Daah watu mko faster sana 😂😂😂😂bc nipen hata mbili tu hizo like
@Dontatv2558 ай бұрын
😂 Thanks for watching
@gladwellmusungu74097 ай бұрын
@@Dontatv255 part 5 mbona sipati????
@zieeppiemorara8478 ай бұрын
Yaani bila kelvin aisee❤❤❤unaigiza vyema kaka.....anayekubaliana na mimi likes kadhaa jamani🇰🇪🇰🇪
@ibrahimwario31778 ай бұрын
Much lv from 🇰🇪 2ko wengi hpo donta tv.na bongo kwa jumla, manze kunami ni mmoja wpo wa kamati ya roho chafu vpy unatoa.m2 kutoka kijijini alafu hatakula unamnyima akipewa na jirani bdo ni tatizo.
@LoiceMwaringa8 ай бұрын
Daah sina usemi yani nimechelewa sana ok sawa lakini pia naomba hata like tano namimi nijivunie kama shabiki wa donta❤
@KeaRashidi8 ай бұрын
Xawa uxjal❤❤❤🎉
@BahatiMasanja-mj6ue8 ай бұрын
Big up Donta Family ,kelvin with ur group keep it up brothers and sisters ❤❤
@zamdajux7 ай бұрын
Dah nimechelewa bc naombeni hata like ha tatu jamana nawapenda sana
@AbigaeliphiliphoChacha8 ай бұрын
Kaka kelvin unakipaji kikubwa sana MUNGU akutie nguvu ww ni kanumba ajae hii tasnia inakuhitaji sana pambna your the best actor
@GladysWandera-j7v8 ай бұрын
Jamani huu wimbo wa kesho yangu jamani Kevin ninaupenda nitaupataje ni wimbo poa sana .watching from Kenya.❤❤❤❤❤❤much love Kelvin and your team congra😂😂😂
@manaxelukama29266 ай бұрын
Dah kelvin one of the best unajua kuingiza kaka 🙏🙏🔥🔥🔥
@mslaysauti8 ай бұрын
Wakwanza ni Mimi nipeni like ata kumi ❤❤❤
@Dontatv2558 ай бұрын
Sawa
@mslaysauti8 ай бұрын
Pia munatuelimisha sana tu 💓❤️
@Lastieshiz8 ай бұрын
Watching from Qatar ,,,much ❤
@WilliamSomela-h9s8 ай бұрын
Mtuwaishie aisee
@shiichannel56232 ай бұрын
Kelvin Mimi mkenya nataka kuigiza kwa kampuni yako nipee chance
@machobernard66098 ай бұрын
Oohhh my God, this reminds me of 2010, same with my friend to me. All success to you and donta family and thanks
@JotrinFidelis8 ай бұрын
Tatzo huw mnanitenga xan hata 1 bx mnipe nam❤
@SophiaChihogosa8 ай бұрын
kelvin wetu wa sasa ndo kanumba wa baadae .nakupenda ww pamoja na movie zako 🎉
@ggfwtgg16528 ай бұрын
Much love from Burundi 🇧🇮 🇸🇦 ❤❤
@AlexRichad8 ай бұрын
Leo na mimi nimewahi nawapenda sana tunaoamino kesho yetu mungu anatuandalia gonga like❤❤❤❤❤
@ianmapesa80028 ай бұрын
Daah napenda movie za donta ,,mapesa toka kenya
@MiriamJohn-e3z8 ай бұрын
Hii movie ni maisha halisi Kabsa bro MUNGU akutunze zaidi kwenye kazi zako ni nzuri
@dolinepeter25038 ай бұрын
Kazi nzuri sana ongera sana bro kelvine endelea kutuburudisha na kutuelimisha
@STANLEYKINYILI8 ай бұрын
Kenya Watching, twapenda. Mpokee 🎉🎉🎉 yenu kazi nzuri
@ChristineRumba8 ай бұрын
Huu ni uhalisia wa maisha kabisa big up bro.❤❤
@IsmailIrankunda-kx8jk8 ай бұрын
Hapa Burundi tunawasikiliza sna na tunawapenda 🎉🎉🎉
@herieldauson59878 ай бұрын
Mnajua mpaka mnajua tena❤️❤️❤️
@uchebetz72848 ай бұрын
Kelvini unajua sana kaka mungu akupe nguvu kwenye kipaji chako
@Dontatv2558 ай бұрын
Asante sana
@uchebetz72848 ай бұрын
👋👋👋👋
@josephineuwizeye82507 ай бұрын
Kelvin tu es le meilleur!🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@carolinesiakora30247 ай бұрын
Good work Kevin and your group nice lesson acha tupambane kabsa kutafuta maisha mema❤❤❤
@MaryIginatio-ko6cx8 ай бұрын
Kunambi na Nelly acheni roho mbaya hamuijui kesho yenu😮😮😮😮
@Dontatv2558 ай бұрын
Kabisaa 😁
@hadijamgambo-jn7kg8 ай бұрын
Jamaa anamtukana balaa😢
@JessicaKanamba2 күн бұрын
Ndo ivo, maisha yanabadilikaa
@ARONPaul-bz3ws7 ай бұрын
Nakubali sana kelvin katika safari yako ya uigizaji nimekuwa.shabiki wako kwa muda mrefu na sichoki kufatilia.kazi.zako umekuwa hodar san🎉🎉🎉🎉🎉
@oscarjulius57238 ай бұрын
Kaz nzuri sana bro kelvin
@Dontatv2558 ай бұрын
Asante sana
@Melvin-i8n8 ай бұрын
Much love from Nairobi Kenya
@JaneJane-h2i7 ай бұрын
Kumbe hata watu wanajifanya kurusaidia wakitoka kidogo wanatuongelea vzr😭😭😭
@EmyJoseph-j2o8 ай бұрын
Hongera sana kelvin na timu yko u kelvin nakukubli kinoma unajua sana
@MoiseLuhando-tk9zr8 ай бұрын
Mwamba wangu mungu awape nguvu kabisa nawakubali sana mzigo wetu umefika sehemu y’a pili
@PoliceNdizeye-rt2ml8 ай бұрын
Kazi nzuli tuwapenda sana kutoka burundi tupo makini na donta tv ❤❤ nimeni link zangu
@Dontatv2558 ай бұрын
Asante sana
@GalazxyShshhs8 ай бұрын
❤❤❤❤❤🇧🇮
@AlexMwanyumu8 ай бұрын
Much love from kenya ❤🎉🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@josephinethoya7 ай бұрын
So emotional, napenda kazi zenu,watching from kenia🎉🎉🎉🎉
@kadzojamesjameskadzo39508 ай бұрын
Kazi nzur sana aisee filamu zenu taamu mashallah ❤❤
@Phoebenafula8 ай бұрын
Much love from mombasa🇰🇪🇰🇪
@CyuzuzoPhionah7 ай бұрын
Hapa Rwandan tunawasikiliza sna na tuwabapenda sana❤❤❤❤
@halimamohammed78638 ай бұрын
Nmechelewa lkn nmewahi naombeni like zenu 🤸♀️🤸♀️💃
@victoriangasa8 ай бұрын
❤❤❤ gonga like kwa wale walio isubir kam mm jmn😅😅🎉🎉
@Dontatv2558 ай бұрын
Thanks for watching
@SIDDHARTHSOURCE-jk4is7 ай бұрын
kweli eshima inafata mtuu anaye kuwa na eshima ❤❤❤❤❤❤
@حسنا-ض3ز8 ай бұрын
Much love from Kenya kelvin duuuuh 😮😮😂😂😂🙆
@AminaomarAminaomar-c4k8 ай бұрын
Much love from 🇰🇪
@suleimanesivirwa17 ай бұрын
Napenda sana filamu zenu
@ChristianRugenge-kd1xh8 ай бұрын
Kelvin Ahuja wayi Kuni angusha brother much love from South Africa ❤❤
Movie nzr san hii❤❤❤ donta tv mnatuelimisha san mungu awabariki❤❤❤❤
@Dontatv2558 ай бұрын
Asante sana
@appsplay43248 ай бұрын
..much love from Kenya ❤❤❤❤
@King..6608 ай бұрын
Much love from Kenya ❤❤❤ waiting another episode
@ahiyaasherinchako51428 ай бұрын
Leo Mimi wa kwanza likes Zang please ❤❤
@Dontatv2558 ай бұрын
Sawa
@Mommy41478 ай бұрын
Hongereni Team Kevin love from saudia Arabia ❤❤❤🎉
@SaimoniChacha8 ай бұрын
Tuko pamoj kutok oman
@gladysosoro89638 ай бұрын
Daah filamu za mafunzo kweli from Kenya much love ndugu zanguni🇰🇪🇰🇪
@Dontatv2558 ай бұрын
Asante sana
@jamessicharani7 ай бұрын
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dolinepeter25038 ай бұрын
Naisubiria kwa hamu episode inayofata
@julyjuly-ik9er8 ай бұрын
Kazi safi. Much love from 🇰🇪❤️❤️
@jenifandinda38748 ай бұрын
Much love from kenya kelvo🎉❤❤❤
@MariamMariam-h8h8 ай бұрын
Kama mnakubali Wana donta TV dodosheni likes hapa
@Mwanamkasi-s5e8 ай бұрын
Dhoo!!!kama bdo unahasira n Nelley toka kule kw hours boy tujuane,kweli kunamarafiki n wanafiki,ivi brown ueshawishiwa kweli n umekubali kutomsaidia mwenzio,ila dunia n duara brown unashale ulio uekekeza kw mwenzio utakufikia mm nko👉👉👉.❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Anastacia-c3p8 ай бұрын
Much love from Kenya
@ame95027 ай бұрын
Much love from znzbar donta muko vizuri ❤
@DiyanaSimkoko8 ай бұрын
Kwakweliii kelvin
@basheerunurdeen51135 ай бұрын
Sema uyu Nelly ako na roho mbya sana Maan hii character anaicheza vzr. Uckute ata katka Real life Anafany ivooo😢😢
@NeemaNuru-p9k8 ай бұрын
Waaaaaoooohh jamani leo nmewah wakwanza naombeni like japo 10 tu wallah cjawah fikisha hata like 10
@Dontatv2558 ай бұрын
Thanks for watching
@Kambachurchgal-hg4zx8 ай бұрын
Hatimaye nimeisubiri sana🎉🎉🎉🎉kazi safi sana kelvin
@christine77448 ай бұрын
Umasikini ni ubaya kweli ❤❤❤🎉🎉
@Dontatv2558 ай бұрын
Kabisaa
@veronicawilliam72768 ай бұрын
Mbna brown aliingia ndani kama anajua kinachoendkea😂😂😂😂 au nikae kimya
@GraceVISAMAYANI-gj1xm8 ай бұрын
Kelvin movi zako . Nzuri sana
@ewoiekaale8 ай бұрын
Wa kwanza leo from Kenya
@Dontatv2558 ай бұрын
Thanks for watching
@ewoiekaale8 ай бұрын
Welcome
@reubenselengeta_26018 ай бұрын
Just a real life guys... Mko vizur sana Donta brand ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Dontatv2558 ай бұрын
Asante sana 🙏
@mesco_188 ай бұрын
Mm nimechelewa wapi Leo like ata Tano tu😢
@jezuzluvanda56048 ай бұрын
Movie imenikumbusha mbali hii kipindi na umri wa miaka 20 nipo zangu gereji kwa siku namtumia Tano nakula miogo tu mwezi mzima naiman ningekuwa naakili ya kujua freemason bas n ingejiunga lkn mungu mwema
@BarakaBenedicto7448 ай бұрын
So amazing movies,,, Part 3 ije chap basiii..🙌🙌
@agnessmose97848 ай бұрын
Much love from kenya ❤❤❤❤
@eligiambigi48848 ай бұрын
Kukaa kwa mtu kazi pole kev
@FarajaEdson-ud2lx7 ай бұрын
Cjui kwann watu walio tangulia kwenda mjin huwa wanajikuta sana wanawaona wengne wanaokuja mjin kama hamna kitu mungu atusaidie watu wa vijijn
@mwimagamba-ry7ts8 ай бұрын
Allah azidi kuwainua na awakinge na mabalaa katika kazi zenu in sha Allah...kazi nzuriiiiii
@Dontatv2558 ай бұрын
Amina 🙏
@RobertMaduhu-e4u8 ай бұрын
Wa kwanza maomba like❤❤
@Dontatv2558 ай бұрын
Sawa
@EzekiaMsemwa-sk7ow5 ай бұрын
Jamaa anaroho mbaya duuh hamletei msosi mwenzie
@TabiaMussa-t6f8 ай бұрын
Kazi nzuri na mungu awazidishie ❤❤❤❤❤
@IreneMahimbo8 ай бұрын
Nawapenda sana Hawa watu jamaniii
@Dontatv2558 ай бұрын
Asante sana tunakupenda pia ❤
@HamadiHamisi-lw4dt7 ай бұрын
Kazi Ndzur San Brothers🎉
@AgnesMwende-p9w8 ай бұрын
Kelvin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 that's y movie zako nazipenda🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 watching from saudi
@Agnes5508 ай бұрын
Lit🔥 wapi likes Zang 🇰🇪🇰🇪
@Dontatv2558 ай бұрын
Thanks for watching
@SIDDHARTHSOURCE-jk4is7 ай бұрын
kweli Kaka kuwa maskini ni vibaya sana 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@CeciliaMutua-pu8ds7 ай бұрын
Kunambi kakataliwa na amewafumania XX Kelvin umeongezea matatizo❤❤❤❤❤ from Kenya
@nadianindabira35448 ай бұрын
Nawapend san 🥰🇧🇮
@Dontatv2558 ай бұрын
Asante sana 🙏
@AloyceAlex-pm7rm8 ай бұрын
Kuimba wajua kuigiza unajua big up bloooo but waishaga movies zako bas
@BaosaFaila-db5sx7 ай бұрын
I love this movie so much imenifunza San 😢
@duncanmwenda43308 ай бұрын
Am still learning alot kevooh thanks 👍 for this video we need more
@MtundaMohamud-wd8ij8 ай бұрын
Hii yenyewe sawa sawa
@Man_Freja8 ай бұрын
Huyo jamaa smith anajua sana anakufaa mmeendana
@Dontatv2558 ай бұрын
Sawa Asante sana
@zuhurasumba56838 ай бұрын
Donta family much love from 🇸🇦 🇸🇦🇸🇦
@MariamAbuubakar-e5o8 ай бұрын
Safi xna kwa kazi nzuri❤❤
@rachelpaul4608 ай бұрын
Pambana Kevin hakuna maisha mazur bila changamoto mung atakujalia tu
@wanjamurithi-ve2pn8 ай бұрын
Keep it up, much love from🇰🇪
@MsafiriHussein-c5m8 ай бұрын
Wa 9 Leo nipeni at tatu❤
@Dontatv2558 ай бұрын
Thanks for watching
@MsafiriHussein-c5m8 ай бұрын
👍 nawakubali sana wape hi
@CamilaMbunda8 ай бұрын
Jaman imeishia pazuri. Toa mwendelezo haraka ❤
@LeonceIbrahim6 ай бұрын
Move without kelvin khan is like stomach without food duhhhh good job my best friends wakiongozwa na kelvin
@geraldkapinga6118 ай бұрын
Me cwez vunga 😂 nkatae pilau kirahis hvy 😂 but great work