►Instagram / stbongotv ►TikTok / stbongotv.tz ►Facebook / stbongotv ►Twitter / stbongotv ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Пікірлер: 149
@dariusshukuru849014 күн бұрын
Garby Wee ni Mwamba kwelii Brot Brot nakukubali❤
@LukaJoas12 күн бұрын
Gala B nakukubali sana bro! Ujue hivyo vidada karibia vyote vina maisha magumu sana alaf vinaleta nyodo za kipuuzi! Bila kuwa unabadilisha gia angani hawawezi kuwa na nidhamu na maamuzi.
@Mgmweustz-p9u9 күн бұрын
@@LukaJoas we ndyo unamaisha magumu acha kudharau watu wew
@uwimanaLatifa-q4u8 күн бұрын
Kasema kweli bwana😂😂😂😂😂😂😂
@LettyLussi4 күн бұрын
Mwijaku kwa harmonize tena😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kwaiyo lazima kila mtu aseme harmonize
@labunaabouna612214 күн бұрын
Hii style ya mr right kubadili style naipenda sana sana kuliko from 🇭🇰
@shedrackboniphace77558 күн бұрын
Mungu aturehem coz shetan yupo serious na anakasi ya jabu Sana👉🏻👉🏻👉🏻Mjue Sana Mungu ili uwe na Amani ndipo mema yatavyokujilia🙏🙏🙏
@TabizaAa5 күн бұрын
kabisa
@Zahara-l3l14 күн бұрын
warembo Wana msimamo kwakweli jamani😂😂😂😂😂nimewamiss sana 🫶🫶🫶🫶🫶🫶
@geagbtv594913 күн бұрын
Hongera sana galaby umefanya vizuri . Kwa sababu wao wanamuona mr right vizuri ila wao hawataki kuonekana . In shortly wale wote waliotoka mbele wao ndo wanazalau kubwa sana.
@flm153014 күн бұрын
😂hawataki kuchaguliwa wameenda kufanyeje watu wanachagua kama nyama unaenda kula ukishiba unafwata ingine😂 hao ni kama machangudoa
@nicholasmiano842414 күн бұрын
Ukweli fulani ndani yake
@PatrickSounda-r2i12 күн бұрын
@@flm1530 hi
@greydonalds428611 күн бұрын
Sio kama machangudoa. Hawa ni machangudoa! Hawana tofauti nq wale wanaojipanga barabarani kusubiri wanaume waje wawanunue wakawatumie. Biashara ya ukahaba imehalalishwa.
@Mrszizo-d7t10 күн бұрын
Kabisa
@restitutapeter-e1v8 күн бұрын
Hawajielew
@EvaristeTchinkoma-oi5rq5 күн бұрын
GRB unajuwa jukumu lako quiet clever. Maana warembo wana ona mr Right chini juu nyuma mbele, Kwa iyo nivizuri warembo pia kuonwa nyuma, mbele.❤
@ValenciaJacob-o1t7 күн бұрын
Namkubali sana konde wa mchongo
@Vigilancewambughamwaisaka11 күн бұрын
Yes iko kenya,kitale
@EdwarJackson2 күн бұрын
Nakubali mr right
@MR.SHADRIGHT13 күн бұрын
Kondeboy wa mchongo 😂😂😂jeuri😅😅
@LovenessWaibe13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉mwijaku umeongea point sana yaan kimtu kinaiga na wakati hata hafanani hamo jamaniii
@LeylaSaria10 күн бұрын
Mwanaume mwenyew sas 😂😂et anajishaua kbsa na yey😅
@jamilazahran457113 күн бұрын
Management need to push some rules for this girls, they do want to see how the guy looks with all information but they don’t respect the show enough to come out🤷🏽♀️ nobody will force you to pick the guy but you should respect that he wanted to see full body, is that a criminal 🤷🏽♀️🤷🏽♀️🤷🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️
@Oman-k4j14 күн бұрын
Lulu hem jisitir baada ya uhai kuna kufa ee mja weee
@SalomGahi9 күн бұрын
Gara b were ni king umenifurahisha
@meedyshow880711 күн бұрын
Nice gala b hakuna kubembeleza U T I izo 😢
@dr.elimikatv19195 күн бұрын
Merry atafika mbali she is a real women ako na uwezo wa kujisahihisha af mtiifu kiasi ila hao walioshuka wote ni mashangazi hamna mke wa kudumu hata miaka mitano
@JosephinaMsagala-m1l11 күн бұрын
😂😂😂 gara B ,bhna eti tutampata kajala ,
@FrançoisButoto14 күн бұрын
Merci beaucoup 14:13 ❤❤❤🎉
@AUTVEVO2589 күн бұрын
Sijapenda sana gisi ao warmbo wamekata jamaa 😢😢😢😢
9 күн бұрын
Gala B wewe ni mwamba bro 💪🙏
@OmegaMatela9 күн бұрын
😅😅😅waremboo wanamsimamooo jamanii😢😢
@SharifaHaruna-f3g10 күн бұрын
ahahhahahah miez mitatu kaondoka na pia hiyo hiyo ndan ya miezi mitatu x wake kaolewa pia na mtoto juuu ahahahhahahah
@fidelitekarigirwamuyangwa97314 күн бұрын
Safi garabi hawajuwi kazi
@JustineMhagama8 күн бұрын
Hii ya leo nimependa shuka chini😂😂😂😂
@verowilly58229 күн бұрын
tatizo wanawake hawapendi hivo..mkak mambo mengi mikofia miwani yani muonekano mbayaaaa😂😂
@EmelyneManizana14 күн бұрын
Mr Right wa leo shida kabisaaa 😅😅😅
@SalomGahi9 күн бұрын
Mwijaku mwijaku kiboko yaooo
@barakanyobeye68073 күн бұрын
Katisha sanaa
@AmosShija-w2o13 күн бұрын
Bora kamekataliwa kana sifa mno😂😂😂😂
@MzirayDunga6 күн бұрын
Hii imekaaa sawa😂😂wao wanapata nafax yakukuona vizur Alf ww unawaona uso tu
@MR.SHADRIGHT13 күн бұрын
Hawa madem wa podiums dharau😅😅😅😅
@avinkajuna70810 күн бұрын
Sasa wadada wenyewe viburi alafu wanataka kuolewa😂😂😂😂
@khasanaryhamady39689 күн бұрын
ww kama wanataka mume wakaubaliane na kila kitu kwa msakata cha uvunguni shart unamee kwan wamekuja kfanya nn apo waendelee kudanga
@kakururubambula727014 күн бұрын
Hapo kuna mdada anaitwa kyka daaa umeniua hatar
@rayahamisi11814 күн бұрын
Wanaume wanevaa eleni msikate tamaa ipo siku mtavaa pedi😂😂😂
@MaryanMaryam-lc1et9 күн бұрын
Kwakwel😂😂
@jameskiokote6 күн бұрын
hahahhahah kama kweli vile
@AmmullyMonica6 күн бұрын
Natamani angekuwepo dr Kumbuka😂wangechambwa hao wadada hadi wajisikie vibaya😂
@ajuwazaglodim764510 күн бұрын
Yuko sahihi, Kitale is a town in Kenya
@Smilemaker_KE6 күн бұрын
Huyo n mwongo hana duka huko kenya😅
@MwitaMarwa-s6u9 күн бұрын
machangudoa walio changamka😂
@Ym_classic_tz16 сағат бұрын
Eti siwaoni😢😢😢😢
@Bether-w3i9 күн бұрын
Warembo wko vzr sana kwakweli I.
@nzeyimanaabdallah13111 күн бұрын
Gara B mwanaume na nusu bro🫡
@frankofficial5314 күн бұрын
Wow i'm the farst person to watch and comment from Kenya mnipe like jamani
@STBONGOTV14 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥
@lavidaloca_2559 күн бұрын
Si mlisema kenya mnajua kiingereza, farst maana yake nn sasa!?😢
@ALYLUHUNDE10 күн бұрын
Mwijaku mwenyewe ni mwanamke tu
@goodluckrkterry776710 күн бұрын
😂😂wanajikuta ma kwini pumbavu zao wanaharibu shoo wamekaidi wamekuzalau
@VailethMushi-d3o10 күн бұрын
We doctor gani na unatibu nini? Kuwa unavaa nguo basi!!
@hilalkhalfan1452Күн бұрын
Makwini au wazalilishwaji 😂😂😂. Mwanamke kama unachagua nyanya sokoni lingine linaachwa au hawa wanawake WENZENU wana roho za ngurue hawana aibuuuuuu😂😂😂, mie hua nawafananisha na wanyama tu type ya wanawake hawa.
@Janeth-q7l13 күн бұрын
Uyo jamaa analinga sana . 2
@lakutsakizamedia51444 күн бұрын
Daah hii show ina challenge mbaya
@FrançoisButoto14 күн бұрын
Safi sn🎉🎉🎉
@AllenSemkiwa2 күн бұрын
Hao waliyo baki wameonyesha heshima ya wanawake Tanzania
@dr.elimikatv19195 күн бұрын
Japokua jamaa alikosea lkni utii na heshima ya mwanamke ndo ndoa yake hao wanaotaka wajiendeshe kma vidume mtaachika mpaka uzeeni, ndo maana nchi za wenzetu ndoa ni kipengele kigumu nahis hzi ndoa za jinsia moja pia zimechangiwa na usawa wa kijinsia 50 to 50
@bukurufreddy2814 күн бұрын
Nimecheka leo😅😅😅😅
@FaustineJanes-x3p7 күн бұрын
Uti ni noma xan
@yasiniselemani867218 сағат бұрын
Hawa wadada wanakiburi nani atawaowa sasa wanajitangaza halafu wanaringa tena
@hilalkhalfan1452Күн бұрын
YAANI WANAWAKE MNAJIDHALILISHA HIVI KWELI😂😂😂, KAMA ANACHAGUW NYANYA SOKONI😂😂😂😂, HAYA NDIO WANAWAKE MLIPOTAKA MFIKISHWE SASA NA MTAKOMA ZAID KILA SIKU ZIKIENDELEA, NDIO HAKI ZENU HIZO SASA YA MWANAMME MMOJA ANAKUBERUZENI KISHA ANAKUAMBIA HUFAI 😂😂😂, HIVI WANAWAKE HUWA HAMNAGA AIBU?!!!😂😂😂
@HijjaanamsaidOneman6 күн бұрын
Sa wamekuja kifanya nn kama hawataki kuonekana jamaa yupo Sawa huez chagua MTU anaonekan kichwa
@LettyLussi4 күн бұрын
Eti kichwa😂😂
@AmaniManase-x1i11 күн бұрын
Wanawake wenyew njaa kibao afu wanajikuta kama wanajiona wamaana sjui apo walikuja kufanya nn,nyalaida guririe
@SamsonNzige-np9up2 күн бұрын
Hyo dda siwema mbna kla kpnd namuon shda anakbur san
@nishaabdula50155 күн бұрын
Lkn mnataka wenyewe kuzalilika mnafata nn hp
@ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA11 күн бұрын
Wee lulu huyo jamaa anasema kweli kitale kwetu
@ONGOTOVERONICAHKWAMBOKA11 күн бұрын
Mimi mkenya napajua huko ako sawa kabisaa 🫡
@MR.SHADRIGHT13 күн бұрын
Garabi anahekima 🎉🎉🎉🎉kwl
@lakutsakizamedia51444 күн бұрын
Yah ni Kweli Trans nzoia county na Kitale ndio mji
@Aphrodite_11227 күн бұрын
Mwijaku NdumilaKuwili😂😂 Mazafaka
@GeorgeWamalwa-z2y7 күн бұрын
Kitale ndio mji mkuu wa Tranzoia County. Mitume ni baadhi ya miji midogo za tranzoia county
@agnatusbonephace11837 күн бұрын
Ivi kwanin hao wadada hawato story zao za maisha kama mr light, Maana wengne wameflash sana au wana watoto uko ubibini
@emmanuelmayunga151811 күн бұрын
Sasa si mnajiuza kwanini hamtaki kutoka mbele,,kwenda hapo tu CV ishashuka
@harunayusufu322613 күн бұрын
Kaka napenda sana maamuzi yako gara b ww nimwamba
@mosessimiyu69547 күн бұрын
Hilo duka linaitwaje Niko hizi sehemu ya kitale mitume
@Yournextex1233 күн бұрын
Huyu kaka kama kanywa jembe plus Kajeuriiii
@sisterblessed-my9jd8 күн бұрын
Muwazoom tuwaone vizuri wanavyoringa vinaendana?
@UpendoEliya-i7l11 күн бұрын
Vichangudoa tuu hivyo vimeshajiuza vimechoka.😂😂😂😂😂😂 Vitoke mbele