Nelly❤❤❤❤ Kitu Kizuri huja Wakati Ambao si Sahihi kwako kama Kweli vilee Nanukuu Maneno yako Nelly Acha niyahifadhii na ule Muda unao usubir upate chaguo huto kaa uupate kama nakuelewa vilee❤❤❤ kwahio wamanisha wakat ww upo tyr mwenzio hayup tyr baadae mnajikuta mnapishna Ndio mana ya Maneno Yako Allah Akuhifadhi Daimaa ❤️ nimeipenda snaa hio
@RaheemaOmani2 ай бұрын
Neno lako kaka Nelly linanifundisha kitu ktk maisha yangu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@VanisyJonathan3 ай бұрын
❤❤❤ ndugu inabid mshauriane kama hivyo jamn kuna neno kwenye bible linasema "upendo wa ndugu na udumu" so nimependa mdogo mtu alivyo mshauri dada yake ❤❤❤❤ saaaana
@AghHh-v3f5 ай бұрын
Vicky uko fresh sana nakupenda ❤❤❤❤
@khajumkhamis79105 ай бұрын
Yaani sisi sijui tutaelimika lini , coz mtu baada ya kuangalia maudhui ya mchezo na kuangalia nini kujifunza, Bali ati anaomba like kisa yeye ni wa kwanza au ni wa pili, Ivi tujifunzeni jamani
@HappyDaudi-ub4hw5 ай бұрын
Ni kweli tunaangalia hizi move Ili tujifunze na sio kuombana like 😂
@TabiaMwaisumo-ss7pz5 ай бұрын
Hichi kitu kinanikwaza hata mimi
@OmegaNelson-ho1no5 ай бұрын
Wasiojielewa awa sijui hzo likes znausiana vp na mafunzo ya movie
@arafasalim6794 ай бұрын
Hawajielewi
@TabiaMwaisumo-ss7pz5 ай бұрын
Hii isikie tu kwa mtu maumivu aliyonayo vick yanawapata wanawake wengi sana huwapata lkn Mungu ni wa ajabu sana anakila njia ya kufanya mama na mtoto wakaishi
@jamilashabani85805 ай бұрын
Wanaume wakikupa Mimba bila wao kutaka Ndio wapo hivo
Safi sana vicki kwa msimamo wako ndio mana nakupenda mno afu sasa kidume kilolea mimba mkwala km wote 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ wp nyuki nipen like
@rubelinameena4 ай бұрын
Ndikelye imbwa indavilapasi ye nyisi
@DorahShayo5 ай бұрын
Kazi nzuri sana pokeeni maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@aminahhuawei11335 ай бұрын
Viki ndiyo maana nakupendagaa daimaa unajuwaa mpaka unajuwa tenaa love pia ilove you so much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@ENOCKTVSHOPSHOP5 ай бұрын
Nahi penda donta TV kamanawewe unaipenda gonga like
@MonikaSaimoni5 ай бұрын
❤❤❤❤
@AmenaMm-r5t5 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@msingamoshi4 ай бұрын
@@MonikaSaimoni😊😊😊😊😊
@ruthgloriaobonyo5 ай бұрын
Funzo kwa wengi❤❤❤ Nyuki vuna ulichopanda😢
@doreenkerubo70565 ай бұрын
Da vick ambia mtoto babake alienda Nairobi matembezi kw bahati mbaya akaenda n mafuriko😂😂😂
@florencekanze5 ай бұрын
😂😂😂kumekucha Sasa mwenye kukosa baba akamtafute Nairobi🏃🏃🏃
@doreenkerubo70565 ай бұрын
@@florencekanze 😂😂😂😂nakwambia
@beautifulafrica68865 ай бұрын
@@florencekanze🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂
@RizikiZiki5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@نيجي-ن1د5 ай бұрын
😂😂😂😂
@NasraNgoda5 ай бұрын
Wee nyuki mjinga sana unamkataa mtoto kweri❤❤❤
@AliDemashk-g2c5 ай бұрын
Yani wah nawakubali tu sana
@Babymuu-x9t3 ай бұрын
Nyuki mtoto ni baraka kutoka kwa mungu acha vicky aleee mtoto
@JavanTresiah5 ай бұрын
Wangapi wame comments bila kumaliza move hebu acheni like mukipita 😂😂😂😂😂😂😂
@SuzanyJohn5 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂 hiii tabia yang kbx Huwa naangalia comment kwanza nikiona watu wameisifia ndy naiangalia😅
@JavanTresiah5 ай бұрын
@@SuzanyJohn hahaha 😂😂😂😂😂 tuko wengi kumbe
@ShukuruElizabeth5 ай бұрын
Nelly sikuizi unanifuraisha sana piya kama unampenda gonga likes tano apa🎉🎉
@RizikiZiki5 ай бұрын
Wakwanza mimi jamani nipewe mauwa yangu 🎉🎉🎉🎉
@numpefikimwaipopo5 ай бұрын
Upewe maua Kwa lipi mnatusumbua mnavoomba like wakati hamjafanya kitu wewe ndo utoe like Kwa wahusika au comment au shukrani
@KABAGAMBE-y9q5 ай бұрын
Léo na Mimi nataka lake❤❤❤ kwanini Mimi sipatih aa
@ashamwanganzi64005 ай бұрын
Daaah pole san vick ndo maisha ya cku hiz hayo😢😢😢😢😢
@PeragiaKabeho5 ай бұрын
Ila hako kamtindo ka kuweka nywele mbele 😂😂😂😂ayaaaa
@HosianaJohaness5 ай бұрын
Wa mwisho Jmn naombeni like 🎉
@HappyDaudi-ub4hw5 ай бұрын
😂😂😂 ila nyuki ndo kicheko gani hicho Jamani 😂😂😂 all in all nawapenda sana ❤️❤️❤️
@MussaMwalim-w5m5 ай бұрын
Mbona unakufuru we nyuki pengine hata hwefika kuachizwa🎉🎉
@Ngoybanza155 ай бұрын
Wa kwanza marecani mimi na Donta tv si lali
@ZaharaNgingite-n2l5 ай бұрын
Nikekumbuka mbal sana😊
@IbrahimBiladi4 ай бұрын
Hiyo iko poa wa Congo mani tusapoto❤❤❤❤
@MajuvaMajuva4 ай бұрын
Safi sanaaaaaa imenifurahisha ndomjifunze wanaume mliyekuwa natabia kama hizi
@mhdmhng68175 ай бұрын
Wewe nyuki mmpuwuzi sana
@TraifonGaspar5 ай бұрын
Ni kweli jmn hata mm naipenda maana inatuburudisha sana sana
@revocatusmalimi45254 ай бұрын
Ni fundisho siyo burudani
@rukiahassan70015 ай бұрын
Fumzo zuri kwa wanao kataa mimba.angefata ushauri wako wakipumbavu wakutoa mimba ungemfata saa ngapi huyo mtoto wako.kwa nini usifate marehmu huko kaburini.
@SwalehSelemaniАй бұрын
Mbona mnarudia story
@AminaNgumbaАй бұрын
Kwnz huy nyuki mwenyew kuvaa hajui😂😂😂
@nasrahassan73465 ай бұрын
Vick kapata mme mwema mashaallah❤
@nasrahassan73465 ай бұрын
Nely yupo vizuri kwa ushauri nyuki kimemlamba😂
@JanetRiziki-ut2is5 ай бұрын
Vicki nakupenda sana kwa msimamo wako ❤❤❤❤❤
@florencekanze5 ай бұрын
Hii roho yanyuki tuombesana isipate wapenzi wetu mana nihatari sana
@CarolineImbwaga4 ай бұрын
Wow ❤❤❤❤
@AsmaAsma-og6ul5 ай бұрын
Vick umeupiga mwingi san ongel Kwa misimamo pia nelly na lovenes ongelen Kwa maneno Mazur mnampa frah san vick
@MaryMwamkamkamba4 ай бұрын
Munaomkubali hii movie mwaga makopa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JenniferBaya-zu5cr5 ай бұрын
Ah. Mungu. Tudaidie. Sisi. Wanawake
@YvonneWanyonyi-gh4pw5 ай бұрын
Much love donta TV❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@jamilashabani85805 ай бұрын
Da Vick vumilia ww si wakulia lia❤ nyuki una vituko et Vick kamitegeshea Mimba
@AnithaMgeni4 ай бұрын
Imbwa ndavila panyi..........wahehe na wabena gonga like
@موكاء-ظ9ج5 ай бұрын
Good job
@AghHh-v3f5 ай бұрын
lavenessse umeogereya pwente kabisa tumewareya birakina baba no stress kabisa Alhamdulillah 😢😢😢
@sikudhanimohammad76925 ай бұрын
Mwanzo sikujua kama ni kiswahili umeandika. Duh
@NeemaJeremiah-s9x5 ай бұрын
Luga gan hii
@sikudhanimohammad76925 ай бұрын
@@NeemaJeremiah-s9x ki giriki
@AsmaAsma-og6ul5 ай бұрын
Jaman mi Nelly Vick love wananifraish san km mna no zao nipeni
@veronicaoman87644 ай бұрын
Ni nzuri inaujumbe
@nurumwinyi7964 ай бұрын
Kwa hii move namuona loveness amefubaa au ni macho yangu
@AmenaMm-r5t5 ай бұрын
Saf san nawakubal san 🎉🎉🎉🎉🎉
@DoriceBabiligi3 ай бұрын
Lakin donta mnakera movie nusu mnaleta nyingine mnakatisha tamaa jaman
@justerissaya91655 ай бұрын
Duh jamn alitakiwa kushukur sana mana alipewa nafac ya kumfanya mwanae amtambue kama baba
@RebeckAunt2 ай бұрын
Good job ❤❤❤
@MauwaAuwa19915 ай бұрын
Like zangu jamani
@nasrahassan73465 ай бұрын
yaani vick kama nakuona hapo mjamzito umempenda mme kweli kweli hapo watamani uwe nae karbu wampigia sim anakukatia dah roho inauma jamani sikia tu😢
@MuhacheJane5 ай бұрын
Wa kwanza Leo kutok kenya
@JescaMakatu4 ай бұрын
Pole mdg wangu kila jambo Lina wakiti wake welea mimba yako
@amaninarwahi5 ай бұрын
N'a mimi natama i kuwaona nyinyi wote wana donta tv
@DeborahFuraha-ho4yk5 ай бұрын
Yewe wikurula kimugabo cyane koko akauraginza pe dina koko buizagarukirahehe amaherezoyawe nayeric nayahe shance napatrick namue muduhe inyushyu birarenze
@ayshaysah62285 ай бұрын
Nawapenda sana
@nasrahassan73465 ай бұрын
vick nakupenda dear hakuna kutoa mimba hapo lea mimba dear asikubabaishe huyo badae mtt atakuw rais atakusaidia kweli inauma
@RayanIssah5 ай бұрын
Aisee inauma san pole sana vick
@fatuma60115 ай бұрын
Nyuki jamani sio kwa kicheko hicho😂😂😂
@MarthaMkasi5 ай бұрын
Hi move wameniigizia me au mbona maisha yng yn jitu Lina miaka 35 huko linasema bado linatafuta linataka kuitwa baba au Babu ila wanaume kuingia Mbinguni kazi xn
@RoseAmos-t1w5 ай бұрын
Huyu jamaa nely Kila move kaziyake kutoa ushauri tu yey anashauliwa na nan😂😂😂😂
@mwanamisiomari81892 ай бұрын
Hii comment imenichekesha😅
@BijouxMunezero-q8e5 ай бұрын
Nakupenda vik yani ww mu dada unawogeya pweti
@sikudhanimohammad76925 ай бұрын
Anawogeya pweti
@mariaphilipo4 ай бұрын
@@sikudhanimohammad7692 😂😂😂
@mariaphilipo4 ай бұрын
@@sikudhanimohammad7692 😂😂😂
@ارينكيني5 ай бұрын
Hilo ni funzo kwa wanaume wengine
@AsmaAsma-og6ul5 ай бұрын
We nyuki bhan unatuchangany we ingekuw utaki kuchomwa na miba Si ungevaa viat ili usichomwe na miba jman
@bas28234 ай бұрын
UBSOLUTLY WRIGHTS👌"!
@Mery-st4nu5 ай бұрын
Yani huyu nyuki ni kama baba watt wangu eti utoto ulikuwa unamsumbua nimecheka sana alivosema nikakumbuka Yale ya mzazi mwenzangu na kujikuta amexhelewa
@Byaunda-zi7ue5 ай бұрын
Good night love you too
@EverlineEtwasi5 ай бұрын
Hope wanaume wapumbavu wamejifunza apo kitu
@BertaAtanasio5 ай бұрын
Yaan ww nyuki akili huna unakataa mtt kisa hutaki kuitwa baba wakati una hitaji hupati utakuj kujuta mpuuzi kweli
@Inea-ig4on5 ай бұрын
Vik bhana na begi kwa kitanda
@joycemuenimutua45065 ай бұрын
😂😂😂😂Nyuki kimekuramba baba❤❤🎉🎉🎉🎉😅😅🇰🇪
@MarcoJohn-hv1jw5 ай бұрын
Saf San da Vicki msimamo wako mzur san
@MagesaJulius-k9o4 ай бұрын
Kweli baadh ya wanaume hukumbka shuka kumekucha
@judithtitomalyeta40005 ай бұрын
Safi sana
@mwanamisiomari81892 ай бұрын
Nyuki katengeneze asali😅
@sikudhanimohammad76925 ай бұрын
Hapo kwenye mke wa mtu kuongea na mwanaume mwingine haijakaa sawa. Kwann alivyokuja tu asimuite mumewe? Ni ushauri tu
@AsmaAsma-og6ul5 ай бұрын
Yan mijanaume mikatil tz ndo imejaa
@PaulinaLorry-b4m5 ай бұрын
Donta jmn sipendi vicky apate changamoto yyte pls
@نيجي-ن1د5 ай бұрын
Nyuki majuto ni mjukuu ulimuapia Vicky asikutafute saa hii unamtafuta ww
@NancyKwimba5 ай бұрын
Nice
@DeborahFuraha-ho4yk5 ай бұрын
Nyuki wende uisema viki hagusitahili
@AsmaAsma-og6ul5 ай бұрын
ILO nifundisho Kwa wanaume wot
@DeborahFuraha-ho4yk5 ай бұрын
Kabisa wanaumue wamezoweya kufanya hovvo haki kure rana wanawake nakusema kuwasema mubaaa