KONDEBOY WA MCHONGO ALITAKA KUONA SHAPE ZA WAREMBO | WAMEMSUSIA NA KUONDOKA STEJINI S04EP14

  Рет қаралды 66,134

ST BONGO TV

ST BONGO TV

Күн бұрын

►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Пікірлер: 149
@dariusshukuru8490
@dariusshukuru8490 14 күн бұрын
Garby Wee ni Mwamba kwelii Brot Brot nakukubali❤
@LukaJoas
@LukaJoas 12 күн бұрын
Gala B nakukubali sana bro! Ujue hivyo vidada karibia vyote vina maisha magumu sana alaf vinaleta nyodo za kipuuzi! Bila kuwa unabadilisha gia angani hawawezi kuwa na nidhamu na maamuzi.
@Mgmweustz-p9u
@Mgmweustz-p9u 9 күн бұрын
@@LukaJoas we ndyo unamaisha magumu acha kudharau watu wew
@uwimanaLatifa-q4u
@uwimanaLatifa-q4u 8 күн бұрын
Kasema kweli bwana😂😂😂😂😂😂😂
@LettyLussi
@LettyLussi 4 күн бұрын
Mwijaku kwa harmonize tena😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kwaiyo lazima kila mtu aseme harmonize
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 14 күн бұрын
Hii style ya mr right kubadili style naipenda sana sana kuliko from 🇭🇰
@shedrackboniphace7755
@shedrackboniphace7755 8 күн бұрын
Mungu aturehem coz shetan yupo serious na anakasi ya jabu Sana👉🏻👉🏻👉🏻Mjue Sana Mungu ili uwe na Amani ndipo mema yatavyokujilia🙏🙏🙏
@TabizaAa
@TabizaAa 5 күн бұрын
kabisa
@Zahara-l3l
@Zahara-l3l 14 күн бұрын
warembo Wana msimamo kwakweli jamani😂😂😂😂😂nimewamiss sana 🫶🫶🫶🫶🫶🫶
@geagbtv5949
@geagbtv5949 13 күн бұрын
Hongera sana galaby umefanya vizuri . Kwa sababu wao wanamuona mr right vizuri ila wao hawataki kuonekana . In shortly wale wote waliotoka mbele wao ndo wanazalau kubwa sana.
@flm1530
@flm1530 14 күн бұрын
😂hawataki kuchaguliwa wameenda kufanyeje watu wanachagua kama nyama unaenda kula ukishiba unafwata ingine😂 hao ni kama machangudoa
@nicholasmiano8424
@nicholasmiano8424 14 күн бұрын
Ukweli fulani ndani yake
@PatrickSounda-r2i
@PatrickSounda-r2i 12 күн бұрын
@@flm1530 hi
@greydonalds4286
@greydonalds4286 11 күн бұрын
Sio kama machangudoa. Hawa ni machangudoa! Hawana tofauti nq wale wanaojipanga barabarani kusubiri wanaume waje wawanunue wakawatumie. Biashara ya ukahaba imehalalishwa.
@Mrszizo-d7t
@Mrszizo-d7t 10 күн бұрын
Kabisa
@restitutapeter-e1v
@restitutapeter-e1v 8 күн бұрын
Hawajielew
@EvaristeTchinkoma-oi5rq
@EvaristeTchinkoma-oi5rq 5 күн бұрын
GRB unajuwa jukumu lako quiet clever. Maana warembo wana ona mr Right chini juu nyuma mbele, Kwa iyo nivizuri warembo pia kuonwa nyuma, mbele.❤
@ValenciaJacob-o1t
@ValenciaJacob-o1t 7 күн бұрын
Namkubali sana konde wa mchongo
@Vigilancewambughamwaisaka
@Vigilancewambughamwaisaka 11 күн бұрын
Yes iko kenya,kitale
@EdwarJackson
@EdwarJackson 2 күн бұрын
Nakubali mr right
@MR.SHADRIGHT
@MR.SHADRIGHT 13 күн бұрын
Kondeboy wa mchongo 😂😂😂jeuri😅😅
@LovenessWaibe
@LovenessWaibe 13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉mwijaku umeongea point sana yaan kimtu kinaiga na wakati hata hafanani hamo jamaniii
@LeylaSaria
@LeylaSaria 10 күн бұрын
Mwanaume mwenyew sas 😂😂et anajishaua kbsa na yey😅
@jamilazahran4571
@jamilazahran4571 13 күн бұрын
Management need to push some rules for this girls, they do want to see how the guy looks with all information but they don’t respect the show enough to come out🤷🏽‍♀️ nobody will force you to pick the guy but you should respect that he wanted to see full body, is that a criminal 🤷🏽‍♀️🤷🏽‍♀️🤷🏽‍♀️🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️
@Oman-k4j
@Oman-k4j 14 күн бұрын
Lulu hem jisitir baada ya uhai kuna kufa ee mja weee
@SalomGahi
@SalomGahi 9 күн бұрын
Gara b were ni king umenifurahisha
@meedyshow8807
@meedyshow8807 11 күн бұрын
Nice gala b hakuna kubembeleza U T I izo 😢
@dr.elimikatv1919
@dr.elimikatv1919 5 күн бұрын
Merry atafika mbali she is a real women ako na uwezo wa kujisahihisha af mtiifu kiasi ila hao walioshuka wote ni mashangazi hamna mke wa kudumu hata miaka mitano
@JosephinaMsagala-m1l
@JosephinaMsagala-m1l 11 күн бұрын
😂😂😂 gara B ,bhna eti tutampata kajala ,
@FrançoisButoto
@FrançoisButoto 14 күн бұрын
Merci beaucoup 14:13 ❤❤❤🎉
@AUTVEVO258
@AUTVEVO258 9 күн бұрын
Sijapenda sana gisi ao warmbo wamekata jamaa 😢😢😢😢
9 күн бұрын
Gala B wewe ni mwamba bro 💪🙏
@OmegaMatela
@OmegaMatela 9 күн бұрын
😅😅😅waremboo wanamsimamooo jamanii😢😢
@SharifaHaruna-f3g
@SharifaHaruna-f3g 10 күн бұрын
ahahhahahah miez mitatu kaondoka na pia hiyo hiyo ndan ya miezi mitatu x wake kaolewa pia na mtoto juuu ahahahhahahah
@fidelitekarigirwamuyangwa973
@fidelitekarigirwamuyangwa973 14 күн бұрын
Safi garabi hawajuwi kazi
@JustineMhagama
@JustineMhagama 8 күн бұрын
Hii ya leo nimependa shuka chini😂😂😂😂
@verowilly5822
@verowilly5822 9 күн бұрын
tatizo wanawake hawapendi hivo..mkak mambo mengi mikofia miwani yani muonekano mbayaaaa😂😂
@EmelyneManizana
@EmelyneManizana 14 күн бұрын
Mr Right wa leo shida kabisaaa 😅😅😅
@SalomGahi
@SalomGahi 9 күн бұрын
Mwijaku mwijaku kiboko yaooo
@barakanyobeye6807
@barakanyobeye6807 3 күн бұрын
Katisha sanaa
@AmosShija-w2o
@AmosShija-w2o 13 күн бұрын
Bora kamekataliwa kana sifa mno😂😂😂😂
@MzirayDunga
@MzirayDunga 6 күн бұрын
Hii imekaaa sawa😂😂wao wanapata nafax yakukuona vizur Alf ww unawaona uso tu
@MR.SHADRIGHT
@MR.SHADRIGHT 13 күн бұрын
Hawa madem wa podiums dharau😅😅😅😅
@avinkajuna708
@avinkajuna708 10 күн бұрын
Sasa wadada wenyewe viburi alafu wanataka kuolewa😂😂😂😂
@khasanaryhamady3968
@khasanaryhamady3968 9 күн бұрын
ww kama wanataka mume wakaubaliane na kila kitu kwa msakata cha uvunguni shart unamee kwan wamekuja kfanya nn apo waendelee kudanga
@kakururubambula7270
@kakururubambula7270 14 күн бұрын
Hapo kuna mdada anaitwa kyka daaa umeniua hatar
@rayahamisi118
@rayahamisi118 14 күн бұрын
Wanaume wanevaa eleni msikate tamaa ipo siku mtavaa pedi😂😂😂
@MaryanMaryam-lc1et
@MaryanMaryam-lc1et 9 күн бұрын
Kwakwel😂😂
@jameskiokote
@jameskiokote 6 күн бұрын
hahahhahah kama kweli vile
@AmmullyMonica
@AmmullyMonica 6 күн бұрын
Natamani angekuwepo dr Kumbuka😂wangechambwa hao wadada hadi wajisikie vibaya😂
@ajuwazaglodim7645
@ajuwazaglodim7645 10 күн бұрын
Yuko sahihi, Kitale is a town in Kenya
@Smilemaker_KE
@Smilemaker_KE 6 күн бұрын
Huyo n mwongo hana duka huko kenya😅
@MwitaMarwa-s6u
@MwitaMarwa-s6u 9 күн бұрын
machangudoa walio changamka😂
@Ym_classic_tz
@Ym_classic_tz 16 сағат бұрын
Eti siwaoni😢😢😢😢
@Bether-w3i
@Bether-w3i 9 күн бұрын
Warembo wko vzr sana kwakweli I.
@nzeyimanaabdallah131
@nzeyimanaabdallah131 11 күн бұрын
Gara B mwanaume na nusu bro🫡
@frankofficial53
@frankofficial53 14 күн бұрын
Wow i'm the farst person to watch and comment from Kenya mnipe like jamani
@STBONGOTV
@STBONGOTV 14 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥
@lavidaloca_255
@lavidaloca_255 9 күн бұрын
Si mlisema kenya mnajua kiingereza, farst maana yake nn sasa!?😢
@ALYLUHUNDE
@ALYLUHUNDE 10 күн бұрын
Mwijaku mwenyewe ni mwanamke tu
@goodluckrkterry7767
@goodluckrkterry7767 10 күн бұрын
😂😂wanajikuta ma kwini pumbavu zao wanaharibu shoo wamekaidi wamekuzalau
@VailethMushi-d3o
@VailethMushi-d3o 10 күн бұрын
We doctor gani na unatibu nini? Kuwa unavaa nguo basi!!
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 Күн бұрын
Makwini au wazalilishwaji 😂😂😂. Mwanamke kama unachagua nyanya sokoni lingine linaachwa au hawa wanawake WENZENU wana roho za ngurue hawana aibuuuuuu😂😂😂, mie hua nawafananisha na wanyama tu type ya wanawake hawa.
@Janeth-q7l
@Janeth-q7l 13 күн бұрын
Uyo jamaa analinga sana . 2
@lakutsakizamedia5144
@lakutsakizamedia5144 4 күн бұрын
Daah hii show ina challenge mbaya
@FrançoisButoto
@FrançoisButoto 14 күн бұрын
Safi sn🎉🎉🎉
@AllenSemkiwa
@AllenSemkiwa 2 күн бұрын
Hao waliyo baki wameonyesha heshima ya wanawake Tanzania
@dr.elimikatv1919
@dr.elimikatv1919 5 күн бұрын
Japokua jamaa alikosea lkni utii na heshima ya mwanamke ndo ndoa yake hao wanaotaka wajiendeshe kma vidume mtaachika mpaka uzeeni, ndo maana nchi za wenzetu ndoa ni kipengele kigumu nahis hzi ndoa za jinsia moja pia zimechangiwa na usawa wa kijinsia 50 to 50
@bukurufreddy28
@bukurufreddy28 14 күн бұрын
Nimecheka leo😅😅😅😅
@FaustineJanes-x3p
@FaustineJanes-x3p 7 күн бұрын
Uti ni noma xan
@yasiniselemani8672
@yasiniselemani8672 18 сағат бұрын
Hawa wadada wanakiburi nani atawaowa sasa wanajitangaza halafu wanaringa tena
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 Күн бұрын
YAANI WANAWAKE MNAJIDHALILISHA HIVI KWELI😂😂😂, KAMA ANACHAGUW NYANYA SOKONI😂😂😂😂, HAYA NDIO WANAWAKE MLIPOTAKA MFIKISHWE SASA NA MTAKOMA ZAID KILA SIKU ZIKIENDELEA, NDIO HAKI ZENU HIZO SASA YA MWANAMME MMOJA ANAKUBERUZENI KISHA ANAKUAMBIA HUFAI 😂😂😂, HIVI WANAWAKE HUWA HAMNAGA AIBU?!!!😂😂😂
@HijjaanamsaidOneman
@HijjaanamsaidOneman 6 күн бұрын
Sa wamekuja kifanya nn kama hawataki kuonekana jamaa yupo Sawa huez chagua MTU anaonekan kichwa
@LettyLussi
@LettyLussi 4 күн бұрын
Eti kichwa😂😂
@AmaniManase-x1i
@AmaniManase-x1i 11 күн бұрын
Wanawake wenyew njaa kibao afu wanajikuta kama wanajiona wamaana sjui apo walikuja kufanya nn,nyalaida guririe
@SamsonNzige-np9up
@SamsonNzige-np9up 2 күн бұрын
Hyo dda siwema mbna kla kpnd namuon shda anakbur san
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 5 күн бұрын
Lkn mnataka wenyewe kuzalilika mnafata nn hp
@ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA
@ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA 11 күн бұрын
Wee lulu huyo jamaa anasema kweli kitale kwetu
@ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA
@ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA 11 күн бұрын
Mimi mkenya napajua huko ako sawa kabisaa 🫡
@MR.SHADRIGHT
@MR.SHADRIGHT 13 күн бұрын
Garabi anahekima 🎉🎉🎉🎉kwl
@lakutsakizamedia5144
@lakutsakizamedia5144 4 күн бұрын
Yah ni Kweli Trans nzoia county na Kitale ndio mji
@Aphrodite_1122
@Aphrodite_1122 7 күн бұрын
Mwijaku NdumilaKuwili😂😂 Mazafaka
@GeorgeWamalwa-z2y
@GeorgeWamalwa-z2y 7 күн бұрын
Kitale ndio mji mkuu wa Tranzoia County. Mitume ni baadhi ya miji midogo za tranzoia county
@agnatusbonephace1183
@agnatusbonephace1183 7 күн бұрын
Ivi kwanin hao wadada hawato story zao za maisha kama mr light, Maana wengne wameflash sana au wana watoto uko ubibini
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 11 күн бұрын
Sasa si mnajiuza kwanini hamtaki kutoka mbele,,kwenda hapo tu CV ishashuka
@harunayusufu3226
@harunayusufu3226 13 күн бұрын
Kaka napenda sana maamuzi yako gara b ww nimwamba
@mosessimiyu6954
@mosessimiyu6954 7 күн бұрын
Hilo duka linaitwaje Niko hizi sehemu ya kitale mitume
@Yournextex123
@Yournextex123 3 күн бұрын
Huyu kaka kama kanywa jembe plus Kajeuriiii
@sisterblessed-my9jd
@sisterblessed-my9jd 8 күн бұрын
Muwazoom tuwaone vizuri wanavyoringa vinaendana?
@UpendoEliya-i7l
@UpendoEliya-i7l 11 күн бұрын
Vichangudoa tuu hivyo vimeshajiuza vimechoka.😂😂😂😂😂😂 Vitoke mbele
@zenahasan7603
@zenahasan7603 11 күн бұрын
NIVIZURI. WAONEKANE. CHINI. HADI. JUUNA. IO. PASPOT. SAI🇮🇹🇹🇿
@godfreybernard5283
@godfreybernard5283 9 күн бұрын
Nimefuraha na garab umefanya niwe nafatilia mara kwa mara thank for all
@agnatusbonephace1183
@agnatusbonephace1183 7 күн бұрын
Duuh mbona sheria kali maana nikama nawana dharau ivi
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 5 күн бұрын
Sf sn kqnn awazarau ivyo kwa kuwa wao ndo wnashuda mnamchekea nn uyo jamaa anazarau
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 14 күн бұрын
Ila huyu meujaku sio ahapo lol 😆 😂 🤣 mzee wa utata
@Mrszizo-d7t
@Mrszizo-d7t 10 күн бұрын
Lulu kama kamwagiwa maji ya baridiii
@LettyLussi
@LettyLussi 4 күн бұрын
😂😂😂😂
@Mikel-o9d
@Mikel-o9d 11 күн бұрын
Jamaa anaiga sana ukonde gang ni shida iyo 😅
@JohnBernad-r7z
@JohnBernad-r7z 14 күн бұрын
Brother ukipat demu niite CHOKUU 😂😂😂😂😂😂
@STBONGOTV
@STBONGOTV 14 күн бұрын
😅😅😅
@Mikel-o9d
@Mikel-o9d 11 күн бұрын
Kimemramba😂
@dariusshukuru8490
@dariusshukuru8490 14 күн бұрын
Mwijaku ni musalti kweli.. Âme saliti dogo wake😂😂😂
@ericksonnabiswa2438
@ericksonnabiswa2438 7 күн бұрын
Mi mkenya ,mahali jamaa anasema ni nyumbani kabisa na maelezo yake yapo kamili
@officialbwoywalandlord1896
@officialbwoywalandlord1896 10 күн бұрын
Mcongo uyo jamaa
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 14 күн бұрын
Walotoka walipwe bure ni sawa sana hii game
@HalimaSwaleh-i9o
@HalimaSwaleh-i9o 7 сағат бұрын
𝐌𝐡𝐡𝐡 𝐡𝐮𝐲𝐮 𝐦𝐫𝐨𝐧𝐠𝐨
@SuleimanMuhammed-g7q
@SuleimanMuhammed-g7q 14 күн бұрын
Hapo Gara B nimekusifu san kuonyesha msimamo huo
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 14 күн бұрын
Majaji mme feli mwusho kumsema jamaa huyo km hami looking lkn km hapa tayari mme fungiwa
@estomiailomo7844
@estomiailomo7844 11 күн бұрын
Kumbe na wao ni watazamaji ila Huwa wanakaa hapo km masanamu
@AshaRamadhani-r2o
@AshaRamadhani-r2o 14 күн бұрын
Apunguze sifaa
@SamweliHozza
@SamweliHozza 14 күн бұрын
Hapo hakuna mke hapo kuna wakujipigia na kusepa Wadada dharau nyingi mmh
@deamber775
@deamber775 13 күн бұрын
😂😂😂😂😂mwijaku
@lavidaloca_255
@lavidaloca_255 9 күн бұрын
Tenki yu olzi bayi😂
@nuriatihdjasumin1548
@nuriatihdjasumin1548 13 күн бұрын
Jamani kwa kweli leo sijapenda uyukijana hana heshima hata kidogo na anamazarau sana nahatofika fasi ametushusha heshima sisi wa dada 😭😭😭🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@UpendoEliya-i7l
@UpendoEliya-i7l 11 күн бұрын
Hata kusimama kwenye podium ni kujidharau, kujidhalilisha, na kukata tamaa pia. Kwahiyo km ni dharau wanajidharau wao wenyewe
@JemesNIMBONA
@JemesNIMBONA 10 күн бұрын
Anahaki Kwanzaa mbona wamegoma!
@TatuJumanne-g6c
@TatuJumanne-g6c 7 күн бұрын
Uyu jamaa anawachkuliaje hawa
@shangweyussuf640
@shangweyussuf640 10 күн бұрын
Kitale siyo jiii la Nairobi. Ni nchi ya Kenya. Hapo mitume sijui
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 10 күн бұрын
Mnajikuta ma bikila maria yaone
@deamber775
@deamber775 13 күн бұрын
Aadharau sanq ata mimi nisingeweza
@RhodamihayoWambura
@RhodamihayoWambura 11 күн бұрын
@@deamber775 kakosea Nini mbona yeye kaja mbele
@LettyLussi
@LettyLussi 4 күн бұрын
​@@RhodamihayoWamburaetii😂😂😂😂
@Capmappromtz
@Capmappromtz 14 күн бұрын
Kwani hamjui tu hao wadada point yao kubwa? Iv ni Nan aliwah kuja hapo akasema anaingiza hela ndefu kwa wki afu akakosa nyasi?
@JemesNIMBONA
@JemesNIMBONA 10 күн бұрын
This ladies I don't think they really want a man. There behavior shaw all!! So sad
SALUH AKIIMBA SEYA BSS | MAJAJI WAKOSA LA KUSEMA |
5:27
SALUH Tz
Рет қаралды 110 М.
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
Жди меня | Выпуск от 07.02.2025 (12+) ТЕСТ ДНК
45:46
Kipofu Awaliza Majaji; Tazama Hapa
4:15
Nyota Shine Tv
Рет қаралды 8 М.
BALAAA! WAREMBO WOTE WAMEMPENDA MR RIGHT HANDSOME - S04E12
14:59
ST BONGO TV
Рет қаралды 225 М.
This light-skinned bachelor confused all the ladies on Hello Mr Right KE
9:17
Վերջին Զանգ, Սերիա 26 / Verjin Zang
38:25
PanArmenian TV
Рет қаралды 271 М.
Ugali utatoa watu roho | Kombolela SE02 EP 25
2:13
Sinema Zetu HD
Рет қаралды 12 М.
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН