Nyinyi ni wazoefu wote Katika Sanaa Lakini mnashuti kizembe Sana haiwwzekani washiliki wote wanatkea sehemu moja
@erickbayega1804 Жыл бұрын
Kumbe nawe umeliona hilo... Siyo rahis watu wote watokee upande mmoja na kila mmshrki akiingia anauliza swal lilelile
@sylivestermachemba5776 Жыл бұрын
Mmmmmmm
@abidandastanmaliyatabu137310 күн бұрын
Hafu wanajifungulia geti
@cutesuu7255 Жыл бұрын
Mbavu zangu mie aaaaah nacheka na bdo nko mwanzo 🤣🤣🤣🤣
@marwa2862 Жыл бұрын
First from Kenya 🤣🤣
@mgucci896 Жыл бұрын
😁😁😁😁daah aise
@abuuintisaar2104 Жыл бұрын
Nyie wehu😄😄😄😄
@ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын
Am tz mbavu zang stan bakora🥰 ❤😅😅anakuweza NEY WA MITEGO TU😅😅😅🤣
@alfanimussa8279 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣et cjui hajachamba mwezi mzima🤣🤣🤣🤣
@sarahomary3615 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zangu mm Uwiiii bakari kataka kuuwa watu
@aminasalim8708 Жыл бұрын
Stan kijambo cha kichura chura🤣🤣🤣🤣💨💨💨💨nyie bn daaah
@aminamgaya7511 Жыл бұрын
Dahhh aise nimecheka balaaaaa stan jaman
@ayoubdallu4476 Жыл бұрын
Wapizani wamekubari jamaa apewe hela🤣🤣🤣🤣🤣🙋
@totooz5853 Жыл бұрын
Wallahi cjaona kobelo akiwa kwenye hali ya kawaida bila ulevi😄😄hata interview yke cjawai hona kwa kwel ckui yuwakaaje bila kulewa🥰🤣🤣i wish nione japo ka interview
@aminamjema9753 Жыл бұрын
Zipo angalia utaziona anaongea kawaida
@jumakandy2075 Жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁daar noma sana
@user-kh6vu3if8k11 ай бұрын
Mmmmmh stani bakola unazingua Sana hehehehe
@mateoyinza1628 Жыл бұрын
Ngoja nitoe chenyew cha mashindano! Watu Aaaaaaaaaaah Utatuua! 😁 Ahahaha
@rahmaabuu2829 Жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti😂😂😂😂
@zuwenamussa3518 Жыл бұрын
Hata mimi pia
@benardmukani902 Жыл бұрын
II noma sana 😂🤣Stan bana😂🤣🤣🇰🇪
@HajiMaster-fz1hq10 ай бұрын
Noma Sana Hiyo maana Tayari Kuna mashindano Ya Aina Mbili Kucheza Rede Na Kujamba Yaani Sio Poah
@neemazee1864 Жыл бұрын
Ila next time mbadilike, Stan katokea njia hiyo hiyo, kobelo pia hd bakari Anhaaaa jmn hp mmezinguwa...
@hopedigitalmedia34 Жыл бұрын
Cjaona shida hapo kwa njia moja inahusisha watu wengi wanaopta kwa cku so c ajab ao kutokea njia moja chukulia
@neemazee1864 Жыл бұрын
@@hopedigitalmedia34 ujui k2 mtt mdogo ww....
@furahamoja658210 ай бұрын
Mbavu zanguuuuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤
@fatmaalmujhairu1977 Жыл бұрын
😂😂😂nakufa nakucheka mie😂😂
@husseinathuman6630 Жыл бұрын
Aaaa pow pow broo stan
@ramadhanimsomanga5448 Жыл бұрын
TZ kunavijana wanajuwa ubunifu na burudani, big up sana
@rajabu3128 Жыл бұрын
Rajabu
@ilovejesus666 Жыл бұрын
Nimekuja kwasababu ya kijamboo
@eunicewambui4645 Жыл бұрын
Nyie watzd mungu anawaona dah hicho kijambo bwana 😂😂😂
@ibrahimsaid2367 Жыл бұрын
Bakarii ni nomaaaaaa mpen nafasi nyingineeee jamaniii🤣🤣🤣🤣
Tanzania yetu raha sana dah bado mashindano ya kuhara2 na ya kunya kitukimba , Yan mama Samia we ongoza2 ujuavo huku sisi hatuna shida yyt raia wako tukikaa tukijambia2 inatosha tunafrah na maisha yanatuendea hata km hatuna Ela tunaenjoy maisha 😂😂😂🚀🇷🇺💪🥂🤣
Hatr sana aiseeeee mpe hela yake , alafu mtu anakwambia mmmh ushindi wa hvyo siutaki mm, wacha niwape cha mashindano , Stan kwa mbali wanakwambie weeeee unatka kutuua au 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥
@thomasherman5661 Жыл бұрын
Vijan wap vizr san
@julianapatrick7911 Жыл бұрын
He nami nahtaj kushiriki
@bonifaceabbas9167 Жыл бұрын
kwenye maisha usimdharau mtu.
@charlesndulani7966 Жыл бұрын
Hapo Kuna diseal, mafuta ya taa na petrol kilichoonekana petrol ni nomaaaa sana
@philipokusekwa73955 ай бұрын
Hahahaha jamaa jinga keli hili😂😂😂😂😂
@everlyneiminza5722 Жыл бұрын
Aki hii group ni noma yani mtu huchoki lzma tu uishe vipaji wanavyo kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@masalushilangila3405 Жыл бұрын
Nyie ni nomaaaaaaa
@professionalbarbershoptdmt6492 Жыл бұрын
Aaaha kumamake😃😃😃😀😀
@user-gu6wg6jp5n29 күн бұрын
Nimecheka jaman kaah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@almadrasattawheed1577 Жыл бұрын
Ushindi wa namna hii mimi siukubaliiii🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂😂
@marianakamb-fg7sk Жыл бұрын
Hunampinzan babaa😂😂😂
@yahayajuma4539 Жыл бұрын
Bakariii daaaaah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jaydsamirasamira8674 Жыл бұрын
Yaan wa Tanzania shikamoo yenu from Rwanda 🤣😂😅 mtaniuwaaa
@user-it6un3tx3o11 ай бұрын
Hahahaha daah shida
@veronicanyangi50110 ай бұрын
😂😂😂😂ila nyie kaaah!😂😂😂
@ayoubdallu4476 Жыл бұрын
Nimecheka mpaka machozi🙋🤣🤣🤣
@sophiamussa4319 Жыл бұрын
Yaani hata cjamaliza kuangalia kobelo kanivunja mbavu😂😂😂
@aminahhuawei1133 Жыл бұрын
Hahahahaha mbavu zangu mutatuua kwa kutuchekesha janani maana nimecheka mpaka mbavu zinauma asanten🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣