Рет қаралды 2,767
Kilimo cha dengu kimekuwa kikifanyika humu nchini kwa zaidi ya miungo mitatu, japo asilimia kubwa ya zao hili huuzwa katika masoko ya kigeni. Kampuni moja hata hivyo inabadili taswira hii, kwa kuvutia soko la humu nchini. Denis Otieno ana maelezo zaidi katika makala ya juma hili ya Kilimo Biashara. #KilimoBiashara #Dengu