormanDorman-jm3dz 3 күн бұрын
WAMELIPIA KODI KUPITIA PICHA .😂😂
@AdiaOmari
@AdiaOmari Күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 Duuuh nimejue kuchek Jamani et Kenya t mwachom bunge ss pich t tumepanic Duuuh khataei
@HasanooTozzy
@HasanooTozzy 5 күн бұрын
Mbona kama bado amjamuachia awo jamaa sina imani nao
@zulekhamohamed3431
@zulekhamohamed3431 10 күн бұрын
Watanzania Wana njaa
@MomyMomt
@MomyMomt 3 күн бұрын
Kasema kweli bwana maisha magumu
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 7 күн бұрын
Tupunguze kukata miti na kuchoma mkaa lakini umeme na ges vimeeeeee
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 12 күн бұрын
Una bahati angelikuwa mwamba sa hz ingelikuwa historia
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 12 күн бұрын
Mwamba ndiyo kitu gani? Ni ujinga kusifia ukatili!
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 12 күн бұрын
Nikusifia au huo ndo uhalisia
@CretusMwalongo
@CretusMwalongo 9 күн бұрын
Safi sana,ni uchawa tupu wote huo unao sumbua,yaani achore yeye afu ahukumiwe,mahakama zetu ni shida sana
@DottoMussa-ro6rw
@DottoMussa-ro6rw 9 күн бұрын
hongereni sana watanzania hongereni sana sheria wetu,hamjawah kufeli
@user-py9jj5yr9l
@user-py9jj5yr9l 8 күн бұрын
Kwakweli mungu azidi kuwa barick sana
@AbdalahMtambuka-rh1dp
@AbdalahMtambuka-rh1dp Күн бұрын
nyinyi munao Pinga faini kweni yeye mtuumiwa kufanya vile lengo lake nini sikujiamin na kumzalilisha rais kweni cheo. Cha rais nikikubwa sana ata kama aumpendi. Aina aja umzalilishe kama ingekua Mimi u uyo mtoto ange potea kama walio potea wengine .uyo jeuli kweni nchi Ii yababayako .Mimi mbona magufuli nilikua simpendi ila sikusubutu kumzalilisha nilituza .ishima yake
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 9 күн бұрын
Asante sana kwa kumsaidia huyu kijana.
@msemakweli243
@msemakweli243 10 күн бұрын
Tanzania 🇹🇿 sheria zinawagusa masikini tu mijizi ilitajwa na CAG ipo tu CCM hatari sana kuchoma picha kesi inachukua siku moja na kifungo hapo hapo
@ShaahenAbas
@ShaahenAbas 12 күн бұрын
Mimi niulize kwamba kwanini aliamua kujirikodi kama picha kachora yeye na kaona hana haja nayo kwanini ajirikodi ? Kwanini aongee kwamfumo wa hasira kivile mbona hapo anaonesha mpole kama sio yeye au siku anajirikodi alilewa ? Mipaka ya wanasheria ikoje hata kutete ujinga nakooo ? Kwanini watu wamemtumia hela ili atoke kama hajafanya kosa kwa fikra zao ? Maneno ya atakaye taka kuelewa Jee wee uko tayari kuchorwa ama kupigwa picha na mtu kujitokeza na kuchoma picha yako hadharani na kuitupa hivo jee wanao ndugu jamaa watakuona wee picha yako iliyochomwa ni kama siiichochote wala lolote Jee rais wetu picha yake ya kuchora ama laa kuchomwa moto ni sawa na kwa kejeli ya maneno kama yale ? Akiiachiwa hamuon tatizo litakuwa kubwaa wengine wataiga ujinga zaidi ya huo Kuchomwa picha ya mtu ni sawa na kuchomwa mtu kweli ,kwakuwa picha ni nusu uhalisia wa mtu Kama anatumika kisiasa hatuwezi kuamini ? Jeee mtu akiiba kwako ukakuta picha imeanguka kwa kumfukuza mwizi jeee hatua ya kuanza kumtafuta mwiz utaanzia wapi ? DNA inaonesha damu na mtu husika kwanini isiwe picha pia inaonesha uhalisia wa mtu
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 11 күн бұрын
Wao wanakosea wanaiba pesa za uma wanafanywa nini Hao viongozi mtu anachoma picha kesi mungu ndio mtoa hukumu
@naturelle1097
@naturelle1097 7 күн бұрын
At least huyu sio mnafki
@fotunatusiMsongole
@fotunatusiMsongole 11 күн бұрын
Mungu mlindee na wasiojulikanaa. Mungu anasamehee na wewe samehe
@AmaniLukumay-wk6zm
@AmaniLukumay-wk6zm 6 күн бұрын
Mungu awabariki sana
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 8 күн бұрын
KUMBE HAKUNA USHAHIDI WA KOSA HILO HIZO MILIONI 5 MMELIPA ZA NINI?!
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 12 күн бұрын
Dogo wa Tz tumekuelewa na tumekupenda kwa udogo wako message imefika ila imegusa panapouma tuombe Mungu kwamba hawajakudhuru afya yako.
@MnubiMm
@MnubiMm 12 күн бұрын
Hebu usiwasemee watanzania semea wenzio na wewe Mliofurahi Mama kutukanwa na kuona ni Jambo lafahali na furaha Mama Samia KUTUKANWA mjiandae Mama zenu nao KUTUKANWA au kuzalishwa Kama huyu alivyomfanyia Mama nasi tutafurahi na kuchangia pesa kwa ajili ya sherehe
@monicamwita7865
@monicamwita7865 12 күн бұрын
Anajitambuà huyo kijani.
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 12 күн бұрын
Uchawa unakusumbua wewe sio bure.
@fetyalmas698
@fetyalmas698 11 күн бұрын
Na yeye alisema kbs anachoma kwa sababu Ana mungi, na kweli Mungu kamuona
@willymwaipaja6783
@willymwaipaja6783 12 күн бұрын
Nchi hii naishangaa sana na kwa kweli inakwenda kubaya kwani imeacha maadili ya kwanza ya binadamu na kurukia madili ya kutetea viongozi na haki za binadamu zitokanazo na wazungu waliopotoka. Taasisi zinazoendesha mambo ya ushoga na upinzani dhidi ya maagizo ya Mungu hazichuliwi hatua kali. Ushoga na uinua juu wanawake dhidi ya wanaume ni uovu mkuu kuliko kuchoma picha ya Rais, japokuwa hilo nalo ni vyema. Miziki ya ovyo ipo huru kwenye mabasi na mitaani na kwenye TV; Wasichana na wanawake wanavaa mavazi ya uchi mitaani na maofisini lakini hakuna sheria au hatua zinazochukuliwa!!! Mfumo jike uko kazini duniani kwa matakwa ya shetani akiwatumia wazungu ambao nao hutumia wale wasiopenda kutawaliwa na Neno la Mungu.
@MedsonUlendo
@MedsonUlendo 5 күн бұрын
Wakati fulani wanao haribu taswila ya Rais ni watendaji wake wanao chukulia kila jambo kisiasa ushauri wangu watendaji waserikali kuna jumbe nikuzifanyia kazi kwa kuhojiana nao ili wajue namna yakumshauri Rais kwa faida ya nchi yetu na utawala bora
@wanjiramasau2887
@wanjiramasau2887 12 күн бұрын
Kamchome live
@TeamKRX
@TeamKRX 12 күн бұрын
Jamani soma kommet tungemchoma live kijana mungu akubariki
@stephenwakunyala4004
@stephenwakunyala4004 12 күн бұрын
Dogo yupo freshi mama hatumwelewi kabisha Maisha Magumu
@stevenkatani3047
@stevenkatani3047 11 күн бұрын
Ay mgeeni kichwa hiii serikali xo Kama mzaniavo
@joycefrances4516
@joycefrances4516 8 күн бұрын
Tunaomba huyu kijana arudishiwe pesa zake,afanye mtaji,hali ni ngumu kweli,vitu vimepanda kila mahali
@officialisaiah3979
@officialisaiah3979 9 күн бұрын
Af nikajua syo mtanzania😅 maana ii nchi mazee
@molenicharles9107
@molenicharles9107 12 күн бұрын
Mmemlopia 5mls...je yeye ana sh. ngapi mfukoni yakuanziaa maisha...hatari HAWA ndiyo wasomi wetu wa Sheria tz.☹️☹️
@jkifutu7936
@jkifutu7936 10 күн бұрын
CCM wengi wezi tufanyeni tuitoe mdalakani maisha magumu kweli tena kweli
@fridagustaphmwenda6658
@fridagustaphmwenda6658 10 күн бұрын
Funzo kwa wengine maana kama hali ngumu na hiyo milioni tano je ni ndogo? Tupatiwe Mikopo tufanye biashara tu inatosha.
@kichenjekichenje2072
@kichenjekichenje2072 12 күн бұрын
Hii imewapa picha kuwa watanzania wamechoka,na cku wakiamua ndipo haya majizi yatatuelewa vzr
@monicamwita7865
@monicamwita7865 12 күн бұрын
Sahihi kabisa
@jamalkishangu
@jamalkishangu 5 күн бұрын
Kwa hiyo mtamtuma akamtukane baba yake, mama yake au viongozi wake wa dini? Huyo dogo alikosea Watanzania hatujafika katika hali ya kuwadharau watu wazima achilia mbali kiongozi wa nje
@malimilandegemabunhi8528
@malimilandegemabunhi8528 10 күн бұрын
Kweli hii nchi,usipokuwa makini unawezapelekeshwa Kama kuku,watu wanacheza na media siku hiz,huyo kijana ni askar,wanatuchezea filam tuu yaani ni maigizo tuu,
@DouglasMkude
@DouglasMkude 10 күн бұрын
Itafika kipindi watajua awajui
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 12 күн бұрын
Kama Raisi Samia hataingilia jambo hili na akaliwacha lifanikiwe maanayake Mama kweli kuleta mageuzi ya kidemokrasiya nchini na jakubali hukumu ya mahakama bila ya kujali lolote lile
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 12 күн бұрын
Huyu ndo ameukataa umsukule. Kila mtu awe huru kukataa kufanywa msukule na ccm
@user-wh9zj7kf7h
@user-wh9zj7kf7h 12 күн бұрын
Kachome tena
@RechoMzava-gt7so
@RechoMzava-gt7so 12 күн бұрын
Kwani afungwe amekosea nini kaongea kilicho moyoni mwake na ukweli mtupu maisha ya watanzania ni magumu
@NuhuOmar-wx2ym
@NuhuOmar-wx2ym 12 күн бұрын
@user-lx2yc8tj5h
@user-lx2yc8tj5h 12 күн бұрын
Mwamba
@RashidMohamed-j9p
@RashidMohamed-j9p 10 күн бұрын
Mwenye inch kashaga kuf
@nathanpangjanda2734
@nathanpangjanda2734 12 күн бұрын
Wanyakyusa hao
@user-pv2jh5wb1o
@user-pv2jh5wb1o 12 күн бұрын
Kwani alichoma mchoro au
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale 10 күн бұрын
Kwan kuchoma picha Kuna shida gan Hii nchi some inaendeshwa kidictetaa
@AmaniLukumay-wk6zm
@AmaniLukumay-wk6zm 6 күн бұрын
Amepewa nani
@AbubakariBausi-zd6xf
@AbubakariBausi-zd6xf 9 күн бұрын
Kuna vitu nimejifujza huyu masikini walimsweka ndani wakampa faini ya milioni tano ili akae ndani jumla niwaaambie allha atawaukum nyote makafili madhalim msio na huluma
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 10 күн бұрын
Tafuteni chanzo wananchi tumechoka
@JacksonThobias-wc6ml
@JacksonThobias-wc6ml 8 күн бұрын
Nacho shindwa kuelewa unaelezea sana sisi tunataka tumsikie mtuhumiwa
@BraveMajaliwa-gf7ru
@BraveMajaliwa-gf7ru 10 күн бұрын
TANZANIA 🇹🇿 NDO ILITAKIWA KUANDAMANA KULIKO KENYA 🇰🇪 ILA WAPO KIMYA 😂😂😂
@user-yw7ud9th2l
@user-yw7ud9th2l 11 күн бұрын
Wanalazimisha etiserekari ya awamuyasita izokura. Kupiga nani wemarizia miakairiyobaki ya makufuri raisi. Wawanyonge
@JoshuakaruJoshu-pk3es
@JoshuakaruJoshu-pk3es 10 күн бұрын
Ongera chaura umemshinda shetani ulikuasawa
@mosesmaduhutv7985
@mosesmaduhutv7985 10 күн бұрын
Mtu wa Mungu Mungu huyoooo
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 11 күн бұрын
KUNA MJITU SERIKALINI NA NDANI YA CCM INAJICHOTEA PESA ZA WIZI, UFISADI NA KULAWITI WANAFUNZI CHUONI NA MASHULENI MBONA WAO HAWAFUNGWI WALA KUKAMATWA NA POLISI?
@marthakimia4075
@marthakimia4075 7 күн бұрын
Mnamtania Mungu
@mmungajieanpirre4655
@mmungajieanpirre4655 3 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️💯💯
@user-do2id6pp4g
@user-do2id6pp4g 8 күн бұрын
Ila hii nchi kuna sura ya mapinduzi huko mbele dalili hizi na coment hizi inaonekana watanzania wamechoka kwa kweli
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 12 күн бұрын
Labda alikoseakuchora vizuri
@KamiliLyimo
@KamiliLyimo 12 күн бұрын
Hapo.sawa.
@Oswaldpaulkimario
@Oswaldpaulkimario 11 күн бұрын
Tunaomba wasio julikana sasa watamuwinda achungwe jamani
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 12 күн бұрын
Usirudiye tena tunakupenda Sana wazazi wako akupe mwanzo mzuri
@ramadhaniomary7083
@ramadhaniomary7083 12 күн бұрын
Lazima tuwe na displini na viongozi wew unachoma picha ya kiongozi unamaanisha nini huo ni utovu wa nizam kabisa mtu anafanya hivyo halafu watu wanashangilia hata hao mawakili wakitukanwa lazima wakushtski lakini leo hii mtu anachoma picha ya mkuu wa nchi watu wanafurahi tumuheshimu kiongozi wetu tumtetee na tumlinde kwa nguvu zote huyu Rais ni wakwetu sio wa nchi nyingine tumuheshimu
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 10 күн бұрын
Hii apa tunaita hatakama hujui kusoma na picha huoni
@user-do1ug7de3g
@user-do1ug7de3g 10 күн бұрын
Mie ninashida nitampata wapi mwanasheria kuna mtu amenizurumu shamba
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 40 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 3,4 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 55 МЛН
HII NDIO SABABU CHIEF HANA MKE INATISHA SANA TIZAMA HII
5:08
Chief_Godlove
Рет қаралды 22 М.
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 40 МЛН