Kisima_Ng'wanankanda Official Video 4k

  Рет қаралды 320,423

Kisima Majabala

Kisima Majabala

Күн бұрын

Пікірлер: 268
@bigtimetz
@bigtimetz Жыл бұрын
Kisima leo umejua kutufurahisha mashabiki zako salutiii🔥🔥🔥
@OscarShimba-u9d
@OscarShimba-u9d Ай бұрын
Nakukubali sana kila ngoma unashusha inaenda ngoma zako za heshima sana ww wakomeshe wanafiki furaha yangu kukuona unasonga mbele piga kazi the greatest singer in sukuma tribal mm hapa shinhu ya nkila mayengela famili
@ibrahimmbogo1274
@ibrahimmbogo1274 Жыл бұрын
Ipo siku wataelewa tu jamaa yangu natamani nikuone ikulu unapfomu live kwa nguvu zake mungu itawezakan amina Ibrah nyarugusu hapa
@mbuziwakutaga
@mbuziwakutaga Жыл бұрын
Yaan skuiz kisima ndo unazid kutufraisha mashabiki wako hususan mm yaan ukiwa unacheza ndo Huwa unatukosha kweli nipo hapa tunaiangalia video yako na familia wanaenjoy💪💪
@PascoMakandila-yk7sk
@PascoMakandila-yk7sk Жыл бұрын
Uko vzr najivunia kuwa msukuma aisee
@MachimuKija
@MachimuKija 17 күн бұрын
Hakuna wakukupinga ww ni mwamba nazipenda sana nyimbo zako zinaujumbe mzuri sana 🙏 🙏
@MussaSimeo-j1h
@MussaSimeo-j1h Жыл бұрын
Msanii namba moja nyimbo za asili
@janjajanjatv7939
@janjajanjatv7939 Жыл бұрын
Wimbo huu unanifanya niwe jasili sana hongera sana kaka kisima🔥🔥🔥
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@AlliPo-21
@AlliPo-21 Жыл бұрын
Hiv nyimbo imetoka au naota greatest singer pamoja sana❤
@SAGANDANDAKILO-h9d
@SAGANDANDAKILO-h9d 10 ай бұрын
Kisima nakuelewa sana ndg yangu endelea na hiyo Kasi kiukweli unatoa fundisho kubwa sana Kwa Watu wanaosikiliza ujumbe. Mungu akutie nguvu na akuepushe mbali na watesi wako ambao hawapendi mafanikio Yako. Mimi nitaendelea kuwa Shabiki wako namba Moja kutoka Mwandoya- Meatu. Ubarikiwe sana.
@HASSANISAKALANI-xv7nw
@HASSANISAKALANI-xv7nw Жыл бұрын
Big up kaka tupo pamoja tuna kupenda sana kisima by January from Nhwande.
@RichardMakingi
@RichardMakingi Жыл бұрын
Nipo moro wilaya ya moro vijijiniwalugulu na wapogolo wanazikubali nyimbo zako nazipiga sana huku njoo upige show huku moro
@RichardMakingi
@RichardMakingi Жыл бұрын
Naitwa Richard Makingi saluti kwako kisima pambana jembe langu
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@davidwizyrade2914
@davidwizyrade2914 7 ай бұрын
Nice mwamba hii nimeipenda sana tena kama hapo mwisho sita
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@NgassaJumanne
@NgassaJumanne 4 күн бұрын
Kaka uko vizuri sanaa Ngassa nipo tabora nakucheki vzr cna
@bonifacehamis4088
@bonifacehamis4088 11 ай бұрын
Babu Peter kasuku nipo naye hapa anajisikia amani kuona ukimpa sifa zake anaujunzi sana kwenye tiba ya kienyeji 💥💥💥🥳
@masanjakashindye3207
@masanjakashindye3207 11 ай бұрын
Nakukubali xana kaka hasa bhuhabhi hiyo nyimbo basi tu
@masanjakashindye3207
@masanjakashindye3207 11 ай бұрын
Naomba na namba ako bro kalibu xana kaliua
@baloziwaghetto814
@baloziwaghetto814 Жыл бұрын
tofauti yako na wasukuma wenzako n kwambaa nyimbo zako n zakuandika so akil inatumikaaa ,,,ila wenzako wanaimbago ovyo ovyo tuuu
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@mussamhigi5678
@mussamhigi5678 Жыл бұрын
hongera sana kwa kazi nzuri komaa mwenyezi mungu akusaidie ufike mbali zaidi ya hapo ulipo
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@Ndushikayungilo722
@Ndushikayungilo722 Жыл бұрын
Hakika kisima wewe ni mtunzi wa tungo za kuelimisha jamii hongeraaaaa.
@yohannajr9558
@yohannajr9558 Жыл бұрын
Nyimbo iko poa Sana huwez kuchoka kusikiliza na kuangalia video yake 🙏🙏
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@philipodiyarago7797
@philipodiyarago7797 Жыл бұрын
Good job mr majabala congrats
@IkambulaMtunga4670
@IkambulaMtunga4670 Жыл бұрын
Agreatest Singer Majabala fundi wa nyimbo za asili Big up bro
@KOmom-fh2vg
@KOmom-fh2vg 11 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@KabiligaHassan
@KabiligaHassan 2 ай бұрын
🎉
@burhaniasanali8666
@burhaniasanali8666 Жыл бұрын
Aiseeeh kisima uko vzr na video zako ila bigap sana uko vzr nipo hapa igunga nawatemeshea kz zako
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@jersonlukinda9410
@jersonlukinda9410 Жыл бұрын
Mfalme wa wafalme, Hongera sana Mwamba.
@japhetsahani7121
@japhetsahani7121 11 ай бұрын
Mimi nmshabiki wa gude gude ila nmehamia kwa kisima **KISIMA was a pure talent from god,, love this song from Canada 🎣🎣🎿🎿🛷🛷🛷🛷🎿🎿🛷🛷🎿🎿🎣🎣🎣🎿🛷🛷🎮🎱♥️🔮🎰🀄🎮🎲
@stevenlameck9014
@stevenlameck9014 4 ай бұрын
Nakuamini sana kisima huumwaka ni wakwako naipenda nikiwa kigoma m..k..muha
@RamadanPaul
@RamadanPaul 7 ай бұрын
From Saudi Arabia 🇸🇦. I love my country Tanzania, love my tribe sukuma.
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@Kilasmndewa
@Kilasmndewa Жыл бұрын
Hizi ngoma huwaga ni hatari sana . Kisima majabala watu wanangoja shoo Yako Kwa hamu sana huku dodoma . Yaani huwezi kuwambia kitu kuhusu ww❤❤❤
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@josephndekele3586
@josephndekele3586 Жыл бұрын
Kazi nzuri,hongera sana
@NTEMI-OBURUDANI
@NTEMI-OBURUDANI Жыл бұрын
Nakubari sana jamaa yangu ngoma kari sana 🎉🎉🎉
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@joshuaezekiel5268
@joshuaezekiel5268 Жыл бұрын
achia na shikome hapo umetisha sana
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@Pascocharles1997
@Pascocharles1997 Жыл бұрын
Endelea kuachia ngoma br tumezisubr kwahamu sana
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@SamwelJacob-xj2zw
@SamwelJacob-xj2zw Жыл бұрын
Chacha wewee??? Biggest singer in sukuma
@MUSAMASANJAMIKOMANGWA
@MUSAMASANJAMIKOMANGWA 6 ай бұрын
Sema kweli kisima tunajivunia wasukuma minguu akuzidishie balaka ili uzid kutufuluaisha
@kulwashuga
@kulwashuga Жыл бұрын
Kisima ama kweli wajua kufurahisha ss washabiki wako make hui ngoma tuliisubili kwa hamu sana nikitokea simiyu meatu
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@sikujuajames-y1l
@sikujuajames-y1l Жыл бұрын
Kaz nzr kaka kisima endelea kutufurahisha
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@paulbhozenganwa
@paulbhozenganwa Жыл бұрын
Pumbavu zako kisima nahii🎉🎉🎉
@kidevunationmedia4656
@kidevunationmedia4656 Жыл бұрын
ngoma kali sana kaka majabala 😂
@JumamgemamatogoloMatogol-de8gx
@JumamgemamatogoloMatogol-de8gx 11 ай бұрын
Afrika Tanzania 🇹🇿 zima wasukuma ndio wanaongoza kwa mziki wa asili hakuna kabila lingine linaloongoza kwa mziki wa asili budagala na kisima na bahati Bugalama na gude gude nakubari shoo
@Jameskakola
@Jameskakola Жыл бұрын
Leo nimeipata ninayo ipeda hiii nyimbo james kakola hapa❤❤❤❤
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@AbelSalu
@AbelSalu 2 ай бұрын
ww ni fahari ya wasukuma wote mashairi makali pia style umeua
@millardtz6493
@millardtz6493 Жыл бұрын
Kazi nzuri , the greatest singer
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@radoxvaxibndavis7068
@radoxvaxibndavis7068 Жыл бұрын
director migera appreciate ,,kisima cna cha kusema
@BoniphaceSaid
@BoniphaceSaid 5 ай бұрын
Namba Moja hapana Kuna budaghala jaman usisahau Hilo kaka mm nampa namba2 kisima
@dottomoshidottomoshi
@dottomoshidottomoshi Жыл бұрын
Miaka mingi sana kaka unajua kuimba💪💪💪
@lucasbusagala4033
@lucasbusagala4033 Жыл бұрын
Imenigusa San at kwetu kwa busagara wapo umewafikishia ujumbe
@HonaBujiku
@HonaBujiku 11 ай бұрын
Kali ya mwaka jmn ❤Mimi mshabiki wako kutoka mahembe simiyu saivi nipo mbeya shuleni chuo
@ShedboyBuson
@ShedboyBuson 15 күн бұрын
Kisima nakukubali vibaya San mwaka juzi nilikuona ushirombo ukipafom ila nataka siku uje upafomu dar niliko au km vip nitumie namb yk mr
@Lightness-r8r
@Lightness-r8r Жыл бұрын
Your the winner❤
@JacksonJeremiah-b6z
@JacksonJeremiah-b6z 8 ай бұрын
Kisima umetisha sana kaka mimi nipo karagwe kagera.
@JacksonJeremiah-b6z
@JacksonJeremiah-b6z 8 ай бұрын
Tuko pamoja kaka karibu karagwe chonyonyo
@YohanaTanika-ff2vf
@YohanaTanika-ff2vf 11 ай бұрын
Namkubali sana kisima mungu akupe maisha marefu
@rogetichuo4687
@rogetichuo4687 Жыл бұрын
Nice job get salute broo......MTC up....!!
@MabulaJonasLukaja-cm9je
@MabulaJonasLukaja-cm9je 10 ай бұрын
tunasubiri kisima kazi ya 2024 haraka niko pande za Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MabulaJonasLukaja-cm9je
@MabulaJonasLukaja-cm9je 10 ай бұрын
Haki nyimbo zako ziko sawa brother, sio za matusi, kama za msanii wetu ngulyati , haki alimtusi msanii gude gude sikupenda kabisa na gude gude hana noma kabisa
@mayalamagoso5692
@mayalamagoso5692 9 ай бұрын
Resvd
@mrishobulabo8014
@mrishobulabo8014 Жыл бұрын
Tuliokuw tunasubiri hii ngoma gonga like hapa🔥🔥🔥🔥🔥
@AmosPastory-yb1em
@AmosPastory-yb1em 7 ай бұрын
Nyimbo nzuri sana na inaujumbe nasikiliza na naipenda kazi yako sana japo mimi ni ngalu nawe ni ngika
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@user-samweli
@user-samweli Жыл бұрын
Nazunije ngosha ukembaga chiza sana 🎉🎉
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@machiyajohnmbasa2746
@machiyajohnmbasa2746 Жыл бұрын
Sana kaka unaweza sana❤❤❤
@machiyajohnmbasa2746
@machiyajohnmbasa2746 Жыл бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@fredrickhenrygwantemi1816
@fredrickhenrygwantemi1816 11 ай бұрын
Alright My home boy, you're talented man
@pawakabili6069
@pawakabili6069 Жыл бұрын
Safi sana homeboy,, unajua unachokifanya, no one like you in sukuma tribe artists. wengine wakae pembeni wanatumalizia MB's zetu bule. Nyimbo zao hazina dhamira.
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@HamisiKamwelo
@HamisiKamwelo 2 ай бұрын
Kisima nakukubari sana ngoma bhazunije video unayo
@mbuziwakutaga
@mbuziwakutaga Жыл бұрын
Kisima kumbe na kucheza unajua🔥🔥🔥
@onesmomalifedha4709
@onesmomalifedha4709 Жыл бұрын
Pamoja kisima -from Moshi tz.Bhabha Ng'wanankanda nnamala wa masala!!!
@MiizumbiMasanja
@MiizumbiMasanja 6 ай бұрын
Mm mizumbi masanja kutoka mwanhuz meat nimeipenda nyimbo yamwanakanda
@shijadotto
@shijadotto Жыл бұрын
Safi brother biga kazi❤
@mussamashiba568
@mussamashiba568 Жыл бұрын
Aiseeeee unajua kuimba
@barnabamasigani221
@barnabamasigani221 Жыл бұрын
Nice song brother
@hamischiba4458
@hamischiba4458 Жыл бұрын
Safiiiii san kijana.
@ChazzyJohn
@ChazzyJohn Ай бұрын
Dumisha tamaduni zetu Kisima (very nice Kisima Mungu akulinde uzidi kuelimisha kwa nyimbo zako nzuri kaka)
@farajamassam3549
@farajamassam3549 Ай бұрын
Jljlpp0
@NgoshaSimeo-ex5yn
@NgoshaSimeo-ex5yn 9 ай бұрын
Nice to you my favourite singers
@abellutonja4589
@abellutonja4589 Жыл бұрын
Bhulumba bo mbuli bhuhtina pafyumu😂😂😂😂 nyoko kisima aseee nmecheka
@paulmabimbi2117
@paulmabimbi2117 Жыл бұрын
Nice song hongera sanaa kaka never giveup
@joelmathias1193
@joelmathias1193 6 ай бұрын
Upo vzur sana kaka mm nipo kigoma nakukubali sana kaka
@NhobolangassaSteven
@NhobolangassaSteven 11 ай бұрын
Hogera kisima umetufurahisha sana washabiki wako
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@masungasayi3298
@masungasayi3298 Жыл бұрын
Hongera kk pamoja sana
@juniorkibunje2289
@juniorkibunje2289 Жыл бұрын
Kisima nafurahia kaz zako piga kaz kuna wasanii wanakuponda kiukweli inanichoma ila so shida ss binadam ukisonga mbele tu kidogo wanataman hata wakutoe roho kwakidogo ulicho nacho
@dottomoshidottomoshi
@dottomoshidottomoshi Жыл бұрын
Watu wazuri kuwaangalia tu ata ukiwasaidia lawama azitaisha 😂😂🎉
@MohamedMazoya
@MohamedMazoya 9 ай бұрын
Kaka nakuelewa sana niko hapa mganza siku ukija zawadi zako zipo
@LameckOlomayana
@LameckOlomayana 9 ай бұрын
Kisima uko vizur sana kandamiza ngoma,
@EdwardMgini
@EdwardMgini 4 ай бұрын
good songs but sijui kisukuma nimeipenda hii from kurya
@DeoHabi-bi8ch
@DeoHabi-bi8ch Жыл бұрын
Good message Mr kisima and kasuka familly
@RachelThomas-ox3jr
@RachelThomas-ox3jr Жыл бұрын
Nyimbo zetu za asili naenjoy sana japo spo nyumban nkiona kaz hiz nakumbuka kwetu usukuman❤
@AllyHamis-d9y
@AllyHamis-d9y 11 ай бұрын
bigapu,kisima,mminishabikiwakotokakitambo saanailasijawaikukutana nawewe,kwenyeeshooyako,kalibia,zanzibali
@williamshimba9371
@williamshimba9371 6 ай бұрын
😅my favourite singer
@SimonCharles-p9q
@SimonCharles-p9q 11 ай бұрын
Hongera sana mwamba unauweza mziki wetu wa asili
@NYABHANANERAKABA
@NYABHANANERAKABA 2 ай бұрын
Dogo uko vizuri nakukubali sana nipo dar
@JumamgemamatogoloMatogol-de8gx
@JumamgemamatogoloMatogol-de8gx 11 ай бұрын
Kisima tuliwahi kucheza naye kwenye ngoma nza asili baliadi simiyu mimi nilikua munungule kwa bagalu yeye ni ngika alikua kwa Mayunga kidoyayi lakini sasa mgaga wetu alikufa na mbina ikafa yeye kisima kaendelea kuitangaza tamaduni yetu hongera kweke
@gapindega208
@gapindega208 Жыл бұрын
Kazi ya mwanaume, Tupambane huku tukiburudika na nyimbo za king Majabala. Karibu tena na tena Majmoto
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@SergepacomeZokou-m4d
@SergepacomeZokou-m4d Жыл бұрын
Je comprends pas ta langue mais tu vraiment fort icône de l'Afrique
@georgelusana2346
@georgelusana2346 11 ай бұрын
You speak english? I can translate
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 9 ай бұрын
Tu est où actuellement ?
@JacksonJacob-n2c
@JacksonJacob-n2c Ай бұрын
Sikiliza we kisima,hebu tupia namba za ngw'anankanda tumfate akatuzindike sisi
@jthedjmusicngudukwimbatv7707
@jthedjmusicngudukwimbatv7707 Жыл бұрын
Nyie kila mtu wa kwanza semeni nini wadau ngojeni m nicheki maufundi kwanza kama haki imetendeka afu nakuja kwamala ya pili na Neno sasa
@MigeraStudio
@MigeraStudio Жыл бұрын
Number yako kaka
@MagrethSimon-re3ym
@MagrethSimon-re3ym 4 ай бұрын
Hongera Sana kisima piga kazi kaka
@bonifacehamis4088
@bonifacehamis4088 11 ай бұрын
Unajua sana kisima wetu
@MichaelJohn-d7i
@MichaelJohn-d7i 11 ай бұрын
Kisima uje na dar es salaam tukuone hata maana unatisha sana mtandaon
@marcokasuka105
@marcokasuka105 Жыл бұрын
Honger faz
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@PhilipoLubango-wv6qr
@PhilipoLubango-wv6qr Жыл бұрын
Uko vizuri bro👍👍
@MalimiLameck
@MalimiLameck 7 ай бұрын
Hongera kijana unaupiga mwigi
@SamweriMkaga
@SamweriMkaga 4 ай бұрын
Katie ya wasanii wa ability kwa kisìma mwisho
@JeremiahMisonga-mp8gm
@JeremiahMisonga-mp8gm 9 ай бұрын
Waambie wanaa, hapa dunian tuja sana
@nyimba20
@nyimba20 11 ай бұрын
Ni kwel kabsa unao kula nao ndo wanaokuchimba inauma ila haina namna
@Wamiujiza
@Wamiujiza 6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@gumadambiti4071
@gumadambiti4071 7 ай бұрын
Kazi nzuri saaana kaka angu pga kz msanii wetu bariad simiyu kwt nyumbn pamoja saaana
@tuyajengeyaishe-vq5pq
@tuyajengeyaishe-vq5pq Жыл бұрын
Ndugu yangu kisima kiukweli unakipaji unamzidi hata mwalimu wako kwasasa
KISIMA _SHIKOME OFFICIAL VIDEO 4K
15:24
Kisima Majabala
Рет қаралды 491 М.
KISIMA _SHILATU OFFICIAL VIDEO 4K
11:47
Kisima Majabala
Рет қаралды 219 М.
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 37 МЛН
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00
EVA mash
Рет қаралды 1,4 МЛН
MWIZI WA KUKU PART 1A (MZEE MAJUTO) Official Bongo Movie
34:01
Zuuh Ally
Рет қаралды 808 М.
Ng'wana Kang'wa _ Harusi ya Ngolo Official Video
14:01
Ng'wana Kang'wa
Рет қаралды 418 М.
KISIMA MAJABALA 2024 IMETAFASILIWA
27:10
ITEMO tv
Рет қаралды 15 М.
BABA YANGU KIPOFU Full Episode  /54/ #love
27:41
BabaJoan
Рет қаралды 21 М.
kisima _Bhazunije Official Audio
14:10
Kisima Majabala
Рет қаралды 92 М.
Kisima_Selina-Officail Video 2022
15:18
Kisima Majabala
Рет қаралды 579 М.
Kisima_ Bhuhabhi _Official Video
16:05
Kisima Majabala
Рет қаралды 401 М.
Limbu luchagula x Mayiku sayi ft Shule_Zilipendwa_Official Video 4K
10:33
Kisima  Namonge Official Video
11:51
Kisima Majabala
Рет қаралды 228 М.
Kisima_Jirani_Official Video 4k
12:04
Kisima Majabala
Рет қаралды 83 М.