(Khabari za Majini) Al-imaam Muhammad Sharif Said Albeidh
Пікірлер: 20
@hamisisalimu69082 ай бұрын
Allahuma Ghafir lahu Warham hu askanahu makana fil janat
@user-dp1dj8ti6h4 ай бұрын
اللهم غفر له ورحمه واسكنه في الجنة
@ashrafkhamis10513 ай бұрын
رضي الله عنه
@abdulatifabdulkarim5209 Жыл бұрын
Allah akurahamu ya Imam
@abdallahbadawy11982 жыл бұрын
Allah amrahamu sayyid Muhammad Al Beidh
@salehrashid70310 ай бұрын
Mashallah
@neylatyjuma50875 ай бұрын
Somo Moja wapo katika haya Mawaidha ni Twawadhu Sheikh anasema UKIWA NA TWAWADHU UTAFAA
@user-eo6te5dm2h7 ай бұрын
❤❤❤
@wastarayussufu94632 жыл бұрын
Huyo anauliza ustadh Muhammad ni imam gani ni imaam ki ilmu kwa kiwango cha elimu alikuwa nacho afaa kuitwa imaam.
@saba-gv3mj2 ай бұрын
Kila fani ya ilimu mungu kampa alhamdulillah mungu amrehemu
@IbrahimOrma2 жыл бұрын
Masha Allah
@user-bp6fb6wo5u2 жыл бұрын
Al Imam, ni kama imam shafii ama alikuwa imamu wa mskiti?
@samboy99902 жыл бұрын
Kwani ww uimam umeufahamu vp
@user-bp6fb6wo5u Жыл бұрын
@@samboy9990 kulingana na ninavyowajua maimamu wa ilmu wetu kama kina bin smet na kina muhdhaar wa tariim, naona kama sio sawa kuinuana daraja ambazo kiukweli bado kufika, pamoja na kuwa ana elimu, ila kufikia cheo cha maimamu bado sanaa, ukikaa chini ya ulamaa utafahamu hilo.
@ahmadmadaai1357 Жыл бұрын
Wacha chuki
@wardalwena5846 Жыл бұрын
Vyovyote ujuavyo ndo hvyo hvyo
@lover_of_habaib9 ай бұрын
@@user-bp6fb6wo5uHuyu imamul rahil anafaa kuitwa imam na hata waliompatia cheo cha uimam si watu wa uswahilini ni wanazuoni wa hadhramawt ndugu yangu