Artist: Komando Wa Yesu Song: SABABU YA WENGINE Audio By Komando Music Video By ED Media Director Elijah D Contact #255679772248
Пікірлер: 346
@komandowayesu36424 ай бұрын
Twende kazi sasa naomba like hapa kama umeguswa na huu wimbo 🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇨🇩🇨🇩🇧🇮🇧🇮🇺🇲🇺🇸🇺🇬🇺🇬🇻🇮🇻🇮🇰🇿🇮🇱🇮🇱........
@NathalieMwamba-tu6yc4 ай бұрын
❤😢❤😢❤
@sellynechepkemoi44324 ай бұрын
Since I was in Kenya , I have listening to your songs , it has really blessed my heart , and now I'm in Chile 🇨🇱🇨🇱🇨🇱🇨🇱🇨🇱🇨🇱, may God expand your minstry.
@neemaxmamaneemaman88714 ай бұрын
Sanaaa❤❤❤❤
@neemaxmamaneemaman88714 ай бұрын
Ombi yangu niishi kwakusaidiya wengine
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@neemaxmamaneemaman8871 Amen
@komandowayesu36424 ай бұрын
Shallom habarini ndugu zangu. Kwa mara nyingine tena nawaletea wimbo huu unaitwa Sababu ya wengine. Ni maombi maalumu kwa ajili ya Mungu kutulinda na adui zetu kwa neema ya Mungu kama tutaondoka katika dunia hii basi iwe kwa mapenzi yake tu nasi kwa ajili ya watesi wetu Amen.
@lumierejason50194 ай бұрын
Amen Amen, Mungu atulinde. nimeliya sana nahuu wimbo, Mke wakaka yangu alifariki kisha kuzaha, aliuwawa kiuchawi tu kahacha baby na watoto 4 chini ya mika kumi😢
@ChristianMlelwa-uw4sq4 ай бұрын
Kaka ninatamani siku moja nikutane na wewe. Unisaidie mm naimba lkn wew ni modo kwangu najifunza sana kutoka kwako.
@KizaMmunga-i4p4 ай бұрын
Tunahisubiria kwa hamu sana hivi tunakesha KZbin ,nafatilia nyimbo zako nikiwa 🇺🇸 🇺🇸 🇺🇸 yaani ni mungu tu napenda nyimbi zako sana
@davidseraphe38644 ай бұрын
❤❤❤
@JeremiahNurbeth-bk8kk4 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka mkubwa...IMANA IHA UWULIHO SOWAWE
@AmaniNasoni4 ай бұрын
Nmesikiliza mpaka mwisho nimejikuta nalia kwa uchungu kama umetoa machozi kwa hu wimbo tujuane hap kwa like ❤❤
@EverlynKenneth2 ай бұрын
Eeeeh MUNGU usiruusuuuuu,TUJALIE TUPATE KUISHI SABABU YA WENGINE😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 OOOOOH YESU
@susanaseyonyundo96894 ай бұрын
Kila nikisikiza huu wimbo napata machozi yakinitoka 😢😢😢😢😢😢😢nikiomba mungu atupe maisha marefu tulee watoto wetu na familia zetu nasikiza huu wimbo more than 5 in aday
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@susanaseyonyundo9689 wahooo Mungu akubariki
@Saudath-r4i3 ай бұрын
mungu tupiganie tuishi kwa ajili ya familia zetu, nimelia sana, kama nikifa sasaiv nan atalea wanangu wakati mi ndo mama na ndo baba pia. mungu nijalie niishi miaka mingi kwa sababu ya wanangu😢😢😭😭🙏
@andreamandari70894 ай бұрын
Eee Mungu kama kuna namna iliyofanyika kuondoa furaha yangu kipindi kile machozi yangu ukayalipizie kwao maana nimeumia na Sina wa kunitetea Mimi
@komandowayesu36424 ай бұрын
Mungu yupo nawewe
@MwendaLuhungoMululo-in4jw4 ай бұрын
Tunaousubilia kwa hamu huu wimbo gonga like apa tujuane🇹🇿🇹🇿
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@MwendaLuhungoMululo-in4jw Barikiwa sana
@MwendaLuhungoMululo-in4jw4 ай бұрын
@@komandowayesu3642 Amina Mungu azidi kukuonyesha njia bora
@MercyJebet-e8x4 ай бұрын
My mum left us at a very tender age,,and let me tell you living with relatives is hell,,we suffered so much with my siblings,,may God grant me long life so I can be there for my kids whenever they need me ,,,in Jesus name Amen🙏,,nice song brother 🥰🙏
@jacklinealex22594 ай бұрын
Nakumbuka nilikua kila😂nikipitia magumu naenda kwenye kabiri la babaangu nalia weeeh uchungu ukiisha naenda zangu shule nikirudi nyumbani ugali nanyimwa na walezi wangu natoka njee nalia uchungu ukiisha naingia ndan kulala 😢 yoyote anaesoma comment hii na anaishi na mtoto ambae si wake basi aishi nae kama mtoto wake maana huwezi jua kesho atakua nani na atakua na msaada gani kwako 🙏🙏kila atakae soma comment hii Mungu ampe hikima ya kufanya mambo kwaajili ya wengine ❤❤❤#sababuya wengine❤🎉
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@jacklinealex2259 Amen 🥲🥲🥲
@estermwainuse25794 ай бұрын
Tunakuwaga wabarikiwa baadae wanaanza kuona Aib
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@estermwainuse2579 hakika 💪
@aishamsemwa-zu3eo4 ай бұрын
Pole sana
@RosemaryWanjala4 ай бұрын
Ni kweli hauwezi juu ya kesho mungu atusamehe sana
Mungu nipiganie na unilinde nilee watoto wangu katika jina la yesu amen ubarikiwe sana bro
@jannethmuinde67434 ай бұрын
Naomba niwe baraka Kwa wengine.....husiruhusu adui kutuonea mungu🙏🙏🙏🥰🥰🥰wimbo unao upako🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@komandowayesu36424 ай бұрын
Barikiwa sana 🙏
@jannethmuinde67434 ай бұрын
@@komandowayesu3642 asantee..neema ya Bwana ikutoshe 🙏
@NiceCharles-vs8wn4 ай бұрын
Nimejikuta nalia japo wazazi wangu bado ni wazima ewe mwenyezi mungu watazame mayatima pamoja na wajane, ubarikiwe sana❤
@josemero_daily4 ай бұрын
Nimeutazama huu wimbo mara 10, na bado cjatosheka...👍
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@josemero_daily Barikiwa sana
@CYLUSMOTEMA4 ай бұрын
Ni kweli vizuri havidumu.Ila Mungu asiruhusu adui kutuonea na atujalie na kutupa maisha zaidi tuishi kwa sababu ya wengine.😢😢😢
@komandowayesu36424 ай бұрын
Amen
@GT3000-c1p4 ай бұрын
Mwaka uhu umekua ni mwaka wa majonzi kwa watu wengi 😢, Ee Mungu tuepushe na pepo ya umauti 🙏🙏😭
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@GT3000-c1p Amen
@PatrickWolfo-iy2rr4 ай бұрын
Wimbo mazuri sana nimeona kipande tiktok ❤❤
@komandowayesu36424 ай бұрын
Barikiwa sana
@PatrickWolfo-iy2rr3 ай бұрын
Amina@@komandowayesu3642
@DanielMgani4 ай бұрын
Nyimbo Nzuri sana nimebarikiwa mtumishi🔥🔥🔥
@komandowayesu36424 ай бұрын
Amen 🙏
@perezokeyo40834 ай бұрын
I have played this song for about 50 times...eh Mungu mwenyeza sikia hili ombi.Let me live for the sake of my 10 yr old son who depends on me..❤ from Kenya
@Hyline-g6u4 ай бұрын
Mungu wangu sisi tu wasafiri wa humu dunia since i remember marco joseph😢😢😢😢.Thanks my brother komando for remembering them may the Lord give you wisdom and courage like solomon to spread his ministry,,,,much love from Riyadh city
@komandowayesu36424 ай бұрын
Amen 🙏
@HedaNdahimana4 ай бұрын
Amen 🙌 God bless you nice song Mungu aendeleye kutulinda kabisa
@komandowayesu36424 ай бұрын
Amen
@DanielMgani4 ай бұрын
Jaman mbn jioni imefika bado si uwoni
@PatrickWolfo-iy2rr4 ай бұрын
Kesho
@perezokeyo40834 ай бұрын
Marco jamani siamini wallahi😢
@JeaninePelesi4 ай бұрын
😢😢 kweli kabisa mungu aendelee kutulinda sababu ya wengine ❤
@marthawanjiru66754 ай бұрын
Tujalie tupate kuishi kwasababu ya wengine❤❤🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@officesayoscar21554 ай бұрын
Imegusa Sanaa mtumishi
@KizaMmunga-i4p4 ай бұрын
Naupenda sana huu wimbo nakumbuka wazazi wangu mungu azidi kukuwekea mkono wake wa baraka juu yako from 🇺🇸 🇺🇸 🇺🇸
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@KizaMmunga-i4p barikiwa sana 🙏
@komandowayesu36424 ай бұрын
Amen 🙏
@hildashanzu25264 ай бұрын
From TikTok 😊😊May God give us long life,Some of us are the breadwinner,Wazazi na wadogo zetu wanatutegemea😢Eeh Mungu tujalie maisha marefu 🙏Tutenge mbali na maadaui zetu Amen 🙏 Komando thank you for this 🙏 much love from kenya 🇰🇪 ❤️ 💖 😊
@komandowayesu36424 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@hildashanzu25264 ай бұрын
@@komandowayesu3642 🙏🙏
@idnewtoneglobalofficial4 ай бұрын
Tujalie tupate kuishi sababu ya wengine Mungu Baba❤❤❤
@Regnard9994 ай бұрын
Very emotional masterpiece😢😢,, kama unatazama ukiwa Kigoma twende kaz hapa❤❤
@jacklinemaingi83854 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪Dear lord for the sake of those who depend on us, Have mercy on us 🙏
@PaulKiza-t2o4 ай бұрын
Wapo wanao tutegemea usiruhusu adui kutuonea tujalie tupate kuishi sababu ya wengine 😢❤❤
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@PaulKiza-t2o Amen 🙏
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@PaulKiza-t2o Barikiwa sana
@kewashone34374 ай бұрын
Kila mda naurudia maana sija tosheka🙏🏻🔥
@B.M.JMusic-pf1dn4 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana tunausubiri kwahamu
@kewashone34374 ай бұрын
Wenzangu wa 🇹🇿 Kenya isituzidi challenge Kama umekubali comenti yangu lik apo chini❤🇹🇿🇹🇿
@PauloMollel-j9t3 ай бұрын
Dah wimbo huu umeniguza San kweli mung azid kukupa kibalo
@ElishaKasekwa-vo2eg4 ай бұрын
Ni ombi langu kwako mungu nifanye niwe baraka kwa familia yangu😢😢🙏🙏
@komandowayesu36424 ай бұрын
Pokea kwa jina la Yesu
@davidmbayaprincedavie54014 ай бұрын
Huu wimbo umenifurahisha sana . more grace man of God.am David mbaya mwimbaji wa nyimbo za injili from meru Kenya
@komandowayesu36424 ай бұрын
Barikiwa sana
@DoreenKamtupe4 ай бұрын
Ubarikiwe Sanaaa Mtumishi wa Mungu Kaka Komando wa yesu Ni kweri vizuri havidumu Mungu Atusaidie
@NewSoundOfGospelMusic4 ай бұрын
Uyo mtoto ametisha sana kk Ramady seen
@KewaAsukulu4 ай бұрын
Song 🎵 Of The Year 🙌🙌🙌🙏💞💯
@yonasshechonge45494 ай бұрын
Hii nyimbo ni yangu kabisa ❤
@celinaallipio84764 ай бұрын
Inapendeza mbele za Mungu. Mungu akubariki.
@EmmanuelKunzugala4 ай бұрын
very touching song,elimu ya kutosha,i feel to cry 😓😓😩😓 @komandowaYesu
@SarahPeter-n8b3 ай бұрын
Ameen mtumish barikiwa
@SiliverySixbeth3 ай бұрын
😭😭😭Pumzika kwa Amani Mama yangu kipenzi nakukumbuka Sana My mom
@moureenondisa68144 ай бұрын
T b Joshua wherever your soul is may you continue shining as per the word of God in you. I salute the man in the synagogue
@FudidohwcbOfficial4 ай бұрын
Mungu asituache amém 🇲🇿 Mozambique
@AnnaAnney-pc4ui4 ай бұрын
😅😅😅 nlivyokuj mbio jmn af bado 😢😢
@HedaNdahimana4 ай бұрын
Tuishi kwa kupenda wengine sababu sisi sote ni wapitaji duniani
@Inzirayawetv4 ай бұрын
Amen nyimbo nzuli sana barikiwa Mungu azidi kukupa ufunuo kwanyimbo zengine. 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@Inzirayawetv Amen
@AnnaNorbeth4 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua viwango vya juu 🙌
@entujaelmsangi4 ай бұрын
Mungu tupe kuishi sababu ya wengine 😢🙌
@Migapogospel6784 ай бұрын
Mimi badoo naipendagaa ile nyimbo ya yamebadilikaa kuna kitu ndani yangu roho mtakatifuu ananiambia tuwaombee wale wasioo jiwezaaa _@hata weww pia mtumishi uzidiii kung"ara katka roho ya kweliii ndani ya kristo
@komandowayesu36423 ай бұрын
Amen 🙏
@Wangoii_mercy4 ай бұрын
team kenya🇰🇪
@yvetteirankunda5203 ай бұрын
Mungu tusaisiye tuishi, asante mtumishi in wa Jehovah kwa ufunuo huyu, Mungu azidi kuzungumza nawe.
@IsawoMnyenye4 ай бұрын
Upo vzr mno, MUNGU azidi kukuinua
@KabulaMasanja-o4s3 ай бұрын
Ni wimbo mzuri kahika
@nancyachieng36924 ай бұрын
Kwa kweli wimbo enyewe linanigusa sababu hilo ni ombi langu kwa Mwenyesi Mungu❤❤
@komandowayesu36424 ай бұрын
Barikiwa sana 🙏
@FurahaMupenda3 ай бұрын
Wimbo huu umenitowa machozi😢
@JustineOuma-zn3hg4 ай бұрын
😢😢may God protect us,this song aki among the best 😢😢
@FurahaMupenda3 ай бұрын
Kila nisikiapo roho inalia sana😢😢😢
@princesstinah4 ай бұрын
Tuishi kwa kupendana maisha mafupi😢
@jacksonsemit71544 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana,ila nakuombea ucje jiinua km shetani 🙏
@school_life2544 ай бұрын
Im here waitimg for the song to play
@binti-albert4 ай бұрын
Huu wimbo umenitoa machozi 🥹may the Lord bless you and keep you safe always ❤much love from🇦🇺💖
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@binti-albert Barikiwa
@joshuakipyego55724 ай бұрын
Amina nice message
@AsumtaAmos3 ай бұрын
Kazi nzuri kaka
@NaomNtabo4 ай бұрын
Rip Marco Joseph 😢😢😢😢we loved you brl God loved you more..🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@andrewhaule12854 ай бұрын
Ona ngombe hii from kenya
@NaomNtabo4 ай бұрын
@@andrewhaule1285 confirm something before you reply...sasa ww ndio gunia hata si ngombe...idiot
@wacirairene73074 ай бұрын
May every opharn passing through this kind of situations or even worse, you God who is their father visit their situations in the mighty name of our Lord Jesus 💖🙏🙏
@oddiriakasema6574 ай бұрын
Mungu nipiganie pamoja na my hubby tuishi kwa ajili ya wengine kama ilivyo kwenye nafsi yangu
@lovielovieejoyce63134 ай бұрын
Wimbo mzuri wa kutuelimisha
@hilahpeters28234 ай бұрын
Napenda kazi yako sana. Mungu azidishe hichi kipaji chako uendelee kutubariki ❤❤❤
@EDITHACHINGUILE4 ай бұрын
Naandika kwa machozi,,,,Nasiku ya pili ya maombi babaangu mdgo yuko kitandani ni nguvu za giza...Yeyote mwenye kuona hii comment kwa moyo wakuguswa atamke neno la uponyaji kwa babaangu ninapokea🙌😢😢😢😢
@hudson20054 ай бұрын
Natangaza uponyaji dhidi yake katika jina lenye nguvu la Yesu Kristo Amen. Usikate tamaa Mungu yupo
@nynyarugusumatukio2554 ай бұрын
Kwa jina la mwokozi wetu YESU KRISTO apokee uponyaji kama lilivyohitaji lako
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@EDITHACHINGUILE kama Mungu aishivyo awe mzima kwasababu ya wengine 🙏
@EDITHACHINGUILE4 ай бұрын
@@hudson2005 Amen 🙏
@EDITHACHINGUILE4 ай бұрын
@@nynyarugusumatukio255 Amen 🙏
@Pombaa_Wa_Yesu2 ай бұрын
WIMBO MZURI SANA ASANTE SANA KUSAH KWA KUSAPOTI KIJANA MUNGU AKUBARIKI🎉🎉🎉❤❤❤
@allenshoo11644 ай бұрын
Nice song be blessed 🙏
@Gloria-williams-r24 ай бұрын
From TikTok to here si you are a blessing 😉 ❤❤
@lawrenceniga93684 ай бұрын
Nyimbo inatufanya tuzidi kuomba sana
@MEREHANNA2 ай бұрын
Huu wimbo umenikumbusha mbali sanaaaa nimemkumbuka baba Yang kweli 😢😢😢
@puritymisoi5714Ай бұрын
Mungu akubariki sana ndugu....nimefarijika sana na huu wimbo.....ili ni ombi la Moyo wangu kila mara
@munaberyl4 ай бұрын
Straight from tiktok
@kaitasicoster-jl6hi4 ай бұрын
Kama kupitia wimbo huu nawewe umekuwa Komando kama Yesu like zako kwangu na kwa Komando wa Yesu
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@kaitasicoster-jl6hi barikiwa sana
@shukuruebalo856222 күн бұрын
Ubarikiwe mtoto wetu KOMANDO WA YESU
@judykeyah46514 ай бұрын
More grace U are blessings to many😇😇😇🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@TheopistaAloyce-ht8kr2 ай бұрын
Amina.MUNGU akubariki kwa wimbo mzr umenigusa sana.
@aronmvembezi43754 ай бұрын
Mungu amekupa wimbo wenyewe kabisa kaka yangu. Hongera sana Kwa kuwa tayari kutumiwa na Mungu ❤❤❤
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@aronmvembezi4375 Amen 🙏
@jonasikigodi73454 ай бұрын
Amina 🙏🙏 MUNGU akubariki sana na aendelee kukuinua na kukutunza ili uendelee kuishi kwaajili ya wengine
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@jonasikigodi7345 Amen 🙏
@DamaclineKemunto-dc7de2 ай бұрын
As a first born please God let me be alive because of my Family 🙏
@BarakaGabrielMusic4 ай бұрын
I just felt like crying after hearing this. Be blessed MOG...
@JylineJemeli-wg7zk4 ай бұрын
What a blessing this morning,amen may God preserve us for the sake of those who depend on us 🙏🙏🙏💯
@PaulRichard-w6qАй бұрын
Balikiwa sana huu wimbo nimeniliza sana nawaza mbali sana adui anapanga nisifike kwa jina la Yesu washidwe by fredy bavuna
@zulfakibwana23302 ай бұрын
Kwani mpaka utaje kina la diamond na watoto wake.koma
@NeemayaMungu-x8c4 ай бұрын
Amen 😊I can’t wait kwahiyi song 🥰🙏
@komandowayesu36424 ай бұрын
🙏🙏🙏
@NellyBahati-y3l3 ай бұрын
Sinauendetu hyonyimbo Naipenda sana🙏🙏🙏♥️♥️
@AnnaAnney-pc4ui4 ай бұрын
MUNGU azidi kukuinua wimbo mzur san 🎉🎉
@komandowayesu36424 ай бұрын
@@AnnaAnney-pc4ui Amen
@JackrinaAbel4 ай бұрын
😢sisi niwapotaji katika dunia hii, ahsante kaka yangu