Acheni kutudanganya toka lini padri akawa mgonjwa wa akili kama mnataka kumtolosha kwanjia hizi tumeshituka
@mataypanga52623 сағат бұрын
Yawezekana kweli, hospitali ya Mirembe itathibitisha
@TeophilBuilding3 сағат бұрын
Unatombwa akili@@mataypanga5262
@mohamedmussa30872 сағат бұрын
huko hospitali hawakwenda kibubusa
@HunchoMan-m6y2 сағат бұрын
Kwema p f@@mataypanga5262
@mwanaidimussaСағат бұрын
Akisalisha misa mzima kwenye mauaji anakuwa mgojwa wa akili 😂
@piusbille3905Сағат бұрын
Kama ana tatizo la akili kwa nini Asiingie Kanisani akiwa Uchi
@WilbertChambilo-yl1kc5 минут бұрын
Daah, ila mawikili mungu anawaona aise
@JaneMkingaСағат бұрын
Padri huyu harafu eti unaenda kumuungamia dhambi, unajimaliza kusema yako anakushangaa jinsi yeye yake yalivyo makubwa. Tusimame tu na Imani zetu na Kumtegemea Mungu siyo mwanadamu.
@aliciamwalimu58232 минут бұрын
Ndo maana mimi nachukia wakatoriki,wanapenda kisujudu watu yaan unasema et padri wangu naungama dhambi zangu ambavyo naye anayake yanayomuandama fyuuuu
@lamecksayenda10 минут бұрын
Vizur sana!
@Hajer-be2kh10 минут бұрын
Yawezakana ndo mwanzo wa malipo yanaanza kumfikia ..Mungu atawalipa kuanzia hapa duniani mpka kesho kiyama
@leokamil62844 сағат бұрын
Padri kaakti ile mbaya kafundishwa bongo movie 😢
@godfreydavid69963 сағат бұрын
Hakuna atakayekwepa hukumu ya Mungu kwa mauaji ya huyu malaika wake 😢
@OCTAVIANSINZO4 сағат бұрын
Yaani jaman duuu hapa Tz kila mtu amekuwa mchekeshaji!!! Duniani kuna vituko 😅😅 sasa huyo padre alikuwa anawaongozaje waamini wa kanisa lake kama yeye ni mgonjwa wa akili?
@tynashao92004 сағат бұрын
Duuuuuu mungu atahukumu
@wemaMichael-fr4th4 сағат бұрын
wanamkwepesha tu asihukumiwe yaani leo hii ndo amekuwa mgonjwa wa akili looh serikali ya ccm sina imani nayo
@faudhiasalum72792 сағат бұрын
Subhanallah 😢😢😢😢😢dhambi. Ata enda kuwasemaa kwa MUNGU 😢
@MonicaKaskaz4 сағат бұрын
😊kesi iko wazi mpaka leo
@dotnatajoseph26203 сағат бұрын
Angekuwa na tatizo la akili angekuwa anafanya kazi kanisani angekuwa padri? Afungwe hivyo hivyo Tena afungwe maisha uo uchizi utapona hukohuko
@mohamedmussa30875 сағат бұрын
😂😂😂 Duu aisee halafu mawakili wa pande zote mbili wamekubalina ninaashaka sasa mtoto hana mtetezi wasitufanyie mchezo hili swala limetuumiza sana
@PascalMwita-bv8kr4 сағат бұрын
nenda wewe ukafanye uchunguzi maake unaijua haki sana
@GraceMarine-vo9hu4 сағат бұрын
Usiseme hivyo, kwanza kupelekwa isanga nisehemu ya mateso sana, hakuna anayeenda isanga akachekelea
@judithminja7703 сағат бұрын
MUNGU ATASIMAMIA HILI,MAANA ALBINO HANA WATETEZI WA HAPA DUNIANI..Kwenda isanga kwa muda fulani na kufungwa jela maisha wewe utachagua nini? D mbili zinatosha kuelewa@GraceMarine-vo9hu
@mohamedmussa30873 сағат бұрын
@@GraceMarine-vo9hu kwa vile anatafuta uchochoro hata akae mwaka huko isanga kwake ni bora mara mia kuliko kuozea gerezani maisha hapo mchongo ushachongwa mpaka hospitali ama kweli waswahili walisema mnyonge hana haki
@MasterOil-qm6vw2 сағат бұрын
Hahahahahaha Kwa hiyo kumbe mapadri wana utindio wa ubongo kama sio hivyo waliwezaje kumpa uongozi wa kiimani mtu mwenye utindio wa ubongo
@pendomushi6351Сағат бұрын
Wanatudanganya Hawa ili wamtoe kiakili
@jaderkyser93894 сағат бұрын
😂😂😂 Daàh kwel leo ndio anakua na Tatizo la Akili😂😂 hapo Padri kajivua Gamba hiyo kesi inawanyea waliobaki hapo
@lailahumaid20114 сағат бұрын
Uongo hana maradhi ya akili mungu atalipa haki ya mtoto
@mgayan12225 сағат бұрын
Hahahaha 😆🤣 Padre kufanyaje? KUMEANZA KUCHANGAMKA😊
@SarahMpwehuka5 сағат бұрын
Umeona ujanja unaanza
@FahadAbubakari-y3f4 сағат бұрын
@@SarahMpwehukana vile hao mapadri wanavyojifanyaga watu wa saikolojia na filosofia wameenza drama
@StellaRingo2 сағат бұрын
Yote kwa yote ktk hukumu hiyo ata mfanye ujania wa kumtorosha huyo padri kjanja mungu atasimama na ndo mhukumu wa kwel
@drbalagomwatvonline49374 минут бұрын
Da kwakweli namuomba Allah aepushie mbali ktk kizazi changu asitokee hata mtoto wangu mmoja kusomea Sheria , Sasa eti wakili msomi anawatetea wauaji kisa ameshapewa fungu la pesa na wateja wake maana ndio msemo unaotumika kuwa wateja. Siku huyo wakili akiuliwa mtoto wake ndio atakumbuka dhuluma aliyokuwa anaifanya Kwa wengine wanyonge Kwa kutetea wahalifu waliowatendea ubaya wanyonge. Hizo ni mbinu za kumtetea padri kuwa anamatatizo ya akili mbona hajasema kuwa alishawahi kutembea uchi, eti anamatatizo ya kusahau kwani kusahau si ni tabia au maumbile ya binadamu Kuna binadamu ambaye hasau.
@mwitajoseph83154 сағат бұрын
Wakili msomi 😂😂😂😂😂 wahaya bana kwa sifa tu 👏
@MbarakaHabibu39 минут бұрын
Tunaomba haki itendeke huyo anafanya maigizo
@ruqaiamohammed3452 сағат бұрын
Ana matatizo ya akili lakin aliweza kuwashawishi kina baba asimwe kumuua asimwe 😳😳😳kweli marehemu hana haki 😢😢😢
@SabihaibrahimRajabu4 сағат бұрын
Daaaaah haki ataipata huko aliko katika kivuli chema wao waendelee kula pesa
@leticiakato39538 минут бұрын
Hakuna cha tatizo la akili Wala nini
@MasterOil-qm6vw2 сағат бұрын
Hata awe na ubongo mmbovu lakin kwa mungu anaenda kuchomwa moto na ajuwe kwamba ktk umri wake anakotoka ni mbali na anako enda ni karibu namaanisha ana masiku machache sana ya kuwepo juu ya ardhi hii sasa atafute pajukimbilia kama anapo kinyume na kuingia kwenye tumbo la ardhi
@sophiakimaro51742 сағат бұрын
Mmmmmh!!mapadri wanavyosomaga kwa miaka mingi angekuwa na shida ya akili angeweza kweli huyo?
@stanleymhozi75902 сағат бұрын
Jamani wanyongwe hapo wanataka kumkwepesha padre
@zwinaalhabsi6644 сағат бұрын
Uongo huo wala hana tatizo la akili mmesha hogwa sasa
Wamemkatili mtoto uhai wake,,akuna kulukwa kwa akili wala nini wafungwe au wanyongwe hao,,,washenzi wakubwa mtoto mzuri wamemfanyia ukatili wa kinyama
@AsdDsa-fi5qkСағат бұрын
Alipo uwa alikua na akili ss Hana akili😊
@judithtitomalyeta40002 сағат бұрын
Heee kasomaje hadi padre mhuuuu
@PeterMaongaСағат бұрын
Hakuna kuwaachia wauwaji hao
@farajasallah23384 сағат бұрын
Padri umetuangusha aisee Kama ni kweli! Tutakimbilia wapi sisi waumini mwee
@DelightfulMacawBird-tl5hf2 сағат бұрын
Waongo wa kubwa hawa ana akili zake anataka kufanya ubabaifu laaana wakubwa hawa😡😡😡
@twinkledestar42773 сағат бұрын
Yaan bada ya kes kawa na maradh ya kuchanganyikiwa hem achen ujinga ushahid wa toka io miaka ya nyuma km akil haipo sawa uko wap ata kma lawyer mtetez ila tafuta point ya kutetea uyo jangili muuwaj wa mtt ambae hana hatia na ww wakili utakufa vibayaa
@cleophacephelician67394 сағат бұрын
Mh. Hawajahukumiwa cha moto wameishaanza kukipata. Naona baadhi machozi yanatiririka!
@elizabethismile68272 сағат бұрын
Kwahyo aliongonzaje kanisa? Kam yupo na tatizo la akili
@JaneMkingaСағат бұрын
Mmh unatafuta sababu kuuwa mchezo, mtoto mmemchinja bila huruma huku anajiona pumbavu zenu.na bado wewe ndiyo chanzo kikubwa mnyongwe tuu
@Angel-ry5bu3 сағат бұрын
Daah ila pesa nyieee😢
@OmanOman-m8yСағат бұрын
Michezo hiyo eti leo hii hana akili timamu
@mnisi36944 сағат бұрын
😢mnajua mnatuona kama matako yenu
@MasterOil-qm6vw2 сағат бұрын
Nlijua t padri ataambiwa anashida ya akili anatakiwa anyongwe na hao wenzie sasa kila mtu akiuwa akiambiwa ana tatizo la akili ambao hawana akili siwatawamaliza wenye akili halafu nchi itabaki na hao mandondocha
@AllyMadenge-u6o3 сағат бұрын
Asitutanie hana tatizo la Akili wala nini asilete janja janja hapa
@DelightfulMacawBird-tl5hf2 сағат бұрын
Waongo wa kubwa hawa ana akili zake anataka kufanya ubabaifu laaana wakubwa hawa
@mwanas24 сағат бұрын
Ana act cinema pumbavu kabisa ivi hii nchi ni vipi jamani?????😢😢😢😢
@ElizabethMakwaia4 сағат бұрын
Nilihisi Sanaa itafanyika. Kweli imekuwa lkn kwa Mungu hakuna Sanaa. OK padri ana ugonjwa, na baba mtoto mwenye akili timamu,?
@kellyngogo33193 сағат бұрын
Changamoto ya akili!! Ndo wamemfundisha
@MonicaKaskaz4 сағат бұрын
Kwa hiyo aue mwingine?
@boniphaciogoliama87833 сағат бұрын
Nyakati hizi mtu akiwa na title flani na akishikwa na hatia basi ana tatizo la akili
@ceciliaonyango536734 минут бұрын
Acheni usanii huo ni uongo eti anatabia ya kusahau? Mmmm ee Mungu tutetee Wana wako
@aediaygo85464 сағат бұрын
Pesa Pesa Pesa Pesa Pesa Hela Hela money faranga zaga chelete Jina Lako fupi Kwa lugha nyingi hapa Duniani lakini mateso unayotupa Ni makubwa mno wakati mwingine tuna shindwa hata kufikiri vizuri kwenye Hii kesi nakuona wewe Ni kitu kibaya ingawa nakuhitaji😂
@subralugege70194 сағат бұрын
😂😂😂😂padiri da!
@MeckitilidaTushabe-or9hu4 сағат бұрын
Mmmmh padre .anamatatizo msitutanie nyie
@OmanOman-bx5du3 сағат бұрын
Bado wapo tu kwenye hii dunia awapaswi kuishi kwenye hii dunia
@JosephEmmanuel-eb7gj4 сағат бұрын
😂😂😂 Ila hii nchi
@Mariam-ke4og3 сағат бұрын
Jamani huyo anaejifanya hana akili ni muongo mbona kashiriki kuua na waliyokuwa na akili hiyo ni namna ya kutaka kukwepa mauaji hana lolote ila M/Mungu anaona
@franciscakija17023 сағат бұрын
Maombi ya watu hayo
@GeorgeJusto-y4v3 сағат бұрын
Hakuna kunakicha anakwepa kamira
@NiceAudphace4 сағат бұрын
Mimi ndo maana nimeachaga kwenda kanisani 😢
@barbiepixie922 сағат бұрын
Utakua na shida zako tu
@gracephilemon43254 сағат бұрын
Amaigiza huyo muongo jamani mbona mnawachelewesha nyie amna uchungu na mtoto
@yousifyousif-p7f3 сағат бұрын
Mchezo mchafu ss mnaaza huyo padri uwo ugomjwa umemuanza baada ya kuua msituone ss hatuna akili kenge nyie
@annamussa1854 сағат бұрын
Padrii alikamatwa ambaye ameratibu mambo yote ila Afande kigondo yeye Ahhhhhaaaa!
@TeophilBuilding3 сағат бұрын
Kisimi Cha bibi Ako yaan kesi yakumtomba Malaya unaifananisha uzito saw na kesi yakuua kwa kuchinja Kuma kipyengu ww
@annamussa185Сағат бұрын
@@TeophilBuilding sura yako kaa ngozi ya mkundu wa kisimi Cha marehemu Mama yako
@TeophilBuilding35 минут бұрын
@@annamussa185 sem umerithi mkundu wa baba Ako nivile TU nafila baba Ako alaf nafrashi kwa mkuma wako Kuma la mama Ako hadharani
@kanankirannko61743 сағат бұрын
Ukisikia hivyo ujue wameanza mauzauza ili watolewe mmojammoja ila damu hii itaendelea kudai kisasi
@barbiepixie922 сағат бұрын
Hana changamoto yoyote ya akili anataka kuonewa huruma tu hapo msituchanganye, mbona hakusau wakati wanaandaa mpango wa kumuua malaika wa mungu
@FerdinandMalima-fl2gy2 сағат бұрын
Acheni utoto
@notbulgajohn408230 минут бұрын
Kwakweli inaumiza
@catherinekihengu24204 сағат бұрын
Mmmh
@yukundapeter82004 сағат бұрын
Acheni ku2mia haki muone mitoto yenu itakavokufa kinyama,ikishaisha ndo na nyie mkufe.
@Saum-o1w25 минут бұрын
Mtu kashajulikana kuw ni muuaji kwann asinyongwe?! Kwani mauaji ya mtoto si yamefanyika kwa kukusudia?! acheni kutufanya wajinga mnafanya wahalifu waendelee kuzidi sasa
@HAKHISALUMU4 сағат бұрын
Aiseee Allah tusaidie wanyonge mtoto ametolewa uhai wake akiwa mtoto mdogo.