AHSANTE KWA KUTAZAMA KAYUNI TV, TAFADHALI SHARE VIDEO HII KWA RAFIKI ZAKO. TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YOTE YA KIJAMII KWA JINA LA @KayuniTV
Пікірлер: 6
@yohanamsongole6489 Жыл бұрын
Mukuwawilaya hatufai
@josephalois8002 Жыл бұрын
Ifanyeni iwe parking tuu ya malori sio standi kwa standi imekaa kushoto sana
@tamashamoja543 Жыл бұрын
Naunga mkono hoja ya mtoa hoja
@fecundland590 Жыл бұрын
Kwakweli wananchi tunateseka ili suala..
@stephanokanyika6321 Жыл бұрын
Hii imekuwa kero sana wa heshimiwa hilo naombeni mjadili swala hili kiundani zaidi bila kujali masilahi yenu hayo
@fidelismwakanyamale6787 Жыл бұрын
Hawa madiwani wakiwa chadema walitowa ushirikiano kwa serikali. Hapa wanasema awajuwi kama stand imefunguliwa na wanasema stand ya mpemba na serikali wanasema stand ya mji wa Tunduma. Naona awa madiwani awajuwi wao ni wa wapi? Inabidi kwanza wapewe semina wajuwe wawo ni wa wapi na wapo kwaajiri ya mini vinginevyo tutachelewa sana kupata maendeleo.