Рет қаралды 642,698
Japo ilikuwa sherehe yenye kuangazia pakubwa kumbukumbu za kitaifa, Naibu rais William Ruto na kinara wa ODM Raila Odinga walitumia fursa hiyo kurusha mikiki ya kisiasa. Na pia kapo kwa hekima, Rais Kenyatta alionekana kumpa uzito Odinga kwenye hafla hiyo iliyohudhuriwa na maelfu ya wakenya, na hata kuonekana kuvunja itifaki kumpa fursa kuzungumza