Likes za chama,,, Wanayanga tushow love kwa likes za CLATOUS CHOTA CHAMA Like hapa
@eliathomas844619 күн бұрын
Aziz,chama pacome😅Pacome,chama, aziz❤🔥🔥🔥
@MzeewaYanga-hm8jq20 күн бұрын
Like za injinia tunaesabu hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@aishafranco105520 күн бұрын
Tunao tamani ligi ingeanza hata kesho tujuane kwa like 👍
@eliathomas844619 күн бұрын
Bora hata wewe unaiwzia kesho mm nataman yaani ligi ianze leo
@aishafranco105518 күн бұрын
@@eliathomas8446 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@BakariShabani-nf4rz20 күн бұрын
Like za pacome aziz k na chamaa yanga raha sana
@jr_mkumbojr20 күн бұрын
Team yetu ikiwa Avic Town huwa najawa na faraja sana kuliko kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi🎉🎉🎉
@massatujeli315820 күн бұрын
Kabisa even 💚💚
@muddymuzungu435720 күн бұрын
I second you brother
@user-vi7ly9zh1q20 күн бұрын
Yanii😢natamani ningekuwa namm Tanzania niende namm burundi nikaishangilie tim yangu jamani 💚💛💛💚
@muddymuzungu435720 күн бұрын
In Shaa Allah utaenda kaka!
@RACHELATHANASIDAUDI19 күн бұрын
Hakuna umbali siku hizi Kila kitu kiganjani mwako,💚💚💚💛💛🔥🔥🔥
@TausiKitundu20 күн бұрын
leo mimi wakwanza nipeni like zangu
@patridabernard914820 күн бұрын
Mungu ibariki Yanga yetu Mungu wabariki wachezaji wote Amen
@AberyMathias20 күн бұрын
Like zs azz kii mwamba gonga hap mwananchi
@naliakafatuma987020 күн бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana nime furahi kuwaona pamoja kazi njema kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
@user-vq5vn4gi9t20 күн бұрын
Mm mwenyewe kama mwana yanga naomba siku zote team yoyote duniani isidharauliwe, tutakuwa Burundi ❤❤
@AfidhaAlfan20 күн бұрын
Ilove Azizi ki Ilove pacome Ilove chama Ilove young African
@amaniomar175520 күн бұрын
Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
@lwzmangulu753220 күн бұрын
Naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚🙏🔥🇹🇿
@frankfulgence20 күн бұрын
Yanga ni timu kibwa so tutegemeee mazuli 🎉🎉
@bongodata20 күн бұрын
Jamani njooni tuangalie bongo data
@dataduel10020 күн бұрын
nimesubscribe
@foreveryu24720 күн бұрын
nimesubscribe..kazi nzuri
@kinghuojlund-un2nb20 күн бұрын
bongo data kazi nzuriiii
@hectorfunny20 күн бұрын
vizuri data za uhakika
@Maddison-fp3nu20 күн бұрын
noma sana
@johnjames-pw1dp20 күн бұрын
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
@SamwelThomas-d1g15 күн бұрын
And
@MasudiUledi20 күн бұрын
ynga tamu sn❤❤❤❤❤❤❤
@ezrageofrey966820 күн бұрын
💚💚💚💛💛💛
@CHACKRYABDALA20 күн бұрын
Ni kuwapelekea moto tuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@ZarafiAlly20 күн бұрын
Wanaotaman jezi zitoke ata leo tujuane kwa like 👍 hapa
@nickolassimion20 күн бұрын
Kuna wamasai wajuta kushabikia Simba. Ilikuwa usiku wa Giza. Wasema. Like kwa masai mwelewa.
@user-qn8mh2el2d20 күн бұрын
Naikubali sana yanga
@Sumaiyafisoo20 күн бұрын
Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉injinia
@paulhenry625320 күн бұрын
Yanga BINGWA
@martingodfrey710520 күн бұрын
Hawa VITAL O Tutawapiga Bao 10-0 kwa kikosi hiki cha Gamondi 😅 Hakuna cha msamaha kila mechi ni Vita tu uwanjani Uwanjani
@SadikYommary20 күн бұрын
Hawa vitaloo watakula 5-0
@muddymuzungu435720 күн бұрын
Watakufa jumla home and away 7-1
@husseinabdallahmkupulo178420 күн бұрын
Mungu atasimama na ss mpaka final safar hii
@lynhwilbardruckachale420520 күн бұрын
Amina 🙏🙏
@Pox_media20 күн бұрын
KWA LIKOSI HILI LAZIMA YOUNG AFRICANS SC ITIMIZE MALENGO YAKEE MZEEE 🔥🔥🔥
@comfortkitiwi287920 күн бұрын
Naomba matawi ya Mikoani tujuzane center ya kupanga safari ili tuhudhurie.
@godfreysimoni427020 күн бұрын
Tunaimani na timu yetu hakika makundi tunayataka
@EliamgendaMasunga19 күн бұрын
I love you mdasili pakome Ki na yanga yote hakika ninyi mnaikoga mioyo yetu mungu atujaalie mafanikio tere❤❤❤❤
@dannymkogoti96119 күн бұрын
ACP aziz chama pacome mbona wahalifu wite watapiga salute 👮
@sabiyozeissa68920 күн бұрын
mm nimurund nayipend san yang uzalend wakuitwa murund naon utanishind kwakwl
@goldmansun585915 күн бұрын
Hahah
@rajabukamis941120 күн бұрын
Yanga ya moto 🔥🔥
@MasterG-dc1tx19 күн бұрын
I love all member's of young Africans asanteni sana, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@samychomakantastymela717520 күн бұрын
Burundi tuanze mapema maandalizi ya safari watu tutumie hizi siku kujichanga kifedha
@JUU-lw2je20 күн бұрын
Yanga mna maajabu sana kwa kweli mnabiresha safu ya ushambuliaji huku mabeki wa kukaa na diara mnategemea mwamnyeto bacca ni kama mmeshamuuza
@muddymuzungu435720 күн бұрын
Wewe ni KOLO WAHID BACCA ANA DHARURA KAUZWA WAPI??😢
@MosesWilliam-oh8tt20 күн бұрын
Injinia uish miaka mia😊
@aishabakari804020 күн бұрын
Aucho Bacca Musonda Mkude likizo yao inaisha lini 😢
@user-lm6wc8gw3z19 күн бұрын
Mungu ibarikie yanga ushindi hadi fainal cfccl
@filemonkwaja618120 күн бұрын
Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha. Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.
@user-if2yf3gp6k20 күн бұрын
kamer man mbn mud wot kamer kwacham2 kwawachezaj wengin aaaaaah
@Shebe_traLove20 күн бұрын
Naam nina imani natimu yangu pendwa inshallah allah tuta fika mbali
@ezrageofrey966820 күн бұрын
nani nishare naye izi raha dadeki 😁😁😁💛💚💚❤🔥
@malietamaliet20 күн бұрын
😂😂😂jmn Simba aina staa ata mmoja wanazidiwa na Azam Ako fei
@Sumaiyafisoo20 күн бұрын
Aziiz pacome chama🎉🎉🎉🎉
@JANE-jv4eq20 күн бұрын
Sawa semaji letu pendwa 🎉🎉🎉🎉
@AzoryIgnas20 күн бұрын
Kwa kikosi hiki Azz ki pacome na chama ata Mimi nikiwa kocha naipatia matokeo... engineering gamondi akiondoka jicho lako linione
@AbaidiiniNgweti20 күн бұрын
Yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂 mafund wanapiga story wakiwa na furaha
@jamesmartin702620 күн бұрын
Ogopa sana kambi ikiwa na furaha kama hivi 😂
@allymtapera537020 күн бұрын
Nyie mabwege hatuingizi team kama kufungiwa poa
@emmanuelchilimo19 күн бұрын
LIKE ZA ABUYA hapaaaaaa... speed Chita, huku Chadrack kazi wanayooooo mamaeeeee
@GodfreyHenryDaimon-yo6ix20 күн бұрын
Natabasamu2 na vichozi vya furaha😂😂
@AllanAluma-ss8lb20 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko! Yanga for life
@priscairene460520 күн бұрын
Innshahrah
@JadonKuyokwa-oe7mp20 күн бұрын
Wow! Niwakati wa ushindi 🔥🔥🔥🔥
@BangutuErick16 күн бұрын
mungu ibariki yanga daim❤
@massatujeli315820 күн бұрын
Naomba kujua yuko wapi daktari wa timu yule mtunis
@contempo_builders20 күн бұрын
Gamondi hakumhitaji tena. So hakuongezewa mkataba mwingine.
@OkimasterO20 күн бұрын
Burundi 🇧🇮 hakuna team nyingine tunajuwa young africans tu
@salemarahbi917120 күн бұрын
😅😅😅kweli yanga ina sifa sana
@sabrinakassimu20 күн бұрын
huko huko Burundi wata jua Hawa jui🔥🔥🔥
@kateadam820420 күн бұрын
Allah atujaalie tufike mbali ikiwezekana tufike paka final nakubeba kombe Insha Allah na iwe kher Aamin.
@abdulzanzibar715420 күн бұрын
Likes kwenda kwa uwongozi Bora na himara🎉
@5googleuuu72720 күн бұрын
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
@kabujeasukile546220 күн бұрын
Haya mapicha yanatisha wapinzani💚💛💛💚💛
@MRJ130820 күн бұрын
Burundi tunaenda wote
@hamudshabani780120 күн бұрын
Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game
@dkasfilmstudio464120 күн бұрын
Yanga timu yangu Vitalo timu yangu daaah 😢
@ChidySuleiman20 күн бұрын
Kumbe naweza kunenepa sasa walau kimbaumbau mm😊😊😊
@LilyKoba-wx2pj20 күн бұрын
Daaaa nimeskiliza kwa makini sana yani maneno mazuri mfano wa injili naipenda daa yanga mwaaaaaa
@meshacknyandongo57720 күн бұрын
Hapo namkubali mudatiri, mzize na jamaa mmoja wa hatari prince dube fanyeni kazi vijana wetu wa Tanzania sisi tunawapenda sana
@KelvinRobert-mn2mn19 күн бұрын
Kama waipenda yanga weka like 👍
@rehemaothaman48619 күн бұрын
Naipenda sana yanga
@user-qo6bk1zs8m20 күн бұрын
Why mnahanzia hatua za awali mabingwa jamani pole kumbe nyuma mwiko kweli
@NaftalyNgeze19 күн бұрын
mungu nimwanifu yanga 💪🙏💯
@MtashobyaJosia-wt9jq20 күн бұрын
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania tunakupata kwauzuri kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho
@user-hk4hk4gd5x18 күн бұрын
Allah atufanyie wpc
@claratango926220 күн бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@FaridaMhagama-fc1kr20 күн бұрын
naipenda sana yanga
@BraytnessYese-j7h19 күн бұрын
🎉🎉🎉 daima mbele nyumaa mwiko
@AbdulysuleimanShemashilu20 күн бұрын
Ntaaibika sana ngojeni ligi ianze
@kanyeshahigirimana568620 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@AziziKimbeJeradyJR20 күн бұрын
Dream team
@johanesahmed587620 күн бұрын
Yanga yangu naipenda sana
@DamaIbra-gk4lr19 күн бұрын
Tumwombee chama akafanye vzr zaidi
@mwajumampokileomckapela754120 күн бұрын
Waooo chama langu pendwa ✅✅🔰🟢
@KS-iw7qv20 күн бұрын
WACHEZAJI wajitume wajitoleee...... Mara hii TUSISIME MPAKA NUSU FAINALI AU FAINALI...........
@jamaldeenmakenga20 күн бұрын
Yaaniiii, leo nampa like kila mtu 😅
@NasriAshel20 күн бұрын
we are going to be biggest club in Africa
@MauBonde20 күн бұрын
Muhimu wachezaji wote kujituma kupigania nembo yetu ya yanga kila kheri kwa wachezaji wote.
@Fabianfideltz20 күн бұрын
🎉🎉🎉 finally yetu
@ObeidPaul20 күн бұрын
Wanashow love Aziz zizou na treple v💚💚💚💛💛💛
@KennedyJohn-p1i20 күн бұрын
Nipigieni makolo kumi tareh 8
@patrickmallya451620 күн бұрын
my wish: siku moja aziz awe kwenye position ya kufunga kabisa alafu afanye kama anapiga bonge la shuti kumbe anampa dube pasi na dube aingize goli, alooh kwa kasi ya aziz akitishia kama namuona kipa upande wa pili wa goli na dube anafunga kirahiiiiiiiisi.... walah kuna watu watakufa...
@law93king20 күн бұрын
aiseee yanga rahaaa sana
@MourinhoKey19 күн бұрын
Ooogy Aziz key namba 10 chama namba 7 pakome namba 11 wanasimba msimu ujao mtakomaa aseeee duuuh