hawa watu wamebadili. kabisa game asee, tulizoe wasemaji lazima wawe hawana ustaarabu, maneno ya hovyo yawe mengi, ila mpaka sasa neno la hovyo nililowahi kusikia ni moja tuu, kuna mtu aliona ni bora andazi kuliko mwalimu wa mwenzie😂😂❤😂😂😂😂
@dullamuso6955 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Nimewapenda Mno
@robertphilip385 Жыл бұрын
Kujipendekezatu hi inchi inachawa wengi sana
@aminadigalu7717 Жыл бұрын
Na enjoy sana kuwasikiliza hawa wasemaji wakikutana 😂😂
@khalfansingano Жыл бұрын
😂😢😅😂 Ahmed ali wallah unankosha sana mwanang dah😂😅
@jumas.sendekwa2788 Жыл бұрын
Mwakakogwa
@ZakayoGasno Жыл бұрын
Kwel
@jacobsadock3530 Жыл бұрын
Nimefurahi sn kuwaona hawa jamaa pa1 wakifurahi
@chicocanjirah3941 Жыл бұрын
Ahmedy kama amependeza hv😂😂
@kaisarimbisso5011 Жыл бұрын
Inaonekana ameongeza speed ya glass siku hizi😂
@allymtunge5530 Жыл бұрын
Et mashujaa
@castormahundi4036 Жыл бұрын
Hawa ndio wasemaji sasa sio yule mzungu poli:
@allymtunge5530 Жыл бұрын
😂😂😂
@allymtunge5530 Жыл бұрын
Wanakera hawo eti mashujaaa wakina zaka😂😂😂
@nasraniko-mr2lv Жыл бұрын
Mzungu pori ndo nani
@Samsonilaizer Жыл бұрын
👏👏👏🦁🏆🏆🏆💪💪💪💪
@Samsonilaizer Жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏🦁❤❤❤
@BigZhumbe Жыл бұрын
Sema Ali Kamwe ana Komwe alafu mganga wake amemwambia popote aendapo asiache jezi ya Yanga amekua kama Mgunda na jinzi lake. 😂😂😂😂😂
Vile zakha wamekumic uku njoo zaka jaman najua Kama wanakujua
@jumahamad9463 Жыл бұрын
KIZIMKAZI WAMEFATA NINI HUKO WOTE KUROGA TU AU
@ahmedmukolwe43 Жыл бұрын
Wee dada jisitiri wacha ujinga
@rajabushedafa6397 Жыл бұрын
😂😂😂😂ila nyie wasemaji nawakubar sana vichaaa nyie
@dilludillu2747 Жыл бұрын
😂
@obaranchasobaranchas1763 Жыл бұрын
Ahmed ni mwananchi huko kwa makolo basi tu ndiyo maana akitoka kama hivi havai ile mishuka ya waganga
@amaniomar1755 Жыл бұрын
Kama nakuelewa hivi kaka
@NaymaTarimo Жыл бұрын
@@amaniomar1755 kumbe mnamkubali
@yohanalukindo3737 Жыл бұрын
Ali kamwe,privadinyo unajua ni mashabiki wa timu gani
@saidbakari2408 Жыл бұрын
@@yohanalukindo3737Hao woote ni Simba Sports Club sema utopwax wamefuata ugali tu Ahmed ni mtu anaejielewa huwezi kupeleka utimu kila sehem maana kuna watu wa Yanga wanamkubali wanatamani kupiga nae stori sasa akiwa kwenye Uzi wengine hawawezi ongea nae kwasababu ya utimu tu