Kisima leo umejua kutufurahisha mashabiki zako salutiii🔥🔥🔥
@OscarShimba-u9dАй бұрын
Nakukubali sana kila ngoma unashusha inaenda ngoma zako za heshima sana ww wakomeshe wanafiki furaha yangu kukuona unasonga mbele piga kazi the greatest singer in sukuma tribal mm hapa shinhu ya nkila mayengela famili
@ibrahimmbogo1274 Жыл бұрын
Ipo siku wataelewa tu jamaa yangu natamani nikuone ikulu unapfomu live kwa nguvu zake mungu itawezakan amina Ibrah nyarugusu hapa
@mbuziwakutaga Жыл бұрын
Yaan skuiz kisima ndo unazid kutufraisha mashabiki wako hususan mm yaan ukiwa unacheza ndo Huwa unatukosha kweli nipo hapa tunaiangalia video yako na familia wanaenjoy💪💪
@PascoMakandila-yk7sk Жыл бұрын
Uko vzr najivunia kuwa msukuma aisee
@MachimuKija17 күн бұрын
Hakuna wakukupinga ww ni mwamba nazipenda sana nyimbo zako zinaujumbe mzuri sana 🙏 🙏
@MussaSimeo-j1h Жыл бұрын
Msanii namba moja nyimbo za asili
@janjajanjatv7939 Жыл бұрын
Wimbo huu unanifanya niwe jasili sana hongera sana kaka kisima🔥🔥🔥
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@AlliPo-21 Жыл бұрын
Hiv nyimbo imetoka au naota greatest singer pamoja sana❤
@SAGANDANDAKILO-h9d10 ай бұрын
Kisima nakuelewa sana ndg yangu endelea na hiyo Kasi kiukweli unatoa fundisho kubwa sana Kwa Watu wanaosikiliza ujumbe. Mungu akutie nguvu na akuepushe mbali na watesi wako ambao hawapendi mafanikio Yako. Mimi nitaendelea kuwa Shabiki wako namba Moja kutoka Mwandoya- Meatu. Ubarikiwe sana.
@HASSANISAKALANI-xv7nw Жыл бұрын
Big up kaka tupo pamoja tuna kupenda sana kisima by January from Nhwande.
@RichardMakingi Жыл бұрын
Nipo moro wilaya ya moro vijijiniwalugulu na wapogolo wanazikubali nyimbo zako nazipiga sana huku njoo upige show huku moro
@RichardMakingi Жыл бұрын
Naitwa Richard Makingi saluti kwako kisima pambana jembe langu
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@davidwizyrade29147 ай бұрын
Nice mwamba hii nimeipenda sana tena kama hapo mwisho sita
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@NgassaJumanne4 күн бұрын
Kaka uko vizuri sanaa Ngassa nipo tabora nakucheki vzr cna
@bonifacehamis408811 ай бұрын
Babu Peter kasuku nipo naye hapa anajisikia amani kuona ukimpa sifa zake anaujunzi sana kwenye tiba ya kienyeji 💥💥💥🥳
@masanjakashindye320711 ай бұрын
Nakukubali xana kaka hasa bhuhabhi hiyo nyimbo basi tu
@masanjakashindye320711 ай бұрын
Naomba na namba ako bro kalibu xana kaliua
@baloziwaghetto814 Жыл бұрын
tofauti yako na wasukuma wenzako n kwambaa nyimbo zako n zakuandika so akil inatumikaaa ,,,ila wenzako wanaimbago ovyo ovyo tuuu
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@mussamhigi5678 Жыл бұрын
hongera sana kwa kazi nzuri komaa mwenyezi mungu akusaidie ufike mbali zaidi ya hapo ulipo
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@Ndushikayungilo722 Жыл бұрын
Hakika kisima wewe ni mtunzi wa tungo za kuelimisha jamii hongeraaaaa.
@yohannajr9558 Жыл бұрын
Nyimbo iko poa Sana huwez kuchoka kusikiliza na kuangalia video yake 🙏🙏
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@philipodiyarago7797 Жыл бұрын
Good job mr majabala congrats
@IkambulaMtunga4670 Жыл бұрын
Agreatest Singer Majabala fundi wa nyimbo za asili Big up bro
@KOmom-fh2vg11 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@Wamiujiza6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@KabiligaHassan2 ай бұрын
🎉
@burhaniasanali8666 Жыл бұрын
Aiseeeh kisima uko vzr na video zako ila bigap sana uko vzr nipo hapa igunga nawatemeshea kz zako
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@jersonlukinda9410 Жыл бұрын
Mfalme wa wafalme, Hongera sana Mwamba.
@japhetsahani712111 ай бұрын
Mimi nmshabiki wa gude gude ila nmehamia kwa kisima **KISIMA was a pure talent from god,, love this song from Canada 🎣🎣🎿🎿🛷🛷🛷🛷🎿🎿🛷🛷🎿🎿🎣🎣🎣🎿🛷🛷🎮🎱♥️🔮🎰🀄🎮🎲
@stevenlameck90144 ай бұрын
Nakuamini sana kisima huumwaka ni wakwako naipenda nikiwa kigoma m..k..muha
@RamadanPaul7 ай бұрын
From Saudi Arabia 🇸🇦. I love my country Tanzania, love my tribe sukuma.
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@Kilasmndewa Жыл бұрын
Hizi ngoma huwaga ni hatari sana . Kisima majabala watu wanangoja shoo Yako Kwa hamu sana huku dodoma . Yaani huwezi kuwambia kitu kuhusu ww❤❤❤
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@josephndekele3586 Жыл бұрын
Kazi nzuri,hongera sana
@NTEMI-OBURUDANI Жыл бұрын
Nakubari sana jamaa yangu ngoma kari sana 🎉🎉🎉
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@joshuaezekiel5268 Жыл бұрын
achia na shikome hapo umetisha sana
@Wamiujiza6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@Pascocharles1997 Жыл бұрын
Endelea kuachia ngoma br tumezisubr kwahamu sana
@Wamiujiza6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
Kisima ama kweli wajua kufurahisha ss washabiki wako make hui ngoma tuliisubili kwa hamu sana nikitokea simiyu meatu
@Wamiujiza6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@sikujuajames-y1l Жыл бұрын
Kaz nzr kaka kisima endelea kutufurahisha
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@paulbhozenganwa Жыл бұрын
Pumbavu zako kisima nahii🎉🎉🎉
@kidevunationmedia4656 Жыл бұрын
ngoma kali sana kaka majabala 😂
@JumamgemamatogoloMatogol-de8gx11 ай бұрын
Afrika Tanzania 🇹🇿 zima wasukuma ndio wanaongoza kwa mziki wa asili hakuna kabila lingine linaloongoza kwa mziki wa asili budagala na kisima na bahati Bugalama na gude gude nakubari shoo
@Jameskakola Жыл бұрын
Leo nimeipata ninayo ipeda hiii nyimbo james kakola hapa❤❤❤❤
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@AbelSalu2 ай бұрын
ww ni fahari ya wasukuma wote mashairi makali pia style umeua
@millardtz6493 Жыл бұрын
Kazi nzuri , the greatest singer
@Wamiujiza6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@radoxvaxibndavis7068 Жыл бұрын
director migera appreciate ,,kisima cna cha kusema
@BoniphaceSaid5 ай бұрын
Namba Moja hapana Kuna budaghala jaman usisahau Hilo kaka mm nampa namba2 kisima
@dottomoshidottomoshi Жыл бұрын
Miaka mingi sana kaka unajua kuimba💪💪💪
@lucasbusagala4033 Жыл бұрын
Imenigusa San at kwetu kwa busagara wapo umewafikishia ujumbe
@HonaBujiku11 ай бұрын
Kali ya mwaka jmn ❤Mimi mshabiki wako kutoka mahembe simiyu saivi nipo mbeya shuleni chuo
@ShedboyBuson15 күн бұрын
Kisima nakukubali vibaya San mwaka juzi nilikuona ushirombo ukipafom ila nataka siku uje upafomu dar niliko au km vip nitumie namb yk mr
@Lightness-r8r Жыл бұрын
Your the winner❤
@JacksonJeremiah-b6z8 ай бұрын
Kisima umetisha sana kaka mimi nipo karagwe kagera.
@JacksonJeremiah-b6z8 ай бұрын
Tuko pamoja kaka karibu karagwe chonyonyo
@YohanaTanika-ff2vf11 ай бұрын
Namkubali sana kisima mungu akupe maisha marefu
@rogetichuo4687 Жыл бұрын
Nice job get salute broo......MTC up....!!
@MabulaJonasLukaja-cm9je10 ай бұрын
tunasubiri kisima kazi ya 2024 haraka niko pande za Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MabulaJonasLukaja-cm9je10 ай бұрын
Haki nyimbo zako ziko sawa brother, sio za matusi, kama za msanii wetu ngulyati , haki alimtusi msanii gude gude sikupenda kabisa na gude gude hana noma kabisa
@mayalamagoso56929 ай бұрын
Resvd
@mrishobulabo8014 Жыл бұрын
Tuliokuw tunasubiri hii ngoma gonga like hapa🔥🔥🔥🔥🔥
@AmosPastory-yb1em7 ай бұрын
Nyimbo nzuri sana na inaujumbe nasikiliza na naipenda kazi yako sana japo mimi ni ngalu nawe ni ngika
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@user-samweli Жыл бұрын
Nazunije ngosha ukembaga chiza sana 🎉🎉
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@machiyajohnmbasa2746 Жыл бұрын
Sana kaka unaweza sana❤❤❤
@machiyajohnmbasa2746 Жыл бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@fredrickhenrygwantemi181611 ай бұрын
Alright My home boy, you're talented man
@pawakabili6069 Жыл бұрын
Safi sana homeboy,, unajua unachokifanya, no one like you in sukuma tribe artists. wengine wakae pembeni wanatumalizia MB's zetu bule. Nyimbo zao hazina dhamira.
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@HamisiKamwelo2 ай бұрын
Kisima nakukubari sana ngoma bhazunije video unayo
@mbuziwakutaga Жыл бұрын
Kisima kumbe na kucheza unajua🔥🔥🔥
@onesmomalifedha4709 Жыл бұрын
Pamoja kisima -from Moshi tz.Bhabha Ng'wanankanda nnamala wa masala!!!
@MiizumbiMasanja6 ай бұрын
Mm mizumbi masanja kutoka mwanhuz meat nimeipenda nyimbo yamwanakanda
@shijadotto Жыл бұрын
Safi brother biga kazi❤
@mussamashiba568 Жыл бұрын
Aiseeeee unajua kuimba
@barnabamasigani221 Жыл бұрын
Nice song brother
@hamischiba4458 Жыл бұрын
Safiiiii san kijana.
@ChazzyJohnАй бұрын
Dumisha tamaduni zetu Kisima (very nice Kisima Mungu akulinde uzidi kuelimisha kwa nyimbo zako nzuri kaka)
@farajamassam3549Ай бұрын
Jljlpp0
@NgoshaSimeo-ex5yn9 ай бұрын
Nice to you my favourite singers
@abellutonja4589 Жыл бұрын
Bhulumba bo mbuli bhuhtina pafyumu😂😂😂😂 nyoko kisima aseee nmecheka
@paulmabimbi2117 Жыл бұрын
Nice song hongera sanaa kaka never giveup
@joelmathias11936 ай бұрын
Upo vzur sana kaka mm nipo kigoma nakukubali sana kaka
@NhobolangassaSteven11 ай бұрын
Hogera kisima umetufurahisha sana washabiki wako
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@masungasayi3298 Жыл бұрын
Hongera kk pamoja sana
@juniorkibunje2289 Жыл бұрын
Kisima nafurahia kaz zako piga kaz kuna wasanii wanakuponda kiukweli inanichoma ila so shida ss binadam ukisonga mbele tu kidogo wanataman hata wakutoe roho kwakidogo ulicho nacho
@dottomoshidottomoshi Жыл бұрын
Watu wazuri kuwaangalia tu ata ukiwasaidia lawama azitaisha 😂😂🎉
@MohamedMazoya9 ай бұрын
Kaka nakuelewa sana niko hapa mganza siku ukija zawadi zako zipo
@LameckOlomayana9 ай бұрын
Kisima uko vizur sana kandamiza ngoma,
@EdwardMgini4 ай бұрын
good songs but sijui kisukuma nimeipenda hii from kurya
@DeoHabi-bi8ch Жыл бұрын
Good message Mr kisima and kasuka familly
@RachelThomas-ox3jr Жыл бұрын
Nyimbo zetu za asili naenjoy sana japo spo nyumban nkiona kaz hiz nakumbuka kwetu usukuman❤
Kisima tuliwahi kucheza naye kwenye ngoma nza asili baliadi simiyu mimi nilikua munungule kwa bagalu yeye ni ngika alikua kwa Mayunga kidoyayi lakini sasa mgaga wetu alikufa na mbina ikafa yeye kisima kaendelea kuitangaza tamaduni yetu hongera kweke
@gapindega208 Жыл бұрын
Kazi ya mwanaume, Tupambane huku tukiburudika na nyimbo za king Majabala. Karibu tena na tena Majmoto
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@SergepacomeZokou-m4d Жыл бұрын
Je comprends pas ta langue mais tu vraiment fort icône de l'Afrique
@georgelusana234611 ай бұрын
You speak english? I can translate
@simonmwandu22149 ай бұрын
Tu est où actuellement ?
@JacksonJacob-n2cАй бұрын
Sikiliza we kisima,hebu tupia namba za ngw'anankanda tumfate akatuzindike sisi
@jthedjmusicngudukwimbatv7707 Жыл бұрын
Nyie kila mtu wa kwanza semeni nini wadau ngojeni m nicheki maufundi kwanza kama haki imetendeka afu nakuja kwamala ya pili na Neno sasa
@MigeraStudio Жыл бұрын
Number yako kaka
@MagrethSimon-re3ym4 ай бұрын
Hongera Sana kisima piga kazi kaka
@bonifacehamis408811 ай бұрын
Unajua sana kisima wetu
@MichaelJohn-d7i11 ай бұрын
Kisima uje na dar es salaam tukuone hata maana unatisha sana mtandaon
@marcokasuka105 Жыл бұрын
Honger faz
@Wamiujiza6 ай бұрын
Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏
@PhilipoLubango-wv6qr Жыл бұрын
Uko vizuri bro👍👍
@MalimiLameck7 ай бұрын
Hongera kijana unaupiga mwigi
@SamweriMkaga4 ай бұрын
Katie ya wasanii wa ability kwa kisìma mwisho
@JeremiahMisonga-mp8gm9 ай бұрын
Waambie wanaa, hapa dunian tuja sana
@nyimba2011 ай бұрын
Ni kwel kabsa unao kula nao ndo wanaokuchimba inauma ila haina namna
@Wamiujiza6 ай бұрын
Haaaaa noma sana tule hamo. Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio. Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili
@gumadambiti40717 ай бұрын
Kazi nzuri saaana kaka angu pga kz msanii wetu bariad simiyu kwt nyumbn pamoja saaana
@tuyajengeyaishe-vq5pq Жыл бұрын
Ndugu yangu kisima kiukweli unakipaji unamzidi hata mwalimu wako kwasasa