Рет қаралды 42,919
Maswali yaibuka kuhusu je ni asali au shubiri kwa viongozi wa upinzani waliopendekezwa kuendesha wizara mbali mbali zilizo na ahadi kuu za serikali ya kenya kwanza. Wizara ambazo kwa wengi zinaonekana kuwa na changamoto kuu na kuwa chanzo cha lindi la maandamano linalogubika taifa kwa sasa. Melita oletenges anaarifu zaidi kuhusu mawaziri wateule wapya kutoka odm waliopewa kibarua cha kuangazia madeni ya taifa, hazina ya hasla, nguvu za umeme na hata biashara ndogo