Shinikizo za waziri Muturi kujiuzu zachacha

  Рет қаралды 18,052

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Shinikizo zaidi zimeendelea kumtaka waziri wa utumishi wa umma Justin Muturi kujiuzulu kufuatia msimamo wake kuhusu serikali na utekaji nyara. Waziri wa mazingira Aden Duale na baadhi ya viongozi wa UDA wakisema matamshi ya waziri Muturi yanadunisha serikali anayotumikia. Matamshi haya yanajiri siku moja baada ya waziri Muturi hapo jana aliendeleza shutuma zake, akimtaka Rais William Ruto kukomesha visa vya utekaji nyara

Пікірлер: 94
@iduabsura4959
@iduabsura4959 6 күн бұрын
It's better to have that one genuine colleague than many who sugar coat the truth
@rihkaa6289
@rihkaa6289 6 күн бұрын
Duale was ones a great leader who we looked up to💔,he stood with humanity no matter what, but today he's fighting those who are fighting for humanity😢..
@stanleykariuki4850
@stanleykariuki4850 6 күн бұрын
Muturi chapa kazi Kenyans are behind you
@johnwaragah8010
@johnwaragah8010 6 күн бұрын
Muturi kali kiti vizuri
@panafrican.nation
@panafrican.nation 6 күн бұрын
Muturi alisema eti Ruto alimfunza kutojiuzulu. Eti Ruto alivuruga serikali miaka mitano lakini hakujiuzulu
@BKBUNDiS28
@BKBUNDiS28 6 күн бұрын
What Muturi is saying it's " Just fire me Mr President"😅
@cazaofGod
@cazaofGod 6 күн бұрын
Anakulia Wapi? He is not eating government money but .. the taxi payers pay him and he is fighting for those tax payers who can't fight for themselves. In fact muturi is the only one getting a salary that is genuine if they are paying him at all. Keep going CS, are all behind you.
@januariffsammy1149
@januariffsammy1149 6 күн бұрын
Muturi is the true friend of Ruto ,all others are psychopants and choir members.
@phineasmuturi4819
@phineasmuturi4819 6 күн бұрын
uyu wariah 'apeleke' iyo kiremba uko mugadishu
@uniqueuniformsunique9107
@uniqueuniformsunique9107 6 күн бұрын
Muturi don't resign,Baba ukosoa watoto wakikosea
@allanosemo3826
@allanosemo3826 6 күн бұрын
Muturi kalia kiti na ukweli
@bartsebandwari5365
@bartsebandwari5365 6 күн бұрын
Ukweli wauma
@nasra9540
@nasra9540 6 күн бұрын
Ati kukulia tabia njaaa
@KennedyChumahchumah
@KennedyChumahchumah 6 күн бұрын
Kazi poa wa muturi
@puritymugo8153
@puritymugo8153 6 күн бұрын
Kalia hio kiti na matako yote mbili, don't resign, kwani kiti ni ya mamake
@yuniterogero47
@yuniterogero47 6 күн бұрын
Don't resign muturi. Wait you be sacked
@gilbertngeno7176
@gilbertngeno7176 6 күн бұрын
Duale is not okay somewhere ,Muturi ako sawa finyana na hawa wakora ,we as Kenyans we are with you Muturi
@kevinmongare4644
@kevinmongare4644 6 күн бұрын
Duale u are drunk wt power.can u do ur work.u always ave theright to express urself.
@SheeMaryam.M
@SheeMaryam.M 6 күн бұрын
Praise and worship team😂😂 Ukweli na RUTO can't be the same statement
@michaelmatu-sb1js
@michaelmatu-sb1js 6 күн бұрын
I hope we are not being taken for a ride here😂😂reading deep between the line
@anneambwere
@anneambwere 6 күн бұрын
Duale rudi Somalia and leave our son Muturi alone.
@mahmoodsalim7334
@mahmoodsalim7334 6 күн бұрын
Wasomali tuko hapa milele , mwanzo ni wakati wetu wa kutawala
@LydiaMasash
@LydiaMasash 6 күн бұрын
Ingekua ni WA Somali wameuliwa dwale ungeongea hivyo
@FrederickNzimbi
@FrederickNzimbi 6 күн бұрын
Infact the Wajir MCA was killed n Duale chose to be quiet to secure his tenure;.Muturi is a hero
@AbcdEfgh-wd1wu
@AbcdEfgh-wd1wu 6 күн бұрын
Leave Muturi in peace🎉
@BrianIsaa
@BrianIsaa 6 күн бұрын
Those wondering why Muturi has not resigned should instead ask Ruto why he himself didn't resign when he fell foul with Uhuru. These noise makers should instead of shouting all over go a head and ask Ruto to sack Muturi since it is the prerogative of the president to retain or dismiss cabinet secretaries
@anneambwere
@anneambwere 6 күн бұрын
Serikali anakulia😮
@peterkoinange1904
@peterkoinange1904 6 күн бұрын
Sasa kama unatumikia serikali,unyamaze ata kwenye imefanya makosa. Ama huyo duale anabweka anasema nn.
@veeC580
@veeC580 6 күн бұрын
Mbona aresign ..lootall hakuresign miaka tatu alishida akipiga government. Muturi kwama hapo Awa let them fire you which will bring a bad look
@flavourboyke
@flavourboyke 6 күн бұрын
So mtu akisema ukweli anafaa kujihuzulu😂😂
@thragg00
@thragg00 6 күн бұрын
This could have been a phone call or a zoom call. Why are these people so obsessed with microphones and addressing personal issues publicly?
@shadrackkabira5618
@shadrackkabira5618 6 күн бұрын
duale kumbavu kwani siniukweli anasema takataka wewe nyinyi ndio mnaua vinja hawana hatia
@EricMuema-ko4od
@EricMuema-ko4od 6 күн бұрын
Mr muturi usianguke hapo
@PeterMuyembe
@PeterMuyembe 6 күн бұрын
Muturi hana makosa, ni serikali ndio iko na shida kwa mambo ya abductions.
@joelthuo-y4r
@joelthuo-y4r 6 күн бұрын
Wenye bado wako kwa serikali na hawamwambii muturi ajiuzuru,wako na akili ya kufikiria anasema nini
@jefwafikirini
@jefwafikirini 6 күн бұрын
Utajiuzulu aje mwanaume
@patrickkatana8823
@patrickkatana8823 6 күн бұрын
Ukianza kutetea wananchi, nikama utakuwa umeshuka duniani kutoka mbinguni 😂 wengine wanakuona mwasi.. Aki hii kenya
@yussufahmed136
@yussufahmed136 6 күн бұрын
Kama mnaogopa rais kuambia yeye ukweli funguni mdomo rais ambiwe ukweli kuhusu abduction kwani rais ni mungu hawezi eleza yeye kitu bure kabisa
@thomasmarende2445
@thomasmarende2445 6 күн бұрын
Ruto himself has the power to dismiss J muturi. JB Muturi you shouldn't re-sign coz is the sign of coward.l ,you,Rigg G ,Cleophas Malala atc we voted for this government. But beneficiaries are Atwoli,Makarina,raila atc
@joshuawhite2474
@joshuawhite2474 6 күн бұрын
Stand for the truth and you will always stand alone . Fight for the truth muturi they will fight you but we will stand with you
@KakaMosh.-xw7tg
@KakaMosh.-xw7tg 6 күн бұрын
Ruto alilima serikali ya Uhuru bila ya kujiuzulu. Muturi ashikilie papo-hapo
@JoshuaShole-wl2zm
@JoshuaShole-wl2zm 6 күн бұрын
Washenzi sana
@alexanderarula4557
@alexanderarula4557 6 күн бұрын
Na nyinyi mwache kua vijana wakenya kama mumeshidwa na kazi ya usalamu simijiuzulu kwasababu mmeshidwa kutuhudumia sisi walipa ushuru ...mturi kalian hio kiti .
@jefwafikirini
@jefwafikirini 6 күн бұрын
Ata ruto alikakataa kujiuzulu si ruto ako na nguvu amfute kaz coz nyinyi hamtak kuambiwa ukwel
@ogerajoshua104
@ogerajoshua104 6 күн бұрын
Muturi is right ,,, Duale stop defending abductions and killings,, your child can also be abducted
@ondeyojeremiah4960
@ondeyojeremiah4960 6 күн бұрын
Mm nauliza tu si Kwa ubaya,,Somali hawana viongozi wengine apart from huyu Na Farah 🤔🤔every time they speak I feel vomiting
@AbdirahmanHussein-f2n
@AbdirahmanHussein-f2n 6 күн бұрын
Wamefanya nini si wako kaziinii bamba tu bamba
@rihkaa6289
@rihkaa6289 6 күн бұрын
If he resigns it will make things worse,ruto should heed on muturi's word and end abduction and this time he should be serious about it,,
@johnmwaura1960
@johnmwaura1960 6 күн бұрын
Takataka
@bensonobino9479
@bensonobino9479 6 күн бұрын
Flower girls
@josephmwangiadjai7166
@josephmwangiadjai7166 6 күн бұрын
How does that help the people your addressing?? shenzi nyinyi
@jmirush3200
@jmirush3200 6 күн бұрын
Muturi please simamia hapo hapo!!! These people are normalizing killing of innocent people!
@binmw8963
@binmw8963 6 күн бұрын
Aka kasomali nikimbelembele condemned killing gnz wacha umama malaya ya ruto wewe
@cosmustitus4468
@cosmustitus4468 6 күн бұрын
Hatoki
@martinmwangi4959
@martinmwangi4959 6 күн бұрын
Yanadunisha serikali? So its fair for abducrions and killings? The govt has the responsibility of protecting citizens
@KakaMosh.-xw7tg
@KakaMosh.-xw7tg 6 күн бұрын
Kwani Duale amefika mashinani kuongea maendeleo ama ku-Lauch CS Muturi???
@ibraa1157
@ibraa1157 6 күн бұрын
Wewe kwani hauna watoto hauna wazazi
@HillaryKoech-pk2se
@HillaryKoech-pk2se 6 күн бұрын
Kachaqwa mole must Go like yesterday
@kephazowaga636
@kephazowaga636 6 күн бұрын
No mole hpo Wacha ukweli usemwe
@febeviemagloriousmedia1541
@febeviemagloriousmedia1541 6 күн бұрын
Nothing else can come out of your mouth apart from a foul smell of rotten words😅😅😅
@HillaryKoech-pk2se
@HillaryKoech-pk2se 6 күн бұрын
@febeviemagloriousmedia1541 your second biggest problem apart from Kikuyuism is your allergy to the truth... muturi atatembea very soon
@ericmaina1012
@ericmaina1012 6 күн бұрын
Hawa ndio wajinga tunasema. Nyinyi wote ni wafanyakazi wetu. Hatuongei juu yenu twaongea juu yetu waajiri kutekwa nyara na waajiriwa.
@jjclara668
@jjclara668 6 күн бұрын
U all cabinet secretsries should resign about the ABDUCTIONS
@paulnjoro667
@paulnjoro667 6 күн бұрын
Duale has become useless Mouth piece CS,he should be working to stop killings instead of politics as usual.
@onthelatestnews
@onthelatestnews 6 күн бұрын
Somebody tell this hypocrite to shut up and leave muturi alone. Wajinga hawapendi ukweli
@JijoSawen-v6b
@JijoSawen-v6b 6 күн бұрын
😂 saying the truth is the biggest mistake you can do in kassongo's govt.a govt full of insanities
@johnw2151
@johnw2151 6 күн бұрын
You guyz dont want justin to talk about abductions? Shame on you...
@DannyGitau
@DannyGitau 6 күн бұрын
Kwani hufai kuongea juu unafanya ruuuto kazi
@ngugi-
@ngugi- 6 күн бұрын
What do you mean kukulia?
@jjclara668
@jjclara668 6 күн бұрын
Instead of asking about Abductions tgey still think its business as usual ..do tgey have kids???
@barnabaskyalokyalo227
@barnabaskyalokyalo227 6 күн бұрын
You mean once you are cs in this government you should not contempt any wrong doing by the government? Or else leave your own family for the sake of serving the government.....that's absurd!! Muturi live long.
@kimglobalmedics9025
@kimglobalmedics9025 6 күн бұрын
Its fair muturi wasn't elected to serve interest of government but as a public service cs . condemning abduction and recent killings prove his know on public service.we can't hid from truth that calls us in our respective offices.
@NELSONMUKABWA
@NELSONMUKABWA 6 күн бұрын
Hii oria inasema nini na huku si somalia
@AbdirahmanHussein-f2n
@AbdirahmanHussein-f2n 6 күн бұрын
Pia wewe hatarere huko si congo forest
@NELSONMUKABWA
@NELSONMUKABWA 6 күн бұрын
@AbdirahmanHussein-f2n hakuna waluya congo,oria wako somalia
@joshuaakwenga9110
@joshuaakwenga9110 6 күн бұрын
Y didn't u tell dp Ruto to resign during Uhuru regime, y now force Muturi to resign when u captain complained against the Jubilee Regime n didn't resign. Let Muturi critize ur government internally the way the now president Ruto did. Tuwache double standards
@cosmustitus4468
@cosmustitus4468 6 күн бұрын
Wewe enda Somalia uko ndio nyumbani
@AbdirahmanHussein-f2n
@AbdirahmanHussein-f2n 6 күн бұрын
Yeye huko nyumbani
@fidelis-yip
@fidelis-yip 6 күн бұрын
If you can't protect and respect rights of your fellow kenyans,then what were you elected for?
@BenjaminKimanzi-t8l
@BenjaminKimanzi-t8l 6 күн бұрын
Kukulia nini shetani wewe,anyamaze watu wakiuliwa kwani hautumii akili
@richardmusili6799
@richardmusili6799 6 күн бұрын
In short he saying fire me Mr president
@samsonmuisyo6990
@samsonmuisyo6990 6 күн бұрын
Let him resign. Kenyans know him for nothing.. He has contributed nothing.
@KyaloSengani-ou2hl
@KyaloSengani-ou2hl 6 күн бұрын
Wakamba wenzako wanauliwa na unaogea hivyo
@febeviemagloriousmedia1541
@febeviemagloriousmedia1541 6 күн бұрын
Don’t put Kenyans there he is speaking for us
@derickprince8991
@derickprince8991 6 күн бұрын
You are very useless idiot
@agathawanjiku6919
@agathawanjiku6919 6 күн бұрын
Huyu si ni blogger wa Ruto to to neutralize things here we are not fools
@SheilahJrutto
@SheilahJrutto 6 күн бұрын
Ukweli wauma
Gachagua: Tutashinda Rais Ruto na kura milioni 6
4:24
NTV Kenya
Рет қаралды 113 М.
Rais Ruto na Peter Salasya warushiana cheche za maneno
3:27
NTV Kenya
Рет қаралды 463 М.
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
Rigathi Gachagua asema rais Ruto alitaka kumhonga na Ksh. 2B
2:55
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 54 М.
Wakenya kwenye miradi ya Marekani wakosa kazi
3:37
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 39 М.
President Ruto gobbles Ksh. 500 million in State House renovation
6:45
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 110 М.
President Ruto's "Story za jaba'
7:05
KTN News Kenya
Рет қаралды 992 М.
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН