KAULI YA ALLY KAMWE BAADA YA DROO YA CAFCL KUTOKA | AZIZ KI, CHAMA, PACOME WAANGUA KICHEKO

  Рет қаралды 166,869

Yanga TV

Yanga TV

22 күн бұрын

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #AllyKamwe

Пікірлер: 319
@user-zf1kh1ct5i
@user-zf1kh1ct5i 20 күн бұрын
Likes za chama,,, Wanayanga tushow love kwa likes za CLATOUS CHOTA CHAMA Like hapa
@eliathomas8446
@eliathomas8446 19 күн бұрын
Aziz,chama pacome😅Pacome,chama, aziz❤🔥🔥🔥
@MzeewaYanga-hm8jq
@MzeewaYanga-hm8jq 20 күн бұрын
Like za injinia tunaesabu hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@aishafranco1055
@aishafranco1055 20 күн бұрын
Tunao tamani ligi ingeanza hata kesho tujuane kwa like 👍
@eliathomas8446
@eliathomas8446 19 күн бұрын
Bora hata wewe unaiwzia kesho mm nataman yaani ligi ianze leo
@aishafranco1055
@aishafranco1055 18 күн бұрын
@@eliathomas8446 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@BakariShabani-nf4rz
@BakariShabani-nf4rz 20 күн бұрын
Like za pacome aziz k na chamaa yanga raha sana
@jr_mkumbojr
@jr_mkumbojr 20 күн бұрын
Team yetu ikiwa Avic Town huwa najawa na faraja sana kuliko kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi🎉🎉🎉
@massatujeli3158
@massatujeli3158 20 күн бұрын
Kabisa even 💚💚
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 20 күн бұрын
I second you brother
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 20 күн бұрын
Yanii😢natamani ningekuwa namm Tanzania niende namm burundi nikaishangilie tim yangu jamani 💚💛💛💚
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 20 күн бұрын
In Shaa Allah utaenda kaka!
@RACHELATHANASIDAUDI
@RACHELATHANASIDAUDI 19 күн бұрын
Hakuna umbali siku hizi Kila kitu kiganjani mwako,💚💚💚💛💛🔥🔥🔥
@TausiKitundu
@TausiKitundu 20 күн бұрын
leo mimi wakwanza nipeni like zangu
@patridabernard9148
@patridabernard9148 20 күн бұрын
Mungu ibariki Yanga yetu Mungu wabariki wachezaji wote Amen
@AberyMathias
@AberyMathias 20 күн бұрын
Like zs azz kii mwamba gonga hap mwananchi
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 20 күн бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana nime furahi kuwaona pamoja kazi njema kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
@user-vq5vn4gi9t
@user-vq5vn4gi9t 20 күн бұрын
Mm mwenyewe kama mwana yanga naomba siku zote team yoyote duniani isidharauliwe, tutakuwa Burundi ❤❤
@AfidhaAlfan
@AfidhaAlfan 20 күн бұрын
Ilove Azizi ki Ilove pacome Ilove chama Ilove young African
@amaniomar1755
@amaniomar1755 20 күн бұрын
Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
@lwzmangulu7532
@lwzmangulu7532 20 күн бұрын
Naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚🙏🔥🇹🇿
@frankfulgence
@frankfulgence 20 күн бұрын
Yanga ni timu kibwa so tutegemeee mazuli 🎉🎉
@bongodata
@bongodata 20 күн бұрын
Jamani njooni tuangalie bongo data
@dataduel100
@dataduel100 20 күн бұрын
nimesubscribe
@foreveryu247
@foreveryu247 20 күн бұрын
nimesubscribe..kazi nzuri
@kinghuojlund-un2nb
@kinghuojlund-un2nb 20 күн бұрын
bongo data kazi nzuriiii
@hectorfunny
@hectorfunny 20 күн бұрын
vizuri data za uhakika
@Maddison-fp3nu
@Maddison-fp3nu 20 күн бұрын
noma sana
@johnjames-pw1dp
@johnjames-pw1dp 20 күн бұрын
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
@SamwelThomas-d1g
@SamwelThomas-d1g 15 күн бұрын
And
@MasudiUledi
@MasudiUledi 20 күн бұрын
ynga tamu sn❤❤❤❤❤❤❤
@ezrageofrey9668
@ezrageofrey9668 20 күн бұрын
💚💚💚💛💛💛
@CHACKRYABDALA
@CHACKRYABDALA 20 күн бұрын
Ni kuwapelekea moto tuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@ZarafiAlly
@ZarafiAlly 20 күн бұрын
Wanaotaman jezi zitoke ata leo tujuane kwa like 👍 hapa
@nickolassimion
@nickolassimion 20 күн бұрын
Kuna wamasai wajuta kushabikia Simba. Ilikuwa usiku wa Giza. Wasema. Like kwa masai mwelewa.
@user-qn8mh2el2d
@user-qn8mh2el2d 20 күн бұрын
Naikubali sana yanga
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 20 күн бұрын
Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉injinia
@paulhenry6253
@paulhenry6253 20 күн бұрын
Yanga BINGWA
@martingodfrey7105
@martingodfrey7105 20 күн бұрын
Hawa VITAL O Tutawapiga Bao 10-0 kwa kikosi hiki cha Gamondi 😅 Hakuna cha msamaha kila mechi ni Vita tu uwanjani Uwanjani
@SadikYommary
@SadikYommary 20 күн бұрын
Hawa vitaloo watakula 5-0
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 20 күн бұрын
Watakufa jumla home and away 7-1
@husseinabdallahmkupulo1784
@husseinabdallahmkupulo1784 20 күн бұрын
Mungu atasimama na ss mpaka final safar hii
@lynhwilbardruckachale4205
@lynhwilbardruckachale4205 20 күн бұрын
Amina 🙏🙏
@Pox_media
@Pox_media 20 күн бұрын
KWA LIKOSI HILI LAZIMA YOUNG AFRICANS SC ITIMIZE MALENGO YAKEE MZEEE 🔥🔥🔥
@comfortkitiwi2879
@comfortkitiwi2879 20 күн бұрын
Naomba matawi ya Mikoani tujuzane center ya kupanga safari ili tuhudhurie.
@godfreysimoni4270
@godfreysimoni4270 20 күн бұрын
Tunaimani na timu yetu hakika makundi tunayataka
@EliamgendaMasunga
@EliamgendaMasunga 19 күн бұрын
I love you mdasili pakome Ki na yanga yote hakika ninyi mnaikoga mioyo yetu mungu atujaalie mafanikio tere❤❤❤❤
@dannymkogoti961
@dannymkogoti961 19 күн бұрын
ACP aziz chama pacome mbona wahalifu wite watapiga salute 👮
@sabiyozeissa689
@sabiyozeissa689 20 күн бұрын
mm nimurund nayipend san yang uzalend wakuitwa murund naon utanishind kwakwl
@goldmansun5859
@goldmansun5859 15 күн бұрын
Hahah
@rajabukamis9411
@rajabukamis9411 20 күн бұрын
Yanga ya moto 🔥🔥
@MasterG-dc1tx
@MasterG-dc1tx 19 күн бұрын
I love all member's of young Africans asanteni sana, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@samychomakantastymela7175
@samychomakantastymela7175 20 күн бұрын
Burundi tuanze mapema maandalizi ya safari watu tutumie hizi siku kujichanga kifedha
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je 20 күн бұрын
Yanga mna maajabu sana kwa kweli mnabiresha safu ya ushambuliaji huku mabeki wa kukaa na diara mnategemea mwamnyeto bacca ni kama mmeshamuuza
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 20 күн бұрын
Wewe ni KOLO WAHID BACCA ANA DHARURA KAUZWA WAPI??😢
@MosesWilliam-oh8tt
@MosesWilliam-oh8tt 20 күн бұрын
Injinia uish miaka mia😊
@aishabakari8040
@aishabakari8040 20 күн бұрын
Aucho Bacca Musonda Mkude likizo yao inaisha lini 😢
@user-lm6wc8gw3z
@user-lm6wc8gw3z 19 күн бұрын
Mungu ibarikie yanga ushindi hadi fainal cfccl
@filemonkwaja6181
@filemonkwaja6181 20 күн бұрын
Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha. Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.
@user-if2yf3gp6k
@user-if2yf3gp6k 20 күн бұрын
kamer man mbn mud wot kamer kwacham2 kwawachezaj wengin aaaaaah
@Shebe_traLove
@Shebe_traLove 20 күн бұрын
Naam nina imani natimu yangu pendwa inshallah allah tuta fika mbali
@ezrageofrey9668
@ezrageofrey9668 20 күн бұрын
nani nishare naye izi raha dadeki 😁😁😁💛💚💚❤‍🔥
@malietamaliet
@malietamaliet 20 күн бұрын
😂😂😂jmn Simba aina staa ata mmoja wanazidiwa na Azam Ako fei
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 20 күн бұрын
Aziiz pacome chama🎉🎉🎉🎉
@JANE-jv4eq
@JANE-jv4eq 20 күн бұрын
Sawa semaji letu pendwa 🎉🎉🎉🎉
@AzoryIgnas
@AzoryIgnas 20 күн бұрын
Kwa kikosi hiki Azz ki pacome na chama ata Mimi nikiwa kocha naipatia matokeo... engineering gamondi akiondoka jicho lako linione
@AbaidiiniNgweti
@AbaidiiniNgweti 20 күн бұрын
Yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂 mafund wanapiga story wakiwa na furaha
@jamesmartin7026
@jamesmartin7026 20 күн бұрын
Ogopa sana kambi ikiwa na furaha kama hivi 😂
@allymtapera5370
@allymtapera5370 20 күн бұрын
Nyie mabwege hatuingizi team kama kufungiwa poa
@emmanuelchilimo
@emmanuelchilimo 19 күн бұрын
LIKE ZA ABUYA hapaaaaaa... speed Chita, huku Chadrack kazi wanayooooo mamaeeeee
@GodfreyHenryDaimon-yo6ix
@GodfreyHenryDaimon-yo6ix 20 күн бұрын
Natabasamu2 na vichozi vya furaha😂😂
@AllanAluma-ss8lb
@AllanAluma-ss8lb 20 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko! Yanga for life
@priscairene4605
@priscairene4605 20 күн бұрын
Innshahrah
@JadonKuyokwa-oe7mp
@JadonKuyokwa-oe7mp 20 күн бұрын
Wow! Niwakati wa ushindi 🔥🔥🔥🔥
@BangutuErick
@BangutuErick 16 күн бұрын
mungu ibariki yanga daim❤
@massatujeli3158
@massatujeli3158 20 күн бұрын
Naomba kujua yuko wapi daktari wa timu yule mtunis
@contempo_builders
@contempo_builders 20 күн бұрын
Gamondi hakumhitaji tena. So hakuongezewa mkataba mwingine.
@OkimasterO
@OkimasterO 20 күн бұрын
Burundi 🇧🇮 hakuna team nyingine tunajuwa young africans tu
@salemarahbi9171
@salemarahbi9171 20 күн бұрын
😅😅😅kweli yanga ina sifa sana
@sabrinakassimu
@sabrinakassimu 20 күн бұрын
huko huko Burundi wata jua Hawa jui🔥🔥🔥
@kateadam8204
@kateadam8204 20 күн бұрын
Allah atujaalie tufike mbali ikiwezekana tufike paka final nakubeba kombe Insha Allah na iwe kher Aamin.
@abdulzanzibar7154
@abdulzanzibar7154 20 күн бұрын
Likes kwenda kwa uwongozi Bora na himara🎉
@5googleuuu727
@5googleuuu727 20 күн бұрын
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 20 күн бұрын
Haya mapicha yanatisha wapinzani💚💛💛💚💛
@MRJ1308
@MRJ1308 20 күн бұрын
Burundi tunaenda wote
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 20 күн бұрын
Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game
@dkasfilmstudio4641
@dkasfilmstudio4641 20 күн бұрын
Yanga timu yangu Vitalo timu yangu daaah 😢
@ChidySuleiman
@ChidySuleiman 20 күн бұрын
Kumbe naweza kunenepa sasa walau kimbaumbau mm😊😊😊
@LilyKoba-wx2pj
@LilyKoba-wx2pj 20 күн бұрын
Daaaa nimeskiliza kwa makini sana yani maneno mazuri mfano wa injili naipenda daa yanga mwaaaaaa
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 20 күн бұрын
Hapo namkubali mudatiri, mzize na jamaa mmoja wa hatari prince dube fanyeni kazi vijana wetu wa Tanzania sisi tunawapenda sana
@KelvinRobert-mn2mn
@KelvinRobert-mn2mn 19 күн бұрын
Kama waipenda yanga weka like 👍
@rehemaothaman486
@rehemaothaman486 19 күн бұрын
Naipenda sana yanga
@user-qo6bk1zs8m
@user-qo6bk1zs8m 20 күн бұрын
Why mnahanzia hatua za awali mabingwa jamani pole kumbe nyuma mwiko kweli
@NaftalyNgeze
@NaftalyNgeze 19 күн бұрын
mungu nimwanifu yanga 💪🙏💯
@MtashobyaJosia-wt9jq
@MtashobyaJosia-wt9jq 20 күн бұрын
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania tunakupata kwauzuri kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho
@user-hk4hk4gd5x
@user-hk4hk4gd5x 18 күн бұрын
Allah atufanyie wpc
@claratango9262
@claratango9262 20 күн бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@FaridaMhagama-fc1kr
@FaridaMhagama-fc1kr 20 күн бұрын
naipenda sana yanga
@BraytnessYese-j7h
@BraytnessYese-j7h 19 күн бұрын
🎉🎉🎉 daima mbele nyumaa mwiko
@AbdulysuleimanShemashilu
@AbdulysuleimanShemashilu 20 күн бұрын
Ntaaibika sana ngojeni ligi ianze
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 20 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@AziziKimbeJeradyJR
@AziziKimbeJeradyJR 20 күн бұрын
Dream team
@johanesahmed5876
@johanesahmed5876 20 күн бұрын
Yanga yangu naipenda sana
@DamaIbra-gk4lr
@DamaIbra-gk4lr 19 күн бұрын
Tumwombee chama akafanye vzr zaidi
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 20 күн бұрын
Waooo chama langu pendwa ✅✅🔰🟢
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 20 күн бұрын
WACHEZAJI wajitume wajitoleee...... Mara hii TUSISIME MPAKA NUSU FAINALI AU FAINALI...........
@jamaldeenmakenga
@jamaldeenmakenga 20 күн бұрын
Yaaniiii, leo nampa like kila mtu 😅
@NasriAshel
@NasriAshel 20 күн бұрын
we are going to be biggest club in Africa
@MauBonde
@MauBonde 20 күн бұрын
Muhimu wachezaji wote kujituma kupigania nembo yetu ya yanga kila kheri kwa wachezaji wote.
@Fabianfideltz
@Fabianfideltz 20 күн бұрын
🎉🎉🎉 finally yetu
@ObeidPaul
@ObeidPaul 20 күн бұрын
Wanashow love Aziz zizou na treple v💚💚💚💛💛💛
@KennedyJohn-p1i
@KennedyJohn-p1i 20 күн бұрын
Nipigieni makolo kumi tareh 8
@patrickmallya4516
@patrickmallya4516 20 күн бұрын
my wish: siku moja aziz awe kwenye position ya kufunga kabisa alafu afanye kama anapiga bonge la shuti kumbe anampa dube pasi na dube aingize goli, alooh kwa kasi ya aziz akitishia kama namuona kipa upande wa pili wa goli na dube anafunga kirahiiiiiiiisi.... walah kuna watu watakufa...
@law93king
@law93king 20 күн бұрын
aiseee yanga rahaaa sana
@MourinhoKey
@MourinhoKey 19 күн бұрын
Ooogy Aziz key namba 10 chama namba 7 pakome namba 11 wanasimba msimu ujao mtakomaa aseeee duuuh
@Abdul-jj6lq
@Abdul-jj6lq 19 күн бұрын
Mola atatusimamia na tutapata ushindi inshaallah
@fihirishemaadihussein6124
@fihirishemaadihussein6124 20 күн бұрын
Yanga oyeeeeee
@saidifaraji9743
@saidifaraji9743 19 күн бұрын
Mambo ni fire 🔥
@CHACKRYABDALA
@CHACKRYABDALA 20 күн бұрын
Ni zaidi ya matokeo
@AbdallahMussa-zl3wx
@AbdallahMussa-zl3wx 20 күн бұрын
Wananchiii🎉🎉🎉🎉
@lelasule2608
@lelasule2608 20 күн бұрын
💚💚💛💛
SIMBA WASHUSHA MASHINE MPYA KININJA| MZEE WA KUDERE ASHTUKA
8:50
Maximum Tv Online
Рет қаралды 19 М.
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 7 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
Kaizer Chiefs vs Young africans Toyota Cup Highlights (0-4)
9:21
HOME OF DISKI
Рет қаралды 284 М.
SESEME AFUNGUKA KUIFATA YANGA SOUTH AFRICA KESHO
2:57
KARIAKOO CONGO TV
Рет қаралды 416
Magoli yote 21 ya Aziz Ki NBC Premier League 2023/24
13:07
Azam TV
Рет қаралды 142 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /22/ #love
38:39
BabaJoan
Рет қаралды 113 М.
Сын Роналду чуть не облысел 🤯
0:28
Спортивные Моменты
Рет қаралды 588 М.
Зачем этот скейтер делает сальто Без Ног?
0:27
Помог получить медаль
0:17
Новостной Гусь
Рет қаралды 2,7 МЛН